#RAIS

#isleblogTv Rais Mwinyi kurudisha treni Zanzibar

Пікірлер: 173

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m6 ай бұрын

    Hongera sana raisi wetu kwa kazi nzuri allah akupe umri mrefu akupe na afya amin yarabbi

  • @salmaomar9483
    @salmaomar94836 ай бұрын

    Allah akupe maisha marefu, afya, akupe mazuri Duniani na Akhera. Tunakupenda sana Dk. Mwinyi.

  • @alawihamis5586
    @alawihamis55866 ай бұрын

    Hakuna haja ya kubadilisha rais huyu rais wetu mungu katuzawadia Zanzibar huyu apewe miaka 25 ya kua rais kama rais wa china na urusi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 ай бұрын

    Nakupenda sana Mtoto Mhe Rais Hussein Mwinyi kwa kweli unaitengeneza Zanzibar njema wenye kusema waache waseme hiyo ni kawaida yao

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Kilicho jengwa nn

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Akimaliza kujenga atufikishie na maji safi majumbani, vichwa vimefanya masuguru kwa kubeba ndoo za maji, majumba yetu yamejaa madumu ya kuwekea maji.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6236 ай бұрын

    Mabadiliko ni muhimu kwenda na wakati lakini pia na huduma za jamii kupata nafasi kwa mwendo wa kasi ni muhimu. Tuombe Mungu yatimie kwa maslahi yetu sote🤝

  • @user-ju8pn8px7k
    @user-ju8pn8px7k6 ай бұрын

    Mkuu vp naona Kuna hali ya uhalifu wakutisha nasaha zangu hekima inahitajika ktk hili Kisha kazi iendelee mkuu inshaa Allah

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Jumla ya faida za muungano hizo

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh18126 ай бұрын

    Namuomba Allah akupe taufiq

  • @user-rt1on7qo1d
    @user-rt1on7qo1d6 ай бұрын

    Hongera sana Mh Raisi mpendwa wetu wa Zanzibar, lakini pia kiangalie na kisiwa cha Pemba kiko nyuma mno kimaendeleo, miradi ya maendeleo kama hiyo ni muhimu pia kuwepo na Pemba pia.

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara4366 ай бұрын

    Pemba pia iyangaliwe kazi nzuri mheshimiwa Raisi 2:01

  • @isleblogTv

    @isleblogTv

    6 ай бұрын

    Rais Mwinyi kuifungua Pemba soon

  • @user-ju8pn8px7k
    @user-ju8pn8px7k6 ай бұрын

    Znz kama Dubai inawezekana inshaa Allah

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85056 ай бұрын

    Allah sw akubariki sana pambana na challenge zipo hasa kwa Zanzibar yetu ina challenge sana because wazanzibar tunapenda maendeleo but hatukuwa na viongozi wa maendeleo hapo nyuma tulikuwa na wapgaji fedha za umma kwa sasa mungu Allah sw akupe nguvu ww na team yako wenye dhamira njema but on all all fanya hima KUMBUKA TUNATAKA PASSPORT YETU PIA IRUDI ZANZIBAR

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o6 ай бұрын

    Kwa kweli raisi Mwinyi ni jembe la maendeleo kwa sasa amulets huduma za jamii mfano maji.umeme afya barabara na vilevile anataka kujenga reli ya toka Bububu kwenda stone Town lengo ni kurahisisha usafiri kwa wananchi. Wananchi wote wana imani kwa vipindu viwili miaka kumi mungu mubariki raisi kuwa na afya njema kazini

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37146 ай бұрын

    Hata qatar ndio hivyo wanatumia mabasi ya ges ila nakutaki masha marefu rais wangu mpenda badaa father karumu wakwanza.wapili ni ww honger sana

  • @albusayyd3020
    @albusayyd30206 ай бұрын

    Ni vizuri sna lakini kwanini mheshimiwa usijenge trni njia ya MKOANI MPAKA CHAKE kwa sababu usafiri wa gari pemba mgumu zikija meli ama boat

  • @thamani5842
    @thamani58426 ай бұрын

    AHSANTE SAANA Mh. RAIS, uzi uouo, tuko na wewe, Apo kwenye usafiri utakua umetusaidia sana wanyonge, mana saivi km tunadhalilika umo ndani ya madaladala. ALLAH akufanyie wepesi. AMIIN YAARABAL ALAMIIN .

