HUEZI AMINI KILICHOMKUTA KIJANA ALIEPOTEA BAHARINI MASAA 98
Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD.
Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea.
Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Nliponea_Chupuchupu #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Imeandaliwa na KTV TZ ONLINE
Camera
-Omar Mohammed (OJ)
-Mwarabu Mmadi
Crew & Cast
Khamis H Khamis
Othman (Blaki)
Tunda
Naration
Masoud Maganga
Writen & Directed by
Hakyam Malik
c)
Пікірлер: 447
Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD. Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea. Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.
@nyamwanzirukamba6982
5 жыл бұрын
KTV TZ ONLINE tumshukuru mungu kila jambo nimuweza
@armadajnr.7988
5 жыл бұрын
Haina haja ya nyinyi kueka clip zenu za video anatakiwa yeye mwenyewe asimulie mnapoteza mvuto wa simulizi iyo nenda tembelea channel ya KUTOKA UGHAIBUNI mjifunze kidogo kuiga kizuri sio vibaya
@omarbashir3261
5 жыл бұрын
Stop recreating the scenes, you're making the story loose its sense of originality.
@DjmubaTechServices
5 жыл бұрын
@@armadajnr.7988 haipotezi mvuto, ila sema wanaikatisha story, bora wangeweka story na clips ziende sambamba
@allyfaki452
5 жыл бұрын
sasa mbona anavosimulia kama vile ni hadithi ya kutunga
Subhana Allah Subhana Allah,,,pole sana ,,, Jaman tunapo kosana sisi wanandowa. Tusameheyana kabla waume zetu kuenda ktk kutafuta Risk ni mitihan kwa kweli,,,mda mwengine sisi wanawake tunasababisha sis matatizo kwa waume zetu ,,, Allah atusamehe kwa sote Yarrab
mafunzo Mazur thanks from Kenya like it
Sina zaidi ya kusema pole sana kaka amini wazi kuwa yote ni mitihani ya maisha na majaribio kutoka kwa Allah... Allah ndie ndo kila kitu kwetu sisi wanaadam na hata ivo hata Nabiii Yunus pia alijaaliwa mitihani kama iyoo... Pole sana kijana pole sana tena pole...
Dah hii str kwa ukiisklz itakutoa choz pole sn ndugu yetu mwislm kwa mikasa iliyokukumba ila asiache kumcha mungu. Ila pia Ktv tz online nawakubali sn yaani mko juu kwa kuifunza na kuijuza jamii kwa matukio yanotokea hongereni sn kwa hilo
@zakiamtiti4039
4 жыл бұрын
Wanaadamu wasiokuwa nauelewa BC wanazungumza upuuzi mtupu kwakutoelewa story hali yakuwa bongo movie zinawaliza na c zakweli
Pole sana ndochangamoto hizo katika halakati zakutafuta maisha nakuombea kwamungu akufanyie wepesi
Pole kaka kwa mitihani uliopitia Mungu hamtupi mja wake
Very sad....inahuzunisha kiukweli... Nna ombi moja kw kijana juma.. Allah kakuvuwa salama ktk mtihani sema alhamdulillah... Katika kipindi chote ulichokuwa ktk maji sikuona hata mara moja ukiswali....maybe kutokana na uzaifu wako wakiafya... maybe hukuweza kujuwa nyakati za sala.....Juma Allah kakuvuwa salama...unastahiki kizilipa swala zote ambazo zimekupita...isabu siku ulizokaa ktk maji kisha hisabu vipindi ulivovikosa vilipe...lipa swala ndugu yangu umetoka pazito...Pole sn kw mitihani..
@mariumkassim6675
4 жыл бұрын
Daaa pole sana mungu mkubwa
@love__ness7943
3 жыл бұрын
Alhamdulillah
Pole sana kaka ,,, Allah atuhifadhi kwa sote fii Duniya wal-akhera ,،,, amiiiiiin
this is the kind of friend y'all need in your lives......yule mwenye ukipotea anaweza kutumia an extra mile kukutafta until akupate and not the fake ones
@jaliakamote5485
5 жыл бұрын
Yap.
@abdulrahimkhamis7547
4 жыл бұрын
Sawa mzung bwege we!!!
