MFAHAMU MWANDISHI MKONGWE AMBAYE ZANZIBAR INAJIVUNIA 2

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 69

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f2 ай бұрын

    Zanzibar inajivunia lakini watawala wa siku hizi hawataki kusikia historia ya kweli ili wahalalishe mapinduzi ya kuwauwa Wazanzibar hasa Waarabu.

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    2 ай бұрын

    Sadakta maneno yko sawa na waidhimishe hayo mapinduzi lkn wasiidhalilishe nchi yetu imekua dhalili na Nuru haina inatia huruma

  • @thedon8467
    @thedon84672 ай бұрын

    MZEE NI HODARI MASHAALLAH TABARAKALLAH

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m2 ай бұрын

    Hii ni tunu yetu ya Zanzibar mzee Salim msema kweli ❤niwachache mnoo wenye kusema ukweli kama huu hili nisomo kubwa kwa wenye uweledi mungu akulinde

  • @nailaomar4810
    @nailaomar48102 ай бұрын

    EDUCATED MASHAALLAH MUNGU AKUWEKE❤

  • @nailaomar4810
    @nailaomar48102 ай бұрын

    Huyu muandishi nampenda yako yuko really supper nakupa mauwa yako mzanzibari mwenzangu ❤

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid94692 ай бұрын

    Asalam alkum warahmatullah wabaraqatu. Mashallah tabaraqah. Natamani hichi kipindi kizidi kuendelea he's the best historical. Congratulations ❤

  • @allybin08
    @allybin082 ай бұрын

    Watu waopigia debe mapinduzi wanasema watu weusi ilikuwa hawapati elimu 😢😢😢😢😢 uongo mtupu Wallah allah atawahukumu kwa dhulma hii

  • @alijuma8009
    @alijuma80092 ай бұрын

    Mzee yuko vizur

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l2 ай бұрын

    Ndio mzee mwaga mambo ayoo ccm hawayataki ayooo

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂Khatari

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97652 ай бұрын

    Zamani tulidanganya sana watu wanasema uongo mpaka leo wala hawaogopi Mungu lakini sasa tushajua ukweli

  • @allybin08

    @allybin08

    2 ай бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @user-ml5kn1sz3u
    @user-ml5kn1sz3u2 ай бұрын

    MashaAllah" hii interview ni tunu ya wazanzibar hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa na jamii yote ya watanzania. Inapaswa kutunza na kuheshimu uwepo na thamani ya watambuzi wa historia na waandishi waliosimama imara na kuipenda nchi yao bila kujali "Siasa ,kabila wala utabaka wa jamii Fulani. Mungu amlinde na kumuenzi Mzee wetu na viongozi wa taifa letu pia nguvu kazi ya taifa letu " wanahabari " kwa juhudi zao na ombi kwa serekali kumpa tunzo ya heshima Mzee Salim kwani uwepo wake pia ni thamani ya taifa .

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749Ай бұрын

    Naam nilikua nafanyakazi kwa mzee mmoja Muscut anasema Omani imejengwa na warabu walitoka Zanzibar ❤❤❤

  • @user-yo8md2tc6f
    @user-yo8md2tc6f2 ай бұрын

    Maashallah ni mtu muhim mno znz

  • @ibrahim99abdulaziz3
    @ibrahim99abdulaziz32 ай бұрын

    MashaAllah mzee huyu ni zahabu Allah ambarik na ampe afya njema Amiin. Na ndugu mtangazaji wa kipindi unastahiki sifa kwa vipindi vyako vizuri kabisa lakin muda hautoshi kabisa kwa hiyo tunaomba utuongezee muda please

  • @allyvuai6203
    @allyvuai62032 ай бұрын

    Huyu mzee nampa hongera yake

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    2 ай бұрын

    kasoma halafu amekifahamu alicho kisoma💯👌

  • @ablatuny5406
    @ablatuny54062 ай бұрын

    Mashallah tabaaraka rahman huchoki kumsikiliza

  • @Dadydadonmiki-dg3nl
    @Dadydadonmiki-dg3nl2 ай бұрын

    Kwahakika huyu mzee ni hazina kubwa kwa Zanzibar.

