SAKATA LA VURUGU ZA WAMASAI JESHI LA POLISI LATOA TAAMKO KUHUSU UKWELI WAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 114
@RahimahTn5 ай бұрын
Wamasai mpo tujuane pleas gonga like❤
@randomtube30025 ай бұрын
Tumshukuru Mungu hawakutumia sime zao duuh yangekuwa makubwa hawajamaa hawatakagi kufokewa mimi shuleni kuna jamaa alikuwa hataki kudeki darasa akiuulizwa anasema ni kazi ya wanawake sasa tupo boys tu class monitor akamkazia hiyo siku jamaa saa ngapi ajapandisha mori anajitupa chini hadi akaitwa mmasai mwenzake aje amtulize ety anadai waende porin wakazichape atakaerudi ndo mshindi
@suleimankb0210
5 ай бұрын
😂
@khatibabass31065 ай бұрын
Jamaa wanatembeza rungu balaa😂
@salehkhamis-ob8ln5 ай бұрын
Warudisheni kwao bara wakawinde wanyama pori wasituletee fujo Zanzibar
@Shuu.A
5 ай бұрын
Kabisa yaani wabongo wameiharibu zanzibar yetu
@user-zt2zx3un5g5 ай бұрын
na mpaka mtasema wamasaai ni wanajeshi hiyo ni tesit tu
@teteniwery7585 ай бұрын
Hii ndio serekali tunayoitaka inayoangalia ukweli na haki za watu wake
@kidzox3245 ай бұрын
😂😂😂😂 shikamoo masai
@AbdulNassir-jk1jf5 ай бұрын
Jamani hii zanzibar imefanywa kama jaa mtu akiwa na elfu thelathini anaingiya ,umeona nchi Gani ?
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
We uko kila sehemu bona watu hawakusemi sheikhhh tunaodoka katika hii dunia hatutokwenda na nchi sheikh Aamal Allah atuongoze inshaAllah
@sokoinendari53995 ай бұрын
Jamani watu wanapigana sababu ni hawa security wana matatiso sana chanzo ni security wamasai hawana chida mbona wamasai wanalinda ila husikii wakipigana na mtu
@iwenikigodi54195 ай бұрын
Kiukweli hapo wamasai mliwaonea kama Wana makosa mnge wambia tuu wangeelewa au wafike police
@user-tn9io1vt7h5 ай бұрын
Asante serikali yetu ya haki
@hassancharo14965 ай бұрын
Good Job Masai
@mustaphawelder70225 ай бұрын
Wamasai wako sawa, Kwan mmezoea kuonea watu
@alihaji2155 ай бұрын
Wewe tetea tu jamaa zako ingekuwa wazanzibari ungekuwa ushawakata nyayo na vidole
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
Kudadeki comment yako imeshiba maelezo nakupa 💯
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Kweli nduguzake hata mashekha ndio walewale
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Mimi nilipigwa kufika hosptali Mwisho niliambiwa haina ushahidi
@salehkhamis-ob8ln
5 ай бұрын
Kumbe jamaa zake
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
@@user-or2wp7ss6j hapa ushahidi hakuna ila kwa Mungu ushahidi upo na utalipwa kaka hii duniya tunapita tu
@HashmanMakungu5 ай бұрын
Duuuu mm sina cha kusema
@thomasgabriel5885 ай бұрын
Mnazingua sana polisi kwani mwaka Jana ni lini SI juzi tu hapa mnafeliiiii sana
@BensonMpomo5 ай бұрын
shidayenu maaskari mnapenda kunyenyekewa kama nyie ni mungu
@neemashabuke51065 ай бұрын
Safi sana
@OmerSuley-gl7go5 ай бұрын
Huyo polisi ni Mtanganyika ila Mkuu wa Wilaya ni Mzanzibari amesema ukweli mtupu
@Shuu.A
5 ай бұрын
Warudi kwao hao wamasai na huyu polisi wao jinga lenzao
@jacobwarieba58415 ай бұрын
Wwe afande munafanya Zanzibar siyo tz make wamasi.ndioo jadi yahooi
@jacobwarieba58415 ай бұрын
Muliwahonea wamasai ni jadi la kimasai
@khamisrubea50835 ай бұрын
Uyo wa pembeni namjua ni mtu smart sana au ashabadilika ?
