DK Rugemeleza afunguka sakata la Bandari Dar es Saaam/ 'Tunazungumzia mali YETU'
Aliyekuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Dk Rugemeleza Nshalla amesema, kufuatia Muswada wa Sheria ya uwekezaji iliyowasilishwa hivi karibuni bungeni ni wazi faida zinazotajwa kuwepo kwenye mkataba wa DP World ni za uongo
Tayari Serikali imewahakikishia wananchi manufaa ya mkataba wa DP World ambapo licha ya matarajio ya ongezeko la mapato kutoka Sh7 trilioni inayopatikana sasa uwekezaji utakaofanywa na Kampuni ya DP World ya Dubai utaongeza mapato kufikia Sh26 trilioni.
Juni 12 ,2023 Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa akizungumza na viongozi wa dini kuhusu kuhusu mkataba huo wa awali na DP World amesema ufanisi mdogo wa bandari ndio sababu ya Serikali kutafuta uwekezaji.
Kuhusu mabadiliko ya sheria Dk Nshalla aliutaja Muswada unaopendekeza Sheria iliyotungwa mwaka 2017 kwa madhumuni ya kulinda rasilimali za nchi katika miradi ya uboreshaji na uendelezaji wa bandari.
Sheria hizo ni ile Mamlaka ya Nchi na Umiliki wa Rasimali Asilia na Sheria ya Mapitio ya Majadiliano inayohusu Rasilimali na Maliasili za nchi Sura ya 450 zote za mwaka 2017.
Пікірлер: 24
Mungu akubariki sana Dr.
Acha uongo dollar 22000 kwa mwezi???😂😂😂
Hapo ndiyo tunasema mumetumia shule mliyosoma unakuta mtu amesoma mikataba mibovu inasainiwa wezi wanatuibia hela tozo zinaongezeka alafu wasomi wanakaaa tu kimya ongezeni sauti kuhusu swala la mkataba🎉 mpaka watu wakose kula 2025
Umesema kweli kaka Ila mbona mwanzo hamkusema Ila ongera umetufumua
Hi nchi bwana mimi naona wauze kila kitu tupewe ela 8:44
Wakat wa magu mlikugawapi ninyi wadudu wakati alikua anabiruza watu hovyokabisa na angejua yeye msingelopka chochote
Hakika kila kitu kinamwisho nahisi sasa basi watu wamechoka
WAGALATIA 3:10 Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria wako chini ya laana; maana imeandikwa Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati ayafanye.
Wakiendelea kuongezeka kujitokeza wanaharakati kama huyu jamaa tutafaham mengi kuhusu viongozi wetu.
Kama anasema serikali imezuia DP world kuhojiwa, mbona anahoji bila shida sasa, tena kuna hadi kesi mahakamani. Sasa nini kimezuiwa
SIMAMA IMRA UNALINDW NA MUUMBA
q
Mmekua huru sana wacha muanze kutekwaaaaaa
@jamesmsalilwa8733
Жыл бұрын
Watanzania wengi wako gizani, hii pia inategemeana na wengi kuwa na shule ndogo. Dk. Nshala, hapo hana masilahi binafsi, Bali kuwasaidia Watanzania wasiyo jua. Vinginevyo mtaauzwa Hadi vilembwe vyenu vitafanya kazi kwa Waarabu na Wazungu, tunarudi kulee kwenye staili ya utumwa tena. Kumbuka miaka Ile hatukuwa na wasomi, ndiyo maana machifu wetu wakati huo walidanganywa kwa kupewa shanga, vioo, goroli nk.
kama nimekuelewa Mbawala hakujisomesha mwenyewe aliitumia Kodi zetu Ili aje alitumikie Taifa lake Kwa kuzingatia masilahi ya nchi huku akitanguliza uzalendo lakini badala yake hakutumia akili au elimu ambayo Kodi zetu zilitumika kumsomesha alisaidie Taifa
@mipangoyongwe33
Жыл бұрын
Lazima tupambane kwa hilo
Mwandishi uliyeuliza swali umenunuliwa au uelewa wako hafifu? Huwezi kusema anapiga kelele. Kama hujaenda shule,nenda kasome!
@birianination7097
Жыл бұрын
Sasa mbona anazunguka zunguka, bila kutaja vipengele husika
Rais ni ovyo tu acha tuseme ukweli na maccm yake
@bodyaman
Жыл бұрын
Dogo we unapata wapi jeuri ya kusema Raisi ni wa ovyo? Acha ujinga Raisi ni taasisi kubwa na Raisi ndo Raia no.1 we ni Nani adi mtukane Raisi Kwa kusema ni waovyo???
Kitaalam hii inaitwa hotuba ya kujihami