MH MAZRUI HATAKI BOTI YA WETE ITUMIKE APATA KIGUGUMIZA HAKUNA ANAYOIWEZA AFRIKA NZIMA HAKUNA
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 10
Hiyo boti isiyowezekana kutumiwa naitaka mimi kwa Tsh. 50,000,000/-. Kesho nalipa hela mkikubali.
Flying doctors!😂😂😂😂😂
Vilaza haw
Mazrui we unataka kuuza iyo not eb sema ukweli ko apa hatuna wataalamu kweli
Si mpeleke watu wakosema ili tutumie vtu fanisi.
Zimekwenda Maonyesho
Kwakifupi huyujamaa kichwa na mchapakazi na msomimzuritu
Mimi naona watu wanakula pesa za bure tu hapo
Jamani au miwani yangu haioni, mbona kama hawapo siriasi na proceeding?
Too much socializing😂😂