@user-or2wp7ss6j5 ай бұрын
Hizo tv zilikueko wapi
@shamissuleyman48945 ай бұрын
Kama wengefanya waxanzibari hayo sahivi wengetafutwa nyumba kwa nyumba nakupigwa risasi ah!!wacha tu tutafika japo mmoja mmoja.
@omarsultan45025 ай бұрын
Askari wazee
@issaalfani10305 ай бұрын
Polis wazee vijana wako mitaani kazi hakuna achieni ngazi
@christophernyamhanga7888
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-fk8if5im1w5 ай бұрын
Ushashiba
@salcle97025 ай бұрын
Jamaa wanapigwa rungu siyo mchezo kama muvi vilee😂😂
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Ndio faida ya mungano hiyo
@barakasayuni5 ай бұрын
Sielew nin shida hapo najikuta nacheka😅
@salmaabdu50115 ай бұрын
Jamani hakuna askari wa kizanzibari mbona kumefurikwa na wabara tunataka passport zirejeshwe kwa usalaama wa wazanzibari na mali zao hao maaskari ukenda kushtaki wakikuona mzanzibari hawatusikilisi ukenda mahakamani ndokabisa wamekuja kuchuma tu zanzibar hao na kutuharibia nchi
@user-or2wp7ss6j5 ай бұрын
Kwendaa
@allymsellem53535 ай бұрын
ww sio mzanzibar
@alexmchome4661
5 ай бұрын
Mtanzania kwan kuna tatizo
@mulijanja4483
5 ай бұрын
zanzibar ni watu kwani
@lizybabymgaywa80355 ай бұрын
Kama hawa security wangekuwa na silaa ingekuwaje, Masai wote silaa waache nyumbani.
@simonzelote59985 ай бұрын
Malizeni yaishe kwa usalama wa nchi yetu kwani Tanzania na Zanzibar Ni nchi ya amani wamasai hawana tatizo shida walinzi wamezoea kuwapiga wananchi hovyo Sasa ifike wakati tuwe tunafuata Sheria sio kuwapiga watu hovyo
@feisalomar-hr3hq5 ай бұрын
Kama lazima wamasai muwatetee sisi wengine tunayo asili ya kiarabu mbona hatutembei na mapanga tunakamatwa na tukiacha asili ya uarabu sisi waislamu ni sunna kutembea na silaha mbaona mutatiita magaidi hapo suluhishu syo tukio limetokea lini ni mueke marufuku Kwa wamasai kutembea na mapanga na hizo silaha zao kwasababu hata wasiokuwa wamasai wanaweza kutumia mavaz hayo nakufanya uhalifu kma utamaduni bas wakakae arusha
@madetetv6576
5 ай бұрын
Silaha mabomu sasa? Acha masikhara
@feisalomar-hr3hq
5 ай бұрын
@@madetetv6576 hhhhhh Kwani silaha ni pomu tu ata jiwe likitumika pia hua ni silaha
@madetetv6576
5 ай бұрын
@@feisalomar-hr3hq sasa itamadun wa waarabu ni kutembea na mabomu huo utamaduni hatuitaki
@feisalomar-hr3hq
5 ай бұрын
@@madetetv6576 waaraabu tandu ww na babu yako baba Ako na uko wenu mzima hamjazaliwa muarabu lazima awe na upanga kiunoni ulizia vitu vya kueleweka ww kama Masai wanakufurahisha kutembea na mapanga sibir sku uyakanyage ww ndo utajua kama wale ni wakorofi
@user-ql9or5lx5q
5 ай бұрын
Wewe ni msengi kama wasrnge wengine kanyonywe huko uliko sawa
Kwani huko manyara akuna wazanIbara watafute wakili awatete hiyo kesi ningekuwa karibu ningewapa utetezi
