HUEZI AMINI KILICHOMKUTA KIJANA ALIEPOTEA BAHARINI MASAA 98

Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD.
Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea.
Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Nliponea_Chupuchupu #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Imeandaliwa na KTV TZ ONLINE
Camera
-Omar Mohammed (OJ)
-Mwarabu Mmadi
Crew & Cast
Khamis H Khamis
Othman (Blaki)
Tunda
Naration
Masoud Maganga
Writen & Directed by
Hakyam Malik
c)

Пікірлер: 447

  • @ktvtzonline
    @ktvtzonline5 жыл бұрын

    Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD. Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea. Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.

  • @nyamwanzirukamba6982

    @nyamwanzirukamba6982

    5 жыл бұрын

    KTV TZ ONLINE tumshukuru mungu kila jambo nimuweza

  • @armadajnr.7988

    @armadajnr.7988

    5 жыл бұрын

    Haina haja ya nyinyi kueka clip zenu za video anatakiwa yeye mwenyewe asimulie mnapoteza mvuto wa simulizi iyo nenda tembelea channel ya KUTOKA UGHAIBUNI mjifunze kidogo kuiga kizuri sio vibaya

  • @omarbashir3261

    @omarbashir3261

    5 жыл бұрын

    Stop recreating the scenes, you're making the story loose its sense of originality.

  • @DjmubaTechServices

    @DjmubaTechServices

    5 жыл бұрын

    @@armadajnr.7988 haipotezi mvuto, ila sema wanaikatisha story, bora wangeweka story na clips ziende sambamba

  • @allyfaki452

    @allyfaki452

    5 жыл бұрын

    sasa mbona anavosimulia kama vile ni hadithi ya kutunga

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9iАй бұрын

    Subhana Allah Subhana Allah,,,pole sana ,,, Jaman tunapo kosana sisi wanandowa. Tusameheyana kabla waume zetu kuenda ktk kutafuta Risk ni mitihan kwa kweli,,,mda mwengine sisi wanawake tunasababisha sis matatizo kwa waume zetu ,,, Allah atusamehe kwa sote Yarrab

  • @lucymrena3701
    @lucymrena37015 жыл бұрын

    mafunzo Mazur thanks from Kenya like it

  • @kakamkubwa9848
    @kakamkubwa98485 жыл бұрын

    Sina zaidi ya kusema pole sana kaka amini wazi kuwa yote ni mitihani ya maisha na majaribio kutoka kwa Allah... Allah ndie ndo kila kitu kwetu sisi wanaadam na hata ivo hata Nabiii Yunus pia alijaaliwa mitihani kama iyoo... Pole sana kijana pole sana tena pole...

  • @is-haksaid295
    @is-haksaid2955 жыл бұрын

    Dah hii str kwa ukiisklz itakutoa choz pole sn ndugu yetu mwislm kwa mikasa iliyokukumba ila asiache kumcha mungu. Ila pia Ktv tz online nawakubali sn yaani mko juu kwa kuifunza na kuijuza jamii kwa matukio yanotokea hongereni sn kwa hilo

  • @zakiamtiti4039

    @zakiamtiti4039

    4 жыл бұрын

    Wanaadamu wasiokuwa nauelewa BC wanazungumza upuuzi mtupu kwakutoelewa story hali yakuwa bongo movie zinawaliza na c zakweli

  • @user-sb2kh2co6h
    @user-sb2kh2co6h6 ай бұрын

    Pole sana ndochangamoto hizo katika halakati zakutafuta maisha nakuombea kwamungu akufanyie wepesi

  • @ashulachristopher2575
    @ashulachristopher25754 жыл бұрын

    Pole kaka kwa mitihani uliopitia Mungu hamtupi mja wake

  • @asyanas7382
    @asyanas73825 жыл бұрын

    Very sad....inahuzunisha kiukweli... Nna ombi moja kw kijana juma.. Allah kakuvuwa salama ktk mtihani sema alhamdulillah... Katika kipindi chote ulichokuwa ktk maji sikuona hata mara moja ukiswali....maybe kutokana na uzaifu wako wakiafya... maybe hukuweza kujuwa nyakati za sala.....Juma Allah kakuvuwa salama...unastahiki kizilipa swala zote ambazo zimekupita...isabu siku ulizokaa ktk maji kisha hisabu vipindi ulivovikosa vilipe...lipa swala ndugu yangu umetoka pazito...Pole sn kw mitihani..

