The Story Book BAHARI na Siri zake za Kutisha / Professor Jamal April azama baharini

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 508

  • @abubakarmilanzi7861
    @abubakarmilanzi78612 жыл бұрын

    Katika the storybook ambazo uliwahi kuzifanya hii ni dop! Hongera sana. Jitahidi ujielekeze kwenye huu mwelekeo kwani tunavyo vitu vingi Tanzania watu hawavijui. Hongera sana kwa maudhui, kifupi huchoshi!

  • @paulbidyanguze4401

    @paulbidyanguze4401

    2 жыл бұрын

    Very impressive work

  • @djoe8266

    @djoe8266

    Жыл бұрын

    Salumu milanzi unamjua

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph29712 жыл бұрын

    Kweli nime Amini ww ni professor tena ni wa kwanza kutokea Africa Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akupe afya iliyo njema uzidi kutuelimisha Jamal

  • @glynisokello4462
    @glynisokello44622 жыл бұрын

    Ur documentaries are incredible professor jamal💜✨✨najivunia kuwa mswahili , this is amazing the world should know of ur work📌

  • @lupandesimukindje8170
    @lupandesimukindje81702 жыл бұрын

    Dah inaomba moyo kufanya hivyo kaka. Kweli wewe ni jasari na yote hayo ni kwa sababu yetu ili tujifunze mengi zaidi. Ahsante sana Mungu akubariki

  • @haafidhaboubakary3097
    @haafidhaboubakary30972 жыл бұрын

    Mara zote kilicho Bora lazima kisifiwe #ProfessorJamal you did it well nimependa the way ambavyo umepresent content ya story, mbali na ubora wa maudhui lakini pia sauti nzuri yenye ladha ya kumshawishi zaidi mkilizaji nayo umebarikiwa hongera sana Lakini ambacho ningeomba as you told us mwanzoni kabisa kuwa utasimulia kuhusiana na mizimu ambayo ipo Zanzibar this also must be good I wish siku moja uisimulie Congratulations to you all wasafi and all who have been included in one way or another to made this for us as your fan we thanks so much and much appriciation and respect to you Guys

  • @divavlog2764
    @divavlog27642 жыл бұрын

    Jamal, from kenya here, for real you have talent, big up, bro... gd job, you real inspire people out here ranking you, the top story teller in east Africa....

  • @sashah_ace8598
    @sashah_ace85982 жыл бұрын

    u riskd yo life for , us ur family, and wasafi too MASHALLAH JAMAL

  • @theempire4058
    @theempire40582 жыл бұрын

    Tumsapport huyu jamaa yuko vizur, pamoja sana jamal

  • @muadhinalbashary6728
    @muadhinalbashary67282 жыл бұрын

    Nakumbuka ilikuwa mwaka 2017 katika visiwa vya bongoyo Dar es salaam tulikuwa tumeenda kwa ajili ya uvuvi wa samaki tukatega nyavu yetu ghafla watu wa boya wakaona kurabu zinazama ndio nikatoka mimi na mwezangu tukaelekea majani Kwa ajili ya kufunga madumu kwenye karabu ghafla tukasikia daiva anavuma tabidi tumwambie nahoza Ndipo hapo daiva wetu akaibuka na kuwambia watu kamuona samaki mkubwa wa ajabu

  • @ibrahmpinga380

    @ibrahmpinga380

    3 ай бұрын

    malizia story

  • @RichSide-yo6uf

    @RichSide-yo6uf

    27 күн бұрын

    Ndy

  • @dantegraphix7928
    @dantegraphix79282 жыл бұрын

    #KING professor tupe na ww story book yako ya maisha 1day

  • @Dalali_Dodoma
    @Dalali_Dodoma2 жыл бұрын

    Your the best man gonga like nyingi kwa jamali hapa

  • @diasporaadventureswithkadzo
    @diasporaadventureswithkadzo2 жыл бұрын

    Hongera Professor... Am a PADI Scuba Diving Instructor and a girl child mentor...!

