WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 85

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kbАй бұрын

    Hatar maisha haya ALLAH tusaidie waja wako maoovu yamekidhir na hatutaki kuomba toba

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Tatzo la hii nchi wanaotoa tasmini ya kodi za biashara na milango sio wafanya bishara ni watu waliopo tu maofisini hawawezi kujua changamoto tunazopitia wafanya biashara

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Lipeni kodi iliowekwa na sio kulalamika tu kama hamuwezi si muirudishe milango ya watu na mtengeneze yenu kisha muweke kodi munayoitaka nyinyi au

  • @nadraiddi8064

    @nadraiddi8064

    26 күн бұрын

    Hadithi "haingii peponi anayekusanya kodi" (imepokewa na imam Abuu Dauud)

  • @SaidOmar-iw9kk
    @SaidOmar-iw9kkАй бұрын

    Allah alikwisha sema dhulma haidumu ikidumu inaangamiza ndo haya Sasa njaa imezid maisha magumu biashara haziendi shida tu

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi24 күн бұрын

    Heee subuhanallah iyo pesa kweli nyingi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Musaraka ni kiongozi mzuri sana na anaguza maisha ya wananchi ila kwa nguvu alionayo hawezi tatua haya ni majukumu ya mkuu wa mkoa yupo wp???

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    umesema kweli . maana tumeshuhudia akiwa mkuu wa wilaya akilisha mtama njiwa hapo darajani na kusema hayo ndio maendeleo yanayotakiwa

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8p26 күн бұрын

    Hapo bdo ZRA hawana hata huruma

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi24 күн бұрын

    Ss Kama Iyo serekali isaidie wanachi wake ss apo wanakandamiza wanachi mtihani Kwa kweli

  • @kassim1262
    @kassim126229 күн бұрын

    Kwenye dhulma hkujawahi kutokea maendeleo patajengwaa pafanywe kubwa njaa naumasikini kuzidi hkuna jengine mungu hajawahi kukosea tukimsahau tukienda kinyume nae atatupa viongozi tunaoendana nao

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku29 күн бұрын

    Ccm wanapenda sana kuwanyonya wananchi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Kwa biashara ilivombovu Zanzibar kwasasa Kodi ya milango ya serekali iwe laki mbili kwa mwezi maana unakaa siku nzima hujauza

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Hata ukiuza Millioni kwa siku utasema hauuzi Wazanzibari kwa kulalamika hampo nyuma

  • @ibrahimame9805

    @ibrahimame9805

    29 күн бұрын

    Ww tunakujua umsenge ndio hujibiwi nn atadili na mtu anae firwa.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    @@ibrahimame9805 mtoto wa kiume una matusi utafikiri Sabri Bachani

  • @AhmadiMbaraka-xg4yi
    @AhmadiMbaraka-xg4yi29 күн бұрын

    Huwezi kumlazimisha mbuzi kunywa maji tukubali tu kwamba maisha yetu ya kimaskini

  • @ibrahimarmour4711
    @ibrahimarmour471127 күн бұрын

    Tukubali kurudi kwa allha maisha yamekuwa magumu kutokana na matendo yetu sisi wanadamu RIBA imesiri ZINAA ndio usiseme DHULMA kumdhulumu mwenzako asaiv ndio unaonekana mjanja yaani ww ndio mtoto wa mjini tukubali kurudi kwa allha na tuyafuate amri na tuachane na haya mambo yanayoangamiza

  • @user-zd8nn8ii2g
    @user-zd8nn8ii2g23 күн бұрын

    Mtihan hu rais angalia hili c hivo wajane watazid wanaume wakikosa kazi

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g19 күн бұрын

    Kod nyingi san

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm27 күн бұрын

    Dah kwakweli Znbr yetu kwisha kabisa kila kitu kinasimiwa na wabongo titaisoma sana namba kwa hali hiii biashara zimekufa kabisa alafu Kodi zipo juuu na Mlima Uhdi

  • @hashimalihamad3477
    @hashimalihamad347722 күн бұрын

    Wengi wenu mumetutowa kwa mlango wa nyuma mumedandia gari ya mbele mulituona tunafaidi

  • @user-tg3fy3yh5m
    @user-tg3fy3yh5m27 күн бұрын

    Afrika Afrika Afrika

  • @user-by7jo6dk6r
    @user-by7jo6dk6r28 күн бұрын

    Alhwa.. Afanyee.. Wepes.. Hilii.. Tatizo.. Si.. LA.. Vyama.. Msitie.. Vyama.. Na.. Wey.. Unosema.. Zanzibar.. Hakuna.. Vyakula.. Tuletee.. Uko.. Kwenu

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif86029 күн бұрын

    MAPINDUZ DAIMAAAAAA.....

