MKAKATI RASMI WA KUIBADILI HALI YA ILIYOPO SASA ZANZIBAR
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Hairath Haroub
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 35
Tupunguzieni Kodiiiiiiiii maisha ya watu wa chini magumu Sana aaaaaa
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
Wallai makodi mengi
Unaweza kukusanya taka kwenye sehemu husika lkn mkaziwacha mpaka zikapitiliza zikanza kutawanyika bila kuziondoa na badala yake zikaleta harufu mbaya mjini. Ni vyema km tumeamua kujipanga kuweka usafi basi iwe kweli tumejipanga vitendea kazi viwepo vya kutosha magari yakuzoa taka yawe yapo yakutosha na kila siku yazowe taka . Pia kuwekwe mkakati kwa wenye maduka hususan sehemu za darajani mbuyuni mlandege hao ndio namba moja wachafuzi wa mazingira kutokana na bizaa zao lazma wawekewe mkakati wakudhibiti kutupa taka ovyo km mabox na mazagazaga mengine baada yakuuza bidhaa zao.
@jawadyrasheed6880
4 жыл бұрын
Essay
Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu
Suala la usafi mji wa Zanzibar unahitaji zaidi nguvu ya bajeti kwa wanaotoa huduma za utunzaji wa mjini bado bajeti iko chini sana iliyotengwa kwa ajili ya usafi
Munasafisha nini barabara zenyewe mbovu mavumbi matupu , mashimo na madibwi ya maji
Hamna lolote wekeni vituo maalum vya magari ya abirii ndio mjii utaaakaaaa sawa lkn bilaa hivyoo ni sawa na kumpiga konzii kinyagooo
baado nyinyi hamjajipanga kabisa kuhusu parking Hamuna parking kabisaa
Gar znapakiwa nje office za manispaa
saf sn
Lkn wananchi wa zanzibar uchafu wanaupenda wallah kma hapa michenzani wanapita kusafisha alfajir ukiamka kusafi lkn baada ya muda tu watu wanamwaga taka au mtu anatoka na taka ndani anazitelekeza pembezoni mwa barabara au ktk bustani
Tengezeni side walks
Uchaguzi.ushafika 2020 kila kitu mtaongeo pumbavu.nyie
Hivi kwanini msiwachaji fine wasotaka fuata sharia ya kuweka safi.. wasipolipa waitwe mahakamani na wakiwatukaneni basi fine iengezwe.. wapelekwe mahakamani lazima usafi ufanyike kwa ajili kiafya na kiutalii. Kila siku ZNZ iwe mwisho kimaendeleo
Na tatizo muwaajiri vijana kwa wingi sio muwawake bibi zenu au mahawara wenu kazi hawawezi kufagia
Hakuna usafi chochote hamnamoja uchafumtupu
Sio kusema tu ety mnafanya usafi, ni kheri kufanya usafi, na sisi wananchi tusifanye uchafu sio usafi kufanya sirikali pekee na sisi tuwajibike tuwacha siyasa
Hawa waongeaji naona kama watanganyika au manispaa ya Dare s Salam
Mna mkakati gani tena?au kuongeza idadu ya maskini na mafukara?
Safisana
Maganda ya shokishoki imekua ndio sababu na ya madafu je?
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
Hahahahaha usinichekeshe wewe
Usafi usafi kwanza mungezisafisha hizo rohozenu mbaya munanyanyasa watu na kuwapokonya mukajilia nyinyi bandari , airport mpaka leo zimewashinda halafu munajidai pesa munazo hamujui muzitumie vp
@hhonest9553
4 жыл бұрын
Maneno ya kweli.Kima awa wananuka njaa.Wanachojua ni kuiba nakula wao
Wanao cha fuwa zanzibar ni jamaa zetu. Mana wachafu kweli . Halafu wanataka zanzibar iwe kama singapor . Hata mji ukijengwa na ukiwekwa saf huharibu . Na mara hii tutapigana viboko
Hamna lolote kazi yao kutukamua sie wananchi tu mkajivimbisha matumbo yenu 😏😏🙄🙄🙄
Kwani Zanzibar ni kisiwa kimoja tu Unguja maana kila kitu ni unguja Pemba imetengwa sana
@salehmazidy8144
4 жыл бұрын
Nionavyo mimi sio mbaya kuanza na usafi kwenye kianzio cha nchi maana mtu yoyote atokae nje ya nchi sehemu ya kwanza kufika ni unguja kwa alau ile sehemu iyonekayo ni mjini basi iwekwe kipaumbele zaidi kwenye usafi wa jiji na uwekaji mazingira km bustani na majani. than zikifuatiwa na sehemu nyengine za miji km kisiwani pemba sehemu za miji ni chake cheke na wete ila kwa vile kila sehemu zipo mamlaka za manispaa watawajibika kwenye sehemu zao lkn muhimu kinachiangaliwa ni ile sehemu kuu ya nchi au kichwa cha nchi ambayo ni unguju mjini. Muhimu nia iwepo ya uwajibikaji kwenye usafi na vitendea kazi vyakutosha serekali kupitia municipality itafute madram yakutia taka taka yakutosha isambaze nchi nzima kila sehemu.
Yangu simacho tu😩😩😩🙌🤓kama hamjakwangua vumbi la hizo barabara nahizo chocholo za pembeni ya mji utakua safi kweli? Usafi azeni kwaza milangoni kwenu
@mohammedabdallah6390
4 жыл бұрын
Wala si uongo mji mchafu aibu tupu watu wanakula mishahara tu
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@mohammedabdallah6390 zenji niwachafu halafu bora hata wangenyamaza kimya kuliko kupayuka kwenye vyombo vya habari humu sijui tuwasaidie nn zaidi nikuwacheka tu Wacha niendele kumsifia Magufuli oyeeeeeeeeeee💪kila jumamos usafi kila kona ukitupata taka elf 50 uwenazo jiji linang'ara sio zenji mm naonaga simulizi tu maneno mengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii vitendo hakuna naserikal ndio msiitaje kabisa nyinyi wanaichi ndio mpambane lakini hata hivyo hamna umoja sababu mnaile kusema serikal kalabaho
@princeganji2779
4 жыл бұрын
Chocholo
@gharibaltiwany8165
4 жыл бұрын
Chocholo huyu kaja na mwenge
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
Cm yangu nikiruka mstari maandishi yanabalika kwahiyo msinijadi sana hata hivyo kukosea ni sehemu ya binadamu😕😉