  • @mariumkassim6675

    @mariumkassim6675

    4 жыл бұрын

    Daaa pole sana mungu mkubwa

  • @love__ness7943

    @love__ness7943

    3 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9iАй бұрын

    Pole sana kaka ,,, Allah atuhifadhi kwa sote fii Duniya wal-akhera ,،,, amiiiiiin

  • @moodyjr126
    @moodyjr1265 жыл бұрын

    this is the kind of friend y'all need in your lives......yule mwenye ukipotea anaweza kutumia an extra mile kukutafta until akupate and not the fake ones

  • @jaliakamote5485

    @jaliakamote5485

    5 жыл бұрын

    Yap.

  • @abdulrahimkhamis7547

    @abdulrahimkhamis7547

    4 жыл бұрын

    Sawa mzung bwege we!!!

  • @paulomahona5291
    @paulomahona52915 жыл бұрын

    Ndug pole sana kw hayo mungu akutawale daima ktk maisha yako

  • @bintabdallahjuma3331
    @bintabdallahjuma33315 жыл бұрын

    usimuliaji huu wa hadithi ni wa nchi za nje nimefurahi na sisi tz tumeweza kufikia huko...hongereni KTV online

  • @ngasaramadhan6914

    @ngasaramadhan6914

    5 жыл бұрын

    ,

  • @rajaburashid6043

    @rajaburashid6043

    3 жыл бұрын

    Pole sana

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz25155 жыл бұрын

    Pole san kaka mwnyezi mungu ni mwema kwa waja wake siku zote za maisha yetu

  • @suleimanhamdan6434
    @suleimanhamdan64345 жыл бұрын

    Hii hbr nzur Ila ufikishaj wake kwetu tunalipokea kma mchezo wa kuigiza .

  • @hbabywaukwee3024
    @hbabywaukwee30245 жыл бұрын

    Duhhhh Allah akuvue hilo na jengine... Ama kwel mungu mkubwa na akufaae kwa dhiki ndio wako rafiki...!!!!

  • @sulainmmanibnimaliki1399

    @sulainmmanibnimaliki1399

    5 жыл бұрын

    hafsa thabit mambo vp

  • @keyakeya8911
    @keyakeya89115 жыл бұрын

    Hakika mwenyezi mungu ni muweza

  • @nelsondeguzman8438
    @nelsondeguzman84385 жыл бұрын

    Pole Kaka angu kweli na mungu hawezi akakuacha pabaya

  • @chimamicute316
    @chimamicute3165 жыл бұрын

    Pole sana Juma umeniliza aki mungu akupe umri naafya njema akuepushe na kila shari love u big Bro nkwa inchi jirani kanya

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim36975 жыл бұрын

    Pole kaka kwakweli kisa chako kimenitoa machozi na nimejifunza kitu flani

  • @phineruge3480
    @phineruge34805 жыл бұрын

    Wallah Machozi yamenitoka km yote, Pole sn Juma Mungu hamtupi mja wake

  • @Amneamne-qi2du

    @Amneamne-qi2du

    4 жыл бұрын

    Pole sana Juma Allah Karem

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan98135 жыл бұрын

    Wanaume mkiwa mnatok majumban muwe mnaagan vizur na wake zenu huwend akakuombea hata dua

  • @user-ht1eh9hv2i
    @user-ht1eh9hv2i3 ай бұрын

    Ajaribu kwenda kanisani huyo mtoto alitupiwa pepo anahitaji maombi mungu amsaidie

  • @salummkubwa
    @salummkubwa5 жыл бұрын

    Ktv muko vizuri kiufundi wa kutoa hadithi, kama filamu vile😃

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    Mifano haiy

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi41575 жыл бұрын

    dah! pole brooo kwenye kazi yako ndo kwenye mauti yako lkn kuna mambo cvizur mtu kufanya akiwa peke yaku kwenda kuvua kulala peke yako vyote ivo sio vzr Allah utulinde inshallah

