The Story Book BAHARI na Siri zake za Kutisha / Professor Jamal April azama baharini
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 508
Katika the storybook ambazo uliwahi kuzifanya hii ni dop! Hongera sana. Jitahidi ujielekeze kwenye huu mwelekeo kwani tunavyo vitu vingi Tanzania watu hawavijui. Hongera sana kwa maudhui, kifupi huchoshi!
@paulbidyanguze4401
2 жыл бұрын
Very impressive work
@djoe8266
Жыл бұрын
Salumu milanzi unamjua
Kweli nime Amini ww ni professor tena ni wa kwanza kutokea Africa Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akupe afya iliyo njema uzidi kutuelimisha Jamal
Ur documentaries are incredible professor jamal💜✨✨najivunia kuwa mswahili , this is amazing the world should know of ur work📌
Dah inaomba moyo kufanya hivyo kaka. Kweli wewe ni jasari na yote hayo ni kwa sababu yetu ili tujifunze mengi zaidi. Ahsante sana Mungu akubariki
Mara zote kilicho Bora lazima kisifiwe #ProfessorJamal you did it well nimependa the way ambavyo umepresent content ya story, mbali na ubora wa maudhui lakini pia sauti nzuri yenye ladha ya kumshawishi zaidi mkilizaji nayo umebarikiwa hongera sana Lakini ambacho ningeomba as you told us mwanzoni kabisa kuwa utasimulia kuhusiana na mizimu ambayo ipo Zanzibar this also must be good I wish siku moja uisimulie Congratulations to you all wasafi and all who have been included in one way or another to made this for us as your fan we thanks so much and much appriciation and respect to you Guys
Jamal, from kenya here, for real you have talent, big up, bro... gd job, you real inspire people out here ranking you, the top story teller in east Africa....
u riskd yo life for , us ur family, and wasafi too MASHALLAH JAMAL
Tumsapport huyu jamaa yuko vizur, pamoja sana jamal
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2017 katika visiwa vya bongoyo Dar es salaam tulikuwa tumeenda kwa ajili ya uvuvi wa samaki tukatega nyavu yetu ghafla watu wa boya wakaona kurabu zinazama ndio nikatoka mimi na mwezangu tukaelekea majani Kwa ajili ya kufunga madumu kwenye karabu ghafla tukasikia daiva anavuma tabidi tumwambie nahoza Ndipo hapo daiva wetu akaibuka na kuwambia watu kamuona samaki mkubwa wa ajabu
@ibrahmpinga380
3 ай бұрын
malizia story
@RichSide-yo6uf
27 күн бұрын
Ndy
#KING professor tupe na ww story book yako ya maisha 1day
Your the best man gonga like nyingi kwa jamali hapa
Hongera Professor... Am a PADI Scuba Diving Instructor and a girl child mentor...!
Kenyan top comedian Nakurank Jamal amazing talented story taller
Jamal u so genius😂😂kweli unaependa kazi yako😘😘...ua mum must be so proud of u!...the way i was holding my breath😂😂😂ungedhani mimi ndio nmeingia kwa maji...good job mkuu
@visionstudios6804
2 жыл бұрын
Na ushaambiwa ku hold breath is one very big mistake 😅
@POPkateshian
2 жыл бұрын
Julliet mambo
@POPkateshian
2 жыл бұрын
Julliet mambo
@rayyanjulliet4694
2 жыл бұрын
Kateshian safi sana😘
@POPkateshian
2 жыл бұрын
@@rayyanjulliet4694 nkajua umehold breath mpak Leo kumb bado upo hai
Good work Prof Jamal. kindly Bring us the Story of Daniel. Thank you
Tafadhali prof tusimulie kiundan kuhusu maajabu saba ya dunia
Wow ningependa kufika Zanzibar siku moja inshAllah 🙏🏾❤
@kidjhdf7568
2 жыл бұрын
Nikirudi saudia baada ya miezi miwili come home
@abdulmohd3550
2 жыл бұрын
Welcome to zanzibar hakuna matata
@abdulialiy5411
2 жыл бұрын
Karibu zanzibar
@alifahd5795
2 жыл бұрын
Welcome
That guy training Jamal is an expert. Kudos to both of them 👏👏
Kama unamkubali professor gonga like hapa
Daaaah jamal uko jasiri kuingia chini yamaji na hauna uzowefu ni moyo
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