  • @sultansallah8772
    @sultansallah877229 күн бұрын

    Chama na wawekezaji. Hahahahajahajanaan

  • @aliyaliya1995
    @aliyaliya199529 күн бұрын

    Sasa jamani hayondio matunda ya mapinduz

  • @aliy3303
    @aliy330329 күн бұрын

    Pavunjwe paekwe mall kubwa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192Ай бұрын

    Hatar na nusu

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z27 күн бұрын

    Andamaneni kama kariakoo daaa

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim110629 күн бұрын

    Zanzibar Wananchi hawana kipato cha kula watakuwa na kipato cha kununuwa mahitaji wanayo yataka??? Kodi za maduka mnowatolesha Wananchi ni kubwa sana kwa maduka hayo loooh. .Rais Hussein kwanza wafikiriye Wananchi wacho uwazidishiye mishahara waweze kuishi. Siyo mnafikiriya Watalii kwanza na Wananchi wako kwenye mateso.

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5niАй бұрын

    Sema kimeumana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed863729 күн бұрын

    Haaaa milioni kumi na2 ni kubwa saana kwa mlango 1 3: kila mlango..utapokea zaidi ya gharama ya hapo kwa mwaka tu!

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau4329 күн бұрын

    Tunahangaika bure kwakweli.ivi kweli znz tunalia eti hatuna nyenzo za kiuchumi ktk kukuza pato la serikali pamoja na serikali kw ujumla? Tuna eneo kubwa la kujenga bandari ya kisasa ya kukaa meli za mizigo cargo ships zaidi ya kumi na kuendelea,lkn pia uwanja wa ndege uliopo na pato linaloingia,tuna viwanda vingapi vilifungwa mpaka ivi juzi vya bakharesa vikafungwa?tusifanyiane km watoto wadogo haya mambo ya kiuchumi kw znz ni upande wa 2 uko ndiko wanayoihujumu serikali ya znz pamoja wananchi kw ujumla nyenzo tunazo tunaoneqna muhali.ivi vilango vya darajani haviwezi kutatua matatizo ya nchi hii

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    UMESOMA LAKINI HUKUFAHAMU.. YAPO MAMBO MENGI YANAYOIFANYA ZANZIBAR KUFIKIA HAPO ILIPO SI SUALA LA KISIASA. MFANO BANDARI TANZANIA BARA ZIPO 3. SOKO LINALOTARAJIWA LA EAST AFRIIKA MBURUNDI, MGANDA, MRUANDA HAWEZI KUTEREMSHA BIDHAA ZANZIAR ANAKIMBIA DOUBLE SHIPMENT AND HANDLING. HIVYO BANDARI YA ZANZIBAR ITABAKI IPO IPO TU. UKILETA KONTENA MOJA 40' SOKSI 2,000,000 WATU WOTE UNGUJA NA PEMBA WATAVAA NA ZITABAKIA. PANA BIASHARA HAPO. UKITOA SADAKA TSH. 2,000,000 WATU WOTE WATAPATA NA CHENJI ITARUDI

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad101629 күн бұрын

    CCM Oyeeeee😅😅😅😅😅😅

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla577229 күн бұрын

    Wape Wamasai milango hiyo waeke vinyago hao wazanzibari washazoweya vya bure hamuuzi tatizo lenu ni washirikina munashindana kwa kuzindika majini

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515727 күн бұрын

    Maisha ya wa zanzibar ni kunufaisha serekali na watanganyika

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi700129 күн бұрын

    Hii ni dhulma rais mwinyi kunawatu wanakuhujumu, angalia sana baazi ya vitu vitafajari haswa vinavyohusu jamii

  • @haydarabdallah7914
    @haydarabdallah7914Ай бұрын

    Tatizo hatuna uhuru zanzibar na watuu wananjaa

  • @user-om7ye5vo1u
    @user-om7ye5vo1u29 күн бұрын

    Saiv kodi ya serikal imekua kubwa kulik ya mtu binafsi duh!

