MASKINI ! WALICHO FANYIWA MADADA HAWA HUKO MELI NNE ZNZ NI HURUMA TUPU
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 484
Ndugu zangu wanawaZanzibar tujitahidi kujichumia cha halali, najua maisha yanazidi kuwa magumu ila tusitapeli watu kwa mujifanya waganga. Hii tabia imekuwa kwa kasi sana . Kuna mwenzetu mmoja aliacha kazi ya jeshi la zima moto mambo yalipokua magumu kajitia mganga , utotoni si wa skuli si wa madrasa leo kawa mganga ,Aghstafillah
Ila kiukweli usipo muamini Mwenyezi Mungu, unakuwa mtumwa wa shetani
@lilianlaswai1026
4 жыл бұрын
Kabisa
@africa7479
4 жыл бұрын
Umesema kweli
@kibongobongo4608
4 жыл бұрын
Nilikuwa niseme ulichosema lakini ushasema....... Utumwa wa kujitakia
Ushilikina na tama ndo zinawaponza. Mme muacha Mungu aliyekupeni pesa nakutamani pesa zakishetani. Shetani hatoi pessa. Mulikuwa tayari hata kuuwa ndugu zenu apa mmekuja hazalani sababu mmetapeliwatu . Mungetia damu wala msingesema . Uchawi huo nawaganga wenu Mungu anakupenda dada ndo mana kaluhusu tupesa tuliwe ili akupe fundisho. leo ndo ww unajisemea maovu ya waganga kuwa nimataperi, "amina". Mungu walehema jina lako litukuzwe milele amina
asante Mwenyez Mungu kwa kunisaidia matatizo yangu kupitia ww uliyempa kipawa chako ostaz shabani n alinfanyia bila sent yngu mpk nilivyofanikiwa nkimpk sadaka yake Nyie waganga acheni utapeli n nyie mabint muombeni Allah ndo kila kitu ukimuomba atakupa uoambacho waganga s watu wazur wanawaharibia ostaz wanao omba dua kwa dhat duuh poleni sana but achen ushirikina
Daaahhhh poleni sana natamani huu mkasa umfikie kila mshirikina
Umeongea vizuri Dada,Mungu ndo kila kitu mama
Kweli mlitekwa fahamu, hamjashtuka tuu? Kweli kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa yote , na watu hupotea kwa kukosa maarifa. Mlipaswa kuchagua moja tu mumche Mungu na mngoje baraka ya Mungu iwajilie kwenye biashara poleni sana.
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kungarisha nyota na kupa mtu riziki
Kiswahili cha zanzibar kinafanana na kiswahili cha Pwani ya Kenya (Mombasa na Lamu).
Daah! Kiukweli shiriki ni dhambi juu ya dhambi, na adhabu yake utaanza kuipata hapa hapa duniani.
Mmungu atakusaidieni jinsi mlivyo muachia Mmungu. Nguvu zenu hazitapotea. Dhulma haidumu na ikidumu inaangamiza. Mtafuzu Inshallah. Wanawake tuwe Imara.
Wazanzibar uwa niwasenge kwer wanajifanyaga wana dini kumbe nima shetani balaa mfyaa
Lakini wazanzibar wapo matapeli hata kama na mimi ni mzanzibar anatumia QUR AN kutapeli watu MUNGU atalipa
@bindawood978
4 жыл бұрын
Iddi juma Ali alotapeli ni jamaa yao kabila lake mhiyao cjui ni watu wa wapi
@iddijumaali7192
4 жыл бұрын
@@bindawood978 ok
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Zanzibar hakuna tapeli, ila matapeli ni ao zanzibar ni njema atakae aje, ndio matapeli
@bindawood978
4 жыл бұрын
@@hawaynatimam982 bora maana ukiwatajia utaifa wao hapatokalika
@myunaniniahmad6463
4 жыл бұрын
Wajinga ndo waliwao. Imani mbovu. Naulevi acheni. Muogopeni mungu.
