TAZAMA KIAMA KILICHOWAKUTA WAUZA GONGO ZANZIBAR
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 33
Inawezekana iwapo kila mmoja atatimiza wajibu wa kulinda taifa letu ikiwa viongozi au wanajamii shukran ktv tz online
Alhamdulillah
"Na nyny muctupotoe dunian haswa hakuna pombe halal pombe zote n haramu"
Asante mkuu wa wilaya kwa juhudi zako kukomesha pombe na matendo mabaya.
Kazi nzuri sana hongera mkuu ila kuna jambo la vijana wavuta bangi ndio tatizo sugu ambalo linasababisha wizi mkubwa wa mazao na mifugo . nakuomba piga sekta kazi kote safisha mazingira hili linawezekana
Pombe zote haramu
Warudishen kwao wingi wao wanaouza pombe wabongo
Hongerenii zanzibar ya amani na nzuri.
@stephanohekela7376
4 жыл бұрын
Jamani ndo wanapo jipatia kipato wafanyaje sasa wakiiba maneno wakijiuza ndo shida wapeni kibali nawao
Kazi njema
wengi wanywaji wa pombe hizi.. afya zao huwa kama vizee.. okoa jamii.. waandalieni kazi japo za askar jamii.. ili waache izo biashara
Jamani mnajijengea zima kwa Mungu hakuna pombe halali pombe zote ni haramu mtaenda kujibu kwa Mungu mjirekebishe
Mkuu . kwenye OP hizo ni vyema kuvaa gloves
Hao ndio waliotusomesha sisi jmn tumesoma Kwa gongo na wanxuki
Ss haw wanakosa gan kwa serikal nawakat pombe zanziba nihalali au nikwasababu wao hawalipii ushur au nikuuza pomb? Nijibun
nyinyi mtaulizwa na hizo pombe za kizungu
CCM oyeeeeeeee Babu Ally oyeeee
Kamata hao fyeka ndani.
Warudisheni kwao hao wabara wanatembea uchi nakuuza pombe
Hii ndie ile kanyaga walevi kanyaga mpaka wauzaji kanyaga wasambazaji kanyaga
Kun pombe halali
zote haramu tu bia ndio halali
Nawanao tembea uchi pia muwadhibiti sio mnawaita warembo mkashikilia pombe tu napombe zote ni haramu
Nyny serikali pombe zote haramu
Haina fundisho lolote hata kulitangaza na kuonesha mmekamata nini hio sio kukamata semeni mmekwenda kuiba pombe za watu maana mngekamata bila shaka na muhusika mngempata lkn hizo ndizo story zenu kila siku maporojo na nyie.wenyewe walevi na madanguro ndio hasusa zenu
Pmbe haramu
@bintmarmar4323
4 жыл бұрын
kwani kuna pombe halali?????
Pombe zote haram
Kwani Zanzibar pombe haziruhusiwi au huyu mkuu wa wilaya anakurupuka tu kutaka sifa
@mohdkhamis9945
4 жыл бұрын
Nenda uko ...unakurupuka ww mwehu