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif86029 күн бұрын

    Wale machinga wa nje wote wangizwe humo ndani

  • @halimsaidi9567
    @halimsaidi956727 күн бұрын

    Kwan wamachinga hawaingii apo ndani

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz29 күн бұрын

    Si alisema ataiweza Zanzbar hyo rais na hao ndo ndugu zake yaanaanza hyo vinyunyu bado mvua

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz29 күн бұрын

    Wenyewe kwa Wenyewe wanasokotana Serikali yote wanayo wao bdo wanalalamika waunguja tumetulia tunawatizama tu na kujifanya kujua kwao

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    HILO NENO. TUACHWE NA KISIWA CHETU KILA SIKU LINAZUKA HILI MARA LILE

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011Ай бұрын

    Huyu msaraka ni tapeli mkubwa hata sijui ilikuwaje akawekwa mkuu wa wilaya

  • @user-sh2os4yh5l
    @user-sh2os4yh5lАй бұрын

    Duuh

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa991628 күн бұрын

    Kiduma chama cha mapinduzi

  • @harithwhite589
    @harithwhite58929 күн бұрын

    Tutafuga mabata umo

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589Ай бұрын

    Sasa nyinyi mulio huko mwalia je sisi tulip pemba

  • @user-tg3fy3yh5m

    @user-tg3fy3yh5m

    27 күн бұрын

    pemba ndio usiseme tumevurumishwa ukoo

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    Bora kurudi Pemba tuko tulio pamoja na tunyamazishani wenyewe kwa wenyewe

  • @sultansallah8772
    @sultansallah877229 күн бұрын

    Watu wanakata mitaji , et mkakati

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633Ай бұрын

    Ache I kulalamika hameni 😂😂

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Hiyo ndio hoja Wahame tu kwani sisi hatuitaki hiyo milango ila kwa sababu hatuna hizo kodi ndio tumetulia kama alif so na wao wattulie tu wakatafute iliyo rahisi

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146Ай бұрын

    Rais wetu sikiliza vilio vya wananchi wako kweli ni kodi kubwa

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Mwinyi hapo hana usemi maana milango sio ya Serikali

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715Ай бұрын

    Hapo wamachinga wasirejeshwe maana usalama utakuwa mdogo ,pia kuhusu maegesho ya magari soon Malindi kutamaliza so ni kuwa na Subra tu kama hamuwezi rudisheni milango halas

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv192228 күн бұрын

    Alfatah angalia isije kua unatumika kisiasa...

  • @AminMasoud-rc7si
    @AminMasoud-rc7siАй бұрын

    Ayo yote yasingetokea kama si amani karume mlevi ndio aliendoa freeport sasa munategemea wateja watatokea wapi? Tanzania bara yote ilikua zanzibar, ngazija,kenya,uganda, zambia, Malawi,wote zanzibar, ilikua kituo cha biashara,ikipita sikukuu zanzibar madukani watu wanainga nzi tu,laana yote ni uyo karume leo amekua upande wa upinzani na wenyewe wanamkubali kua ni mkombozi wao

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    29 күн бұрын

    Basi wewe rudisha hiyo freeport

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    karume hana kosa lolote.nenda KASOME kitabu kimeandika east AFRICA ports cha mwaka 1964 haya yanayotokea yameelezwa humo. wacha ujinga!