Shukran sana ddaa kwakumkumbuka m.mungu chochote unachokifanya mtangulize m.mungu
Mie wala sikuonei huruma. Mana hata umefikia kwenda kwa mganga huna huruma na unaroho mbaya. Unaenda kwa mganga kwa biashara inamaana hata ukiambiwa lete mtu, utapeleka. Allah akuongozeni na akutoeni kwenye shirki, Amiin.
Subhana Allah mtu unajisifu kwa maovu fahari mama ujingaa
@lutifiaussi3728
4 жыл бұрын
Zanzibar iko hatariini kutaja vilevi hazarani
@karemhkaremh4451
4 жыл бұрын
@@lutifiaussi3728 ni kweli ndugu yangu huu ni msiba mkubwa
@omarjumanne4356
4 жыл бұрын
Wajinga wajinga
@karemhkaremh4451
4 жыл бұрын
@@omarjumanne4356 wallah niwajinga mno
hongera kwa kumjua M/mungu pia unapaswa umshukuru yy
Ee Mungu wangu yamenitokea dar haya namimi niliambiwa nitoe milioni 2 na kila siku lazima nikaoge cocobech saa saba za usiku Mimi nashogaangu tuliletewa majini 999 na mkuuwao nikisa kirefu acha tu nimeokoka nimemjua Mungu acheni tu
@starajohn897
4 жыл бұрын
Aniphalookmoney Lookmoney pole sana
Tamaaa mbaya poleni sana
wagen kuhamia znz sio tatizo ni serekali kutowek sheria za kulinda maadili ya wananchi wote
@mahersaid258
4 жыл бұрын
Haswaaa
@carenmihayo7991
4 жыл бұрын
Maadili gani wakati nyinyi wenyewe niwachafu balaa
Hao ni washenzi kabisa wanatumia kitabu cha allah kutapelia watu hao wana laaana pesa za dhulma hawato fanikiwa kabisa
@barikiwa22
4 жыл бұрын
Na wapigwe na radi
Wazanzibar mshaharibika mmekua matapeli kwa kutumia dini
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Sio wa zanzibar tatizo ni nyie wageni mnaoingia
@alimussa2655
4 жыл бұрын
Asa bara hakuna matapeli
@rammyissakheir8658
4 жыл бұрын
@@alimussa2655 utapeli na ujambazi bara ndokwao
Ctokaa kuwaamini waganga polen sana mnatoa milion kweny uganga c pesa ya kiwanja iyo kujijini kwenu!! Mama zenu wanashnda njaa uko nyie mnatoa pesa kwa waganga
@kulwapaul2721
4 жыл бұрын
Dah umenena ukweli dada
@barikiwa22
4 жыл бұрын
Endelea na moyo huo huo
Huyu abuu namjuwa kabisa na ana kaka ake anaitwa sele wote matapeli dah! Poleni ila na nyie mrudi kwa mola wenu stareh hazina mana
Hao wadada wanaonekana kama ni mapopo haoooo
uislamu wa kweli unahitajika na dola la kiislam linahitajika na watu wanahitaj mtu mwema wa kuwasimamia
@lynmuta1233
4 жыл бұрын
Ukifwatilia sana itakuta waislam wengi ndio wanaamini ushirikina hii ni uthibitisho kua hamna kitu huko
Kukosa akili namaarifa ndomkome kilasiku mnaambiwa ushirikina haufai
Inallillah wainaillah rajiun subhanallaah allaah atuongoz naatupemwishomwem
@hamidmohamed7806
4 жыл бұрын
Kwani kafa mtu. Imehusu Nini inalilah
@lovvy854
4 жыл бұрын
Ameen
@yohanamalakasuka5390
4 жыл бұрын
Hv koroan hutumika ktk uganga
@rehemaradhid5716
4 жыл бұрын
@@hamidmohamed7806 haiusu kabisa
@ibramiddo4863
3 жыл бұрын
Kwn mpk afe mtu ndo usemwe innallillah hatk km umepat na matatizo pia unawez kusema
Mnatoa pesa ya mtaji unamuuamini mganga ati akupe pesa kama utajiri unapatikana hivyo hata yeye angekuwa tajiri
Mimi.mgumu kidogo. Kwa kumpa mtu.ela alafu siamini.Sana.Kama.kuna.mtu.anaweza.kunipa.ela bila.kufanya.kazi😬??nicheke unaibiwa mpaka unakopa pole.dada.