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Thamani Huyo ndiyo Rais Hussein anaitengeneza Zanzibar njema nani Hussein Act Wazalendo walie tu aliyopewa kapewa hapokonyeki Ccm oyeeeee kazi inaendelea Hussein hapa kazi tu

  • @thamani5842

    @thamani5842

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 oyeeee

  • @nassorseif7907

    @nassorseif7907

    6 ай бұрын

    Kapewa na nani wacha ujinga yalofanyika 2020 huyajui au ndio nyie mulopigwa mihuri ya unafiq ktk nyoyo zenu

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    6 ай бұрын

    Hata mchawi anapewa na Mungu but kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah ​@@margarethpolepole7438

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara4366 ай бұрын

    Pemba pia iyangaliwe kazi nzuri mheshimiwa Raisi

  • @dengepandu9734
    @dengepandu97346 ай бұрын

    Mwenyenz mungu akulinde inshaallah

  • @suleimankhalid5978
    @suleimankhalid59786 ай бұрын

    Mi nalia iiiiiooooh mwinyi we mtu unatuheshimisha 😅😅 daktar daktar tengeneza akhera yako

  • @quickbookingzanzibar
    @quickbookingzanzibar6 ай бұрын

    Big up Big Up. One thing to advise, wafanye haraka haraka. Njiani mavumbi yatatuharibu Afya Tena. Show them you can hata kama Hawapendi

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33326 ай бұрын

    Safi sana mwinyi

  • @MaryamMakame-to2jp
    @MaryamMakame-to2jp6 ай бұрын

    Hongera baba

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17156 ай бұрын

    Raisi pendwa wa Wazanzibari we love you more❤

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Unampenda ww usi2seme sote

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    6 ай бұрын

    Wewe ni Wale baadhi ya Wapemba ndio munaomchukia ila kwa Zanzibar hakuna Raisi aliefanya mabadiliko Makubwa ya Kimaendelea Zanzibar, pia ni Raisi mwenye maono makubwa....so Wewe Mpemba na baadhi ya Wapemba wenzio wenye uchu wa madaraka ili mutoe Mabaya yenu yalio jificha miyoni mwenu kwa Wazanzibar walio wengi.....Huyo ni Raisi Pendwa wa Wazqnzibar nimerudia Tena uelewe

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    ​@@rajabmsinzia1715wapemba walikufira bure wewe na mamaako ndio maana una chuki nao mpk leo nguruwe mwitu wee, acheni umalaya

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81386 ай бұрын

    safi sana muheshimiwa ❤

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed92456 ай бұрын

    Yessssss sawasawa bora hasa mwinyi hayo maendeleo. Mheshimiwa na viwanda watu wapate kazi washibe pia

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go6 ай бұрын

    Usafiri wa train ya metro ndio nchi za visiwa wanatumia duniani hata Mauritius 🇲🇺 ipo train ya metro ❤

  • @HamisiMsami-ol3zk
    @HamisiMsami-ol3zk6 ай бұрын

    Huyu ni magufuli wa Zanzibar

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm6 ай бұрын

    Mie kikawaida ni mpizani wa CCM. Ila kwa mambo anayofanya Mh. Mwinyi nampa hongera. Huyu mzee hatanii akisema anafanya jambo basi anafanya kweli. Yaani mambo aliyofanya ndania ya miaka mitatu ni zaidi ya hao marais waliokaa miaka kumi. Naamini ikimalizika miaka 5 ya utawala wake tutanona mabadiliko makubwa katika visiwa vyetu khasa katia sekta ya miundo mbinu. Hongera Muheshimiwa. Lakini bado CCM sina imani nayo lakini nina imani na Dk. Mwinyi

