JE UNASAFIRIA MELI HII, HAPA ZANZIBAR ? BASI KUNA JAMBO JIPYA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 36
habari nzuri
Thenkyou fast feri
Alhamduliĺlah zenj yetu ALLAH IBARIKI ZANZIBARI YETU
Safi sana
wanazingua sana na usafiri wao. Walitakiwa ki Analogy wawe washaprove lkn analogy hawajawa vzuri wanakwenda kidigital.
Safi kabisa apo napenda kama ivo best customer serivces...
Mimi naona bado tatizo la usafiri kwa sisi wapemba bado lipo pale pale ukitoka dar au unguja kuenda pemba lazima upate tabu sasa mimi naona siwaelewi.
Hatimae tunaenda mbele, thats the way to go👍
Dah hongera.sana.
Mwenye mawasiliano direct na Baucha amwambie kwanza warekebishe mitambo yao, maana unampigia mtu A simu, lakini inaita ya mtu B au utasikia mazungumzo katikati wakati simu ata haijapokewa!
Jambo Zuri lkn musijemukasumbua watu
Hile boti yetu ya Pemba muliyotuahidi inafika lini
@saidhamad7504
3 жыл бұрын
Akhahaha.. mana wanaongea sana
@salumalliy9184
3 жыл бұрын
Hao mambo yaboti hayawahusu maana siserekali, Mambohayo muulize Babuali Mohd sheni
@zubeirsalum128
3 жыл бұрын
@@salumalliy9184 nimuulize Ali muhamedi kivipi kwani anahusika? kampuni ya zan fast fery ndio iliyo tuahidi siyo huyo unaemjua ww wa kutuletea mikokoteni.
Turki ukizungumza sema wetu sio wangu sema sisi sio mimi. Inaleta picha nzuri kwenye biashara
baucha hajielew unazindua jambo ila hujuwi yaliyomo? jipande jifunze kwa vodacom wanapozindua app namna wanavyoichambua.
Ah yani km mulikuwa munataka muurahisishe usafir, kwanza mungee rahisisha usafir w pmb, maan mt anaweza kwenda siku tatu au zai kukata tiket halafu anarud na majibu yakuwa tiket zimeisha n pengine ametoka mbali san, tunatak mutuwekee usafir wa uhakuka pemba bwanaa aah musizingu t hap
Pia safi, na sasa ivi nadownload... App
Kukua kwa Technology
Wa 6 kuangalia
Safisana
App store hamna
Wakwanz kukoment
Km hamuwez kutuweke usafir w hakika pemba tuacheni bwan n musituwekee madau mabovu ,mukatak kuhatarisha maish yet maan namushaangaa saan ile sehemu iliyokuwa inamtihan kwa usafir nd tuna kaa masaa 7 kwenye maji mbn ukenda daa utumia lisali n nusu au masaa mawili t musituzinguwe nyiny
Je, ni wasafiri wa Zantel tu watakao kata tickets kupitia malipo ama na wengine wenye mitandao tofauti?
mbona hamujaleta meli nyengine wete na mulituahidi
Boat linaendeshwa ovyo kichizi ,
Zan fast ferry tafuteni na speed boat nyengine yakwenda pemba mnatuzarau sisi wapemba wakat ndio wengi wa abiria wenu mnatuletea ma pantroni usiku kucha tupo kwenye maji wengine safari zetu za dharura na za haraka
@abbasomarabbas5928
3 жыл бұрын
Pole sana kaka 😆😆😆
@officialwawa4370
3 жыл бұрын
Daaahh polen 🤣🤣🤣
kila la kheri mutujali tu abiria wenu
Et znz wete hahahahah hatri
Wanang'ang'ania unguja dar wanakusahau pemba wakati abiria wao wengi ni wapemba.
@officialwawa4370
3 жыл бұрын
Atakama wakiwa wapembe kwan wanaenda pemba au siii wanaenda jijini dar
Kwnn boti haifiki tanga