  • @mc_mackpesa
    @mc_mackpesa2 жыл бұрын

    Kenyan top comedian Nakurank Jamal amazing talented story taller

  • @rayyanjulliet4694
    @rayyanjulliet46942 жыл бұрын

    Jamal u so genius😂😂kweli unaependa kazi yako😘😘...ua mum must be so proud of u!...the way i was holding my breath😂😂😂ungedhani mimi ndio nmeingia kwa maji...good job mkuu

  • @visionstudios6804

    @visionstudios6804

    2 жыл бұрын

    Na ushaambiwa ku hold breath is one very big mistake 😅

  • @POPkateshian

    @POPkateshian

    2 жыл бұрын

    Julliet mambo

  • @POPkateshian

    @POPkateshian

    2 жыл бұрын

    Julliet mambo

  • @rayyanjulliet4694

    @rayyanjulliet4694

    2 жыл бұрын

    Kateshian safi sana😘

  • @POPkateshian

    @POPkateshian

    2 жыл бұрын

    @@rayyanjulliet4694 nkajua umehold breath mpak Leo kumb bado upo hai

  • @danielmakau5131
    @danielmakau51312 жыл бұрын

    Good work Prof Jamal. kindly Bring us the Story of Daniel. Thank you

  • @mohmajaliwa4446
    @mohmajaliwa44462 жыл бұрын

    Tafadhali prof tusimulie kiundan kuhusu maajabu saba ya dunia

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah1172 жыл бұрын

    Wow ningependa kufika Zanzibar siku moja inshAllah 🙏🏾❤

  • @kidjhdf7568

    @kidjhdf7568

    2 жыл бұрын

    Nikirudi saudia baada ya miezi miwili come home

  • @abdulmohd3550

    @abdulmohd3550

    2 жыл бұрын

    Welcome to zanzibar hakuna matata

  • @abdulialiy5411

    @abdulialiy5411

    2 жыл бұрын

    Karibu zanzibar

  • @alifahd5795

    @alifahd5795

    2 жыл бұрын

    Welcome

  • @otuuyagodson8791
    @otuuyagodson8791 Жыл бұрын

    That guy training Jamal is an expert. Kudos to both of them 👏👏

  • @latifamedina6005
    @latifamedina60052 жыл бұрын

    Kama unamkubali professor gonga like hapa

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry80112 жыл бұрын

    Daaaah jamal uko jasiri kuingia chini yamaji na hauna uzowefu ni moyo

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    Mm najifunz kuogelea ili nikatafut utajir chini ya Bahar

  • @hamzanasry8011

    @hamzanasry8011

    2 жыл бұрын

    @@aminatanzanya7475 mmmmmmh ok pambana

  • @adilaamani7027

    @adilaamani7027

    2 жыл бұрын

    @@aminatanzanya7475 utajiri gani

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    @@adilaamani7027 msikilize Jamal vizur ndo utanielew

  • @ShikoAiddah

    @ShikoAiddah

    Ай бұрын

    ​@@aminatanzanya7475utajiri uko katika hekalu ya mwenyez mngu,wewe wacha bangi

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral2 жыл бұрын

    Ur the Best Risk Taker All is kutupea Effectively Perfect Education we deserv Trust me #Prof_JAMAL ur LEGENDARY No one ever try this before #BLESSED🙏😊

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    Professor Jamal nimeshinda kweli hata hao ma Ptofessor wakweli hawajafanya utafiti kama huo nakupa medani ya Gold 🏅🏅🏅 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel31322 жыл бұрын

    Umetisha Sana uko daraja la juu Sana huku Africa unapoteza muda ulaya ndio kunakufaa

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    2 жыл бұрын

    kwaiyo Africa akukai watu acha kua mtumwa

  • @omarkibwanabaluna2410
    @omarkibwanabaluna24102 жыл бұрын

    the guy is training Jamal is a professional diver

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini99952 жыл бұрын

    Big jamari nakukubari kama simba diamond Big Rambo 🦁🦁❤❤❤❤💎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @evaristmrope
    @evaristmrope2 жыл бұрын

    I really appreciate boss Jamal

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah89082 жыл бұрын

    Proffessor Jamal we love u thnks kwa kaz zako nzri

  • @salim02tv24
    @salim02tv242 жыл бұрын

    We ni mzug uliyevishwa ngoz ya kiafrikaa... Bigupbrodah

  • @peteranthony410
    @peteranthony4102 жыл бұрын

    Hauna mpinzani kaka wew ni ziadi ya noma kabisaaa

  • @muranisalim3572
    @muranisalim35722 жыл бұрын

    Jamal April nice nakupata nikiwa from 🇧🇮🔥🔥

  • @dorcasjoseph3179

    @dorcasjoseph3179

    2 жыл бұрын

    Woow

  • @faa0099
    @faa00992 жыл бұрын

    My sweet home

  • @wazeermousa4386

    @wazeermousa4386

    2 жыл бұрын

    Maeneo gn.. bububu au

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    Faiza❤

  • @faa0099

    @faa0099

    2 жыл бұрын

    @@awadhally1052 yes

  • @abubakariali9848
    @abubakariali98482 жыл бұрын

    Professor upo njema san kuliko kawaid ila kuna jambo moja liache kipindi unazungumza..... #mapozi yakizidi san baada ya mamb uraharibu... punguza kujitikisa unapozungumza ... Much respect broo ur next level

