"NAKULIPA HELA YANGU HIYO KESI NAINUNUA" RC CHALAMILA AMCHIMBA MKWARA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUTAPELI

MIMI NIMFUPI WA UMBO NIKIAMUA KUZITUMIA ZOTE" RC CHALAMILA AMBANA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUDHULUMU

Пікірлер: 175

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886Ай бұрын

    Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level. Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania. Endeleeni kutusaidia wanyonge.

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    Ай бұрын

    Mikoa mingine hakujakucha? Tunamuona Mhshmw Makonda, Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703Ай бұрын

    Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa

  • @MaryShayo-tg4vq

    @MaryShayo-tg4vq

    Ай бұрын

    Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba

  • @stevenemwakasimba-pt8er

    @stevenemwakasimba-pt8er

    Ай бұрын

    Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu

  • @ce-08

    @ce-08

    Ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808Ай бұрын

    Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2txАй бұрын

    Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri

  • @farijala1

    @farijala1

    Ай бұрын

    Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni

  • @godiegodie1336

    @godiegodie1336

    Ай бұрын

    Jerry Silaa mbona kufanya sana

  • @user-no4ny7ox2d

    @user-no4ny7ox2d

    Ай бұрын

    Chalamila na sio makala

  • @selector728

    @selector728

    Ай бұрын

    huyu sio makala ni Chalamila

  • @emanuelleopod3949

    @emanuelleopod3949

    Ай бұрын

    Makala gani tena

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonlineАй бұрын

    The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5Ай бұрын

    Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063Ай бұрын

    Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xyАй бұрын

    Duh makonda chalamila

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809Ай бұрын

    Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangaliАй бұрын

    UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Ай бұрын

    😂😂😊😊

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Ай бұрын

    Ni huzuni kwa kwel

  • @dn.n4983
    @dn.n4983Ай бұрын

    Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3wАй бұрын

    Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4yАй бұрын

    RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali

  • @user-wr7io8lh6j
    @user-wr7io8lh6jАй бұрын

    Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda

  • @chire4574
    @chire4574Ай бұрын

    Makonda ni mfano wakuigwa..

  • @steve-zf4tj
    @steve-zf4tjАй бұрын

    Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549Ай бұрын

    Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza

  • @isaacorengo1404
    @isaacorengo1404Ай бұрын

    Safiiiiiiii like Makonda

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700Ай бұрын

    Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako

  • @dizzboss7526
    @dizzboss7526Ай бұрын

    Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze

  • @dereva0

    @dereva0

    Ай бұрын

    wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa

  • @HajiJuma-xw7vh

    @HajiJuma-xw7vh

    Ай бұрын

    Kabisa nchi itakuwa nzuri

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800Ай бұрын

    Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plАй бұрын

    Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA

  • @user-vk4zb8fo9u
    @user-vk4zb8fo9uАй бұрын

    Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785Ай бұрын

    Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligoАй бұрын

    Makonda kaonyesha njia

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын

    Chalamila una masihala sana

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664Ай бұрын

    Chalamila oyeeeeer

  • @robertlary6007
    @robertlary6007Ай бұрын

    Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia

  • @babuuriziq3243
    @babuuriziq3243Ай бұрын

    MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO

  • @ezehabari947
    @ezehabari947Ай бұрын

    Safi sana RC kwa kuinunua kesi

  • @abusufianijuma1224
    @abusufianijuma1224Ай бұрын

    Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156Ай бұрын

    KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢

  • @dizzboss7526

    @dizzboss7526

    Ай бұрын

    Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    Ай бұрын

    😂😂

  • @casperegreen3034

    @casperegreen3034

    Ай бұрын

    huyu kweli noma

  • @frankhoffa8356

    @frankhoffa8356

    Ай бұрын

    Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu

  • @rosehaule6765

    @rosehaule6765

    Ай бұрын

    Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7Ай бұрын

    Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana

  • @mugapro
    @mugaproАй бұрын

    Naona nchi imeanza kuchangamka

  • @johnkapesula122

    @johnkapesula122

    Ай бұрын

    Laaa sanaaaaa...

  • @fortidaskashaigili7496

    @fortidaskashaigili7496

    Ай бұрын

    Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3buАй бұрын

    Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdАй бұрын

    chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899Ай бұрын

    Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588Ай бұрын

    Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekelaАй бұрын

    chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊

  • @harunirashid
    @harunirashidАй бұрын

    Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi

  • @HAPPYSULE
    @HAPPYSULEАй бұрын

    Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashiАй бұрын

    Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240Ай бұрын

    Ongera Sana baba

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122Ай бұрын

    Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.

  • @user-sd4uv7sh6e
    @user-sd4uv7sh6eАй бұрын

    Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589Ай бұрын

    Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6sАй бұрын

    Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila

  • @titokimambo1367
    @titokimambo1367Ай бұрын

    Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104Ай бұрын

    Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia

  • @PaulMasolwa-ir4fp
    @PaulMasolwa-ir4fpАй бұрын

    Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166Ай бұрын

    makonda na chalamila Mungu awape nguvu

  • @SeraphineKamau-db9ty
    @SeraphineKamau-db9tyАй бұрын

    Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.