@xingho39905 ай бұрын
Palestina na Israiel
@ngoyaboy15905 ай бұрын
Ety kosaa kisheria sema mmepigwa rungu na wamasai
@philiplugalia37245 ай бұрын
Huyu karao ni fala tu tunatambua makarao huwa na ufala Mob but this round walipatana na league yao
@user-my5yp6xx5s5 ай бұрын
Kwanza nyie police chunguzeni nani alimwanza mwenzake ndipo mlaumu wamasai hao walinzi wenu walistahili kipigo kwasababu inaonekana wazi walikuwa wanatumia nguvu ambapo hapakustahili ilikuwa ni kuwaelimisha basi
@mwajemwafula57775 ай бұрын
Huyu police vp walinzi nasasilaa za jadi cha msingi ni kuweka ukweri tuu
@murattywamuratty97785 ай бұрын
Ndo iyoo tarifaa muitoe apo nyooote mukusanyike kishindoo hee ilimradi tuu Wengine tuwaone nao ilitosha apoo mkuu akae sehem atoe tarifa ingependeza lakon apo tunaona kama mkoo utayarii vilee😂😂😂 musije mukatupiga tu kwa ivyo mulivyoo kaaa
@Alburtukal5 ай бұрын
Wamasai warudi porini wakawinde swala,
@akimu-gl7zp
5 ай бұрын
Acha zipigwe tu. Mbona nakopolin wanafukuzwa?
@francisgituti24945 ай бұрын
Masai na makampuni ya ulinzi wapi na wapi na hapo ni ufukweni
@khalidibrahim45795 ай бұрын
Ingelikuwa haya wamefanya wa zanzibari Lakkini wamasai muna watetea Ali mwaka jana Nyie Polisi mumechukuwq hatua gani Kuwashulikia 😊hawa Hamuwezi Kwa sababu ni jamaa zenu . Muna watetea
@jaysullman3697
5 ай бұрын
Sheria ipo juu sio Polisi ni sawa na mwevuli wa jua na mvua tu!
@saidyussuf22915 ай бұрын
Kama ni mwaka jana basi iyo ni tabia yao , warudi kwao uko , wakafanye izo fujooo , sisi si watu wa fujo
@AbdillahSOthman5 ай бұрын
Wahamishwe peleka umasaini wakafuge ng'ombe
@samsonkichele35305 ай бұрын
Mnajitafuna mnambiwa dunia ni kijiji hamjaelewa?.
@user-mo5zl9sm9t5 ай бұрын
Nachukia wanapakaza uzushi serekali sheria za v hbr ziko wp kwnn hivi ss inakera sn
@MohammedAlnabakhany5 ай бұрын
Wamasai washenzi sana 😂😂😂😂😂😂
@mosaidi26335 ай бұрын
Wame kuwa wengi warejeshwe kwao
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
Wewe kwenu wapi Wemwenyewe mjaruo rudi kwenu basi
@Shuu.A
5 ай бұрын
Warudi kwao watuachie znz yetu mahasidi nyie
@maxlattinokiki81055 ай бұрын
Sasa mzee unacho taka kuongelea hapo ni nini? Hawa jamaa wana tembea na silaha hicho ndiocho uongelee habari ya video ya zamani cc haituhusu na ndio kwanza tunaoyona
@mulijanja4483
5 ай бұрын
mbona polic wanatembea na silaa
@HashmanMakungu5 ай бұрын
Lakini hii video ni ya zamani sana
@maikomatayo2794
5 ай бұрын
Hapana video siyo ya samani
@HashmanMakungu
5 ай бұрын
Hiii video ni ya zamani kwa sababu mm naishi kwenye mtaaa huuu uliotokea hili tukio ndio maana ni kakwambia hivo
@user-xs1cc1hg3y5 ай бұрын
😂😂😂😂
@ayoubrashid83925 ай бұрын
Mh Rais muite huyu kiongozi umshughulikie anateteaje wahalifu?
@kipigapasilisungu25815 ай бұрын
.