  • @faizanassor9400
    @faizanassor94002 ай бұрын

    Mashallah tunuu ya zanzibar salim said

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md2 ай бұрын

    Maashallah huyu mzee ni dhahabu yetu na tunatakiwa kumtunza kwa gharama kubwa sana.

  • @allybin08
    @allybin082 ай бұрын

    History yetu Zanzibar imepotoshwa 😢😢😢😢 wallah inauma sana

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma61512 ай бұрын

    Mzee unalingana na vitabu vilivo andikwa na wanavioni wa histori kwa jinsi unavo tiririka nakubali sana historia tunayo someshwa sukuli ni mitala iliyo andaliwa na wazungu tu mfano Oxford

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf49512 ай бұрын

    Amii salim mashallah

  • @faizanassor9400
    @faizanassor94002 ай бұрын

    Mashallh

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43822 ай бұрын

    CCM WAMEIHARUBU ZANZIBAR, SASA IMEKUA DANGURO LA MACHANGUDOA KUTOKA TANGANYIKA NA BURUNDI!

  • @saidkhalfan8207
    @saidkhalfan82072 ай бұрын

    Thanks

  • @yunushaji5327
    @yunushaji53272 ай бұрын

    Mitume wengi RA walikataliwa kwao. Sh Salim endelea tu. Allah ndio anajua zaidi.

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify78102 ай бұрын

    Ninachokiona kwa alfatah tv ni kupokonywa leseni ya tv ya mtandao coz mumepost kitu kinachoenda kinyume na CCM

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar19832 ай бұрын

    Trained,intelligent and brilliant dah

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed41242 ай бұрын

    Inauma. Sana ktk visiwa vyetu hivi mtu mzalendo mkubwa lkn serikali haimthamini ni dhahabu kubwa kwa zanzibar ni Icon ya zanzibar

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md2 ай бұрын

    Waandishi na Vijana wenzetu ukimkaribia huyu mzee utachuma mengi sana. Yani Nigekua interested kusomea uandishi basi huyu mzee angekua anankuta mlangoni kwake akiingia na akitoka

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm2 ай бұрын

    Mpizani hanahaki zanzibar hatauwe naelimu gani wanafaidika inche lakn zanzibar hakunafaida

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha2152 ай бұрын

    Saannaaa

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance67502 ай бұрын

    "Uncensored" sheikh Rashid, kipindi kipo dakika 13 kati ya 40 unasema "tukiwa tunatamatisha", kweli!!!! Kwa sababu amegusa UHAMIAJI na nafasi zinazochukuliwa na 'wenzetu' wa KULE

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    2 ай бұрын

    Huyu mtangazaji sijui ni kada wa ccm au ujinga tu wa kazi yake au uoga, jamaa amepwaya sana kwenye hii interview

  • @ZubeirJuma-up7kb

    @ZubeirJuma-up7kb

    2 ай бұрын

    Naix ni ccm asaiv ​@@user-qe9ot4kl9u

  • @omarymsusa8903
    @omarymsusa89032 ай бұрын

    Nakukubali sana bw. Salim na hongera sana ufasaha wako juu Zanzibar. Kuna swali 1 hapa uliulizwa lkn hukulijibu ni kuhusu kwanini wanzabari wengi siku hizi wanakosa kuajiriwa ktk vyombo vya habari vya kimataifa siku hizi kama DW, BBC n.k....kama vile best wako al-marhum sheikh Mohammed mlamali adam na mke wake aish yahya, al-marhum nassor malik, zeana seif, ahmed rajab, suluma kassim, ali saleh, ali adnan, Suleiman Salim, Ramadani ali, mshangama, Othman miraji, ahmed mohamed na wengineo wetu.😂😂😂😢😢😢

  • @omarymsusa8903

    @omarymsusa8903

    2 ай бұрын

    Nilitamani kupata neno dogo kutoka bw. Salim kuhusu hawa watangazaji wa zamani niowataja hapa.