  • @JasminEddy-cc3tx
    @JasminEddy-cc3txАй бұрын

    Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122Ай бұрын

    Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vhАй бұрын

    Duuh anapita njia za makonda safi sana

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541Ай бұрын

    Ebwana huku Dar nako kumechafukwa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835Ай бұрын

    Kazi nzuli mkuu

  • @musamwambara6835
    @musamwambara6835Ай бұрын

    Chanika hayo mambo yamekisiri sana

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209Ай бұрын

    Hongera RC Chalamila

  • @daudimwakipesile4801
    @daudimwakipesile4801Ай бұрын

    Hongera Charamila

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404Ай бұрын

    Wewe ndo komesha ya wezi.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7ebАй бұрын

    Mmfuatwa nyao za makonda.

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitalutaАй бұрын

    Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525Ай бұрын

    Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7rАй бұрын

    Safisana chalamilla

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338Ай бұрын

    mtanunua kesi ngapi

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5wАй бұрын

    NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6tАй бұрын

    Chalamila wewe mtu wa maana kabisa

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953Ай бұрын

    Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vqАй бұрын

    Yani mama sasa kama anajua kusoma mcheze yani nikudili nawakuu wamikowa wote wawe kama makonda wamsaidie kusikiliza kero za wana nchi kwisha mitano tena natena sisi wanachi ndotuna taka hivi kutatuliwa kero sio wanakaa ofisini tuu wana menya mama simamisha majembe kama haya wewe mbona hata presha huwezi pata

  • @zefamange7281
    @zefamange728120 күн бұрын

    MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢

  • @neemareuben311
    @neemareuben311Ай бұрын

    Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa

  • @evelina9621
    @evelina9621Ай бұрын

    Makonda.hii Kazi.nzito

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996Ай бұрын

    Safi Sana mkuu

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332Ай бұрын

    Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997Ай бұрын

    Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ubАй бұрын

    Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema

  • @apostlej.rministiryprophet2219
    @apostlej.rministiryprophet2219Ай бұрын

    KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997Ай бұрын

    Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi

  • @musicheals1545
    @musicheals1545Ай бұрын

    MAKONDISATION.!!!!!!

  • @stephanSandika
    @stephanSandikaАй бұрын

    Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865Ай бұрын

    So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    Ай бұрын

    Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287Ай бұрын

    Utapeli Mwingi sana Tz

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7ytАй бұрын

    Allah awape subhanallah na haki

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatshaАй бұрын

    Huu ni uongo, uongozi au usanii? CCM yenyewe watenda dhambi nambari wani wakitendea dhambi gani ambayo hakijatenda? Wote ni wasanii, matapeli wanaocheza karata tatu na kuwachezea wananchi. Hayo mamilioni mnayomwaga mmeyapata wapi au mlipanga ii kujizolewa sifa za wasiojua kinichoendelea nyuma ya pazia. Hivi ndivyo wanavyolindana ati.

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165Ай бұрын

    Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏

  • @NM-yl2uw
    @NM-yl2uwАй бұрын

    inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go

  • @hassanamani2131

    @hassanamani2131

    Ай бұрын

    Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    Ай бұрын

    Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu. Acha kupanik

  • @NM-yl2uw

    @NM-yl2uw

    Ай бұрын

    @@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya

  • @NM-yl2uw

    @NM-yl2uw

    Ай бұрын

    @@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda

  • @mahatakitengewamuninga1260
    @mahatakitengewamuninga1260Ай бұрын

    NAUONA MZIMU WA MAGUFULI

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4uАй бұрын

    Safii chalamila

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276Ай бұрын

    Safari hii daa ars dar motomoto kabisa.

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzaniaАй бұрын

    Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348Ай бұрын

    Kuna kamgisha mwingine yuko Dondwe ndo michezo yake wengine tushasamehe

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qiАй бұрын

    Hao wenyeviti si ndio mliwaweka nyie wenyewe ccm vuneni mlicho panda

  • @godlistenuriourio6114
    @godlistenuriourio6114Ай бұрын

    Safi sana

  • @festohaule9716
    @festohaule9716Ай бұрын

    Wenye viti ni Ccm hao hao... Haipendezi kabisa tunajengaje Nchi yetu Sasa!!!!!

  • @mohamedkindem843
    @mohamedkindem843Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654Ай бұрын

    Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo

  • @daudimwaipaja1734
    @daudimwaipaja1734Ай бұрын

    Ila Hawa wenyeviti hatukuwachagua sisi ndio maana wanafanya wanavyotaka

  • @mdabemdabe7829
    @mdabemdabe7829Ай бұрын

    Pameanza kuchangamka ndugu mtazamaji nchi imeanza kuwa tamu sasa

Келесі