RAIS MWINYI ATOBOA SIRI KUHUSU "TAXI BOAT" ANAZOTAKA KUZILETA ZANZIBAR

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 77

  • @alibhaindaro9187
    @alibhaindaro91876 ай бұрын

    Maashallah muheshimiwa, Allah akulinde uzidi kuihimarisha zanzibar. ❤❤❤

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh39646 ай бұрын

    Amin . ALLAH azidi kutupa afya njema ili tuijenge nchi yetu

  • @user-po3qd8ri6e

    @user-po3qd8ri6e

    6 ай бұрын

    Mashaallah

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4066 ай бұрын

    Baraka Shamte salamu zimefikia omva radhi kwa Mhe Rais

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62984 ай бұрын

    Mungu akusaidie

  • @jumamambo7471
    @jumamambo74716 ай бұрын

    Masha-alah alah akulinde kipenz cha wazanzbar

  • @EvaristoMlowe-yp3pu
    @EvaristoMlowe-yp3pu6 ай бұрын

    BIGUP SANA

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim45796 ай бұрын

    Hongera kwa maendeleo Ahsante kwa maendeleo Zanzibar iwe dubai

  • @AbdulRahimhoward
    @AbdulRahimhoward6 ай бұрын

    Allah Akubariki Mimi sijawahi kukupinga ulichofanya sasa ivi wengine hawajafanya mpaka sasa ivi

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu34676 ай бұрын

    nakubali uko kibiashara zaid wazanzibar wenye vigari vyenu vya Abiria ambavyo ndio vinakupatieni riks jipangeni na kulima

  • @salehjuma935
    @salehjuma9356 ай бұрын

    Mitano tena kwako raisi wetu mpendwa hayo ndio mambo tunayoyataka In Shaa Allah

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih1996 ай бұрын

    Zanzibar ❤️💛💚

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51576 ай бұрын

    DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE

  • @kimsamir965
    @kimsamir9656 ай бұрын

    Safi sana rais mwinyi nakukubali sana nani kama wewe ubarikiwe sana mungu akuweke

  • @hamadabdullahkhamis977
    @hamadabdullahkhamis9776 ай бұрын

    Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y6 ай бұрын

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kahilissa1862
    @kahilissa18626 ай бұрын

    In sha Allah kheri

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh6 ай бұрын

    Safi sana mzee vijana tupo pamoja na wewe

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Jisemee ww

  • @kimsamir965
    @kimsamir9656 ай бұрын

    Rais wa future huna mbaya endelea kuleta maendeleo ya Zanzibar

  • @user-dd3db5qb9s
    @user-dd3db5qb9s6 ай бұрын

    Allah Akupe wepesi kwa hayo

  • @asmasalummohamed5564
    @asmasalummohamed55643 ай бұрын

    Let's go Mr president

  • @nafisahalai5536
    @nafisahalai55366 ай бұрын

    God bless you President Mwinyi. We love you

  • @abdul-halimhafidh642
    @abdul-halimhafidh6426 ай бұрын

    Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar

  • @mohddelo
    @mohddelo6 ай бұрын

    Hawana sera hao

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo62796 ай бұрын

    Mitano x4 itafaa akipewa huyu mzee baba Zanzibar kama dubai

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan896 ай бұрын

    Hakika wewe ndio rais tulokuwa tunakutaka Allah atuweke inshallah tiweze kuja kuona Zanzibar yetu mpya inshallah Ameen 🤲🤲🤲

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid39186 ай бұрын

    Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    6 ай бұрын

    😂

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    6 ай бұрын

    Hao Wageni pia tuna mpango wa kutembezwa kwa Mabus ya serikali mabus ya Garofa Moja ambayo juu yapo wazi ila msijali Serikali itaajiri madereva

  • @yasminjuma9146

    @yasminjuma9146

    6 ай бұрын

    😂😂😂​@@rajabmsinzia1715

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi57936 ай бұрын

    Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.

  • @mnahakikibwenihaji9563

    @mnahakikibwenihaji9563

    6 ай бұрын

    hizo pesa za tax bot zikibaki njoni mutusaidie sare za watoto wetu huko skuli wanawazuiwa wasiende

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah86426 ай бұрын

    Na veep muheshimiwa kuhusu MV MAPINDUZI

  • @Asilimedia

    @Asilimedia

    6 ай бұрын

    Ipo katika Hatua za mwisho kwenye matengenezo (ukarabati) unaofanyika.

