Middle Online TV

Middle Online TV

Kwa Habari mbali mbali za Burudani , Michezo pamoja na Vipindi mbali mbali Usisahau Kusubscribe Chanel yetu hii.

Info

#midlleonlinetv
☎️+255788076651
🖥 Whatsapp 👆

Пікірлер

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_Ай бұрын

    Mafunzo kwa Security guard ni muhimu saana , wawe wanapewa leseni ili wajue mipaka yao, kazi ya kukamata ibaki kwa Askari Polisi tu

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231Ай бұрын

    Unafahamu fly over wewe au unasema tu, hio sio fly over ni daraja tu, fly over yenyewe haitimii hata 1kmtr, sema madaraja yangu na sio fly over

  • @user-sg6iy4kv4y
    @user-sg6iy4kv4yАй бұрын

    Mambo yake ya kwenye mitandao

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad37212 ай бұрын

    Allah amuhifadhi raish wetu na mashekhe zetu na awabarik kwa kher wanazozifanya

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv2 ай бұрын

    Amen ya Rababl alamin

  • @NassorMohammed-oy7bc
    @NassorMohammed-oy7bc2 ай бұрын

    Masalafi leo mumekubali kuchukuliwa camera

  • @FuyushAden
    @FuyushAden2 ай бұрын

    Helaa babaaa

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv2 ай бұрын

    Kwenye jambo la maendeleo na uzalendo , kuna mambo lazima uweke pembeni kidogo ili kupisha Lililokusudiwa

  • @RuwaidaSaid-un3pc
    @RuwaidaSaid-un3pc2 ай бұрын

    ​@@middleonlineTvkwaiyo mtume ndio kafundisha Ivoo kuwa Kuna bàadh ya mambo uweke pembeni kwa ajili ya maendeleo

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv2 ай бұрын

    @@RuwaidaSaid-un3pc kwn kuna baya lilifanyika pale

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam79852 ай бұрын

    ​@@middleonlineTvkwaio ikiwemo dini inastahiki kuwekwa pembeni😂 unafiq tu

  • @LomamiCecile
    @LomamiCecile2 ай бұрын

    Vizuri

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv2 ай бұрын

    😄😄

  • @abdallamgeni7787
    @abdallamgeni77873 ай бұрын

    Ssi sio malimbukeni yani Zenji

  • @abdallamgeni7787
    @abdallamgeni77873 ай бұрын

    Zanzibar hamna shobo yani !😂

  • @Pemba680
    @Pemba6804 ай бұрын

    Good

  • @aboubakaronlinetv6336
    @aboubakaronlinetv63364 ай бұрын

    Kz nzuri mshllah mwlm

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Shukran

  • @user-th6yk8sk7q
    @user-th6yk8sk7q4 ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Ameen

  • @sayyidaliy5925
    @sayyidaliy59254 ай бұрын

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Ameen

  • @Salimkhantz
    @Salimkhantz4 ай бұрын

    Doh. Alhabeeb vittah mashaAllah

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Mashallah

  • @YahyaOthman-se8dv
    @YahyaOthman-se8dv4 ай бұрын

    تهانينا على العمل الجيد، أستاذ ماتونج وأوختي سيترات🎉🎉

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Mashallah

  • @directorhaji2023
    @directorhaji20234 ай бұрын

    Director mudi

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Boss

  • @kwetuzanzibartour8320
    @kwetuzanzibartour83204 ай бұрын

    Mashallah

  • @Daudisalim71
    @Daudisalim714 ай бұрын

    Ukafiri mtupu .....mtume wenu naye kafanya hayo?

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17154 ай бұрын

    Huyu Bibi tokea alivyotumbuliwa na Mr President nahisi Kama anachanganyikiwa flani hivi maana simuelewi

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau34934 ай бұрын

    Huna Chakuongea Mara Nyingine. Hali Yakubaki Kimya Kwako Nibora. Kuliko Hata Kuzungumza. Khaswa Kwa Mwanamke Mwenye Stara.

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z4 ай бұрын

    Mabunju

  • @user-sg6qn3gq4v
    @user-sg6qn3gq4v4 ай бұрын

    Nyinyi wabaguzi

  • @LovelyCityMap-pp4mm
    @LovelyCityMap-pp4mm4 ай бұрын

    Apumzike kwaaman

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv4 ай бұрын

    Amen

  • @zanzibarmoto
    @zanzibarmoto5 ай бұрын

    Mungu awafanyie wepes ndugu zetu😢

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini5 ай бұрын

    Sasa baada ya kuangalia clip hii ni kwamba ni haki Masai kutokutumia zana zao Tena Kwa sababu ukochunguza Kwa makini kulikuwa na mabishano ya kawaida na mtu Ambae walinzi walimtaka ni Masai mmoja Kwa ajili ya kumpeleka eneo husika la Sheria ,lakini mwenzako alibadilika ghafra na kuanza kushambulia ilihali alikuwa hata hajakamatwa ,,na baada ya hapo wote walianza mashambulizi hivyo Hawa eakiachiwa wasipodhobitiwa kuna siku utaisikia wamemuua mtu hapo hapo beach ⛱️

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv5 ай бұрын

    Hii hatar sana

  • @youngbob9761
    @youngbob97616 ай бұрын

    Safi pazur sana

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok22616 ай бұрын

    Zanzibar watu hawashoboki na wasanii

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv6 ай бұрын

    😂😂

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi15376 ай бұрын

    UPANDE WA UTALII MAGOFU KAMA MARUHUBI RUINS YANABOMOKA HAYA A UTUNZAJI MBONA GHANA WAMEWEZA KUTUNZA SOKO LA WATUMWA KAMA LIMEJENGWA LEO SISI TU NASHINDWA KWA WIZARA YA UTALII ISHUGHULIKIE NA MAGOFI KAMA UZINI KIBOMBANI KUNA GOFU LA KALE ZIMA NI KUREKEBISWA TU HAPO TUTAUTENDEA HAKI UTALII WETU

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi15376 ай бұрын

    HIVI KWELI KIFUSI KILICHOCHIMBWA MASHAMBA KUJENGA BARABARA BAADA KUUZA BASI ZURA WANGETOA TENDA MASHIMO YAKIOCHIMBWA YAFUKIWE.

