JENGO REFU ZAIDI LA BURJI KUJENGWA ZANZIBAR, LITAKUA NA UBUNIFU WA KIPEKEE DUNIANI

Пікірлер: 21

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go7 ай бұрын

    Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka

  • @omyguy2002
    @omyguy20026 ай бұрын

    Mmh atokua hai ataona in sha Allah

  • @jumasaleiman
    @jumasaleiman5 ай бұрын

    Sioo kweli

  • @user-op2ed5cy5q
    @user-op2ed5cy5q7 ай бұрын

    Safi sana jengeni tu zanzibar ibadilike

  • @eddechriss2664
    @eddechriss26647 ай бұрын

    Domino tower tumeishia kuona renders tu, tena mnatuletea hadithi ingine

  • @jumashedafa
    @jumashedafa7 ай бұрын

    Kila cku maneno mengi hamjengi

  • @maase2023
    @maase20237 ай бұрын

    Mmmhhh jengo gani hili halina hata sura

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub83697 ай бұрын

    Semeni kweli

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын

    Hawana nia yakuleta maendeleo CCM zanzibar

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub83697 ай бұрын

    Hiyo ni hoteli ya mwinyi

  • @AfricabeyondtheLimits
    @AfricabeyondtheLimits7 ай бұрын

    Sasa burji ndo nn??

  • @zolongOne
    @zolongOne6 ай бұрын

    Bei za apartment ipo juu mno

  • @richardbegga6679
    @richardbegga66797 ай бұрын

    😂😂😂 hilo Mbona kwa Bongo ni fupi sana

  • @officialjasonraider

    @officialjasonraider

    7 ай бұрын

    Bongo za Zanzibar nchi ile ile .. Acha ushamba

  • @user-ex6sh1rl4d

    @user-ex6sh1rl4d

    7 ай бұрын

    Tofauti

  • @FatmaSalum-tr9qk
    @FatmaSalum-tr9qk7 ай бұрын

    Mud

  • @PROGRESS-PULSE
    @PROGRESS-PULSE7 ай бұрын

    Acheni kutudanganya bhana😂😂😂

  • @abedomar5183

    @abedomar5183

    7 ай бұрын

    Kitu gani sasa wanakudanganya hapo wewe useless stupid person

  • @PROGRESS-PULSE

    @PROGRESS-PULSE

    7 ай бұрын

    @@abedomar5183 😂😂😂 thanks mr useful smart minded person.

  • @mamodelmam

    @mamodelmam

    6 ай бұрын

    Kwan kipi kisichowezekana shangazi? Kisa ni Tanzania??

  • @user-ji7sy2wi7b

    @user-ji7sy2wi7b

    3 ай бұрын

    Hujui kuwa serkali ina danganya? Ile domino tower ya 221Mita iliishia wapi?​@@abedomar5183

Келесі