MFAHAMU MWANDISHI MKONGWE AMBAYE ZANZIBAR INAJIVUNIA 2
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 69
Zanzibar inajivunia lakini watawala wa siku hizi hawataki kusikia historia ya kweli ili wahalalishe mapinduzi ya kuwauwa Wazanzibar hasa Waarabu.
@nailamohd-wn6sb
2 ай бұрын
Sadakta maneno yko sawa na waidhimishe hayo mapinduzi lkn wasiidhalilishe nchi yetu imekua dhalili na Nuru haina inatia huruma
MZEE NI HODARI MASHAALLAH TABARAKALLAH
Hii ni tunu yetu ya Zanzibar mzee Salim msema kweli ❤niwachache mnoo wenye kusema ukweli kama huu hili nisomo kubwa kwa wenye uweledi mungu akulinde
EDUCATED MASHAALLAH MUNGU AKUWEKE❤
Huyu muandishi nampenda yako yuko really supper nakupa mauwa yako mzanzibari mwenzangu ❤
Asalam alkum warahmatullah wabaraqatu. Mashallah tabaraqah. Natamani hichi kipindi kizidi kuendelea he's the best historical. Congratulations ❤
Watu waopigia debe mapinduzi wanasema watu weusi ilikuwa hawapati elimu 😢😢😢😢😢 uongo mtupu Wallah allah atawahukumu kwa dhulma hii
Mzee yuko vizur
Ndio mzee mwaga mambo ayoo ccm hawayataki ayooo
@nailamohd-wn6sb
2 ай бұрын
😂😂😂😂Khatari
Zamani tulidanganya sana watu wanasema uongo mpaka leo wala hawaogopi Mungu lakini sasa tushajua ukweli
@allybin08
2 ай бұрын
😢😢😢😢😢
MashaAllah" hii interview ni tunu ya wazanzibar hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa na jamii yote ya watanzania. Inapaswa kutunza na kuheshimu uwepo na thamani ya watambuzi wa historia na waandishi waliosimama imara na kuipenda nchi yao bila kujali "Siasa ,kabila wala utabaka wa jamii Fulani. Mungu amlinde na kumuenzi Mzee wetu na viongozi wa taifa letu pia nguvu kazi ya taifa letu " wanahabari " kwa juhudi zao na ombi kwa serekali kumpa tunzo ya heshima Mzee Salim kwani uwepo wake pia ni thamani ya taifa .
Naam nilikua nafanyakazi kwa mzee mmoja Muscut anasema Omani imejengwa na warabu walitoka Zanzibar ❤❤❤
Maashallah ni mtu muhim mno znz
MashaAllah mzee huyu ni zahabu Allah ambarik na ampe afya njema Amiin. Na ndugu mtangazaji wa kipindi unastahiki sifa kwa vipindi vyako vizuri kabisa lakin muda hautoshi kabisa kwa hiyo tunaomba utuongezee muda please
Huyu mzee nampa hongera yake
@solomonadams6337
2 ай бұрын
kasoma halafu amekifahamu alicho kisoma💯👌
Mashallah tabaaraka rahman huchoki kumsikiliza
Kwahakika huyu mzee ni hazina kubwa kwa Zanzibar.
Mashallah tunuu ya zanzibar salim said
Maashallah huyu mzee ni dhahabu yetu na tunatakiwa kumtunza kwa gharama kubwa sana.
History yetu Zanzibar imepotoshwa 😢😢😢😢 wallah inauma sana
Mzee unalingana na vitabu vilivo andikwa na wanavioni wa histori kwa jinsi unavo tiririka nakubali sana historia tunayo someshwa sukuli ni mitala iliyo andaliwa na wazungu tu mfano Oxford
Amii salim mashallah
Mashallh
CCM WAMEIHARUBU ZANZIBAR, SASA IMEKUA DANGURO LA MACHANGUDOA KUTOKA TANGANYIKA NA BURUNDI!
Thanks
Mitume wengi RA walikataliwa kwao. Sh Salim endelea tu. Allah ndio anajua zaidi.