Milioni 1 na kali 4 mnahoma Sana, izo pesa mnazotoa ili mpate nn
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
misaafu mnaidhalilisha japo mm mkristo dah😢
@mwamvitasaidi757
4 жыл бұрын
Kabisa
@maryam.m.o
4 жыл бұрын
paulina semindu hasara!!! Wame andikwa watu kama hawa wako na hawato nusa hata harufu ya pepo!
@samirhoo6030
4 жыл бұрын
Paulina semindu. Msahafu ndo muongo mzima Wa mwanadamu Isipokuwa hawa wameukengeuka msahafu ndo maana wakala hasara
@aminamohd604
4 жыл бұрын
Umeona eeeh
@irenemwanaa8160
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Hakuna mganga zaidi ya Mungu acheni ushamba washkaji msijitie gundu kueni wapambanaji....
Hata kama munasema ss wa bala lakini waliotapeli wazanzibari munajifanya muna dini nyinyi musahafu wa mwenyezi mungu munaufanyia utapeli corona itaishaje
@bakhjaissa406
4 жыл бұрын
Agnes Cosmas kwel maana wamezid kutunanga ss wabara wao wafuga majin
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Waganga NI matapeli.Mungu atusamehe
Kama wataka nyota si uende mbinguni wew akikili huna etiiiiiiii nyota sasa ht ukichoma si unarinyuu
😂😂😂😂Nilikuwa nafikiri wa kokongomani ni wa champion wa escroquerie kumbi kuna ma bingwa ailleurs duniani hii looo,pole sana dada.Natumia justice itapika vita hawa wa escrocs ku kiswahili yenu munawaita watapeli.Pole,pole sana namumutegemee tu Mwenyezi Mungu.
Wazi zuri LA kumjua Mungu ila uwache ulevi pia
mitihani inatufunza mengi nimejifunza kitu poleni lakini tumuamini allah tupunguzeni tamaha
Nyie wadada washamba kweli, hata kushtuka tu mlishindwa mnazidi kuhonga mipesa yote hiyooo duuuh but poleni since kimeshatokea
@muhammehusna3384
4 жыл бұрын
Duuh ,, kuna siku nilitapeliwa elf 10 Tu nimeumia kweli Sana jeee ?? Ww mipesa yote iyoo
Polen sana ni changamoto za mafanikio ya maisha ila wengine ni wezi sana
😂😂😂😂😂mna matatizo ya akili.pesa mnazipata matumizi hamjui..kwa hiyo mlidhani mtafanyiwa dawa muokote pesa magunia.ikiwa mnafanya juhudi yakutafuta halafu mnampa tu.mazwazwa nyie.mmenikera kweli utafutaji ulivyomgumu hivi.mkome
Dda zangu uwezo wa kupambana kwa nguvu zenu na akili zenu mnao huko mlipo kwenda kujichanganya tuu ila mtegemeen Mungu na mjuwe malipo ni hapa hapa dunian
Nyie sio WA mwanzo kutapeliwa wapo wengi
Zanzibar hiyo bana, imebadilika sana katika miaka ya hivi karibuni, maana zamani masuala kama hayo na mengineyo yalijulikana kuwa ni bara tu ! Zanzibar siku hizi ina mapabu, baa, magrosery ya vinywaji, machangdoa na madanguro ndiyo usiseme ! Hii ni sawa na Saud Arabia ya miaka hii !!
Mmh kazi usenge tu
Mwanamke kuwa na tabia hii sio nzuri ninwapa pole sn kwa mtihani ulowafika ila hawajapoteza malipo yao watayakuta hukooo tunakokwenda
Mimi niliwahi kukupigia simu na kukuandikia msg ninataka mje eneo la School ya EVER GREEN hukunijibu tunashida ya maji na
Poleni sana kwakutiwa mjini!!!
