HIZI NDIO FLYOVER ZINAZOJENGWA ZANZIBAR, MRADI WA BARABARA KILOMITA 109 ZA MJINI HAUJASITA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 22

  • @Juma-om7ho
    @Juma-om7ho2 ай бұрын

    dk Husseein hongera sannaa upo vizuri

  • @kassimsaid9316
    @kassimsaid93162 ай бұрын

    Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9vАй бұрын

    Hongera sana mheshimiwa

  • @alhajjkassim2648
    @alhajjkassim26482 ай бұрын

    Hongera Sana Rais Mwinyi

  • @fakijecha
    @fakijecha2 ай бұрын

    Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga38762 ай бұрын

    Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no2 ай бұрын

    Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed10862 ай бұрын

    Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah42332 ай бұрын

    Pemba jamani mbna haijatajwa hapa

  • @saidiomar6642
    @saidiomar66422 ай бұрын

    Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini

  • @seifhabib5987
    @seifhabib59872 ай бұрын

    Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili2 ай бұрын

    Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    2 ай бұрын

    Lazma zimalize hizi za mjini ndio ije bububu

  • @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    2 ай бұрын

    Itajengwa kwa mujibu wa kauli ya raisi

  • @mussachichajr
    @mussachichajr2 ай бұрын

    Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU

  • @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    2 ай бұрын

    Raisi ashajibu kua iyo pia imo

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    Ай бұрын

    Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)

  • @Pemba680
    @Pemba6802 ай бұрын

    Chake mkoani mumeiyona????

  • @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    @AbdulRahmanAliy-sr7gw

    2 ай бұрын

    Pemba hajazitaja Bara Bara lkn iyo pia imo kwenye mradi

Келесі