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi15376 ай бұрын

    Na.nampongeza sana, RAIS KW MAONO yake wamepita hawakuwa a kuleta MABADILIKO kwa vitendo nina maoni mengi lkn kwa kuanza tu kile kifusi kilichochimbwa ktk ujenzi wa bara bara mbadala ya zura kuuza kifusi kingefukiwa mwanakwerekwe kuna ramani ya Barabara kutoka soko la DHARURA kuja, depot ya mafuta ya Zp. Pia hata SHIMO la BWAWANI lingejazwa udongo ule lzm lingepatkana jambo la kufanya kuliko kuuza. Kubwa zaidi wapeleke watu wa mazingira nchi za nirwa kujifunza vp wenzetu wanatunza, ardhi kwa kufukuza bahari ukizingatia bahari imeshakula kisiwa kwa nini tusijaze tena mchanga ulishuka baharini. Baharesa kaweza kufikia serikali I nashindwa nini kisiwa itabaki mashimo tusipoangalia nina mawazo mengi lkn hofu yangu kutilia maana I wazo langu maana huoni mrejesho

  • @NairatHassan-nm2dg
    @NairatHassan-nm2dg6 ай бұрын

    Mashallah❤

  • @KhalidDerrossi
    @KhalidDerrossi7 ай бұрын

    Mbn hawaaz TN hmm?

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv7 ай бұрын

    Live kupitia #middleonlinetv

  • @ahlamazzan6320
    @ahlamazzan63207 ай бұрын

    Mbona hawa waandishi zogo ???

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv7 ай бұрын

    Tunatest mitambo

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y7 ай бұрын

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bongo39
    @bongo397 ай бұрын

    Kaka piga kazi wanafik wachawi fitna mahasid jashoga wapo wengi ila wala wasikukatishe tamaa unayo yafanya wewe haijawahi kutokea tokea zanzibar zanzibar ijitawale na marais wote heo wamepita hawajawahi kufanya hayo na hao wanaobeza yote unayofanya achana nao ni muwasho tuu wanawashwa wanajiskia skia hivi

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv7 ай бұрын

    🙋🙋

  • @MaryamMakame-to2jp
    @MaryamMakame-to2jp7 ай бұрын

    Huyu midi au

  • @profesamakame5179
    @profesamakame51798 ай бұрын

    wa mwanzo leo naomba like zenu

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo8 ай бұрын

    Good president

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv8 ай бұрын

    Good

  • @abdillahsaid9853
    @abdillahsaid98538 ай бұрын

    Forozani

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv8 ай бұрын

    😀😀😀

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir8 ай бұрын

    Hapa sijuwi kama si jan'gombe

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv8 ай бұрын

    Mungu awafanyie wepes

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim86008 ай бұрын

    Raisi wewe unaimani na wtu wko ila watendaji wko wakuangusha maana ukisema hivyo Sao wanakua hakusikilizi hupandisha Kodi na wnatunyanyasa sana wakidai kodi huja na ukali na kutufungia biashara zetu kwni pakiwa na kodi rahisi Kod weng watalipa kwsaabu watakua na uwezo wakufanya biashara ili wasikwepe lipa kodi

  • @user-zc4kk3tg7k
    @user-zc4kk3tg7k8 ай бұрын

    Pamoja xn Mr president forever adi 2025😅😅

  • @husseinally4932
    @husseinally49328 ай бұрын

    Mimi naona bora ile barabara ya daraja bovu inyooshwetu

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2118 ай бұрын

    Sidhani maghorofa are appropriate for our culture. There are daily costs that can’t be met by tenants. Security, uzosji taka, management of the area, power costs! Tumezoea kutumia mkaa??

  • @NDEWARA
    @NDEWARA8 ай бұрын

    Hapa Duniani mabadiliko hayaepukiki. Idadi ya watu inapoongezeka siyo rahisi kuendelea na ujenzi wa nyumba moja moja. Karume alijenga maghorofa miaka zaidi ya hamsini iliyopita.

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv8 ай бұрын

    @NDEWARA 🤞

  • @matongetz9900
    @matongetz99009 ай бұрын

    Unyama

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x9 ай бұрын

    Hayaa mengineni utoto tenaa😂

  • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
    @HASHIMMAKUNGUHAMDANI3 ай бұрын

    Daaa inachekesha sana

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka531210 ай бұрын

    Mabadiliko yanaonekana visiwani.Hongera R.Mwinyi

  • @salimrizikijaji1281
    @salimrizikijaji128110 ай бұрын

    hhhhhhhhhh

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz715811 ай бұрын

    hhhhhhhhhhh kocha

  • @yusufjonas5088
    @yusufjonas508811 ай бұрын

    I like this dancing

  • @user-ks2we3hb7l
    @user-ks2we3hb7l11 ай бұрын

    啊啊啊啊❤❤❤❤靳东!!!!

  • @middleonlineTv
    @middleonlineTv11 ай бұрын

    🙏🙏🙏