WAKILI MWABUKUSI SITAOGOPA WALA SITETERESHWI NA MTU YEYOTE TUTAKABILIANA NAO KWA HALI YEYOTE
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 36
Hongera wakili mwabukusi
Usiogope Usiogope Usiogope Mungu wa Mbinguni yupo pamoja nawe. Tunakuombea. Hakuna wa kukudhuru. Atakaye taka kukugusa Kwa ubaya, asifanikiwe katika ubaya wake Bali akahukumiwe, na kuadhibiwa yeye, na uzao wake, na kazi yake na mawakala wake na kila kitu chake. Atakayekugusa Kwa ubaya akaguswe mwenyewe na uzao wake Kwa ubaya. Atakaye kugusa Kwa wema, akaguswe mwenyewe na uzao wake Kwa wema. Kwa Jina la Yesu Kristo. Amen
Kumbe tunwatu wanaoweza kuongoza Inchi hii na kuiweka kwenye ramani ya dunia.
Mungu akuride popote uripo
Mungu akusaidie
Hongera baba gombea uraisi
One love brother
Hongera sana, na Mungu ataibariki hii Inchi. Na ataitoa katika wingu hili la CCM
Duh mwanasheria kweli napata shaka sana yaaani Dubai sio nchi😢
@williamgeorge-hd2tn
Жыл бұрын
Dubai sio nchi kwan hujui hilo?
@KATOPE1
Жыл бұрын
@@williamgeorge-hd2tn kumbe ni mkoa Kama mwanza ama wafuata mkumbuko fanya upekuzi kabla huja reply hata hujamuliza mr google Dubai ni kitogoji wanasheria duh watatupoteza Kwann usichukiwe akil ya huyo mwanasheria mchwara na akil zako ukapata jibu
VIONGOZI futeni huo mkataba tusije kuuwa na wenyewe kwa wenyewe muogopeni Mungu maisha ya Dunia ni yenye kudanganya tu
Wanafanya Sanaa tu sijaona hatammoja Alie simama kutuelewesha juu ya huo mkataba ni sahihi huu mkataba ni wahuni flani tu
Kweli ina simama kwa dola kweli kabisa
Safi,tuko pamoja kupigania bandari zetu.
We love Mwagumbusi ❤❤❤❤
Asanteni wa Tanganyika tumelogwa Tatizo shule hatujielewi bandari niroho ya Tanganyika c ubabe mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee Asanteni,
Mungu mwenyezi akuongoze kufikia lengo, AMINA.
Hawa viongozi wa Tanzania ovyo sana hili ni Taifa letu sote jiangalieni
Mama samia ni mwanadiplomasia mahili sana naona uhuru wa kuongea,kukosoa na kutukana umetamalaki sana nchini angekuwepo magu wote wangekuwa mabubu kwa kuogopa kichapo
Kuna Sehem viongozi wetu tunaowapigia kura kutuongoza wanafeli sana ni ngum mtu mwenye akili na ufaham na mzalendo kusain mkataba wa namna hii
Sahihi sana mwanasheria
Vzr sana
Napataje huo mkataba wapedwa
Mbona wao wamemwagika mtaani na kupotosha jamii juu ya dude lao
Waooooo
Watanzania hebu tufunguke fahamu zetu hayati alipinga ukoloni na wanyonyaji akawafukiza nchini
Kama hawa jafaham basi shida
Tatizo wanadhamini uwezo wa kifedha wa mtu na SI utu na ufanidi na weredi wake.
Waandishi wa habari mbona hamrushi taalifa za wapinzani? Itv tbc chaneli10 nk magazeti nk halafu mnajinasibu kwamba kunauhuru wa hanari huku mnaogopa ingekuwa ccm mngejipeleka na kurusha mfano eatv kiganjani imeandika eti watu wamesusia mbona watu ni wengi sana na mkutano umefana sana
Wewe ni jemedari nakukubali kinoma
dudeeeeeeèee
Mwambaaaaaa
Kacheze mdako bhana wee shida tupu. Muogope mungu wako Maandazi mmja huna maadili Maandazi mmoja. Njaa tupu
Hongera wakili mwabukusi