  • @filbertivo1988

    @filbertivo1988

    2 жыл бұрын

    Kwel Kabsaaa,,, aweke pozi hzooo akiwaa anahadisia story na sio akiwaa anaongea kawaida

  • @saidhaji6042
    @saidhaji6042 Жыл бұрын

    Jamal hongera sana kiukweli The Story book ya mara hii ni ya kipekee sana, umetisha sana Professor, karibu tena Zanzibar.

  • @WagulimbaOGonline
    @WagulimbaOGonline2 жыл бұрын

    Ukatae ukubali haka ka jamaa kana stori Kali Sana ILa Ku mambo uwa kanatupiga live Kabisa Or in or kazi nzuri

  • @pembemussa2804
    @pembemussa28042 жыл бұрын

    Hapo ndipo utajakubali uchawi wa mzungu kwa maana ukishavaa hayo mavazi ya Diving hata uwende deep kiasi gani wanyama na viumbe utakavyokutana navyo huko chini vinakuona kama mwenzao vile yann

  • @ausoniusrugaba3248
    @ausoniusrugaba32482 жыл бұрын

    Dah! Mungu anamaajabu yake. Endelea kutujuza maana bado tuko kwenye Giza . Nakukubali

  • @israelbarakael2787
    @israelbarakael2787 Жыл бұрын

    Daah umejitahidi bro kutafutiya hii story mungu akupe uwezo zaidi tujuwe mengi zaidi kaka one love

  • @shilagijisandu3101
    @shilagijisandu31012 жыл бұрын

    Yaan wewe Jamal mungu atakulipa kwa ubunifu huo 🙏🙏🙏

  • @sharinv8864
    @sharinv88642 жыл бұрын

    Napenda ubunifu wa kazi yako jamal very good.

  • @fredmabundagilo6954
    @fredmabundagilo69542 жыл бұрын

    Daah, unajitaidi Sana kutuelimisha vile Dunia ilivyo pamoja na viunbe vyake..

  • @user-qz4ky3kj7r
    @user-qz4ky3kj7r Жыл бұрын

    Daah Mungu akujarie jamar April na akibariki sana

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha15032 жыл бұрын

    Najifunza maisha na safari nzr ya maisha kupitia ww kaka ongera my bro kazi nzr kaka mungu Aku bless

  • @ntiliyothomas5146
    @ntiliyothomas51462 жыл бұрын

    Jamari mstafa wewe ni kichwa zaidi ya kichwa hongera kwa kipaji

  • @silverboy3065
    @silverboy30652 жыл бұрын

    Am watching you my brother i like what you doing

  • @martohsity
    @martohsity Жыл бұрын

    Jamal I love it....make sure unaweka yenye inaweza kujidownload ndio tuwatch baadaye

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65242 жыл бұрын

    Asante sana my brother from another mother

  • @amelianadhif.6849
    @amelianadhif.68492 жыл бұрын

    Hongera kwa kweli umishinda majaribu ....binafsi siwez na sitajaribu lbda iwe ni lzm ila mwenyewe Sina hina ndoto

  • @williamkishegena9205
    @williamkishegena92052 жыл бұрын

    I am delighted to have heard several projects of an amazing storyteller as you sire. I am a voiceartist based in Tanzania and am longing to launch a project with you sir.

  • @peternjoroge9509

    @peternjoroge9509

    2 жыл бұрын

    P0

  • @johnsanga9528
    @johnsanga95282 жыл бұрын

    Unajua sana unachokifanya kaka na team wasafi.

  • @anittasamwely8297
    @anittasamwely82972 жыл бұрын

    Wasafi 4life♥️🔥😘

  • @fadhilshafi2947
    @fadhilshafi29472 жыл бұрын

    really appreciated kwa kazi nzuri brother Jamal , keep moving

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Жыл бұрын

    Watcha nikupende mwalimu wewewwww ni mwalimu kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩

  • @edmundrutahiwa
    @edmundrutahiwa2 жыл бұрын

    Brother wee ni hatari sanaa big up sanaa

  • @Super-Diamond-Studio
    @Super-Diamond-Studio2 жыл бұрын

    Wasafi 4life 💎 Napenda Sana Munavyojituma ila zidisheni Vipiti Kwenye Tv...