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif86029 күн бұрын

    Hapana biashara hapo kwa sasa, mwinyi Kapatia sumu

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Biashara haipo kwako Ila hapo Biashara kama Kawa tatizo mmezowea umbwanyenye mnataka vya rahisi tu

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    RAIS ASILAUMIWE. HAPO HAPANA BIASHARA ONDOKA KAWEKE KWARARA, FUONI, KINUNI, KIJICHI MILANGO HUKO ELFU 50'000 IKIWA BIASHARA YAKO NA VITU UNAVYOLETA VIZURI WATU WATAKUFUATA HUKO HUKO USISUBIRS IRUDISHWE STAND KWANI HAO WANATOKEA HUKO HUKO UTAWARAHISISHIA USAFIRI

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    24 күн бұрын

    @@user-xv4tl8iv4l Wambile ndugu maana Hao ni ndugu lawama kila siku

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5niАй бұрын

    Kodi Inatakiwa isizidi laki mbili

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Hahahha kwani milango ya Familia ile hahaha Wazanzibari bhana

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi700129 күн бұрын

    Sisi tunakujuwa wewe rais ni mtu wa watu wawekee stend punguza kodi darajani irudi kama zamani zanzibar ni njema yanini mizengwe?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Ай бұрын

    WAMACHINGA WARUSI KWA TANGANYIKA!

  • @khamisali5978

    @khamisali5978

    29 күн бұрын

    Na wazenji walio Dar na wao warudi kwao 😅

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    @@khamisali5978 fresh taratibu tu zifuatwe mbona fresh sana wa Tanganyika kwao Wazanzibari kwao atakae taka kwenda upande wa pili ni kufuata taratibu tu mbona Wazanzibari kibao wapo mambele na wanaishi?

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z29 күн бұрын

    Kitwana hili lako watatulie hii changamoto

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    29 күн бұрын

    Haina kutatuliwa hiyo asiweza kulipa kodi arudishe mlango tu halas

  • @user-xv4tl8iv4l

    @user-xv4tl8iv4l

    24 күн бұрын

    HILI SI LA KITWANA NAMTETEA HILI LAKE MTU MWENYEWE KABLA YA KUAMUWA KUFANYA BIASHARA LAZIMA UFANYE UTAFITI WA KUTOSHA NA UANGALIE RISK GANI ZIPO KTK BIASHARA HIYO WEWE USITEGEMEE GOOD RETURNS TU . MNAINGI KUFANYA BIASHARA BILA KUSOMA BIASHARA UNAYOTOKA KUFANYA.

  • @user-lq4cm4rq6z

    @user-lq4cm4rq6z

    24 күн бұрын

    @@user-xv4tl8iv4l nani mgeni wa biashara pale kwani ndo kwanza wameanza pale tatizo lipo Mkuu wa mkoa aende akawasikilize na awatatulie kma si lake la nani lako ww unayajuwa lakini majukumu ya Rc au ndo kila kitu ashuke Rais .

  • @AbdulRahmanHajrah
    @AbdulRahmanHajrah29 күн бұрын

    Inaumiza Sana kwa kwel hii Kodi kubwa Sana halaf hii changamoto ya wateja waliangalie Sana serekali dah mtihan

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3fАй бұрын

    Musilie na Mwinyi lilieni na chama cha mapinduzi ccm hichi ni chama cha matapeli ccm mtapeli

  • @kassim1262

    @kassim1262

    29 күн бұрын

    Mwinyi anachama chake pekeake au co yeye c makamo mwenye kiti kwaznzbar mwinyi ndio kiongozi mkuu wccm ss waende kwenye ccm ipi umerogwa au😂😂😂

  • @user-lp1gh7im3f

    @user-lp1gh7im3f

    29 күн бұрын

    @@kassim1262 aje mufti kutoka makka akijiunga na ccm basi amekwisha afuata sera za ccm ili Nchi itulie kiongozi atoke chama chengine

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy29 күн бұрын

    Kodi sio kubwa hta kidogo iongezwe kodi msimsumbue raisi wetu ccm oyeee

  • @ibrahimame9805

    @ibrahimame9805

    29 күн бұрын

    Wwe unarais. Ulimsumbua mamako kuku bebea mimba .hd kukua asiambie km nani .bc mlete mkeo tumwambie shida zetu.

  • @SubiraOmar-ld5bx

    @SubiraOmar-ld5bx

    28 күн бұрын

    😂😂😂​@@ibrahimame9805

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    27 күн бұрын

    Uyu halid ni mwana kharam ndio kajitokeza mbwa mkuwa ww