  • @salimbinshaks1385
    @salimbinshaks13856 ай бұрын

    Allah atakunda rais wetu

  • @husseinmilao5789
    @husseinmilao57896 ай бұрын

    Wanaosema kiongozi anatengenzwa mm hapo natafautiana nao, kiongozi anazaliwa mana kiongozi lazima uwe na uwezo wa kuona mbali wakati unaowangoza wao hawaoni unako ona. visionary Dr mwinyi kama ingekua mwimbo basi umevunja record ya M Jackson.

  • @yusuphngoma4361
    @yusuphngoma43616 ай бұрын

    Visionary Leader. Hawa ndio viongozi. A leader than seeing his country in 100 years ahead!

  • @gwajimagwajima

    @gwajimagwajima

    6 ай бұрын

    Talking bullshit,nothing will change

  • @yusuphngoma4361

    @yusuphngoma4361

    6 ай бұрын

    It is not practical to urgue against personal perception!

  • @yusuphngoma4361
    @yusuphngoma43616 ай бұрын

    Dr. Mwinyi can turn Zanzibar into Luxembourg of Africa if supported adequately!

  • @omaribrahim1087

    @omaribrahim1087

    6 ай бұрын

    Ili iweje kwani watu wanataka majumba au chakula na mavazi na kukaa sijaona mtu akala jumba au anashiba akiona mji unapendeza au anajikuta kavaa nguo au kapala vyema labda vituo vya treni iwe ninkumbi zacufuska na kuzaa watoto wa haramu

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g6 ай бұрын

    Nafasi iliyobaki ni WAWAKILISHI TU KWA ZANZUBAR .... RAISI TAYARIII

  • @edamatv
    @edamatv6 ай бұрын

    RAISI WA ZANZIBARI MUNGU AKUBARIKI NAIONA ZANZIBARI IKIWA ULAYA

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka39566 ай бұрын

    Safi sana,mipango mizuri sana. Allah atuwezeshe kuyatimiza haya.

  • @zaneco
    @zaneco6 ай бұрын

    Very good, hayo ndio tunayoyataka

  • @familylove5417
    @familylove54176 ай бұрын

    Unakura yangu baba ulikiwa wapi siku zote😢

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4066 ай бұрын

    Dr Mwinyi shabiki wako kindaki ndaki karibu chama cha upinzani kadi yao nitarejesha ‘Mjii upo chakara chakara. Lazima. Mijii ipangike

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh6 ай бұрын

    Huyu Ni Raisi wa kipekee Zanzibar Na Tutamkumuka daima

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Abdul huyo ni Magufuli namba 2 Mungu ampe afya njema adumu milele amina

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54336 ай бұрын

    Hongera sana, tunataka yote hayo lakini watu na vitu viendelee kwa pamoja. Hali ya kiuchumi kwa wananchi ni ngumu sana.

  • @papiliomad2464

    @papiliomad2464

    6 ай бұрын

    Acha uvivu, fanya kazi

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    ​@@papiliomad2464🙄

  • @chembejohn9605
    @chembejohn96056 ай бұрын

    Mwinyi...akili mingi.hongera mkùu Na mawzo mkakati.