  • @shammoha5297

    @shammoha5297

    5 жыл бұрын

    Ameen yaa Rabbil allamiin

  • @user-dr7ug7iv9s
    @user-dr7ug7iv9s5 жыл бұрын

    Pole sana Mpendwa majarb nsehem ya maisha

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    Kabisa 🤝

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    Muamini mungu kilajambo ni vizuri sana

  • @dorotiakwoba3728

    @dorotiakwoba3728

    4 жыл бұрын

    @Penina Haruna mbona sura ya mvuvi n tofauti na yko iyo,Ana mwanya nawe huna mwanya,eeeeeeh

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe51725 жыл бұрын

    Alhamdulilah mungu akunusu kwe ngine InshAllah heri

  • @user-ht1eh9hv2i
    @user-ht1eh9hv2i3 ай бұрын

    Pole Sana kaka inahuzunisha Sana mpaka chozi limenitoka😭

  • @user-dr7ug7iv9s
    @user-dr7ug7iv9s5 жыл бұрын

    Ndugu zangu hata kama niwewe unataka kutoa hstry ya k2 fulan lazma utoe vdeo hata kama za m2. Mwngne ili stry yako iende vzr mm na wawlewa sana kwenye hiii chanenl nawakubali sana

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    5 жыл бұрын

    Ee e ndio unamuasha mkeo Subhanallah

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    MashaAllah. Story ya yakusikitisha pia tumejifunza vitu kadhaa. Shukran KTV TZ ONLINE

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan17505 жыл бұрын

    Pole saana kaka mungu akupe subra daima

  • @lucykanuti6138

    @lucykanuti6138

    5 жыл бұрын

    Pole sana kaka angu Hata ivyo Mungu alikuwa upande wako. Ila jamani wanawake wezangu tujitahidi kuwatii waume zetu Mmeo ata akiamka saa 8 au saa 9 kujiandaa kwenda kazini ni wajibu wako nawe kuamka kuandaria Mme wako vitu vya kazini kama unavyomwuandaa mtoto kwenda shule

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77545 жыл бұрын

    Binadamu Kweli Siku Zote Omba Mungu Akupe Akiri Akikupa Mwili Mkubwa Mzigo Tu Wa Bure Mwenzio Anasimulia Mashaibu Aliokutana Nayo Wewe Bila Kuchunguza Unaongea Tu Eti Uongo Huo Ivi Unaesema Ivo Uko Na Akili Timamu Fanya Uchunguzi Arafu Ukiona Sio Kweli Iri Tukio Alipo Unastaili Kusema Ni Uongo Usiseme Ni Uongo Kabla Ya Kuchunguza Tukio

  • @annasayi4101

    @annasayi4101

    5 жыл бұрын

    Awadhi Rajabu

  • @blooperscorrectorelulu1566

    @blooperscorrectorelulu1566

    5 жыл бұрын

    Inawezekana ikawa story ya kweli lakini jiulize hizo videos zimetoka wapi wakati huyo juma alikuwa akienda kwenye shughuli zake bila kurekodiwa, hapo ndo utaamini kina vitu vimewekwa nda ya hii story ambavyo sio real

  • @umulkheirshivanhassan5464

    @umulkheirshivanhassan5464

    5 жыл бұрын

    Wamefanya hivi ili watu waelewe

  • @shufaaayoub2230
    @shufaaayoub22305 жыл бұрын

    Sasa kama ni kweli pole sana Mungu ashkuriwe

  • @nuraydasworld4431
    @nuraydasworld44315 жыл бұрын

    Story nzuri sana mashallah, na nyie wengine acheni ujinga lazima waeke uhalisia kwenye story

  • @dullahkesi9547

    @dullahkesi9547

    5 жыл бұрын

    Warda Yussuf

  • @zawadikalugira2676
    @zawadikalugira26763 ай бұрын

    pole sana Juma.Mungu yupo.