Mm najifunz kuogelea ili nikatafut utajir chini ya Bahar
@hamzanasry8011
2 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 mmmmmmh ok pambana
@adilaamani7027
2 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 utajiri gani
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
@@adilaamani7027 msikilize Jamal vizur ndo utanielew
@ShikoAiddah
Ай бұрын
@@aminatanzanya7475utajiri uko katika hekalu ya mwenyez mngu,wewe wacha bangi
Ur the Best Risk Taker All is kutupea Effectively Perfect Education we deserv Trust me #Prof_JAMAL ur LEGENDARY No one ever try this before #BLESSED🙏😊
Professor Jamal nimeshinda kweli hata hao ma Ptofessor wakweli hawajafanya utafiti kama huo nakupa medani ya Gold 🏅🏅🏅 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umetisha Sana uko daraja la juu Sana huku Africa unapoteza muda ulaya ndio kunakufaa
@khadijaomari9344
2 жыл бұрын
kwaiyo Africa akukai watu acha kua mtumwa
the guy is training Jamal is a professional diver
Big jamari nakukubari kama simba diamond Big Rambo 🦁🦁❤❤❤❤💎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
I really appreciate boss Jamal
Proffessor Jamal we love u thnks kwa kaz zako nzri
We ni mzug uliyevishwa ngoz ya kiafrikaa... Bigupbrodah
Hauna mpinzani kaka wew ni ziadi ya noma kabisaaa
Jamal April nice nakupata nikiwa from 🇧🇮🔥🔥
@dorcasjoseph3179
2 жыл бұрын
Woow
My sweet home
@wazeermousa4386
2 жыл бұрын
Maeneo gn.. bububu au
@awadhally1052
2 жыл бұрын
Faiza❤
@faa0099
2 жыл бұрын
@@awadhally1052 yes
Professor upo njema san kuliko kawaid ila kuna jambo moja liache kipindi unazungumza..... #mapozi yakizidi san baada ya mamb uraharibu... punguza kujitikisa unapozungumza ... Much respect broo ur next level
@filbertivo1988
2 жыл бұрын
Kwel Kabsaaa,,, aweke pozi hzooo akiwaa anahadisia story na sio akiwaa anaongea kawaida
Jamal hongera sana kiukweli The Story book ya mara hii ni ya kipekee sana, umetisha sana Professor, karibu tena Zanzibar.
Ukatae ukubali haka ka jamaa kana stori Kali Sana ILa Ku mambo uwa kanatupiga live Kabisa Or in or kazi nzuri
Hapo ndipo utajakubali uchawi wa mzungu kwa maana ukishavaa hayo mavazi ya Diving hata uwende deep kiasi gani wanyama na viumbe utakavyokutana navyo huko chini vinakuona kama mwenzao vile yann
Dah! Mungu anamaajabu yake. Endelea kutujuza maana bado tuko kwenye Giza . Nakukubali
Daah umejitahidi bro kutafutiya hii story mungu akupe uwezo zaidi tujuwe mengi zaidi kaka one love
Yaan wewe Jamal mungu atakulipa kwa ubunifu huo 🙏🙏🙏
Napenda ubunifu wa kazi yako jamal very good.
Daah, unajitaidi Sana kutuelimisha vile Dunia ilivyo pamoja na viunbe vyake..
Daah Mungu akujarie jamar April na akibariki sana
Najifunza maisha na safari nzr ya maisha kupitia ww kaka ongera my bro kazi nzr kaka mungu Aku bless
Jamari mstafa wewe ni kichwa zaidi ya kichwa hongera kwa kipaji
Am watching you my brother i like what you doing
Jamal I love it....make sure unaweka yenye inaweza kujidownload ndio tuwatch baadaye
Asante sana my brother from another mother
Hongera kwa kweli umishinda majaribu ....binafsi siwez na sitajaribu lbda iwe ni lzm ila mwenyewe Sina hina ndoto
I am delighted to have heard several projects of an amazing storyteller as you sire. I am a voiceartist based in Tanzania and am longing to launch a project with you sir.
@peternjoroge9509
2 жыл бұрын
P0
Unajua sana unachokifanya kaka na team wasafi.
Wasafi 4life♥️🔥😘
really appreciated kwa kazi nzuri brother Jamal , keep moving
Watcha nikupende mwalimu wewewwww ni mwalimu kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩
Brother wee ni hatari sanaa big up sanaa
Wasafi 4life 💎 Napenda Sana Munavyojituma ila zidisheni Vipiti Kwenye Tv...