Lakukushaurini tu n kuwa mtafte nyny wenyewe njia ya kujilipa ila ktk sheria ao hamuna hoja za kuwashinda coz hamuna contracts na agreements zzte zle za maandishi na wamekuchezeeni mchezo wa kua laini zilizokuwa zinatumika zina majina yenu wenyewe yan mtaonekana n Machale tu coz ao watu n majinias....
Inasikitisha sana,watu hata hawana hofu ya Mungu kutapeli wenzao.
@lipymuscat4779
4 жыл бұрын
ila hao kina tausi ndio washirikina matokeo yake wametapeliwa
Wengi watajifunza hakuna shortcut ktk maisha,
Hahaha daaah polen sana samahan nimecheka kama mazuri
@deshuaniton698
4 жыл бұрын
Pole my
Duu huyu dada anaonesha mwizi ana kesi tele loo mungu atamlipa hapa hapa duniani loo
Tatizo ni mija. Wanazuoni wanaondoka na matapeli wanazidi. Lkn naamini za mwizi ni 40. Dua ya aliodhulumiwa hata kafiri basi Allah.sw. anapokea hairudi nyuma. Yaani ALLAH. SW. hata usipokua muislamu mukimuomba nahakika utajibiwa mazali ni mumezulumiwa. Muombeni ALLAH. SW.
Mmmmmmm kweli mganga alifaidi sana
duuh polen 🤔🤔🤔 kuwen makin msipend shortcut hakun maish yanayopatikan ki urahis hivy,.... tafuten kwa jasho..
Dah!! pole xana!! ila Wanawake Wa/wake!! Tamaa punguzeni!! kila cku wanalizwa huku DSM kwa kumtumia mtu Pesa hata asie mjua akidanganywa et anaemtumia alitangulia kutuma hela kwake kimakosa.
Hahahahahahhahaha nacheka km mazuri waja muogopeni mungu ...tamaa za kidunia zimewashika mnataka kufanya biashara iwe na mvuto ..sijuii nyota...km hamkuogopa kumshirikisha Allah basi hio ndo adabu yenu .mkome .Allah hashirikishwi na kitu chochote.
@lovvy854
4 жыл бұрын
Kweli kabisa biashara ni talent na pia huwa nikubahatisha kwaio usitarajie kufungua biashar utafanikiwa kuna kupata hasara so nikubahatisha mm uimu nikumueka mungu mbele na kuta wakall
Mtumikieni Mungu, binadamu ni mawakala wa shetani. Mi mwenyewe nilisha liwa sana mpaka nikaona upumbavu wakati hiyo hela ningesaidia yatima. Mola naomba unisamehe mapungufu yangu.
Subhanallah
@user-cs9us1hy7j
4 жыл бұрын
Tamaa mbaya
TIZAMA UWO USO WOTE WAHUNI MGANGA NA HAO NYATI HAKUNA KIKUBWA CHAMLEVI HULIWA NA MGEMA.
@ibrahimmussaali2986
4 жыл бұрын
Kile kitabu kisicho nashaka niujinga tu watu huyu Dada na uyo mjinga ndani ya qur an hakuna uchawi
@ibrahimmussaali2986
4 жыл бұрын
Qur an inaukweli tu wamaisha yetu yoto
Halafu ikiwa unaamini mungu uwe muislamu ama mkristo basi usifungue biashara na jina la mganga fungua biashara na jina la Allah subhanaallah bismillahi tawakltu ala,llah
Tamaa jaman mbaya,pole sana
Hahahaaa na wangine wajifunze.