  • @vuaimuhidin5250
    @vuaimuhidin52506 ай бұрын

    Mh. Tunakuomba uangalie na mikia mengine kuleta maendeleo ,hiyo ndio naendeleo endelevu. Ahsante

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji50566 ай бұрын

    Baba kazi inafanyika, but wanaiba sana vifaa vya ujenzi pia hospitali mpya ila huduma mbovu kuliko mwanzo Lifatilie hilo

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын

    Barabara ya Bububu Muheshimiwa iangalieeee

  • @kimsamir965
    @kimsamir9656 ай бұрын

    Mwinyi ndio raisi hasuaa hapa Zanzibar nani kama mwinyi? Mungu amuweke mwinyi abarikiwe sana mwinyi

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg57346 ай бұрын

    Mwinyi ❤❤❤❤❤👍👍

  • @yasser7717
    @yasser77176 ай бұрын

    Safi sanaa lazima tuishi ki leo😮😊

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47306 ай бұрын

    zisiwe story tu izo

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89777 күн бұрын

    💪💪💪💪🌎🕌🕌SAWA SAWA MWINYI 💪💪💪💪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @omarhusna1766
    @omarhusna17666 ай бұрын

    Zanzibar tunataka mamlaka kamili

  • @user-wi3ml4lg5b
    @user-wi3ml4lg5b6 ай бұрын

    Uishi milele Mh Mwinyi

  • @saidmohd7914
    @saidmohd79146 ай бұрын

    KURA YANGU UNAYO MHESHIMIWA TENA BILA KIZUIZ . MUNGU AKULINDE NA SHARI PAMOJA NA HASAD ZA WALIMWENGU.. AMN AMN .

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Ukimpa usimpe hiyo kura uraisi anapewa Dodoma na wakoloni

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk83736 ай бұрын

    mwamba uyo 👍

  • @mohamedhaji4827
    @mohamedhaji48276 ай бұрын

    Tunataka viongozi Kama wew kura unazo mkuu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi4086 ай бұрын

    Hapa nakupnqeza sn muheshimiwa kurejesha Public transport km zilivoanzishwa na muheshimiwa jumbe. Mji umekuwa na vuruqu kwel na zai unachanqiwa na winqi wa minibuses binafs.

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh39646 ай бұрын

    Maashallah

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru8196 ай бұрын

    Tafadhali mkuu issue ni hali dhofu za wananchi sio metro sio dhiki zetu Tonge ndio ttzo shusheni bei ya bidhaa na makodi mengi ili afuani ya mlo iwepo hiyo miradi ni njia tu za watu wachache kunufaika

  • @user-ju8pn8px7k
    @user-ju8pn8px7k6 ай бұрын

    Anasema Ile nati hata kama ataiweka mafuta ya break ikibidi !Yuko safarini nilazima afike! inshaa Alllah

  • @wakwetu2444
    @wakwetu24446 ай бұрын

    Turudishie. Milo mitatu kwanza Train awamu nyengine.

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala60916 ай бұрын

    Inawezekana kabisa kuweka reli kutoka Dar es salaam mpaka Zanzibar , Nakuweka bara bara kutoka Dar es salaam mpaka Zanzibar inawezekana kabisa,

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Mpate mje kwa magari kutupiga mapanga na risasi, Mungu atunusuru

  • @yussufdarus
    @yussufdarus6 ай бұрын

    Sw baba sera yako inashawishi na baadhi ya matendo yanaonekana

  • @BakhresaGroup
    @BakhresaGroup6 ай бұрын

    🙌🙌🙌🙌

  • @babawatoto4312
    @babawatoto43126 ай бұрын

    Good vision

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45816 ай бұрын

    Afu eti kuna watu wanampinga huyu Kweli kwenye miti hakuna wajenzi....

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92186 ай бұрын

    Safii sanaa.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji89236 ай бұрын

    Mwinyi ataibadilisha zanzibar Ana maono

  • @omarzubeir3907
    @omarzubeir39076 ай бұрын

    Tunakuunga mkono babaaaaaaaaaaaaaaa

  • @user-wr8vr2op7m
    @user-wr8vr2op7m6 ай бұрын

    Basi sasa tutajenga reli Dar hadi Yaunde, Cameron wazo la Jerumani

  • @hassanmwalim
    @hassanmwalim6 ай бұрын

    Safi kabisa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57726 ай бұрын

    Mjomba mwinyi kuwa makini mana wahadimu wa unguja hawapati kuiba pesa kwa muda uliokaa mwakani gombea tena wazanzibari watakupa kura kwa wingi mana unalifanya tumeyaona

