MFAHAMU MWANDISHI MKONGWE AMBAYE ZANZIBAR INAJIVUNIA

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 62

  • @muddaththirhamoud1240
    @muddaththirhamoud12402 ай бұрын

    Huyu mzee ana elimu kubwa sana ❤ Ahojiwe tena huyu kuhusu Historia ya Zanzibar

  • @knight6757

    @knight6757

    2 ай бұрын

    Andike kitabu cha historia ya Zanzibar!

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900Ай бұрын

    Ingependeza kwa viongozi wetu,kutathmini michango ya watu km hawa na kutunza historia km hii iliyotukuka,ni zawadi kubwa kwa vizazi vya ss na vijavyo.Hongera sn Sk Salim ,Mmungu akutunze uendelee kutema madi kwa faida ya Wazanzibari

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r2 ай бұрын

    Mashallah leo sh Rashid umetuletea mtu wa maana kabisaaa ,

  • @alfatahtvonline3374

    @alfatahtvonline3374

    2 ай бұрын

    Ahsante sana

  • @Abdullatifkilupy-tn6ii

    @Abdullatifkilupy-tn6ii

    2 ай бұрын

    ​@@alfatahtvonline33741:09 Assalamu alaykum. Tunaomba muendelezo.

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb2 ай бұрын

    Mashallah shukran sana kwa zawadi nzuri ulotuletea na amini utatupa zawadi nzur zaidi ❤

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv47532 ай бұрын

    NAMSHUKURU ALLAH ZANZIBAR WAZEE WETU WALISOMA KAMA ENGELIKUA WAZEE WETU HAWAKUSOMA WATANGANYIKA NDIO WENGETUMALIZA HASWAAA NA WAO ALHAMDULLILLAH WAMETUSOMESHA SITOMSAHAU MZEE WANGU ALLAH AMREHEMU

  • @othmankhamis885
    @othmankhamis8852 ай бұрын

    MashaAllah, hii ndo Ile ya kaka yangu KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU, ndo zanzibar inapopitia

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid94692 ай бұрын

    Wallah zanzibar ila watu wa ibadilisha ikaapa juu kimataifa na wananchi maisha yao ikawa madhuri. Ila viongozi bdo wana umimi .tenna ni viongozi wa chini kabisa

  • @vitalismlay5905
    @vitalismlay59052 ай бұрын

    Mwandisho mzuri mwenye kipaji cha ajabu. Nilpata bahati ya kukaa pamoja Arusha Kwa kipindi tofauti zaidi ya mara tutu Kwa kweli nilijifunza mengi sana kutoka kwake. Mlete Tena atupe elimu tujue historian ya Zanzibar na mapinduzi yake. Inshallah Mungu ampe maisha marefu.

  • @user-rv2gb2gi7q
    @user-rv2gb2gi7q2 ай бұрын

    Mzee Salim Allah amjalie mwisho mwema na aendelee kusimamia ukweli kama anavyosema

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna61222 ай бұрын

    Salim Ahmed Salim nakukubali vibaya sana

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim53122 ай бұрын

    Maasha Allah tumefaidika

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid94692 ай бұрын

    Sheikh rashid tunakuomba please tuletee tenaa tunafaidika sana na elimu . Sio kisiasa kijamii.

  • @YUSSUF-ns4cl
    @YUSSUF-ns4cl2 ай бұрын

    MASHALLAH WATU WA MAANA KAMA HAWA HUWA WANABANIWA LKN HONGERA ALFATAH

  • @aishaswedy6856
    @aishaswedy68562 ай бұрын

    Na ni mwalimu mzuri sana na ukimsikiliza hachoshi in shaa Allah mungu azidi kumtia afya

  • @user-hb9bn5xe6x
    @user-hb9bn5xe6x2 ай бұрын

    Maashaallah

  • @znzislamiconline121
    @znzislamiconline1212 ай бұрын

    Mashaa Allah Mzee Wetu Allah ampe Afya njema na umri mrefu tupate Almasi alizo kua nazo

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63372 ай бұрын

    Maashaallah hiki kichwa💯👌🫴

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI2 ай бұрын

    Mashallah, goog job

  • @faizanassor9400
    @faizanassor94002 ай бұрын

    Mashallah znz

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43822 ай бұрын

    WAZANZIBARI NI WASOMI SANA, ILA WANAFELISHWA NA WAKOLONI WATANGANYIKA KWA UCHOYO NA ROHO MBAYA ZAO! YAANI ILE MISUKULE YA TANGANYIKA INAROHO MBOVUUU🦝🦝

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    2 ай бұрын

    Tutawatawala hadi kufa,mkundu wewe uliezaliwa na kahaba mamaako

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Hii ndio heshima ya WaTanzania ilobakia baada ya Muungano wa miaka 60. Iko wapi heshima, utamaduni, dasturi, ya MTanganyika ?? ilokuwa ikijulikana East Africa nzima. Kuna time Watoto wa kizungu watakuja kukutawalini mkitaka msitake maana wa Africa wengi kutoka Tanzania wamekubali kuwawacha uwafrika wenzao na kwenda kujiuza kwa Wazungu ili wapate watoto Weupe. Hao kesho watakuja kudai haki za wazee wao. Kwa taarifa yako.