Ndug pole sana kw hayo mungu akutawale daima ktk maisha yako
usimuliaji huu wa hadithi ni wa nchi za nje nimefurahi na sisi tz tumeweza kufikia huko...hongereni KTV online
@ngasaramadhan6914
5 жыл бұрын
,
@rajaburashid6043
3 жыл бұрын
Pole sana
Pole san kaka mwnyezi mungu ni mwema kwa waja wake siku zote za maisha yetu
Hii hbr nzur Ila ufikishaj wake kwetu tunalipokea kma mchezo wa kuigiza .
Duhhhh Allah akuvue hilo na jengine... Ama kwel mungu mkubwa na akufaae kwa dhiki ndio wako rafiki...!!!!
@sulainmmanibnimaliki1399
5 жыл бұрын
hafsa thabit mambo vp
Hakika mwenyezi mungu ni muweza
Pole Kaka angu kweli na mungu hawezi akakuacha pabaya
Pole sana Juma umeniliza aki mungu akupe umri naafya njema akuepushe na kila shari love u big Bro nkwa inchi jirani kanya
Pole kaka kwakweli kisa chako kimenitoa machozi na nimejifunza kitu flani
Wallah Machozi yamenitoka km yote, Pole sn Juma Mungu hamtupi mja wake
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Pole sana Juma Allah Karem
Wanaume mkiwa mnatok majumban muwe mnaagan vizur na wake zenu huwend akakuombea hata dua
Ajaribu kwenda kanisani huyo mtoto alitupiwa pepo anahitaji maombi mungu amsaidie
Ktv muko vizuri kiufundi wa kutoa hadithi, kama filamu vile😃
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
Mifano haiy
dah! pole brooo kwenye kazi yako ndo kwenye mauti yako lkn kuna mambo cvizur mtu kufanya akiwa peke yaku kwenda kuvua kulala peke yako vyote ivo sio vzr Allah utulinde inshallah
@shammoha5297
5 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbil allamiin
Pole sana Mpendwa majarb nsehem ya maisha
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
Kabisa 🤝
Muamini mungu kilajambo ni vizuri sana
@dorotiakwoba3728
4 жыл бұрын
@Penina Haruna mbona sura ya mvuvi n tofauti na yko iyo,Ana mwanya nawe huna mwanya,eeeeeeh
Alhamdulilah mungu akunusu kwe ngine InshAllah heri
Pole Sana kaka inahuzunisha Sana mpaka chozi limenitoka😭
Ndugu zangu hata kama niwewe unataka kutoa hstry ya k2 fulan lazma utoe vdeo hata kama za m2. Mwngne ili stry yako iende vzr mm na wawlewa sana kwenye hiii chanenl nawakubali sana
@hudhud2022
5 жыл бұрын
Ee e ndio unamuasha mkeo Subhanallah
MashaAllah. Story ya yakusikitisha pia tumejifunza vitu kadhaa. Shukran KTV TZ ONLINE
Pole saana kaka mungu akupe subra daima
@lucykanuti6138
5 жыл бұрын
Pole sana kaka angu Hata ivyo Mungu alikuwa upande wako. Ila jamani wanawake wezangu tujitahidi kuwatii waume zetu Mmeo ata akiamka saa 8 au saa 9 kujiandaa kwenda kazini ni wajibu wako nawe kuamka kuandaria Mme wako vitu vya kazini kama unavyomwuandaa mtoto kwenda shule
Binadamu Kweli Siku Zote Omba Mungu Akupe Akiri Akikupa Mwili Mkubwa Mzigo Tu Wa Bure Mwenzio Anasimulia Mashaibu Aliokutana Nayo Wewe Bila Kuchunguza Unaongea Tu Eti Uongo Huo Ivi Unaesema Ivo Uko Na Akili Timamu Fanya Uchunguzi Arafu Ukiona Sio Kweli Iri Tukio Alipo Unastaili Kusema Ni Uongo Usiseme Ni Uongo Kabla Ya Kuchunguza Tukio
@annasayi4101
5 жыл бұрын
Awadhi Rajabu
@blooperscorrectorelulu1566
5 жыл бұрын
Inawezekana ikawa story ya kweli lakini jiulize hizo videos zimetoka wapi wakati huyo juma alikuwa akienda kwenye shughuli zake bila kurekodiwa, hapo ndo utaamini kina vitu vimewekwa nda ya hii story ambavyo sio real
@umulkheirshivanhassan5464
5 жыл бұрын
Wamefanya hivi ili watu waelewe
Sasa kama ni kweli pole sana Mungu ashkuriwe
Story nzuri sana mashallah, na nyie wengine acheni ujinga lazima waeke uhalisia kwenye story
@dullahkesi9547
5 жыл бұрын
Warda Yussuf
pole sana Juma.Mungu yupo.