  • @user-qt3sk6pj7j
    @user-qt3sk6pj7j6 ай бұрын

    Huyu kweli mgonjwa hahahah nipeni maua yangu Jamani me Roma part2 huwezi kubadilisha hiii nchi wewe

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo6 ай бұрын

    Nani kama dr mwinyi hakuna hongereni wa Zanzibar wote na wale watoa taarifa andaeni uwongo majukwaani kukosoa na hayo yanaokuja maana hamna jipya

  • @mohammedhaji9219
    @mohammedhaji92196 ай бұрын

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54776 ай бұрын

    🤲🙏

  • @user-qn4pu1dj9l
    @user-qn4pu1dj9l6 ай бұрын

    Pemba na hayo yafanywe

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib9406 ай бұрын

    Michenzani majumba Rais yale yatiye rangi zenji yote itabadilika

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Nyie maji yanatoka kwenu, kwetu tunavizia usiku wa manane ndio tunapata angalau ndoo mbili tatu🤔😢

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad74356 ай бұрын

    Wznz hatuna shida ya ya usafiri wa ndani , shida yetu ni MAMLAKA KAMILI Ikiwa kweli ni mchapa kazi , awarudishie waznz haki yao ya maamuzi a kuijiongoza wenyewe na sio ROBORTED toka Tanganyika kwa kvuli cha Tanzania Nchi 2 serikali 3 ndio mwelekeo na chaguo la waznz

  • @omarhusna1766

    @omarhusna1766

    6 ай бұрын

    Umenena, hii ndio tunayo itaka tushachoka zanzibar kuwa choo kila mtu anaingia

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    Saheeh maneno yako

  • @ebenezerlawuo6667

    @ebenezerlawuo6667

    6 ай бұрын

    Haa remote imekamatwa na mtawala toka zenji 😅😅😅 sidhani kama ataitupa

  • @mkalagalevumbi1823
    @mkalagalevumbi18236 ай бұрын

    Inshallah

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh6 ай бұрын

    Ukmalz hayo shusha bei ya vyakula na naul

  • @seifjuma4252
    @seifjuma42526 ай бұрын

    Msemo wa Yajayo yana furahisha ndio tuna Frahia sv mana Makomvoi cc wengine yanatuumisha vichwa,,,, Mzuri nan Ndio halkazalika nk....

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp2 ай бұрын

    Zanzibar kuna masafa ya treni.

  • @Cruxtrend
    @Cruxtrend6 ай бұрын

    This is great content..Can someone tell me How is Tanzania Having 2 presidents

  • @yussufsuleiman5966

    @yussufsuleiman5966

    6 ай бұрын

    Tanzania is convergence or unit of two countries which are REPUBLIC OF TANGANYIKA and REPUBLIC OF ZANZIBAR, thus why called them the UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, enough.

  • @omaribrahim1087
    @omaribrahim10876 ай бұрын

    Enzi hizo treninnfio ilikuwa usafiri pekee sasa usafiri umejaa km sio kupoteza pesa au pesa kuibiwa

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim52586 ай бұрын

    Tuletee maendeleo rais wetu

  • @user-dv5rj9vt7g
    @user-dv5rj9vt7g6 ай бұрын

    Huyu mwamba kama magu vile safi sana

  • @TahilaRamadhan-hz3pd

    @TahilaRamadhan-hz3pd

    6 ай бұрын

    Alisema atakuja na style ya magufuli.Allah sw ampewesii na afyaa atekelezee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    Ndio maana Magu alifosi sana awe rais huku ingawa sie tunamponda na kumtilia fitna tele maana sie kupinga ndio imekua asili yetu hata kama jambo zuri.

