HAPA NDIPO ULIPO LIKOROGA KAA KIMYA | SHEIKH MSELEM BIN ALY

#AdilTV

Пікірлер: 48

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513Ай бұрын

    اسال الله ان يجعلك خيرا في الدني والأخر يا شيخ

  • @user-tl8bh7qz2h
    @user-tl8bh7qz2h21 күн бұрын

    Assalam alaykum kwangu ndo shekh wangu wakwangu allah akulinde❤

  • @BinomariMussa
    @BinomariMussa10 күн бұрын

    Naam shekh allah akupe umri mrefu nasi tufaidike allah akujaalie mwisho mwema.

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmentiАй бұрын

    Upo sahihi shekh mselemu asant sana shekh

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311Ай бұрын

    ManshAllah cheikh wetu

  • @haroubmsellem9879
    @haroubmsellem9879Ай бұрын

    Mashaallah

  • @Edson-qi2si
    @Edson-qi2si25 күн бұрын

    Mashallaa shekh unatuelimisha sana jazaka Allah

  • @saidhassan5669
    @saidhassan5669Ай бұрын

    Jazakumullah khairah

  • @masumaihashim9310
    @masumaihashim93107 күн бұрын

    YESU MWENYEWE ALIKUWA MUISLAMU, ALISALI MSIKITINI, ALITAWADHA, MUULIZE ASKOFU ANTHON LUSEKELO WA KANISA KUU LA UBUNGO ANAETHIBITISHA YESU HAKUWA MKRISTO.

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176Ай бұрын

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfaАй бұрын

    Ma Sha Allah

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816Ай бұрын

    Mungu amevaa mabuti ya dhahabu Yuko juu ya mbingu ya Saba ameketi.Allah atusamehe Kwa kweli.😢😢😢

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Ай бұрын

    We chizy kweli M'mungu hafanani na chochote kile. Wewe ulimuona wapi kavaa viatu vya dhahabu???

  • @KhamisOmar-kt4kz

    @KhamisOmar-kt4kz

    Ай бұрын

    Ww sio muislam wacha ujinga kakate viuno kanisani

  • @kombowadi3035
    @kombowadi3035Ай бұрын

    Mugu atujaliye na moyo waimani kwasote

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623Ай бұрын

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @gyeong5972

    @gyeong5972

    Ай бұрын

    Wallykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh

  • @user-qt9tp9ph6l
    @user-qt9tp9ph6lАй бұрын

    Samahani shehe mselem najuwa hujakosea hapa ilo neno kama ulo likosea kidogo.

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    Ай бұрын

    Neno lipi kakosea shekh?

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    Ай бұрын

    Mbona husemi hilo neno wewe hpa tulione nugu wewe

  • @mohammedmussa7378

    @mohammedmussa7378

    Ай бұрын

    Mjinga asiejua ujinga wake anazidi ujinga

  • @mohammedmussa7378

    @mohammedmussa7378

    Ай бұрын

    Khaswah

  • @mohammedmussa7378

    @mohammedmussa7378

    Ай бұрын

    Hii mitandao kuna wajinga wengi kuliko wajuzi na wakisikia darsa kama hizi wao kazi yao kukosoa ilihali hawana ujuzi navyo hivyo wanavyokosoa na hawajaanza wao walianza makuraishi huko nyuma

  • @AishaSelemani-mp9zc
    @AishaSelemani-mp9zcАй бұрын

    🪴

  • @profs.a5412
    @profs.a5412Ай бұрын

    Ila kunbukeni piaa kuwa lazima mtapelekwa jehanamu kabla ya kwenda peponi, Yani lazima mkafike jehanam😂😂 nikisomaga hiyo Aya mpaka nashangaa.....Yani mnapelekwa jehanamu kabla ya peponi. Hakika Yesu atosha

  • @AbuuAnuwar-ip7dr

    @AbuuAnuwar-ip7dr

    Ай бұрын

    Hiyo Aya inapatikana katika Bible gani yamwafrika au?😄😄

  • @profs.a5412

    @profs.a5412

    Ай бұрын

    @@AbuuAnuwar-ip7dr 🤣🤣 nilijuaa tu ambao hamjuii utakuja kubisa, hiyo ni Aya ya Quran yenu mjombaaa, Yani lazima mpelekwe kwanza jehanamu kabla ya kuokolewa huko😂 sema dini yenu , halali ni dini ya majini piaa

  • @AbuuAnuwar-ip7dr

    @AbuuAnuwar-ip7dr

    Ай бұрын

    Labda kwenye bible ndo inapatikana hiyo Aya

  • @AbuuAnuwar-ip7dr

    @AbuuAnuwar-ip7dr

    Ай бұрын

    Maana Sisi kwetu Hakuna Aya zaajabu ajabu mara yesu nabii, mara mungu, mara Mwana wamungu, mara mbumbumbu, kitabu kinachanganya kama bangi mpaka wenyewe hamjuwi Yesu nimungu au Mwana wamungu🤣🤣

  • @profs.a5412

    @profs.a5412

    Ай бұрын

    @@AbuuAnuwar-ip7dr sema wewe ndio hujuii Kama ipo kwenye Quran yenu, na tatizo ni kwamba nyiee mnakrem Quran na sio kuelewa...mtu unakaa unaimba kitabu afu huelewi unaimba nini, tukiwastuaa Kama mnaimba na Aya za ajabu ajabu ..ndio mnaanza kubishaaa, tukiwaonyeshaa ....mnaanza kutukanaa😅 mjomba jehanam lazima mkafike kabla ya kwenda peponi, na Sina uhakika Kama utakapofikshwa Kule jihanamu mtatoka kweli, nahisi shetani kawapiga chenga hapoo

Келесі