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    @@vincentcharles4385 Ndio Elimu uliyo ipata kwa wazazi wako.

  • @safarsafari68

    @safarsafari68

    2 ай бұрын

    Acha matusi tunaheshima zetu​@@vincentcharles4385

  • @allybin08
    @allybin082 ай бұрын

    Masha allah

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed80472 ай бұрын

    Wazanzibari wengi wasomi walikimbia nchi sababu ya madhila yalotokea hapo nyuma huyu kabakia mungu kambakisha tupate madini toka kwake

  • @mohdalliy656
    @mohdalliy6562 ай бұрын

    @al fatah Hyu mzeee Arjshwee tna Ktema Madini mngii mnooo Ardiwe tnaa

  • @allybin08
    @allybin082 ай бұрын

    Allah awape umri mrefu watu kama hawa ndio hazina zetu zilizo baki

  • @lmdos4382
    @lmdos43822 ай бұрын

    We need more of him

  • @alijuma8009
    @alijuma80092 ай бұрын

    Hazina kama hiz ndio muwape nafas wapate kuetuemisha

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb2 ай бұрын

    Saiv kuna majina ya ajabu ajabu 😅

  • @SaidAbdalla-gl2dp
    @SaidAbdalla-gl2dp2 ай бұрын

    Dah nimekumbuka mbali wakati kuna wakati nilikuwa daktari wa small simba. Small simba ya kina Shaaban musss.inosent haule,kina ubwa khamis,Rashid khamis .lambo na wengn.

  • @Dadydadonmiki-dg3nl
    @Dadydadonmiki-dg3nl2 ай бұрын

    Huyu mzee ana madini mengi Sana.

  • @mbeguofficial6646
    @mbeguofficial66462 ай бұрын

    Huyu mzee anavitu vingi kichwani!!!

  • @dadysamsungalaxt8289
    @dadysamsungalaxt82892 ай бұрын

    Kwa kweli nimesikitishwa na huyu mzee maana amefanya kazi kubwa sana lakini kwa kauli yake yeye hasaminiwi ni kweli maana hii ni kawaida yet u mimi ningependa kumuona nitamuona vipi?

  • @user-hx8tj3oe3r
    @user-hx8tj3oe3r2 ай бұрын

    Mashallah

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance67502 ай бұрын

    Kuna "sisi" na "sie" ndio tulichonacho

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol2 ай бұрын

    Nishamsikia mara nyingi sana BBcna sauti ya ujarumani

  • @lawskuli9876
    @lawskuli98762 ай бұрын

    I think you are right he was called Muharami Kirara

  • @safarsafari68
    @safarsafari682 ай бұрын

    Mzee wa maana huyu..sio mchezo

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900Ай бұрын

    Kwa nn Viongozi wetu ndani ys Znz hawawatumii wazee km hawakupata na kutunza historia iliyotukuka?

  • @festomombo5859
    @festomombo58592 ай бұрын

    Hiyo elimu kwa kweli inahitajika kuwafikia wengi

  • @movora4466
    @movora44662 ай бұрын

    Inasikitisha sana

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte4292 ай бұрын

    Kama awo washauliw weng zanzibar

  • @bakarali6094
    @bakarali60942 ай бұрын

    huyu mtu tunamuhitaji tena tupate zaid na zaid tusiyoyajuwa

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone9722 ай бұрын

    Huyu mzee lazima apewe nafasi ya kuzungumza zaidi.... Naomba mumlete Tena bcz hii ni historia Sasa akijaakiondoka ndio itapotea

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor35692 ай бұрын

    Huyu ana bongo sana

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je2 ай бұрын

    Huyu ni baraabara

  • @rashidissa5887
    @rashidissa58872 ай бұрын

    Sjaiona sehemu ya pili

  • @salmarajabu4712
    @salmarajabu4712Ай бұрын

    Mbona wafanana na muarabu Moja alikua dalali mkubwa Mombasa marehema shamiri aligia Mombasa kwao unguja watu niwawiliwawili walahi

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari2 ай бұрын

    Mleteni tena huyu mzee

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Lazima wamlete tena na tena. Mwandishi hodari sana wa hapo Unguja Mungu amuweke.

  • @user-po1cq9so9h

    @user-po1cq9so9h

    2 ай бұрын

    Kirara kawa chizi

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    @@user-po1cq9so9h Kwenu nyiye mwenye Elimu yake, anosema ukweli, mwenye heshima anakuwa chizi. Kama yeye chizi basi wewe utakuwa jam 😂😂😂

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu2 ай бұрын

    Watu wa fupi si wakuwachezea, Salim Said ni mtata haogopi kitu

  • @maryamahmed1753
    @maryamahmed17532 ай бұрын

    Muharram kirara alicheza Shangani halafu KMKM. Kirara aliyemtaja ambaye alichezea S.Simba aliwahi yeye na Sinapo kucheza Annuur. Jina la huyo marehemu limenitoka

  • @aliabdulrahman1202
    @aliabdulrahman12022 ай бұрын

    Mashallah

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma76162 ай бұрын

    uymzee ana matirial nyingi nyingi tupatie tena huyu rashid