Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level. Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania. Endeleeni kutusaidia wanyonge.
@dorahmushi-we6ts
Ай бұрын
Mikoa mingine hakujakucha? Tunamuona Mhshmw Makonda, Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...
@imanuelzakayo8703Ай бұрын
Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa
@MaryShayo-tg4vq
Ай бұрын
Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba
@stevenemwakasimba-pt8er
Ай бұрын
Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu
@ce-08
Ай бұрын
🎉🎉🎉
@chusseboywcb2808Ай бұрын
Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam
@SuleAmber-lw2txАй бұрын
Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri
@farijala1
Ай бұрын
Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni
@godiegodie1336
Ай бұрын
Jerry Silaa mbona kufanya sana
@user-no4ny7ox2d
Ай бұрын
Chalamila na sio makala
@selector728
Ай бұрын
huyu sio makala ni Chalamila
@emanuelleopod3949
Ай бұрын
Makala gani tena
@muhambwetvonlineАй бұрын
The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi
@menelus911mene5Ай бұрын
Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana
@ramamabinda5063Ай бұрын
Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.
@saadatiyahyashabani-yg2xyАй бұрын
Duh makonda chalamila
@amsiabbas3809Ай бұрын
Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin
@ConstanciaShangaliАй бұрын
UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤
@barakarobert1029
Ай бұрын
😂😂😊😊
@barakarobert1029
Ай бұрын
Ni huzuni kwa kwel
@dn.n4983Ай бұрын
Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour
@user-pi1st6pj3wАй бұрын
Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai
@user-yf2ro1wb4yАй бұрын
RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali
@user-wr7io8lh6jАй бұрын
Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda
@chire4574Ай бұрын
Makonda ni mfano wakuigwa..
@steve-zf4tjАй бұрын
Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona
@amisindondi4549Ай бұрын
Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza
@isaacorengo1404Ай бұрын
Safiiiiiiii like Makonda
@paulmaganga9700Ай бұрын
Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako
@dizzboss7526Ай бұрын
Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze
@dereva0
Ай бұрын
wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa
@HajiJuma-xw7vh
Ай бұрын
Kabisa nchi itakuwa nzuri
@timothymoshi5800Ай бұрын
Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA
@user-vk4zb8fo9uАй бұрын
Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya
@kulwankuba2785Ай бұрын
Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.
@EligiaMligoАй бұрын
Makonda kaonyesha njia
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Chalamila una masihala sana
@zwinaalhabsi664Ай бұрын
Chalamila oyeeeeer
@robertlary6007Ай бұрын
Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
@babuuriziq3243Ай бұрын
MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO
@ezehabari947Ай бұрын
Safi sana RC kwa kuinunua kesi
@abusufianijuma1224Ай бұрын
Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.
@matukutajuma156Ай бұрын
KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢
@dizzboss7526
Ай бұрын
Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅
@abuusufian6506
Ай бұрын
😂😂
@casperegreen3034
Ай бұрын
huyu kweli noma
@frankhoffa8356
Ай бұрын
Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu
@rosehaule6765
Ай бұрын
Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko
@Shafikimanga7Ай бұрын
Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana
@mugaproАй бұрын
Naona nchi imeanza kuchangamka
@johnkapesula122
Ай бұрын
Laaa sanaaaaa...
@fortidaskashaigili7496
Ай бұрын
Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz
@lwitikoasa6899Ай бұрын
Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana
@mussakimaro5588Ай бұрын
Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana
@PiusNjelekelaАй бұрын
chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊
@harunirashidАй бұрын
Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi
@HAPPYSULEАй бұрын
Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.
@DiniMwambashiАй бұрын
Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm
@levinalyimo6240Ай бұрын
Ongera Sana baba
@johnkapesula122Ай бұрын
Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.
@user-sd4uv7sh6eАй бұрын
Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa
@othumanomari1589Ай бұрын
Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila
@titokimambo1367Ай бұрын
Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2
@tupacthedon7104Ай бұрын
Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia
@PaulMasolwa-ir4fpАй бұрын
Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona
@fredykephacy5166Ай бұрын
makonda na chalamila Mungu awape nguvu
@SeraphineKamau-db9tyАй бұрын
Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.
@JasminEddy-cc3txАй бұрын
Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde
@johnkapesula122Ай бұрын
Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.