Ninachokiona kwa alfatah tv ni kupokonywa leseni ya tv ya mtandao coz mumepost kitu kinachoenda kinyume na CCM
Trained,intelligent and brilliant dah
Inauma. Sana ktk visiwa vyetu hivi mtu mzalendo mkubwa lkn serikali haimthamini ni dhahabu kubwa kwa zanzibar ni Icon ya zanzibar
Waandishi na Vijana wenzetu ukimkaribia huyu mzee utachuma mengi sana. Yani Nigekua interested kusomea uandishi basi huyu mzee angekua anankuta mlangoni kwake akiingia na akitoka
Mpizani hanahaki zanzibar hatauwe naelimu gani wanafaidika inche lakn zanzibar hakunafaida
Saannaaa
"Uncensored" sheikh Rashid, kipindi kipo dakika 13 kati ya 40 unasema "tukiwa tunatamatisha", kweli!!!! Kwa sababu amegusa UHAMIAJI na nafasi zinazochukuliwa na 'wenzetu' wa KULE
@user-qe9ot4kl9u
2 ай бұрын
Huyu mtangazaji sijui ni kada wa ccm au ujinga tu wa kazi yake au uoga, jamaa amepwaya sana kwenye hii interview
@ZubeirJuma-up7kb
2 ай бұрын
Naix ni ccm asaiv @@user-qe9ot4kl9u
Nakukubali sana bw. Salim na hongera sana ufasaha wako juu Zanzibar. Kuna swali 1 hapa uliulizwa lkn hukulijibu ni kuhusu kwanini wanzabari wengi siku hizi wanakosa kuajiriwa ktk vyombo vya habari vya kimataifa siku hizi kama DW, BBC n.k....kama vile best wako al-marhum sheikh Mohammed mlamali adam na mke wake aish yahya, al-marhum nassor malik, zeana seif, ahmed rajab, suluma kassim, ali saleh, ali adnan, Suleiman Salim, Ramadani ali, mshangama, Othman miraji, ahmed mohamed na wengineo wetu.😂😂😂😢😢😢
@omarymsusa8903
2 ай бұрын
Nilitamani kupata neno dogo kutoka bw. Salim kuhusu hawa watangazaji wa zamani niowataja hapa.
@omarymsusa8903
2 ай бұрын
Aaah zama zimepita namkumbuka al marhum sheikh Mohammed mlamali na barua yake kutoka London pale bbc Swahili huyu mzaliwa wa mkamasini/baraste, Zanzibar Pia namkumbuka suluma kassim kipindi chake maarufu cha bbc maarifa club
❤
MBONA HUSEMI UKRISTO KUINGIA TANZANIA NA EAST AFRIKA ULIANZIA ZANZIBAR
Sumun Bukmun Umyun 😂😂
aendelee kutuelimishaa kweny vipindi hivi
Kweli kabisa Mzee huko sawa cna
Inabezwa na nani?
Wapee !!!
TAREHE 164/1972 SIKU YA IJUMAPIL I NYUMBANI KWENU MKAMASINI WOLIKUJA WANAJESHI KUJA KUFANYA UPEKUZI BAADA KIFO CHA KARUME KWA NINI WASIIGIE KATIKA MAJUMBA MENGINE. DONGE KWA MAMA YAKO .NASABU INATOKA KWA BABA SIO KWA MAMA
Wa zanzibar tuna penda mteleezo uwaziri Bara well for get we come from
Mpeleke Mwanakwerekwe
Mzee wetu hashoshi unatanani tu aongee
Wanakuona mpizani ndio mana
ANAPULIZA NA KUTAFUNA KTK MAELEZO YAKE.
@jumakapilima7295
2 ай бұрын
Hahahaha,,,,,
Vizazi vya leo akili zao zinamafuta ya taa hawaelewi hayo mana wamelishwa pumba.
Rashid anataka kucheka lkn anajibana
Mwandishi now kada
Leo ni uwongo tu ndio utawala
Vchale
Kishtobe kapata nafasi wacha atapike 😂😂😂
Basi haya kama kila kizuri kimeanza zanzibar
@mangofish9079
2 ай бұрын
Haina mana hio ila ndio ukweli hio dar salama imetiwa sura ya kimji na sultan wa zanzibar ndio ukweli ilikua mbali ukilinganisha na nchi jirani africa mashariki na kati.
@abdulbastadam7985
2 ай бұрын
Kwaio ulitakaje wewe?
@IsmailJuma-zb5ni
2 ай бұрын
Na wewe Unataka kutuambia hata ukiwa kwenye chupa utajitokeza kidole?
Honest wise man,something need to be done to bring bc da Passport Zanzibar is Arkipelego da population need to be onda underconctrol 💯👌🫴