JE UNASAFIRIA MELI HII, HAPA ZANZIBAR ? BASI KUNA JAMBO JIPYA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 36

  • @mohamedshekhan6568
    @mohamedshekhan65683 жыл бұрын

    habari nzuri

  • @ammarkassim6966
    @ammarkassim69663 жыл бұрын

    Thenkyou fast feri

  • @halimamamuma7314
    @halimamamuma73143 жыл бұрын

    Alhamduliĺlah zenj yetu ALLAH IBARIKI ZANZIBARI YETU

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72413 жыл бұрын

    Safi sana

  • @princesaha3262
    @princesaha32623 жыл бұрын

    wanazingua sana na usafiri wao. Walitakiwa ki Analogy wawe washaprove lkn analogy hawajawa vzuri wanakwenda kidigital.

  • @aybkham5795
    @aybkham57953 жыл бұрын

    Safi kabisa apo napenda kama ivo best customer serivces...

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36923 жыл бұрын

    Mimi naona bado tatizo la usafiri kwa sisi wapemba bado lipo pale pale ukitoka dar au unguja kuenda pemba lazima upate tabu sasa mimi naona siwaelewi.

  • @salummkubwa
    @salummkubwa3 жыл бұрын

    Hatimae tunaenda mbele, thats the way to go👍

  • @zapoomobilephone_tz8702
    @zapoomobilephone_tz87023 жыл бұрын

    Dah hongera.sana.

  • @el_chilubi7458
    @el_chilubi74583 жыл бұрын

    Mwenye mawasiliano direct na Baucha amwambie kwanza warekebishe mitambo yao, maana unampigia mtu A simu, lakini inaita ya mtu B au utasikia mazungumzo katikati wakati simu ata haijapokewa!

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90413 жыл бұрын

    Jambo Zuri lkn musijemukasumbua watu

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum1283 жыл бұрын

    Hile boti yetu ya Pemba muliyotuahidi inafika lini

  • @saidhamad7504

    @saidhamad7504

    3 жыл бұрын

    Akhahaha.. mana wanaongea sana

  • @salumalliy9184

    @salumalliy9184

    3 жыл бұрын

    Hao mambo yaboti hayawahusu maana siserekali, Mambohayo muulize Babuali Mohd sheni

  • @zubeirsalum128

    @zubeirsalum128

    3 жыл бұрын

    @@salumalliy9184 nimuulize Ali muhamedi kivipi kwani anahusika? kampuni ya zan fast fery ndio iliyo tuahidi siyo huyo unaemjua ww wa kutuletea mikokoteni.

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif57853 жыл бұрын

    Turki ukizungumza sema wetu sio wangu sema sisi sio mimi. Inaleta picha nzuri kwenye biashara

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u3 жыл бұрын

    baucha hajielew unazindua jambo ila hujuwi yaliyomo? jipande jifunze kwa vodacom wanapozindua app namna wanavyoichambua.

  • @abdurabiykhamis42
    @abdurabiykhamis423 жыл бұрын

    Ah yani km mulikuwa munataka muurahisishe usafir, kwanza mungee rahisisha usafir w pmb, maan mt anaweza kwenda siku tatu au zai kukata tiket halafu anarud na majibu yakuwa tiket zimeisha n pengine ametoka mbali san, tunatak mutuwekee usafir wa uhakuka pemba bwanaa aah musizingu t hap

  • @aybkham5795
    @aybkham57953 жыл бұрын

    Pia safi, na sasa ivi nadownload... App

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma68243 жыл бұрын

    Kukua kwa Technology

  • @zapoomobilephone_tz8702
    @zapoomobilephone_tz87023 жыл бұрын

    Wa 6 kuangalia

  • @riahaji1976
    @riahaji19763 жыл бұрын

    Safisana

  • @zishaansaleh1464
    @zishaansaleh14643 жыл бұрын

    App store hamna

  • @zapoomobilephone_tz8702
    @zapoomobilephone_tz87023 жыл бұрын

    Wakwanz kukoment

  • @abdurabiykhamis42
    @abdurabiykhamis423 жыл бұрын

    Km hamuwez kutuweke usafir w hakika pemba tuacheni bwan n musituwekee madau mabovu ,mukatak kuhatarisha maish yet maan namushaangaa saan ile sehemu iliyokuwa inamtihan kwa usafir nd tuna kaa masaa 7 kwenye maji mbn ukenda daa utumia lisali n nusu au masaa mawili t musituzinguwe nyiny

  • @emanuelkailas9701
    @emanuelkailas97013 жыл бұрын

    Je, ni wasafiri wa Zantel tu watakao kata tickets kupitia malipo ama na wengine wenye mitandao tofauti?

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman99133 жыл бұрын

    mbona hamujaleta meli nyengine wete na mulituahidi

  • @eenpaard3915
    @eenpaard39153 жыл бұрын

    Boat linaendeshwa ovyo kichizi ,

  • @othmanal-nabhany9243
    @othmanal-nabhany92433 жыл бұрын

    Zan fast ferry tafuteni na speed boat nyengine yakwenda pemba mnatuzarau sisi wapemba wakat ndio wengi wa abiria wenu mnatuletea ma pantroni usiku kucha tupo kwenye maji wengine safari zetu za dharura na za haraka

  • @abbasomarabbas5928

    @abbasomarabbas5928

    3 жыл бұрын

    Pole sana kaka 😆😆😆

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    3 жыл бұрын

    Daaahh polen 🤣🤣🤣

  • @omarfakih6780
    @omarfakih67803 жыл бұрын

    kila la kheri mutujali tu abiria wenu

  • @aliabdalla2404
    @aliabdalla24043 жыл бұрын

    Et znz wete hahahahah hatri

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36923 жыл бұрын

    Wanang'ang'ania unguja dar wanakusahau pemba wakati abiria wao wengi ni wapemba.

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    3 жыл бұрын

    Atakama wakiwa wapembe kwan wanaenda pemba au siii wanaenda jijini dar

  • @bakarmussa8477
    @bakarmussa84773 жыл бұрын

    Kwnn boti haifiki tanga