@HajiJuma-xw7vhАй бұрын
Duuh anapita njia za makonda safi sana
@edwardmaguluko6541Ай бұрын
Ebwana huku Dar nako kumechafukwa
@jumapiliissa4835Ай бұрын
Kazi nzuli mkuu
@musamwambara6835Ай бұрын
Chanika hayo mambo yamekisiri sana
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote
@yousuphnzira3209Ай бұрын
Hongera RC Chalamila
@daudimwakipesile4801Ай бұрын
Hongera Charamila
@nyanziratatou5404Ай бұрын
Wewe ndo komesha ya wezi.
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Mmfuatwa nyao za makonda.
@MussaKitalutaАй бұрын
Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa
@damianmcba9525Ай бұрын
Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1
@user-mp6zd2ui7rАй бұрын
Safisana chalamilla
@renatusgasembe3338Ай бұрын
mtanunua kesi ngapi
@user-vp1zu3fb5wАй бұрын
NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,
@user-tr3bi1ry6tАй бұрын
Chalamila wewe mtu wa maana kabisa
@samochristopherroche9953Ай бұрын
Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa
@MaryShayo-tg4vqАй бұрын
Yani mama sasa kama anajua kusoma mcheze yani nikudili nawakuu wamikowa wote wawe kama makonda wamsaidie kusikiliza kero za wana nchi kwisha mitano tena natena sisi wanachi ndotuna taka hivi kutatuliwa kero sio wanakaa ofisini tuu wana menya mama simamisha majembe kama haya wewe mbona hata presha huwezi pata
@zefamange728120 күн бұрын
MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢
@neemareuben311Ай бұрын
Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa
@evelina9621Ай бұрын
Makonda.hii Kazi.nzito
@emmabrownmissana6996Ай бұрын
Safi Sana mkuu
@tembatembele5332Ай бұрын
Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu
@japhetisraelsmafie997Ай бұрын
Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema
@apostlej.rministiryprophet2219Ай бұрын
KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂
@japhetisraelsmafie997Ай бұрын
Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi
@musicheals1545Ай бұрын
MAKONDISATION.!!!!!!
@stephanSandikaАй бұрын
Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao
@stanleynombwe4865Ай бұрын
So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂
@hadijamandanje6189
Ай бұрын
Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu
@elizalutiga6287Ай бұрын
Utapeli Mwingi sana Tz
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Allah awape subhanallah na haki
@nkwazigatshaАй бұрын
Huu ni uongo, uongozi au usanii? CCM yenyewe watenda dhambi nambari wani wakitendea dhambi gani ambayo hakijatenda? Wote ni wasanii, matapeli wanaocheza karata tatu na kuwachezea wananchi. Hayo mamilioni mnayomwaga mmeyapata wapi au mlipanga ii kujizolewa sifa za wasiojua kinichoendelea nyuma ya pazia. Hivi ndivyo wanavyolindana ati.
@justerissaya9165Ай бұрын
Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏
@NM-yl2uwАй бұрын
inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go
@hassanamani2131
Ай бұрын
Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii
@sonnyr1899
Ай бұрын
Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu. Acha kupanik
@NM-yl2uw
Ай бұрын
@@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya
@NM-yl2uw
Ай бұрын
@@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda
@mahatakitengewamuninga1260Ай бұрын
NAUONA MZIMU WA MAGUFULI
@user-yk5gm5qj4uАй бұрын
Safii chalamila
@rahabnkya8276Ай бұрын
Safari hii daa ars dar motomoto kabisa.
@nadiatanzaniaАй бұрын
Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka
@suleimanbalemba3348Ай бұрын
Kuna kamgisha mwingine yuko Dondwe ndo michezo yake wengine tushasamehe
@OdenBidili-lj5qiАй бұрын
Hao wenyeviti si ndio mliwaweka nyie wenyewe ccm vuneni mlicho panda
@godlistenuriourio6114Ай бұрын
Safi sana
@festohaule9716Ай бұрын
Wenye viti ni Ccm hao hao... Haipendezi kabisa tunajengaje Nchi yetu Sasa!!!!!
@mohamedkindem843Ай бұрын
❤❤❤❤
@michaelmlugu5654Ай бұрын
Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo
@daudimwaipaja1734Ай бұрын
Ila Hawa wenyeviti hatukuwachagua sisi ndio maana wanafanya wanavyotaka
@mdabemdabe7829Ай бұрын
Pameanza kuchangamka ndugu mtazamaji nchi imeanza kuwa tamu sasa
Пікірлер: 175
Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level. Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania. Endeleeni kutusaidia wanyonge.
@dorahmushi-we6ts
Ай бұрын
Mikoa mingine hakujakucha? Tunamuona Mhshmw Makonda, Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...
Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa
@MaryShayo-tg4vq
Ай бұрын
Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba
@stevenemwakasimba-pt8er
Ай бұрын
Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu
@ce-08
Ай бұрын
🎉🎉🎉
Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam
Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri
@farijala1
Ай бұрын
Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni
@godiegodie1336
Ай бұрын
Jerry Silaa mbona kufanya sana
@user-no4ny7ox2d
Ай бұрын
Chalamila na sio makala
@selector728
Ай бұрын
huyu sio makala ni Chalamila
@emanuelleopod3949
Ай бұрын
Makala gani tena
The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi
Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana
Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.
Duh makonda chalamila
Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin
UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤
@barakarobert1029
Ай бұрын
😂😂😊😊
@barakarobert1029
Ай бұрын
Ni huzuni kwa kwel
Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour
Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai
RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali
Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda
Makonda ni mfano wakuigwa..
Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona
Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza
Safiiiiiiii like Makonda
Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako
Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze
@dereva0
Ай бұрын
wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa
@HajiJuma-xw7vh
Ай бұрын
Kabisa nchi itakuwa nzuri
Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .
Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA
Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya
Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.
Makonda kaonyesha njia
Chalamila una masihala sana
Chalamila oyeeeeer
Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO
Safi sana RC kwa kuinunua kesi
Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.
KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢
@dizzboss7526
Ай бұрын
Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅
@abuusufian6506
Ай бұрын
😂😂
@casperegreen3034
Ай бұрын
huyu kweli noma
@frankhoffa8356
Ай бұрын
Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu
@rosehaule6765
Ай бұрын
Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko
Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana
Naona nchi imeanza kuchangamka
@johnkapesula122
Ай бұрын
Laaa sanaaaaa...
@fortidaskashaigili7496
Ай бұрын
Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike
Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂
chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz
Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana
Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana
chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊
Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi
Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.
Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm
Ongera Sana baba
Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.
Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa
Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke
Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila
Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2
Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia
Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona
makonda na chalamila Mungu awape nguvu
Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.
Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde
Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.
Duuh anapita njia za makonda safi sana
Ebwana huku Dar nako kumechafukwa
Kazi nzuli mkuu
Chanika hayo mambo yamekisiri sana
Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote
Hongera RC Chalamila
Hongera Charamila
Wewe ndo komesha ya wezi.
Mmfuatwa nyao za makonda.
Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa
Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1
Safisana chalamilla
mtanunua kesi ngapi
NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,
Chalamila wewe mtu wa maana kabisa
Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa
Yani mama sasa kama anajua kusoma mcheze yani nikudili nawakuu wamikowa wote wawe kama makonda wamsaidie kusikiliza kero za wana nchi kwisha mitano tena natena sisi wanachi ndotuna taka hivi kutatuliwa kero sio wanakaa ofisini tuu wana menya mama simamisha majembe kama haya wewe mbona hata presha huwezi pata
MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢
Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa
Makonda.hii Kazi.nzito
Safi Sana mkuu
Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu
Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo
Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema
KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi
MAKONDISATION.!!!!!!
Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao
So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂
@hadijamandanje6189
Ай бұрын
Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu
Utapeli Mwingi sana Tz
Allah awape subhanallah na haki
Huu ni uongo, uongozi au usanii? CCM yenyewe watenda dhambi nambari wani wakitendea dhambi gani ambayo hakijatenda? Wote ni wasanii, matapeli wanaocheza karata tatu na kuwachezea wananchi. Hayo mamilioni mnayomwaga mmeyapata wapi au mlipanga ii kujizolewa sifa za wasiojua kinichoendelea nyuma ya pazia. Hivi ndivyo wanavyolindana ati.
Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏
inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go
@hassanamani2131
Ай бұрын
Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii
@sonnyr1899
Ай бұрын
Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu. Acha kupanik
@NM-yl2uw
Ай бұрын
@@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya
@NM-yl2uw
Ай бұрын
@@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda
NAUONA MZIMU WA MAGUFULI
Safii chalamila
Safari hii daa ars dar motomoto kabisa.
Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka
Kuna kamgisha mwingine yuko Dondwe ndo michezo yake wengine tushasamehe
Hao wenyeviti si ndio mliwaweka nyie wenyewe ccm vuneni mlicho panda
Safi sana
Wenye viti ni Ccm hao hao... Haipendezi kabisa tunajengaje Nchi yetu Sasa!!!!!
❤❤❤❤
Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo
Ila Hawa wenyeviti hatukuwachagua sisi ndio maana wanafanya wanavyotaka
Pameanza kuchangamka ndugu mtazamaji nchi imeanza kuwa tamu sasa