  • @faridajuma6645
    @faridajuma66455 жыл бұрын

    Jaman story zenu nzuri ila hii imezidi matangazo mpaka ina boa sasa

  • @hailatyhamissi3114
    @hailatyhamissi31144 жыл бұрын

    mimi sijaelewa hapo jamani hii ni movie au maana naona anaelezea na picha tunaonyeshwa kama movie

  • @kassimsaid6695
    @kassimsaid66955 жыл бұрын

    hongereni mnajua kuigiza

  • @barkeabdullah4285
    @barkeabdullah42855 жыл бұрын

    Watu ni wa ajabu sana humu hem. Fatilieni vzr ndo mtajua na mtailewa vzr yy uyo anahadithia ila upande mwengine wamefsnya Kama story ili ilete uhalisia jinsi ilivyokua

  • @umulkheirshivanhassan5464

    @umulkheirshivanhassan5464

    5 жыл бұрын

    Uko sa hihi

  • @dullamapesa2086

    @dullamapesa2086

    5 жыл бұрын

    Pre

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge19244 жыл бұрын

    Kama mtu ajasoma fasihii simulizi kamwe kamwe awezi kuinjoi hii simulizi .kama uelewi left mapema.

  • @aliarkam1413
    @aliarkam14135 жыл бұрын

    Allah akuzidishie akulinde namitihani

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala83855 жыл бұрын

    God is able, usipite bila comment

  • @Mwaingya
    @Mwaingya4 ай бұрын

    Pole Dana kaka yangu

  • @jambofilm3019
    @jambofilm30195 жыл бұрын

    Wakti mwengine pls ndugu mtangazaji elezea kisa wewe kwani janaa hanamvuto wa kuelezea anaboa sana igawa kisa ni kizuri hilo ni wazo wangu

  • @user-ln2ht2gt5p

    @user-ln2ht2gt5p

    5 жыл бұрын

    Km ulikua unaumia wenge elezea ww

  • @jaliakamote5485

    @jaliakamote5485

    5 жыл бұрын

    Angeeleza mtangazaji tungesema uongo lkn hapa tumeamini

  • @hamidabdalla1814

    @hamidabdalla1814

    5 жыл бұрын

    Tatizo anaelezea kama ni hadisi ya kupangwa ivii

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    Kila mtu na alivo jaliwa na upewe wa sura yake at ivo amejitahidi

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    Hashwa🤝

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Pole sana kijana mwenzetu

  • @halinishmachache2515

    @halinishmachache2515

    4 жыл бұрын

    Pole sana na Mola atakuvusha na penginepo penye dhiki 😥😢

  • @dorotiakwoba3728

    @dorotiakwoba3728

    4 жыл бұрын

    @@halinishmachache2515 mungu akunusuru kwa yte.asate Sana ee mwenye enzi

  • @EStyle-xf1cb
    @EStyle-xf1cb5 жыл бұрын

    That a true friend.

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Pole sana kijana juma mungu akujaalie uwe na subra kwa changa moto zinazo kupata

  • @shadrackdamiani8248
    @shadrackdamiani82485 жыл бұрын

    pole sana nyota tena

  • @masoudkhan7755
    @masoudkhan77555 жыл бұрын

    Is me masoudkhan nime penda hii pia nawakubali sana na hizi story zenu cz nikisharudi home kutoka kazini Zina nifariji na kunifunza na kunijenga kama mwenaadam ambae naishi hongereni

  • @professorzola7742
    @professorzola77424 жыл бұрын

    Kama umeiyona kofia yavbabubgonga like

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70435 жыл бұрын

    Mungu wangu kama move vile pole sana kijana

  • @SaudaOmary-jr5tm

    @SaudaOmary-jr5tm

    5 жыл бұрын

    pole sana kaka

  • @ussihadji2248
    @ussihadji2248 Жыл бұрын

    Pole sn kijana juma ila suala la ukozi siku ya 4 anaenda baharini mtu mmoja kufanya uokozi ndio kwanza leo naliona, kule kwetu Nungw team ya watu inajigawa pande tatu za bahar kwa ajili ya kutfta walokutwa na mtihan huo, ni jambo la kujifnza kwa kwl

  • @mwagentedy9402
    @mwagentedy94024 жыл бұрын

    Haya mambo yapo na bora yanawekwa humu tujifunze na tuamini Mungu yupo

  • @mwajumajumamwajumajuma593
    @mwajumajumamwajumajuma5934 жыл бұрын

    Pole san kaka ila mwenyez mungu ndo kila kitu mungu kwanza

  • @cnt1centredesnouvellestech935
    @cnt1centredesnouvellestech9354 жыл бұрын

    pole sana kabisa

  • @hassanjumaamtenda9504
    @hassanjumaamtenda95043 жыл бұрын

    Mungu Ni mwema pole Sana broo

  • @lucymrena3701
    @lucymrena37015 жыл бұрын

    wamama tusiwajibu Waume zetu vibaya.hatujui Safari zao.penginee zikawa zamajuto baadaye.au Faraja tuwapende wakat wote