Jaman story zenu nzuri ila hii imezidi matangazo mpaka ina boa sasa
mimi sijaelewa hapo jamani hii ni movie au maana naona anaelezea na picha tunaonyeshwa kama movie
hongereni mnajua kuigiza
Watu ni wa ajabu sana humu hem. Fatilieni vzr ndo mtajua na mtailewa vzr yy uyo anahadithia ila upande mwengine wamefsnya Kama story ili ilete uhalisia jinsi ilivyokua
@umulkheirshivanhassan5464
5 жыл бұрын
Uko sa hihi
@dullamapesa2086
5 жыл бұрын
Pre
Kama mtu ajasoma fasihii simulizi kamwe kamwe awezi kuinjoi hii simulizi .kama uelewi left mapema.
Allah akuzidishie akulinde namitihani
God is able, usipite bila comment
Pole Dana kaka yangu
Wakti mwengine pls ndugu mtangazaji elezea kisa wewe kwani janaa hanamvuto wa kuelezea anaboa sana igawa kisa ni kizuri hilo ni wazo wangu
@user-ln2ht2gt5p
5 жыл бұрын
Km ulikua unaumia wenge elezea ww
@jaliakamote5485
5 жыл бұрын
Angeeleza mtangazaji tungesema uongo lkn hapa tumeamini
@hamidabdalla1814
5 жыл бұрын
Tatizo anaelezea kama ni hadisi ya kupangwa ivii
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
Kila mtu na alivo jaliwa na upewe wa sura yake at ivo amejitahidi
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
Hashwa🤝
Pole sana kijana mwenzetu
@halinishmachache2515
4 жыл бұрын
Pole sana na Mola atakuvusha na penginepo penye dhiki 😥😢
@dorotiakwoba3728
4 жыл бұрын
@@halinishmachache2515 mungu akunusuru kwa yte.asate Sana ee mwenye enzi
That a true friend.
Pole sana kijana juma mungu akujaalie uwe na subra kwa changa moto zinazo kupata
pole sana nyota tena
Is me masoudkhan nime penda hii pia nawakubali sana na hizi story zenu cz nikisharudi home kutoka kazini Zina nifariji na kunifunza na kunijenga kama mwenaadam ambae naishi hongereni
Kama umeiyona kofia yavbabubgonga like
Mungu wangu kama move vile pole sana kijana
@SaudaOmary-jr5tm
5 жыл бұрын
pole sana kaka
Pole sn kijana juma ila suala la ukozi siku ya 4 anaenda baharini mtu mmoja kufanya uokozi ndio kwanza leo naliona, kule kwetu Nungw team ya watu inajigawa pande tatu za bahar kwa ajili ya kutfta walokutwa na mtihan huo, ni jambo la kujifnza kwa kwl
Haya mambo yapo na bora yanawekwa humu tujifunze na tuamini Mungu yupo
Pole san kaka ila mwenyez mungu ndo kila kitu mungu kwanza
pole sana kabisa
Mungu Ni mwema pole Sana broo
wamama tusiwajibu Waume zetu vibaya.hatujui Safari zao.penginee zikawa zamajuto baadaye.au Faraja tuwapende wakat wote
@jaliakamote5485
5 жыл бұрын
Yaani umesema kweli binafsi hatakulala bila maelewano cpendi
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
dah nnaleo yasita mkewangu hanisemeshi
@tourismtourism9204
4 жыл бұрын
Mtu haulizi mke wake vuzuri wewewe kwani ni mnyama?