@khamisali99075 ай бұрын
Acha kuwatetea wabara wenzako wewe
@Shuu.A
5 ай бұрын
Ndio warudi kwao hatuwatako shenzi hao
@fedhalashidi13365 ай бұрын
nyie niwango kwani mbonawao wamewapigamasai
@mathewkoshal5 ай бұрын
I see you pple blaming Maasais ,and you know well maasai can't fight if not provoked.
@HAKHASH3125 ай бұрын
Hii yot n sababu Moja tu Zanzibar hakuna utaratibu wakuingia kama zamani yaani mtu akishamiliki elf30 tu bas anakuja Zanzibar ni ujinga kabsa sheria ni ziwekwe tu kama zamani bila Zan ID au vielelezo vya kutosha huwezi Kuingia Zanzibar bas haya mambo yasngekuwa yanatokea Zanzibar inahrbika kwa Sababu ya uingiaji wa watu wengi wasiokuwa wazanzibar
@abdullahmanalex2306
5 ай бұрын
Vipi kuhusu wazanzibar wanaokuja bara na wao waje KWA ID????
@madetetv6576
5 ай бұрын
Wewe kilaza kweli ndugu yangu Yani unamanisha watu wa nje na zanzibar wasiingie hapo ama? Kumbuka zanzibar ni sehemu ya Tz so labda uwazuie wakenya ila sio bongo jifunze kutatua tatizo kwa hikma sio hivo unavofikiri
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@madetetv6576 kwan hapo haikutumika hekma ama kwan wamasai wapo Tanzania tu Kenya Hamna na nlchomaansha mm as long as sio mzawa wa Zanzibar bas uktaka Kuingia Zanzibar lzma uingis kwa hati maalum
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@abdullahmanalex2306 ndio kwan s znatolewa kwa utaaratibu maalumu ama watu wanapewaga tu
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@madetetv6576 hata hao Wanaweza kuzuiliwa kw nn wasizuilwe wakat watakuwa hawana sfa za Kuingia Zanzibar elewa acha wenge
@user-lp6vc6sx2s5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ahmedalbalooshi85185 ай бұрын
Inavoelekea ni kwamba hatuwa zinazochukuliwa hazitoshi na ndio maana yakatokea tena hapo darajani.Vipindi vya uchaguzi wananchi wanapigwa na kuuliwa mchana kweupe,lakini hawa jamaa wa kimasai naona hawashughulikiwi ipasavyo
@joojombi23415 ай бұрын
Mafatani wakubwa wengi tu Tzd kwakweli. Cjui wataja sema nn cku ya hesabu zao
@user-sl2hk8wp1p5 ай бұрын
Sasa mwaka jana si jana tu kwani ni miaka mingapi sasa wewe na mkuu wa mkoa msaraka pinja nani anajua zaidi
@user-uy9ex4jl9w5 ай бұрын
Hata iwe vp masai wanazingua kwnn kilasiku wao tu sheria ifate mkondo.
@kmotivation11305 ай бұрын
Nyie mmewachokoza wamasai Maana hawanaga shida na mtu
@abrahmanhamad3253
5 ай бұрын
Sio tumewachoka hi Nchi sio ya kwao hi ni nchi ya wazanzibar
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
Hakuna mwenye kuishi milele sheikhhhh walikuepo kabla yako wakaondoka hwakwenda na nchi wailiacha ukaja wewe na wewe iposiku inshaAllah utaondoka so jitazame na utakari sana Allah akuonze inshaAllah @@abrahmanhamad3253
Пікірлер: 114
Wamasai mpo tujuane pleas gonga like❤
Tumshukuru Mungu hawakutumia sime zao duuh yangekuwa makubwa hawajamaa hawatakagi kufokewa mimi shuleni kuna jamaa alikuwa hataki kudeki darasa akiuulizwa anasema ni kazi ya wanawake sasa tupo boys tu class monitor akamkazia hiyo siku jamaa saa ngapi ajapandisha mori anajitupa chini hadi akaitwa mmasai mwenzake aje amtulize ety anadai waende porin wakazichape atakaerudi ndo mshindi
@suleimankb0210
5 ай бұрын
😂
Jamaa wanatembeza rungu balaa😂
Warudisheni kwao bara wakawinde wanyama pori wasituletee fujo Zanzibar
@Shuu.A
5 ай бұрын
Kabisa yaani wabongo wameiharibu zanzibar yetu
na mpaka mtasema wamasaai ni wanajeshi hiyo ni tesit tu
Hii ndio serekali tunayoitaka inayoangalia ukweli na haki za watu wake
😂😂😂😂 shikamoo masai
Jamani hii zanzibar imefanywa kama jaa mtu akiwa na elfu thelathini anaingiya ,umeona nchi Gani ?