  • @jaliakamote5485

    @jaliakamote5485

    5 жыл бұрын

    Yaani umesema kweli binafsi hatakulala bila maelewano cpendi

  • @hamudmuhammed536

    @hamudmuhammed536

    4 жыл бұрын

    dah nnaleo yasita mkewangu hanisemeshi

  • @tourismtourism9204

    @tourismtourism9204

    4 жыл бұрын

    Mtu haulizi mke wake vuzuri wewewe kwani ni mnyama?

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    Saw saw

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael25015 жыл бұрын

    That is good idea

  • @aishaaaa6987
    @aishaaaa69875 жыл бұрын

    Amakweli kuna baadhi ya wanandoa hawana upendo na ndoa zao daah, et wamuamsha mkeo eeeh eeehe mke hajamuamsha kuswali na wala mke hana mapenzi na mumewe. Jamani tujitahidi kupendana wanandoa kwa hali yoyote ya kimaisha , shukrani

  • @villa5025

    @villa5025

    5 жыл бұрын

    Pengine yupo kwenye siku zake

  • @aishaaaa6987

    @aishaaaa6987

    5 жыл бұрын

    @@villa5025 Nilijua tu kama mtapata cha kusingizia, ila hata kama ndio usimuhudumie mumeo pindi ajiandaapo kwenda kazini?

  • @shamimasalim6912

    @shamimasalim6912

    5 жыл бұрын

    AISHA Aaa wengine wakiwa kwenye siku zao huwa na kibri sana habbty yani ukiongea nae hakuachi salama

  • @belgieboys9867

    @belgieboys9867

    5 жыл бұрын

    inanyoonesha mume ndio mwenye makosa

  • @harounali9057

    @harounali9057

    5 жыл бұрын

    Maoni yangu na yako naona tuko sawa

  • @agnesyusufu9969
    @agnesyusufu99695 жыл бұрын

    Pole kaka yangu

  • @saidkhalfan3785
    @saidkhalfan37855 жыл бұрын

    Stori zenu zinaboa , stori ya dakika 3 munaifanya ichukuwe saa nzima ... Unanibidi ni skip 10 seconds rapidly

  • @saidiyasini1890

    @saidiyasini1890

    4 жыл бұрын

    Sio lazima kuangalia ok

  • @misscoast3174

    @misscoast3174

    4 жыл бұрын

    yani ndefuuu mpaka kero

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Kelo

  • @saidkhalfan3785

    @saidkhalfan3785

    4 жыл бұрын

    @@saidiyasini1890 ondoa account bac kwenye youtube maana itakua huna la maana

  • @saidkhalfan3785

    @saidkhalfan3785

    4 жыл бұрын

    @@misscoast3174 kweli

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57965 жыл бұрын

    Kwani hamchukui baruti au filimbi pindi mnapokutwa na tatizo mkatoa alert! Ukipiga kelele msaada msaada si utachoka!!!!

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala83855 жыл бұрын

    Ona Mungu anavyo mpeleka kwa miujiza

  • @habibtyjojo4291

    @habibtyjojo4291

    4 жыл бұрын

    😌😌

  • @rashdhamdun
    @rashdhamdun5 жыл бұрын

    Juma kwanza mshukuru Mungu pia rafik ulionae ni rafik wa kweli ata mkeo ye pia anakupena pole sana juma ila Mungu anakupenda

  • @alifarah9459
    @alifarah94595 жыл бұрын

    Hakika hiii ni fahari yetuuu

  • @jamillaibrahim7068
    @jamillaibrahim70685 жыл бұрын

    😃 😃 Watanzania wanchojua ni umbea n kuchambana kw mitandao.... Mtu. Ety vdeo Uli record saa ngp hi n Hali halisi ndo mwelewe watu kma nyie mazuzu 😂 povu ruhusa