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
Saw saw
That is good idea
Amakweli kuna baadhi ya wanandoa hawana upendo na ndoa zao daah, et wamuamsha mkeo eeeh eeehe mke hajamuamsha kuswali na wala mke hana mapenzi na mumewe. Jamani tujitahidi kupendana wanandoa kwa hali yoyote ya kimaisha , shukrani
@villa5025
5 жыл бұрын
Pengine yupo kwenye siku zake
@aishaaaa6987
5 жыл бұрын
@@villa5025 Nilijua tu kama mtapata cha kusingizia, ila hata kama ndio usimuhudumie mumeo pindi ajiandaapo kwenda kazini?
@shamimasalim6912
5 жыл бұрын
AISHA Aaa wengine wakiwa kwenye siku zao huwa na kibri sana habbty yani ukiongea nae hakuachi salama
@belgieboys9867
5 жыл бұрын
inanyoonesha mume ndio mwenye makosa
@harounali9057
5 жыл бұрын
Maoni yangu na yako naona tuko sawa
Pole kaka yangu
Stori zenu zinaboa , stori ya dakika 3 munaifanya ichukuwe saa nzima ... Unanibidi ni skip 10 seconds rapidly
@saidiyasini1890
4 жыл бұрын
Sio lazima kuangalia ok
@misscoast3174
4 жыл бұрын
yani ndefuuu mpaka kero
@sidratybinkhamis2837
4 жыл бұрын
Kelo
@saidkhalfan3785
4 жыл бұрын
@@saidiyasini1890 ondoa account bac kwenye youtube maana itakua huna la maana
@saidkhalfan3785
4 жыл бұрын
@@misscoast3174 kweli
Kwani hamchukui baruti au filimbi pindi mnapokutwa na tatizo mkatoa alert! Ukipiga kelele msaada msaada si utachoka!!!!
Ona Mungu anavyo mpeleka kwa miujiza
@habibtyjojo4291
4 жыл бұрын
😌😌
Juma kwanza mshukuru Mungu pia rafik ulionae ni rafik wa kweli ata mkeo ye pia anakupena pole sana juma ila Mungu anakupenda
Hakika hiii ni fahari yetuuu
😃 😃 Watanzania wanchojua ni umbea n kuchambana kw mitandao.... Mtu. Ety vdeo Uli record saa ngp hi n Hali halisi ndo mwelewe watu kma nyie mazuzu 😂 povu ruhusa
@dazuuhmd819
5 жыл бұрын
Tatizo hukusoma mwanzo vile msg
@dazuuhmd819
5 жыл бұрын
Zilizo anza kabla ya story
@jenifajackson4095
4 жыл бұрын
Ata mi nimeshtuka mchongo sababu hii wanayotuwekea sio halisi Bali wameigiza kabisa mfyuuuuuue 😏😏😏😏😂😂
Nawafatilia sana hkuna vdeo zenu zinazo npita
@mbwanagora5023
3 жыл бұрын
Pole sana kaka
Stori imejaa uwalakini. Stori inasimuliwa kwa kuchekacheka na kusitasita! Nafikiri kuna mengine mengi yasiyo ya kweli yameongezwa ili kutaka kufurahisha watu. Hii ni sawa na hadithi zile za "Hapo zamani, Paka na Panya walikuwa marafiki. Paka akumuambia Panya, rafiki yangu tu .........." Uhauri wangu: Tumieni vizuri nafasi na vyombo kama hivi katika kutoa elimu na mafundisho ya kweli kwa wanannchi na si kupiga soga za kitoto zisizo na msingi.
Speechless 😭😭😭😭, pole kaka.