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
We uko kila sehemu bona watu hawakusemi sheikhhh tunaodoka katika hii dunia hatutokwenda na nchi sheikh Aamal Allah atuongoze inshaAllah
Jamani watu wanapigana sababu ni hawa security wana matatiso sana chanzo ni security wamasai hawana chida mbona wamasai wanalinda ila husikii wakipigana na mtu
Kiukweli hapo wamasai mliwaonea kama Wana makosa mnge wambia tuu wangeelewa au wafike police
Asante serikali yetu ya haki
Good Job Masai
Wamasai wako sawa, Kwan mmezoea kuonea watu
Wewe tetea tu jamaa zako ingekuwa wazanzibari ungekuwa ushawakata nyayo na vidole
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
Kudadeki comment yako imeshiba maelezo nakupa 💯
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Kweli nduguzake hata mashekha ndio walewale
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Mimi nilipigwa kufika hosptali Mwisho niliambiwa haina ushahidi
@salehkhamis-ob8ln
5 ай бұрын
Kumbe jamaa zake
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
@@user-or2wp7ss6j hapa ushahidi hakuna ila kwa Mungu ushahidi upo na utalipwa kaka hii duniya tunapita tu
Duuuu mm sina cha kusema
Mnazingua sana polisi kwani mwaka Jana ni lini SI juzi tu hapa mnafeliiiii sana
shidayenu maaskari mnapenda kunyenyekewa kama nyie ni mungu
Safi sana
Huyo polisi ni Mtanganyika ila Mkuu wa Wilaya ni Mzanzibari amesema ukweli mtupu
@Shuu.A
5 ай бұрын
Warudi kwao hao wamasai na huyu polisi wao jinga lenzao
Wwe afande munafanya Zanzibar siyo tz make wamasi.ndioo jadi yahooi
Muliwahonea wamasai ni jadi la kimasai
Uyo wa pembeni namjua ni mtu smart sana au ashabadilika ?
Hizo tv zilikueko wapi
Kama wengefanya waxanzibari hayo sahivi wengetafutwa nyumba kwa nyumba nakupigwa risasi ah!!wacha tu tutafika japo mmoja mmoja.
Askari wazee
Polis wazee vijana wako mitaani kazi hakuna achieni ngazi
@christophernyamhanga7888
5 ай бұрын
😂😂😂
Ushashiba
Jamaa wanapigwa rungu siyo mchezo kama muvi vilee😂😂
@user-or2wp7ss6j
5 ай бұрын
Ndio faida ya mungano hiyo
Sielew nin shida hapo najikuta nacheka😅
Jamani hakuna askari wa kizanzibari mbona kumefurikwa na wabara tunataka passport zirejeshwe kwa usalaama wa wazanzibari na mali zao hao maaskari ukenda kushtaki wakikuona mzanzibari hawatusikilisi ukenda mahakamani ndokabisa wamekuja kuchuma tu zanzibar hao na kutuharibia nchi
Kwendaa
ww sio mzanzibar
@alexmchome4661
5 ай бұрын
Mtanzania kwan kuna tatizo
@mulijanja4483
5 ай бұрын
zanzibar ni watu kwani
Kama hawa security wangekuwa na silaa ingekuwaje, Masai wote silaa waache nyumbani.