  • @salehkaroa2366

    @salehkaroa2366

    6 ай бұрын

    Nitaileta mpya msijali

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah18876 ай бұрын

    Hatufamu hayo ss tutaka zanzibar yenye malaka kamili bila ya kungiliwa na wabara

  • @allyvuai9762
    @allyvuai97626 ай бұрын

    Mitano tena dkt Mwinyi

  • @salehkaroa2366
    @salehkaroa23666 ай бұрын

    Au sio Insha Allah kheri tupu

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90306 ай бұрын

    Ndo walivo kila kitu wanasema hatuwezi Sasa wataona

  • @alihaji215
    @alihaji2156 ай бұрын

    Tutajitawala wenye msitutowe kwenyenjia ya reli

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62166 ай бұрын

    Umeme bado kero zito

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm57286 ай бұрын

    Pesa imetumika kuhamisha taka so mchezo

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah86426 ай бұрын

    Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao. Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi. Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi. Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki. Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47306 ай бұрын

    Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma14215 ай бұрын

    Haya sasa

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww6 ай бұрын

    Napia huku shumba mjini hii bandari bado imeganda hatujuwi lini itakwamuka

  • @yassirmabuku7832
    @yassirmabuku78326 ай бұрын

    😂 mbali na mipango ya dr Mwinyi kunikosa na Dj nae kanikosha

  • @saidyussufmzee4548
    @saidyussufmzee45486 ай бұрын

    😂😂 Mzee..

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u6 ай бұрын

    Mipasho ila mda ndio jaji mkuu.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54336 ай бұрын

    Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    Maendeleo ni sacrifice lazma kuna upande uumie kwa muda ili badae vitu vikae sawa

  • @zainarashid1024
    @zainarashid10246 ай бұрын

    Wambie hao wapinga maendeleo wapuuzi wengine walikuwemo serikalini hawakufanya lolote

  • @user-qm9qw8et9v
    @user-qm9qw8et9v26 күн бұрын

    Water tax

  • @zaexplore
    @zaexplore6 ай бұрын

    oyaaa mwinyi mitano tenaaaa

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2qАй бұрын

    mwinyi namkubali sana hapepesi maneno

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын

    Mwinyi ushashiba aloooo

  • @yassirmabuku7832
    @yassirmabuku78326 ай бұрын

    Dr Mwinyi tumuongezee miaka kama wenzetu wa china tumpe miaka 20 hadi 30

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi10 күн бұрын

    Raisi mwinyi tunakupenda sana lakini mkuu wa wilaya wa kati sadifa anatunyanyasa anatutukana tumemchoka please hatumtak

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed27295 ай бұрын

    Sasa wataka kuzamisha watu

  • @salehkaroa2366
    @salehkaroa23666 ай бұрын

    Kisima watu M2 hawafiki kila kitu aaah haiwezekani Siasa za Chuki na ujinga zimeekwa mbele ilikua ujinga mtupu

  • @user-vx5gz3yt9c
    @user-vx5gz3yt9c6 ай бұрын

    Mihezo

  • @user-jx2jl8ii2w
    @user-jx2jl8ii2w2 ай бұрын

    Mh Mwinyi jenga nchi tunakukubali

  • @mahamoudduchi3318
    @mahamoudduchi33186 ай бұрын

    Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini

  • @Asilimedia
    @Asilimedia6 ай бұрын

    Huyu Raisi mitano tena Ikiwezekana tena na Tena

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj6 ай бұрын

    Na walodhumiwa vi inua mgongo wasaidia 😢

  • @htx1873
    @htx18736 ай бұрын

    The MWINYI’S Never disappoint.❤

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t5 ай бұрын

    Tnataka maendeleo Yazidi kuongezeka na Pemba uijenge iwe na maendeleo Hususan Bandari ya Wete Pemba

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna61226 ай бұрын

    Huyu jamaa Ana uwa kazi za wananchi ma beachBoy wakae juu anapiga deal

  • @AleiHadji-js3ed

    @AleiHadji-js3ed

    6 ай бұрын

    Unaharibu utatuharibia na Sisi brooo

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim86005 ай бұрын

    Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p6 ай бұрын

    Kushinda kuchukua tu umeshinda wapi sema ukweli punzi isikuhadae amani yuko wapi sefu ali iddi yuko wapi salimini yuko wapi

  • @TahilaRamadhan-hz3pd

    @TahilaRamadhan-hz3pd

    6 ай бұрын

    Na sefsharif yukowapii

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    6 ай бұрын

    Wahakutokea wa kumkamata ndio kushinda huko huko.

  • @user-sl2hk8wp1p

    @user-sl2hk8wp1p

    6 ай бұрын

    @@TahilaRamadhan-hz3pd sefu ametanguli mbele yy muliokuwa hamutokufa mutakaa duniani milele endeleeni kuzulumu tu

  • @user-sl2hk8wp1p

    @user-sl2hk8wp1p

    6 ай бұрын

    @@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu

  • @allyvuai9762

    @allyvuai9762

    6 ай бұрын

    Wacha ufala kaka mwacheni Rais afanye kwa maslahi mapana ya taifa letu

Келесі