  • @omarymsusa8903

    @omarymsusa8903

    2 ай бұрын

    Aaah zama zimepita namkumbuka al marhum sheikh Mohammed mlamali na barua yake kutoka London pale bbc Swahili huyu mzaliwa wa mkamasini/baraste, Zanzibar Pia namkumbuka suluma kassim kipindi chake maarufu cha bbc maarifa club

  • @hajraaliy3220
    @hajraaliy32202 ай бұрын

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l2 ай бұрын

    MBONA HUSEMI UKRISTO KUINGIA TANZANIA NA EAST AFRIKA ULIANZIA ZANZIBAR

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb2 ай бұрын

    Sumun Bukmun Umyun 😂😂

  • @issaal-busaidi4479
    @issaal-busaidi44792 ай бұрын

    aendelee kutuelimishaa kweny vipindi hivi

  • @NassirMuhammad-en7wr
    @NassirMuhammad-en7wr2 ай бұрын

    Kweli kabisa Mzee huko sawa cna

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72952 ай бұрын

    Inabezwa na nani?

  • @jarsjam8894
    @jarsjam88942 ай бұрын

    Wapee !!!

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l2 ай бұрын

    TAREHE 164/1972 SIKU YA IJUMAPIL I NYUMBANI KWENU MKAMASINI WOLIKUJA WANAJESHI KUJA KUFANYA UPEKUZI BAADA KIFO CHA KARUME KWA NINI WASIIGIE KATIKA MAJUMBA MENGINE. DONGE KWA MAMA YAKO .NASABU INATOKA KWA BABA SIO KWA MAMA

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma85012 ай бұрын

    Wa zanzibar tuna penda mteleezo uwaziri Bara well for get we come from

  • @allyvuai6203
    @allyvuai62032 ай бұрын

    Mpeleke Mwanakwerekwe

  • @allybin08
    @allybin082 ай бұрын

    Mzee wetu hashoshi unatanani tu aongee

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm2 ай бұрын

    Wanakuona mpizani ndio mana

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l2 ай бұрын

    ANAPULIZA NA KUTAFUNA KTK MAELEZO YAKE.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 ай бұрын

    Hahahaha,,,,,

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o2 ай бұрын

    Vizazi vya leo akili zao zinamafuta ya taa hawaelewi hayo mana wamelishwa pumba.

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour6762 ай бұрын

    Rashid anataka kucheka lkn anajibana

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb2 ай бұрын

    Mwandishi now kada

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha41732 ай бұрын

    Leo ni uwongo tu ndio utawala

  • @husseincabubaker
    @husseincabubaker2 ай бұрын

    Vchale

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu2 ай бұрын

    Kishtobe kapata nafasi wacha atapike 😂😂😂

  • @othmanvuai9124
    @othmanvuai91242 ай бұрын

    Basi haya kama kila kizuri kimeanza zanzibar

  • @mangofish9079

    @mangofish9079

    2 ай бұрын

    Haina mana hio ila ndio ukweli hio dar salama imetiwa sura ya kimji na sultan wa zanzibar ndio ukweli ilikua mbali ukilinganisha na nchi jirani africa mashariki na kati.

  • @abdulbastadam7985

    @abdulbastadam7985

    2 ай бұрын

    Kwaio ulitakaje wewe?

  • @IsmailJuma-zb5ni

    @IsmailJuma-zb5ni

    2 ай бұрын

    Na wewe Unataka kutuambia hata ukiwa kwenye chupa utajitokeza kidole?

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63372 ай бұрын

    Honest wise man,something need to be done to bring bc da Passport Zanzibar is Arkipelego da population need to be onda underconctrol 💯👌🫴

Келесі