Malizeni yaishe kwa usalama wa nchi yetu kwani Tanzania na Zanzibar Ni nchi ya amani wamasai hawana tatizo shida walinzi wamezoea kuwapiga wananchi hovyo Sasa ifike wakati tuwe tunafuata Sheria sio kuwapiga watu hovyo
Kama lazima wamasai muwatetee sisi wengine tunayo asili ya kiarabu mbona hatutembei na mapanga tunakamatwa na tukiacha asili ya uarabu sisi waislamu ni sunna kutembea na silaha mbaona mutatiita magaidi hapo suluhishu syo tukio limetokea lini ni mueke marufuku Kwa wamasai kutembea na mapanga na hizo silaha zao kwasababu hata wasiokuwa wamasai wanaweza kutumia mavaz hayo nakufanya uhalifu kma utamaduni bas wakakae arusha
@madetetv6576
5 ай бұрын
Silaha mabomu sasa? Acha masikhara
@feisalomar-hr3hq
5 ай бұрын
@@madetetv6576 hhhhhh Kwani silaha ni pomu tu ata jiwe likitumika pia hua ni silaha
@madetetv6576
5 ай бұрын
@@feisalomar-hr3hq sasa itamadun wa waarabu ni kutembea na mabomu huo utamaduni hatuitaki
@feisalomar-hr3hq
5 ай бұрын
@@madetetv6576 waaraabu tandu ww na babu yako baba Ako na uko wenu mzima hamjazaliwa muarabu lazima awe na upanga kiunoni ulizia vitu vya kueleweka ww kama Masai wanakufurahisha kutembea na mapanga sibir sku uyakanyage ww ndo utajua kama wale ni wakorofi
@user-ql9or5lx5q
5 ай бұрын
Wewe ni msengi kama wasrnge wengine kanyonywe huko uliko sawa
Yaani wassail ni wakorofi sana
Mbona ilivyokua hyajatokezea hyajatangazw lkn. Yametokezea wajibu kusambazwa kwakua sio la uongo
Kwani huko manyara akuna wazanIbara watafute wakili awatete hiyo kesi ningekuwa karibu ningewapa utetezi
Palestina na Israiel
Ety kosaa kisheria sema mmepigwa rungu na wamasai
Huyu karao ni fala tu tunatambua makarao huwa na ufala Mob but this round walipatana na league yao
Kwanza nyie police chunguzeni nani alimwanza mwenzake ndipo mlaumu wamasai hao walinzi wenu walistahili kipigo kwasababu inaonekana wazi walikuwa wanatumia nguvu ambapo hapakustahili ilikuwa ni kuwaelimisha basi
Huyu police vp walinzi nasasilaa za jadi cha msingi ni kuweka ukweri tuu
Ndo iyoo tarifaa muitoe apo nyooote mukusanyike kishindoo hee ilimradi tuu Wengine tuwaone nao ilitosha apoo mkuu akae sehem atoe tarifa ingependeza lakon apo tunaona kama mkoo utayarii vilee😂😂😂 musije mukatupiga tu kwa ivyo mulivyoo kaaa
Wamasai warudi porini wakawinde swala,
@akimu-gl7zp
5 ай бұрын
Acha zipigwe tu. Mbona nakopolin wanafukuzwa?
Masai na makampuni ya ulinzi wapi na wapi na hapo ni ufukweni
Ingelikuwa haya wamefanya wa zanzibari Lakkini wamasai muna watetea Ali mwaka jana Nyie Polisi mumechukuwq hatua gani Kuwashulikia 😊hawa Hamuwezi Kwa sababu ni jamaa zenu . Muna watetea
@jaysullman3697
5 ай бұрын
Sheria ipo juu sio Polisi ni sawa na mwevuli wa jua na mvua tu!
Kama ni mwaka jana basi iyo ni tabia yao , warudi kwao uko , wakafanye izo fujooo , sisi si watu wa fujo
Wahamishwe peleka umasaini wakafuge ng'ombe
Mnajitafuna mnambiwa dunia ni kijiji hamjaelewa?.