  • @dazuuhmd819

    @dazuuhmd819

    5 жыл бұрын

    Tatizo hukusoma mwanzo vile msg

  • @dazuuhmd819

    @dazuuhmd819

    5 жыл бұрын

    Zilizo anza kabla ya story

  • @jenifajackson4095

    @jenifajackson4095

    4 жыл бұрын

    Ata mi nimeshtuka mchongo sababu hii wanayotuwekea sio halisi Bali wameigiza kabisa mfyuuuuuue 😏😏😏😏😂😂

  • @user-dr7ug7iv9s
    @user-dr7ug7iv9s5 жыл бұрын

    Nawafatilia sana hkuna vdeo zenu zinazo npita

  • @mbwanagora5023

    @mbwanagora5023

    3 жыл бұрын

    Pole sana kaka

  • @juliasmtobesya5031
    @juliasmtobesya50314 жыл бұрын

    Stori imejaa uwalakini. Stori inasimuliwa kwa kuchekacheka na kusitasita! Nafikiri kuna mengine mengi yasiyo ya kweli yameongezwa ili kutaka kufurahisha watu. Hii ni sawa na hadithi zile za "Hapo zamani, Paka na Panya walikuwa marafiki. Paka akumuambia Panya, rafiki yangu tu .........." Uhauri wangu: Tumieni vizuri nafasi na vyombo kama hivi katika kutoa elimu na mafundisho ya kweli kwa wanannchi na si kupiga soga za kitoto zisizo na msingi.

  • @naomigathoni299
    @naomigathoni2995 жыл бұрын

    Speechless 😭😭😭😭, pole kaka.

  • @husseinomary4466
    @husseinomary44665 жыл бұрын

    Watu tumepotea wiki natukatoka kwa mungu kila kitu kinawezekena

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic27044 жыл бұрын

    Jamani pole Sana kaka Allah zaidi

  • @komboussi8247

    @komboussi8247

    4 жыл бұрын

    P

  • @khadijaa815
    @khadijaa8155 жыл бұрын

    Si uzuri kurikodi mpk chumbani alolala na kufonya yote mkayaonesha mambo mengine yanastiriwa

  • @mohamedsiadi8144

    @mohamedsiadi8144

    5 жыл бұрын

    Khadija Alriyami iyo ni ku acti tu si kweli

  • @umiy1971

    @umiy1971

    5 жыл бұрын

    sifikirii kama hapo ndio kwao hata hao waloakti sio wenyewe mbona

  • @omarisuya4181

    @omarisuya4181

    5 жыл бұрын

    Khadija Alriyami

  • @salumseif8495

    @salumseif8495

    4 жыл бұрын

    Khadija Alriyami hahahahahahaha sio vzuri😂😂😂

  • @eastzuuzuu7050
    @eastzuuzuu70504 жыл бұрын

    Ktv tz online nawashaur muambie viongozi kwenye vivuko vya barabara kama darajani. Jamhuri gaden .kituo cha daladala michenzani na sehem zenye mikusanyiko kama kwerekwe n.k waeke vivuko vya juu kuepusha misongamano ya gari na wa2 kama dar au nchi nyengine.kwa ajili ya watembea kwa miguu

  • @suhailauwesu8896
    @suhailauwesu88964 жыл бұрын

    Ila muandish mungu anakuona

  • @ndayikengurukiyejeanmarie9195
    @ndayikengurukiyejeanmarie91955 жыл бұрын

    Movie ni nzuli mnajua kuigiza kweli

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil98352 жыл бұрын

    Kichwa cha habari kiwe na uhalisia na tukio kama ni habari tujuwe na kama ni hadithi tuwe upuuzi mwengine ubakie kwa wapuuzi wenyewe

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis28374 жыл бұрын

    Hatar sana dunia na mitihan

  • @adanletoo2530
    @adanletoo25305 жыл бұрын

    nima muda wa kusoma comment zote ila kwa wenye comment ndefu sina muda

  • @benjoliga1136
    @benjoliga11365 жыл бұрын

    Pole sana kwa kijana huyo ila najiuliza mbona video imechukuliwa kama vile ni movie?? Naomba nieleweshwe vizuri

  • @Tam_media2548

    @Tam_media2548

    4 жыл бұрын

    Hii inaitwa documentary... Mtu hueleza hadithi ya maisha yake au tukio fulani lililowahi kumpata. Kisha linaandikiwa scripts... Na kuchukua shot zote ndani ya tukio lake ili ilete uhalisia.... This is documentary.... Search hapa KZread neno documentary utaletewa hata za nje ya Tanzania ndio utaletewa vye ma