Wonderful experience never seen before,, dunia ina mengi sana ambayo hatuyajui... Ila yote ya yote ni utukufu wa Mwenyezi Mungu. Ni uumbaji wa kipekee sana,, huwa nashangaa sana wazungu na wanasayansi wanajikita na mambo ya nje ya dunia wakati mambo tuliyo nayo tuu hapa hapa duniani hatujayamaliza
Itoshe kusema tumebarikiwa wapigaji na wadangaji Lkn huyu tulie barikiwa ni professor haswa congratulations all the best
Amen umerudi salama,mungu atukuzwe nakukubali sana mwanangu
Akhy i love this guy from kenya proffesa 💝 39:00 👏
@mwanaharakati1926
2 жыл бұрын
Kenya wapi coz pia mm nko kenya
@abuuakhy4001
2 жыл бұрын
Ni gay ama
@realest_g4hunnid249
2 жыл бұрын
@@abuuakhy4001 hahahahaha i love him like a bro, You people got dirty mind
@realest_g4hunnid249
2 жыл бұрын
@@abuuakhy4001 am not female that's all you need to know
Good I saw my school Zanzibar diving
U are the professional speaker who I do like coz u do explain all that people never know that is why I really like to listen to u
Hongera sana mwenyezimungu akupe hitaji la moyo wako Inshallah
Thanks Jamal for your historic story, am glad you tell it well... I love it👍
Tanzania imebarikiwa, Zanzibar, Mt Kilimanjaro, victoria, Ngorongoro... nyinyi bado mpo usingizini.... your country is the tourist capital of the world....
WE jama una juwa sana aisé 🔥🔥🔥🔥
Ahsant Sana kwa ubunifu wenu tunapata vitu vinavyo vutia na vya tofauti Sana
Hongera saana professor. Tuna kufata toka Uganda
Upo vizuri professor
Creativity one nakukubali sana kaka
Hongera Sana professor April
Ebwana wee wanne kucommet like zidondoke kwa jamar
Baarakallahu fiika Maana nimeinjoy mno.
am really pleased to hear several stories & documentaries from you prof April,, may God be with ue for more good en better works
Napenda hii thestorybook and msimuliz anafanya part yake mashallah
Wasafi mko juu sana kwanin hampewi tuzo
Jamal we ni mkali sana yan....ivo tu
Nakubal Sana broo upo vizur napenda Sana kuangalia the story book
wasafi ni kubwa kwa sababu ina watu wanaosubutu kufanya mambo
Nice experience professor, nimejifunza sana ila ungejali kama ungeandika contacts za hao jamaa ... ningeshukuru sana
I love my Zanzibar
your so amazing and differ I learn many thing to you broh am proud of you nigguh
Nimeipenda sanaaa hii Jamal...safiii sanaaa nice experience..uko vizuri.
hongera kazi zuri Sana 💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪💛💚
Ma sha Allah Baba ,Maman,Mtoto wote umesahau mke wako
Asalam aleykum mashAllah Allah akuzidishie ujasiri natamani ningekua n uwezo nami pia ningefika huko kujionea Ufalme Wa ALLAH
Nenda na kisiwan mafia ukaitangaze kwa vitu vya kitali ila bg up brooo💖💜💞💓
Trainer his so cute Am inlove with him💕Comin to zanzibar🛫
@makalatv2435
2 жыл бұрын
Tenaa
@zuli.comedy.
2 жыл бұрын
Your welcome
Nat Geo should see this.Jamal to the world
Yaani Leo story Book imekuwa dop 👏💪👍
Professor. Kisiwa cha mafia wamewahi kuonekana ao wanaoitwa nguva. Very interested story fanya research hiyo watanzania tutavutiwa sana. Walikuja hata wazungu kufanya utafiti huo 2018
Jamal April is good documentarian , your Good teacher, your good in telling stories don stop bro ever , #thestorybook forever 🙏
@mwanajoy9280
2 жыл бұрын
Professor ni mmoja tuu Africa
Genius professor jamal
Hv hawa wanaobonyezaga dislike huwa wanawazaga nini??😰
uyu jamaa ni proffesor🙌
@moonobio
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/npuYy6xwgriXoaQ.html tu hi
Safi sana jamal nimeipenda hiii story book nimeipenda
Prof Jamal what you are doing is amazing to educate the entire world Shukrani Sana na kongole
Pole sana kwa kazi ngumu
Love you jamal
Video adi raha yaan location inaendana na video💛💛🙌🏿
@shabanizani5539
2 жыл бұрын
Kwel
Tamu story🔥🔥🔥
Kaz mzur jamal respect