Daaa wanafiki hao
UNAJISIFIA KUA UKO AMANI MKOA UNALEWA SUBUHANNAH LAH -UNAJISIFIA UJINGA
Uyo abbu ni yupi kama namjuaa 😂😂😂
Asante kwa mafunzo wadada ila Allah ndo atawahukumu insha allah
Uyo ni tapeli ashamtapeli mamkwe wangu kumamae nlimfatilia nkaambiwa kahama mi nikionana nae lazima nimpasue
@abuumaryam1628
4 жыл бұрын
Hahagaghaahhhhaaaaaa kaaa
WACHENI ULEVI MRUDIENI MUNGU WENU
@lovvy854
4 жыл бұрын
Hahahahaha ukweli waaache ulevi
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Acha zinaa mrudie mungu wako
@alexandrinadomaino9868
4 жыл бұрын
Pombe hazimfanyi mtu awe na tamaa. Wakome kuwa na tamaa
Mungu ndio kilakitu
Duu tunamukosea sana mungu
Jamani tumuogopeni Allah munatumia kitabu kitukufu kwa kutapeli watu tunaenda wapi wa wanaadamu hemu angalieni dunia ilivyo haribika kwa maradhi ni mungu huyo anatulipa kwa mazambi yetu tunayo yafanya
@hajihassan7201
4 жыл бұрын
Diamond jeje
@hajihassan7201
4 жыл бұрын
Platinum jeje
Pole dada angu.
Hayo ndiyo mambo ambayo yanayo zuiya maendeleo yenu, unauwezo wa kujiendeleza na hali mna tamaa zaidi ya fisi, mna fumba macho kuamini ujinga.
Kweli zaziba wamezidi uchawi hapo nimahali penyewe ndugu yangu hapo nilishampoteza sinaham
Washirikina wakubwa nyie mnamwaacha mungu mnaenda kwenye shiriki
Hivi wanavyoichezea Qur-an ndio maana Allah anatupa magonjwa ya mripuko kama Corona
@tumatuma7264
4 жыл бұрын
Poleni na mtihan
hamna kazi ndio maana adabu hiyo
Mimi hicho kipini cha kwenye nyusi hapana Kwa kweli
@abdulibatenga7281
3 жыл бұрын
kipini kimefanyaje dada
@ruuh5149
3 жыл бұрын
Eva Gervas yn angejiona alivyonyata mxiuuuuuuu
Watu ni matapeli sahivi ndiyo tabia zao watu hawataki kazi kuibiya watu ndiyo kazi yao mungu atunusuru ishaalah nishatapeliwa sahivi bass tena niko na akili nyengine
Kwa nn musimuamin mungu kila siku munaamin waganga kwa nn ss munamshirikisha mungu mpk kwenye misahaf
poleni kwa mitihani
Wabongo mnapenda utajili hatalaini mnachoma hamsituki
Washinde na walegee mashetani wakubwa hao
Mmmmh mganga gani huo mwenye kuchoma line vituko jamani
@SPrivy
4 жыл бұрын
Sadia Abed 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
KTV hamukuwa na pakar karibu mukamsaidia kukivuta kile kichuma kilomganda pembeni ya nyusi ya huyo dada
Huyu dada ni koro wa kutupwa na hapasuki mpaka dunia inakwisha 😅😅
Poleni jamani waganga siwaukweli mtegemee Mungu
Ulikua hujui waganga huwa nimatapeli ? Allah anatosha achanen na uganga
Acha ushirikina na kutaka utajiri wa haraka
We hpo ndo umekosea dada tatizo umeliona mwanzo hlf umejipeleka
Duuh,,!! TAMAA mbaya sana,,,Maisha ni BAHATI ndugu zangu,,,,,,Wapo watu wanatumia Vitabu vyadini vbaya sana,,,
Uyo mganga feki kwanini asitiwe jela maisha au miaka kadhaa ili afundishwe adabu, Ananini aswa mpaka atizamwe mpaka mda huu.
Hiyo michuma usoni biashara mnayofanya ni ipi tafadhari.....😂😂😂😂mlikuwa mnataka mvuto sasa au sio ?
@SPrivy
4 жыл бұрын
kulwa mapunda jamani ety michuma🤣🤣🤣🤣
Bado mumechukua sharia mkononi itawageuka
Yaan mbongo anatapeliwa na mzanzbar du
Kweli hakuna wakushenda Mungu
🤣😂😆😅😄aca mambo yaushirikin