Nachukia wanapakaza uzushi serekali sheria za v hbr ziko wp kwnn hivi ss inakera sn
Wamasai washenzi sana 😂😂😂😂😂😂
Wame kuwa wengi warejeshwe kwao
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
Wewe kwenu wapi Wemwenyewe mjaruo rudi kwenu basi
@Shuu.A
5 ай бұрын
Warudi kwao watuachie znz yetu mahasidi nyie
Sasa mzee unacho taka kuongelea hapo ni nini? Hawa jamaa wana tembea na silaha hicho ndiocho uongelee habari ya video ya zamani cc haituhusu na ndio kwanza tunaoyona
@mulijanja4483
5 ай бұрын
mbona polic wanatembea na silaa
Lakini hii video ni ya zamani sana
@maikomatayo2794
5 ай бұрын
Hapana video siyo ya samani
@HashmanMakungu
5 ай бұрын
Hiii video ni ya zamani kwa sababu mm naishi kwenye mtaaa huuu uliotokea hili tukio ndio maana ni kakwambia hivo
😂😂😂😂
Mh Rais muite huyu kiongozi umshughulikie anateteaje wahalifu?
.
Acha kuwatetea wabara wenzako wewe
@Shuu.A
5 ай бұрын
Ndio warudi kwao hatuwatako shenzi hao
nyie niwango kwani mbonawao wamewapigamasai
I see you pple blaming Maasais ,and you know well maasai can't fight if not provoked.
Hii yot n sababu Moja tu Zanzibar hakuna utaratibu wakuingia kama zamani yaani mtu akishamiliki elf30 tu bas anakuja Zanzibar ni ujinga kabsa sheria ni ziwekwe tu kama zamani bila Zan ID au vielelezo vya kutosha huwezi Kuingia Zanzibar bas haya mambo yasngekuwa yanatokea Zanzibar inahrbika kwa Sababu ya uingiaji wa watu wengi wasiokuwa wazanzibar
@abdullahmanalex2306
5 ай бұрын
Vipi kuhusu wazanzibar wanaokuja bara na wao waje KWA ID????
@madetetv6576
5 ай бұрын
Wewe kilaza kweli ndugu yangu Yani unamanisha watu wa nje na zanzibar wasiingie hapo ama? Kumbuka zanzibar ni sehemu ya Tz so labda uwazuie wakenya ila sio bongo jifunze kutatua tatizo kwa hikma sio hivo unavofikiri
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@madetetv6576 kwan hapo haikutumika hekma ama kwan wamasai wapo Tanzania tu Kenya Hamna na nlchomaansha mm as long as sio mzawa wa Zanzibar bas uktaka Kuingia Zanzibar lzma uingis kwa hati maalum
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@abdullahmanalex2306 ndio kwan s znatolewa kwa utaaratibu maalumu ama watu wanapewaga tu
@HAKHASH312
5 ай бұрын
@@madetetv6576 hata hao Wanaweza kuzuiliwa kw nn wasizuilwe wakat watakuwa hawana sfa za Kuingia Zanzibar elewa acha wenge
😂😂😂😂😂😂😂😂
Inavoelekea ni kwamba hatuwa zinazochukuliwa hazitoshi na ndio maana yakatokea tena hapo darajani.Vipindi vya uchaguzi wananchi wanapigwa na kuuliwa mchana kweupe,lakini hawa jamaa wa kimasai naona hawashughulikiwi ipasavyo
Mafatani wakubwa wengi tu Tzd kwakweli. Cjui wataja sema nn cku ya hesabu zao
Sasa mwaka jana si jana tu kwani ni miaka mingapi sasa wewe na mkuu wa mkoa msaraka pinja nani anajua zaidi
Hata iwe vp masai wanazingua kwnn kilasiku wao tu sheria ifate mkondo.
Nyie mmewachokoza wamasai Maana hawanaga shida na mtu
@abrahmanhamad3253
5 ай бұрын
Sio tumewachoka hi Nchi sio ya kwao hi ni nchi ya wazanzibar
@ramseyhusseinkhamis8258
5 ай бұрын
Hakuna mwenye kuishi milele sheikhhhh walikuepo kabla yako wakaondoka hwakwenda na nchi wailiacha ukaja wewe na wewe iposiku inshaAllah utaondoka so jitazame na utakari sana Allah akuonze inshaAllah @@abrahmanhamad3253