  • @hopesteven9732
    @hopesteven97322 жыл бұрын

    Wonderful experience never seen before,, dunia ina mengi sana ambayo hatuyajui... Ila yote ya yote ni utukufu wa Mwenyezi Mungu. Ni uumbaji wa kipekee sana,, huwa nashangaa sana wazungu na wanasayansi wanajikita na mambo ya nje ya dunia wakati mambo tuliyo nayo tuu hapa hapa duniani hatujayamaliza

  • @jorammwakyando4677
    @jorammwakyando46772 жыл бұрын

    Itoshe kusema tumebarikiwa wapigaji na wadangaji Lkn huyu tulie barikiwa ni professor haswa congratulations all the best

  • @haikajohn7580
    @haikajohn75802 жыл бұрын

    Amen umerudi salama,mungu atukuzwe nakukubali sana mwanangu

  • @realest_g4hunnid249
    @realest_g4hunnid2492 жыл бұрын

    Akhy i love this guy from kenya proffesa 💝 39:00 👏

  • @mwanaharakati1926

    @mwanaharakati1926

    2 жыл бұрын

    Kenya wapi coz pia mm nko kenya

  • @abuuakhy4001

    @abuuakhy4001

    2 жыл бұрын

    Ni gay ama

  • @realest_g4hunnid249

    @realest_g4hunnid249

    2 жыл бұрын

    @@abuuakhy4001 hahahahaha i love him like a bro, You people got dirty mind

  • @realest_g4hunnid249

    @realest_g4hunnid249

    2 жыл бұрын

    @@abuuakhy4001 am not female that's all you need to know

  • @allyberto7617
    @allyberto76172 жыл бұрын

    Good I saw my school Zanzibar diving

  • @sergeizanzibar7415
    @sergeizanzibar74152 жыл бұрын

    U are the professional speaker who I do like coz u do explain all that people never know that is why I really like to listen to u

  • @alnaseralshaukail3350
    @alnaseralshaukail3350 Жыл бұрын

    Hongera sana mwenyezimungu akupe hitaji la moyo wako Inshallah

  • @tifahhamiar8739
    @tifahhamiar8739 Жыл бұрын

    Thanks Jamal for your historic story, am glad you tell it well... I love it👍

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili30532 жыл бұрын

    Tanzania imebarikiwa, Zanzibar, Mt Kilimanjaro, victoria, Ngorongoro... nyinyi bado mpo usingizini.... your country is the tourist capital of the world....

  • @alainmuhindo2137
    @alainmuhindo21372 жыл бұрын

    WE jama una juwa sana aisé 🔥🔥🔥🔥

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel61532 жыл бұрын

    Ahsant Sana kwa ubunifu wenu tunapata vitu vinavyo vutia na vya tofauti Sana

  • @ndagdenise194
    @ndagdenise1942 жыл бұрын

    Hongera saana professor. Tuna kufata toka Uganda

  • @amlialoyce619
    @amlialoyce6192 жыл бұрын

    Upo vizuri professor

  • @jremmah
    @jremmah2 жыл бұрын

    Creativity one nakukubali sana kaka

  • @mchagashop1342
    @mchagashop13422 жыл бұрын

    Hongera Sana professor April

  • @LuweviambitionTv
    @LuweviambitionTv2 жыл бұрын

    Ebwana wee wanne kucommet like zidondoke kwa jamar

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv85512 жыл бұрын

    Baarakallahu fiika Maana nimeinjoy mno.