  • @luckyndinisa3920
    @luckyndinisa39205 жыл бұрын

    Yaani story zenu hazina mpango mnatumalizi bando

  • @mossikhafidh8004
    @mossikhafidh80044 жыл бұрын

    Pole sn Allah azidi kukufanyia wepes

  • @elinahdaudi8195
    @elinahdaudi81955 жыл бұрын

    Story ni nzuri lakini hajasimulia kwa majonzi/Masikitiko bora hata sauti ya mtangazaji inamajonzi.

  • @devaeda8234
    @devaeda82345 жыл бұрын

    huyu jamaa story nzuri ila hajui kuongea kama wengne wanavyongea kwa kujiamini 😆

  • @aishwaryakapoor9565

    @aishwaryakapoor9565

    4 жыл бұрын

    Apo ni kweli anaogean ni kama maneno anayatafuta

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir44905 жыл бұрын

    Ile kofia kumbe ilikua haina maana ya yoyotr kwenye hii stori ni kama mchezo tu wa kibongo ukamilie muda basi Nadhani ingeweza kua ya dakika 15 ingependeza. By the way story nzuri sana Ila mbali na kurudi kwa mungu waafrika tubadilike ni kosa kubwa kufanya kazi peke yako na ni kosa kubwa kujaribu kumuokoa mtu ukiwa peke yako mnaweza kufa nyote

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari47315 жыл бұрын

    😂😂😂MIMI JEURI LAKINI SIKUWAH KUFIKILIA KAMA NITAKUJA KUMFYONYA MUMEWANGU OR MCHUMBA ANGU ATAKAMA KANIUZI VIPI LABLA TUWE TUNACHEZA APO ATAIPOKEA KAMA YOTE MIFYONZ😂😂ILA POLE MWAYA

  • @aliy3303

    @aliy3303

    5 жыл бұрын

    Bless you

  • @niaanthony9588

    @niaanthony9588

    5 жыл бұрын

    Wallah wanawake tuache jeuri

  • @mwagentedy9402
    @mwagentedy94024 жыл бұрын

    Nashauri aachane kabisa na kazi ya uvuvi aangalie namna nyingine ya kuishi

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah54775 жыл бұрын

    Hii tabia ya kufanya kama move mm sipendiiiiii mna boa ndo maana watu wanasema uongo

  • @valentineamani291
    @valentineamani2914 жыл бұрын

    mmmmh papa bahari ya India so kwwll

  • @saudakibanda9239
    @saudakibanda92394 жыл бұрын

    Acheni uwongoo story imetengenezwa ya ukweli inajulikanaa

  • @abrahamlucas6792
    @abrahamlucas67925 жыл бұрын

    Pole sana

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah18873 ай бұрын

    Hii kweli au hadithi

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53495 жыл бұрын

    Huyu ndo rafiki wa kweli

  • @tztech9105
    @tztech91054 жыл бұрын

    Muokope Mungu wewe acha uongo ko ulienda baharini na dairecta

  • @fatmasaid3683
    @fatmasaid36834 жыл бұрын

    Siku zote mwanadamu hana uwezo mbele ya alitakalo Mola wake.

  • @user-dr7ug7iv9s
    @user-dr7ug7iv9s5 жыл бұрын

    KTV NAWAKUBALI SANA

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani34285 жыл бұрын

    pole sana kaka sik nyengine beba maj ya kunywa hat na kipol kilichobak usiku au mikate

  • @zadadee1094
    @zadadee10945 жыл бұрын

    Wale walio shuhudia ingalikua vyema pia wangeekwa kukifanya kisa kiwe na interest zaid ....

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis12615 жыл бұрын

    Pole saana

  • @azizasaid575
    @azizasaid5755 жыл бұрын

    Story nzuri ila nindogo mumeifanya kua ndefu unasubiria hadi unachoka au upeleke mbele ila mumejitahidi

  • @tantwistar1042

    @tantwistar1042

    5 жыл бұрын

    Kwel wachane wana zinguwaaa bhanaas

  • @cynthyazubery5986
    @cynthyazubery59865 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa

Келесі