Watu tumepotea wiki natukatoka kwa mungu kila kitu kinawezekena
Jamani pole Sana kaka Allah zaidi
@komboussi8247
4 жыл бұрын
P
Si uzuri kurikodi mpk chumbani alolala na kufonya yote mkayaonesha mambo mengine yanastiriwa
@mohamedsiadi8144
5 жыл бұрын
Khadija Alriyami iyo ni ku acti tu si kweli
@umiy1971
5 жыл бұрын
sifikirii kama hapo ndio kwao hata hao waloakti sio wenyewe mbona
@omarisuya4181
5 жыл бұрын
Khadija Alriyami
@salumseif8495
4 жыл бұрын
Khadija Alriyami hahahahahahaha sio vzuri😂😂😂
Ktv tz online nawashaur muambie viongozi kwenye vivuko vya barabara kama darajani. Jamhuri gaden .kituo cha daladala michenzani na sehem zenye mikusanyiko kama kwerekwe n.k waeke vivuko vya juu kuepusha misongamano ya gari na wa2 kama dar au nchi nyengine.kwa ajili ya watembea kwa miguu
Ila muandish mungu anakuona
Movie ni nzuli mnajua kuigiza kweli
Kichwa cha habari kiwe na uhalisia na tukio kama ni habari tujuwe na kama ni hadithi tuwe upuuzi mwengine ubakie kwa wapuuzi wenyewe
Hatar sana dunia na mitihan
nima muda wa kusoma comment zote ila kwa wenye comment ndefu sina muda
Pole sana kwa kijana huyo ila najiuliza mbona video imechukuliwa kama vile ni movie?? Naomba nieleweshwe vizuri
@Tam_media2548
4 жыл бұрын
Hii inaitwa documentary... Mtu hueleza hadithi ya maisha yake au tukio fulani lililowahi kumpata. Kisha linaandikiwa scripts... Na kuchukua shot zote ndani ya tukio lake ili ilete uhalisia.... This is documentary.... Search hapa KZread neno documentary utaletewa hata za nje ya Tanzania ndio utaletewa vye ma
Yaani story zenu hazina mpango mnatumalizi bando
Pole sn Allah azidi kukufanyia wepes
Story ni nzuri lakini hajasimulia kwa majonzi/Masikitiko bora hata sauti ya mtangazaji inamajonzi.
huyu jamaa story nzuri ila hajui kuongea kama wengne wanavyongea kwa kujiamini 😆
@aishwaryakapoor9565
4 жыл бұрын
Apo ni kweli anaogean ni kama maneno anayatafuta
Ile kofia kumbe ilikua haina maana ya yoyotr kwenye hii stori ni kama mchezo tu wa kibongo ukamilie muda basi Nadhani ingeweza kua ya dakika 15 ingependeza. By the way story nzuri sana Ila mbali na kurudi kwa mungu waafrika tubadilike ni kosa kubwa kufanya kazi peke yako na ni kosa kubwa kujaribu kumuokoa mtu ukiwa peke yako mnaweza kufa nyote
😂😂😂MIMI JEURI LAKINI SIKUWAH KUFIKILIA KAMA NITAKUJA KUMFYONYA MUMEWANGU OR MCHUMBA ANGU ATAKAMA KANIUZI VIPI LABLA TUWE TUNACHEZA APO ATAIPOKEA KAMA YOTE MIFYONZ😂😂ILA POLE MWAYA
@aliy3303
5 жыл бұрын
Bless you
@niaanthony9588
5 жыл бұрын
Wallah wanawake tuache jeuri
Nashauri aachane kabisa na kazi ya uvuvi aangalie namna nyingine ya kuishi
Hii tabia ya kufanya kama move mm sipendiiiiii mna boa ndo maana watu wanasema uongo
mmmmh papa bahari ya India so kwwll
Acheni uwongoo story imetengenezwa ya ukweli inajulikanaa
Pole sana
Hii kweli au hadithi
Huyu ndo rafiki wa kweli
Muokope Mungu wewe acha uongo ko ulienda baharini na dairecta
Siku zote mwanadamu hana uwezo mbele ya alitakalo Mola wake.
KTV NAWAKUBALI SANA
pole sana kaka sik nyengine beba maj ya kunywa hat na kipol kilichobak usiku au mikate
Wale walio shuhudia ingalikua vyema pia wangeekwa kukifanya kisa kiwe na interest zaid ....
Pole saana
Story nzuri ila nindogo mumeifanya kua ndefu unasubiria hadi unachoka au upeleke mbele ila mumejitahidi
@tantwistar1042
5 жыл бұрын
Kwel wachane wana zinguwaaa bhanaas
Mungu ni mkubwa