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid55586 ай бұрын

    Kama hawakutaki huko njoo bara upige kazi 😊

  • @ommarallyhamad7435

    @ommarallyhamad7435

    6 ай бұрын

    Kwani huko si ndio kwao alikotokeaa,. ATAKUJA TU, kwani babaaye yuko wapi hivi sasaa

  • @saeedabunajash6235

    @saeedabunajash6235

    6 ай бұрын

    Nenda baba kwenu Tanganyika, hatukutaki, unaongea sana, mipamgo si matumizi 😂

  • @hafidhchoi3186
    @hafidhchoi31866 ай бұрын

    Atuitaji Europe hapa hapa kw mwinyi Muim tonge ipatikane

  • @user-li7jp8oo8b
    @user-li7jp8oo8b6 ай бұрын

    Sawa lakini muheshimiwa huo umene wa kuwasha taa tu haupo vp kuhusu umeme wa kuendesha treni?kwani umeme hapa Zanzibar unafikia kiwango cha hata GB 2???mungeweza kuondoa hii voltege drop ya 120 iliyopo kwa sasa angalau tupate japo 200 v kwenye haya majumba yetu.

  • @user-qn4pu1dj9l
    @user-qn4pu1dj9l6 ай бұрын

    Na pemba iwe mpya

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm6 ай бұрын

    Watie aibu wengine wajuwa kubiga dili tu.Waone aibu kidogo

  • @hajially4527
    @hajially45276 ай бұрын

    Treni tena

  • @dahlainismail6837
    @dahlainismail68376 ай бұрын

    Huyu jamaa anafaa

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49806 ай бұрын

    Rejesha mamlaka KAMILI. Hayo yatakuja WENYEWE. ZANZIBAR inapoteya. Kimaadili . Nchi utapeleka motoni. Subirini mfe mtajuwa nini maana ya kusema uwongo

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын

    Foleni za kiholela zimekua kubwaaaa

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t6 ай бұрын

    Bandari bandari bandari yaani Mkoani na Wete Pemba raisi Mwinyi jamani tunakuomba sana usiipendelee Unguja pekee Kiongoz wetu Tambua kua umepewa dhima ya Uongoz hivyo utumikie kihaki lillahi na sisi tutakua pamoja sana na ww

  • @isleblogTv

    @isleblogTv

    6 ай бұрын

    Ujenzi wa bandari upo na unakaribia kuanza pamoja na airpot ya kisasa Rais Mwinyi kuifungua Pemba

  • @salma0000

    @salma0000

    6 ай бұрын

    ​@@isleblogTvkila siku wanajenga Mkoani tu, hata boti mpya ya kasi haifiki Wete

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh6 ай бұрын

    Saf

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 ай бұрын

    Zanzibar wamepata rais mpenda maendeleo ila Samia hamna kitu , rais Mwinyi anaongea kama rais haswa na ni mfuatiliaji

  • @hilalimohammed9396
    @hilalimohammed93966 ай бұрын

    Uchumi wa buluu oyeeeeee😂😂😂😂😂😂

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12186 ай бұрын

    Mbn pemba umekusahau jmn

  • @isleblogTv

    @isleblogTv

    6 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/qYqcy9ehkticgLA.html

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi17016 ай бұрын

    Huyu aliqndalowa na Jpm kua Rais wa JMT bahati mbaya yakatokea yaliotokea😢😢😢

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 ай бұрын

    Bado nafasi anayo, anaweza akamaliza viziwani akaja bara, na hili si ajabu linaweza likatokea. Mama akapiga 10 baadae na yeye akizidi kufanya maajabu anaweza akaja kugonga na huku, elimu, uwezo na umri vitakuwa vinamruhusu.

  • @user-wp3fp9ts2q
    @user-wp3fp9ts2q6 ай бұрын

    Treni yanini katika kisiwa kama cha zanzibar? hiyo treni ya zamani unayosema ilitumika kwa kuwa hapakuwa na magari wakati huo

Келесі