TAZAMA KIAMA KILICHOWAKUTA WAUZA GONGO ZANZIBAR

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 33

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын

    Inawezekana iwapo kila mmoja atatimiza wajibu wa kulinda taifa letu ikiwa viongozi au wanajamii shukran ktv tz online

  • @hassanturky7511
    @hassanturky75114 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma81684 жыл бұрын

    "Na nyny muctupotoe dunian haswa hakuna pombe halal pombe zote n haramu"

  • @shersaid7988
    @shersaid79884 жыл бұрын

    Asante mkuu wa wilaya kwa juhudi zako kukomesha pombe na matendo mabaya.

  • @khamistano4848
    @khamistano48484 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana hongera mkuu ila kuna jambo la vijana wavuta bangi ndio tatizo sugu ambalo linasababisha wizi mkubwa wa mazao na mifugo . nakuomba piga sekta kazi kote safisha mazingira hili linawezekana

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50324 жыл бұрын

    Pombe zote haramu

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly30564 жыл бұрын

    Warudishen kwao wingi wao wanaouza pombe wabongo

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal84004 жыл бұрын

    Hongerenii zanzibar ya amani na nzuri.

  • @stephanohekela7376

    @stephanohekela7376

    4 жыл бұрын

    Jamani ndo wanapo jipatia kipato wafanyaje sasa wakiiba maneno wakijiuza ndo shida wapeni kibali nawao

  • @aliarkam9548
    @aliarkam95484 жыл бұрын

    Kazi njema

  • @salumft661
    @salumft6614 жыл бұрын

    wengi wanywaji wa pombe hizi.. afya zao huwa kama vizee.. okoa jamii.. waandalieni kazi japo za askar jamii.. ili waache izo biashara

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah35674 жыл бұрын

    Jamani mnajijengea zima kwa Mungu hakuna pombe halali pombe zote ni haramu mtaenda kujibu kwa Mungu mjirekebishe

  • @mambonawatu5362
    @mambonawatu53624 жыл бұрын

    Mkuu . kwenye OP hizo ni vyema kuvaa gloves

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco248Ай бұрын

    Hao ndio waliotusomesha sisi jmn tumesoma Kwa gongo na wanxuki

  • @user-is8vm9tl2u
    @user-is8vm9tl2uАй бұрын

    Ss haw wanakosa gan kwa serikal nawakat pombe zanziba nihalali au nikwasababu wao hawalipii ushur au nikuuza pomb? Nijibun

  • @MdEmon-yn4cw
    @MdEmon-yn4cw4 жыл бұрын

    nyinyi mtaulizwa na hizo pombe za kizungu

  • @MasoS024
    @MasoS0244 жыл бұрын

    CCM oyeeeeeeee Babu Ally oyeeee

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72414 жыл бұрын

    Kamata hao fyeka ndani.

  • @hafsamohd7931
    @hafsamohd79314 жыл бұрын

    Warudisheni kwao hao wabara wanatembea uchi nakuuza pombe

  • @khamistano4848
    @khamistano48484 жыл бұрын

    Hii ndie ile kanyaga walevi kanyaga mpaka wauzaji kanyaga wasambazaji kanyaga

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6zАй бұрын

    Kun pombe halali

  • @MdEmon-yn4cw
    @MdEmon-yn4cw4 жыл бұрын

    zote haramu tu bia ndio halali

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow4 жыл бұрын

    Nawanao tembea uchi pia muwadhibiti sio mnawaita warembo mkashikilia pombe tu napombe zote ni haramu

  • @hafsamohd7931
    @hafsamohd79314 жыл бұрын

    Nyny serikali pombe zote haramu

  • @theroots2743
    @theroots27434 жыл бұрын

    Haina fundisho lolote hata kulitangaza na kuonesha mmekamata nini hio sio kukamata semeni mmekwenda kuiba pombe za watu maana mngekamata bila shaka na muhusika mngempata lkn hizo ndizo story zenu kila siku maporojo na nyie.wenyewe walevi na madanguro ndio hasusa zenu

  • @chidiboy5815
    @chidiboy58154 жыл бұрын

    Pmbe haramu

  • @bintmarmar4323

    @bintmarmar4323

    4 жыл бұрын

    kwani kuna pombe halali?????

  • @suleiman_002
    @suleiman_0024 жыл бұрын

    Pombe zote haram

  • @balozichalamila4034
    @balozichalamila40344 жыл бұрын

    Kwani Zanzibar pombe haziruhusiwi au huyu mkuu wa wilaya anakurupuka tu kutaka sifa

  • @mohdkhamis9945

    @mohdkhamis9945

    4 жыл бұрын

    Nenda uko ...unakurupuka ww mwehu

Келесі