  • @johnsonlivingstone4479
    @johnsonlivingstone44792 жыл бұрын

    am really pleased to hear several stories & documentaries from you prof April,, may God be with ue for more good en better works

  • @faa0099
    @faa00992 жыл бұрын

    Napenda hii thestorybook and msimuliz anafanya part yake mashallah

  • @venacemorice1160
    @venacemorice11602 жыл бұрын

    Wasafi mko juu sana kwanin hampewi tuzo

  • @irenemzirai5890
    @irenemzirai58902 жыл бұрын

    Jamal we ni mkali sana yan....ivo tu

  • @mastaphamawazo750
    @mastaphamawazo7502 жыл бұрын

    Nakubal Sana broo upo vizur napenda Sana kuangalia the story book

  • @emmanueljonas84
    @emmanueljonas842 жыл бұрын

    wasafi ni kubwa kwa sababu ina watu wanaosubutu kufanya mambo

  • @utamuwaleo1970
    @utamuwaleo19702 жыл бұрын

    Nice experience professor, nimejifunza sana ila ungejali kama ungeandika contacts za hao jamaa ... ningeshukuru sana

  • @AmCool_
    @AmCool_2 жыл бұрын

    I love my Zanzibar

  • @astonomer
    @astonomer Жыл бұрын

    your so amazing and differ I learn many thing to you broh am proud of you nigguh

  • @zuhuraamri5344
    @zuhuraamri53442 жыл бұрын

    Nimeipenda sanaaa hii Jamal...safiii sanaaa nice experience..uko vizuri.

  • @josephndunda6390
    @josephndunda63902 жыл бұрын

    hongera kazi zuri Sana 💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪💛💚

  • @achouasha2073
    @achouasha20732 жыл бұрын

    Ma sha Allah Baba ,Maman,Mtoto wote umesahau mke wako

  • @FatmaAbdulkadir-in2zx
    @FatmaAbdulkadir-in2zx2 ай бұрын

    Asalam aleykum mashAllah Allah akuzidishie ujasiri natamani ningekua n uwezo nami pia ningefika huko kujionea Ufalme Wa ALLAH

  • @user-hr2it9gc1n
    @user-hr2it9gc1n2 жыл бұрын

    Nenda na kisiwan mafia ukaitangaze kwa vitu vya kitali ila bg up brooo💖💜💞💓

  • @Clahjkmtaeyoongi
    @Clahjkmtaeyoongi2 жыл бұрын

    Trainer his so cute Am inlove with him💕Comin to zanzibar🛫

  • @makalatv2435

    @makalatv2435

    2 жыл бұрын

    Tenaa

  • @zuli.comedy.

    @zuli.comedy.

    2 жыл бұрын

    Your welcome

  • @kennedyprime3630
    @kennedyprime36302 жыл бұрын

    Nat Geo should see this.Jamal to the world

  • @joleenmasha
    @joleenmasha2 жыл бұрын

    Yaani Leo story Book imekuwa dop 👏💪👍

  • @mbwisaaa07
    @mbwisaaa072 жыл бұрын

    Professor. Kisiwa cha mafia wamewahi kuonekana ao wanaoitwa nguva. Very interested story fanya research hiyo watanzania tutavutiwa sana. Walikuja hata wazungu kufanya utafiti huo 2018

  • @ricktales96
    @ricktales962 жыл бұрын

    Jamal April is good documentarian , your Good teacher, your good in telling stories don stop bro ever , #thestorybook forever 🙏

  • @mwanajoy9280

    @mwanajoy9280

    2 жыл бұрын

    Professor ni mmoja tuu Africa

  • @erickurio8870
    @erickurio88702 жыл бұрын

    Genius professor jamal

  • @nonoplatnum6951
    @nonoplatnum69512 жыл бұрын

    Hv hawa wanaobonyezaga dislike huwa wanawazaga nini??😰

  • @hamxik0096
    @hamxik00962 жыл бұрын

    uyu jamaa ni proffesor🙌

  • @moonobio

    @moonobio

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/npuYy6xwgriXoaQ.html tu hi

  • @idungaphotostudio3576
    @idungaphotostudio35762 жыл бұрын

    Safi sana jamal nimeipenda hiii story book nimeipenda

  • @titusmurithi877
    @titusmurithi8772 жыл бұрын

    Prof Jamal what you are doing is amazing to educate the entire world Shukrani Sana na kongole

  • @serviceburundaise
    @serviceburundaise2 жыл бұрын

    Pole sana kwa kazi ngumu

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu77092 жыл бұрын

    Love you jamal

  • @Craytos_Baraka
    @Craytos_Baraka2 жыл бұрын

    Video adi raha yaan location inaendana na video💛💛🙌🏿

  • @shabanizani5539

    @shabanizani5539

    2 жыл бұрын

    Kwel

  • @wessaboy7305
    @wessaboy73052 жыл бұрын

    Tamu story🔥🔥🔥

  • @aminasaleh6134
    @aminasaleh61342 жыл бұрын

    Kaz mzur jamal respect

Келесі