JENGO REFU ZAIDI LA BURJI KUJENGWA ZANZIBAR, LITAKUA NA UBUNIFU WA KIPEKEE DUNIANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 21
@OmerSuley-gl7go7 ай бұрын
Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka
@omyguy20026 ай бұрын
Mmh atokua hai ataona in sha Allah
@jumasaleiman5 ай бұрын
Sioo kweli
@user-op2ed5cy5q7 ай бұрын
Safi sana jengeni tu zanzibar ibadilike
@eddechriss26647 ай бұрын
Domino tower tumeishia kuona renders tu, tena mnatuletea hadithi ingine
@jumashedafa7 ай бұрын
Kila cku maneno mengi hamjengi
@maase20237 ай бұрын
Mmmhhh jengo gani hili halina hata sura
@hafidhyakoub83697 ай бұрын
Semeni kweli
@user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын
Hawana nia yakuleta maendeleo CCM zanzibar
@hafidhyakoub83697 ай бұрын
Hiyo ni hoteli ya mwinyi
@AfricabeyondtheLimits7 ай бұрын
Sasa burji ndo nn??
@zolongOne6 ай бұрын
Bei za apartment ipo juu mno
@richardbegga66797 ай бұрын
😂😂😂 hilo Mbona kwa Bongo ni fupi sana
@officialjasonraider
7 ай бұрын
Bongo za Zanzibar nchi ile ile .. Acha ushamba
@user-ex6sh1rl4d
7 ай бұрын
Tofauti
@FatmaSalum-tr9qk7 ай бұрын
Mud
@PROGRESS-PULSE7 ай бұрын
Acheni kutudanganya bhana😂😂😂
@abedomar5183
7 ай бұрын
Kitu gani sasa wanakudanganya hapo wewe useless stupid person
Пікірлер: 21
Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka
Mmh atokua hai ataona in sha Allah
Sioo kweli
Safi sana jengeni tu zanzibar ibadilike
Domino tower tumeishia kuona renders tu, tena mnatuletea hadithi ingine
Kila cku maneno mengi hamjengi
Mmmhhh jengo gani hili halina hata sura
Semeni kweli
Hawana nia yakuleta maendeleo CCM zanzibar
Hiyo ni hoteli ya mwinyi
Sasa burji ndo nn??
Bei za apartment ipo juu mno
😂😂😂 hilo Mbona kwa Bongo ni fupi sana
@officialjasonraider
7 ай бұрын
Bongo za Zanzibar nchi ile ile .. Acha ushamba
@user-ex6sh1rl4d
7 ай бұрын
Tofauti
Mud
Acheni kutudanganya bhana😂😂😂
@abedomar5183
7 ай бұрын
Kitu gani sasa wanakudanganya hapo wewe useless stupid person
@PROGRESS-PULSE
7 ай бұрын
@@abedomar5183 😂😂😂 thanks mr useful smart minded person.
@mamodelmam
6 ай бұрын
Kwan kipi kisichowezekana shangazi? Kisa ni Tanzania??
@user-ji7sy2wi7b
3 ай бұрын
Hujui kuwa serkali ina danganya? Ile domino tower ya 221Mita iliishia wapi?@@abedomar5183