WAKILI MWABUKUSI SITAOGOPA WALA SITETERESHWI NA MTU YEYOTE TUTAKABILIANA NAO KWA HALI YEYOTE

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 36

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Жыл бұрын

    Hongera wakili mwabukusi

  • @jerusalemsuccess4562
    @jerusalemsuccess4562 Жыл бұрын

    Usiogope Usiogope Usiogope Mungu wa Mbinguni yupo pamoja nawe. Tunakuombea. Hakuna wa kukudhuru. Atakaye taka kukugusa Kwa ubaya, asifanikiwe katika ubaya wake Bali akahukumiwe, na kuadhibiwa yeye, na uzao wake, na kazi yake na mawakala wake na kila kitu chake. Atakayekugusa Kwa ubaya akaguswe mwenyewe na uzao wake Kwa ubaya. Atakaye kugusa Kwa wema, akaguswe mwenyewe na uzao wake Kwa wema. Kwa Jina la Yesu Kristo. Amen

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Kumbe tunwatu wanaoweza kuongoza Inchi hii na kuiweka kwenye ramani ya dunia.

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Жыл бұрын

    Mungu akuride popote uripo

  • @majaliwakulanga3806
    @majaliwakulanga3806 Жыл бұрын

    Mungu akusaidie

  • @rahma6189
    @rahma6189 Жыл бұрын

    Hongera baba gombea uraisi

  • @cavinjohn-9648
    @cavinjohn-9648 Жыл бұрын

    One love brother

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Hongera sana, na Mungu ataibariki hii Inchi. Na ataitoa katika wingu hili la CCM

  • @KATOPE1
    @KATOPE1 Жыл бұрын

    Duh mwanasheria kweli napata shaka sana yaaani Dubai sio nchi😢

  • @williamgeorge-hd2tn

    @williamgeorge-hd2tn

    Жыл бұрын

    Dubai sio nchi kwan hujui hilo?

  • @KATOPE1

    @KATOPE1

    Жыл бұрын

    @@williamgeorge-hd2tn kumbe ni mkoa Kama mwanza ama wafuata mkumbuko fanya upekuzi kabla huja reply hata hujamuliza mr google Dubai ni kitogoji wanasheria duh watatupoteza Kwann usichukiwe akil ya huyo mwanasheria mchwara na akil zako ukapata jibu

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Жыл бұрын

    VIONGOZI futeni huo mkataba tusije kuuwa na wenyewe kwa wenyewe muogopeni Mungu maisha ya Dunia ni yenye kudanganya tu

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын

    Wanafanya Sanaa tu sijaona hatammoja Alie simama kutuelewesha juu ya huo mkataba ni sahihi huu mkataba ni wahuni flani tu

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Жыл бұрын

    Kweli ina simama kwa dola kweli kabisa

  • @fridajohn
    @fridajohn Жыл бұрын

    Safi,tuko pamoja kupigania bandari zetu.

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 Жыл бұрын

    We love Mwagumbusi ❤❤❤❤

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Жыл бұрын

    Asanteni wa Tanganyika tumelogwa Tatizo shule hatujielewi bandari niroho ya Tanganyika c ubabe mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee Asanteni,

  • @geraldkadara4238
    @geraldkadara4238 Жыл бұрын

    Mungu mwenyezi akuongoze kufikia lengo, AMINA.

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Жыл бұрын

    Hawa viongozi wa Tanzania ovyo sana hili ni Taifa letu sote jiangalieni

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 Жыл бұрын

    Mama samia ni mwanadiplomasia mahili sana naona uhuru wa kuongea,kukosoa na kutukana umetamalaki sana nchini angekuwepo magu wote wangekuwa mabubu kwa kuogopa kichapo

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Жыл бұрын

    Kuna Sehem viongozi wetu tunaowapigia kura kutuongoza wanafeli sana ni ngum mtu mwenye akili na ufaham na mzalendo kusain mkataba wa namna hii

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын

    Sahihi sana mwanasheria

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Жыл бұрын

    Vzr sana

  • @mjasiriamalikwanzanjombe6708
    @mjasiriamalikwanzanjombe670811 ай бұрын

    Napataje huo mkataba wapedwa

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын

    Mbona wao wamemwagika mtaani na kupotosha jamii juu ya dude lao

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 Жыл бұрын

    Waooooo

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Жыл бұрын

    Watanzania hebu tufunguke fahamu zetu hayati alipinga ukoloni na wanyonyaji akawafukiza nchini

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Жыл бұрын

    Kama hawa jafaham basi shida

  • @jerusalemsuccess4562
    @jerusalemsuccess4562 Жыл бұрын

    Tatizo wanadhamini uwezo wa kifedha wa mtu na SI utu na ufanidi na weredi wake.

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q Жыл бұрын

    Waandishi wa habari mbona hamrushi taalifa za wapinzani? Itv tbc chaneli10 nk magazeti nk halafu mnajinasibu kwamba kunauhuru wa hanari huku mnaogopa ingekuwa ccm mngejipeleka na kurusha mfano eatv kiganjani imeandika eti watu wamesusia mbona watu ni wengi sana na mkutano umefana sana

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Жыл бұрын

    Wewe ni jemedari nakukubali kinoma

  • @insightsecure2819
    @insightsecure281910 ай бұрын

    dudeeeeeeèee

  • @doreenkissia1087
    @doreenkissia1087 Жыл бұрын

    Mwambaaaaaa

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Жыл бұрын

    Kacheze mdako bhana wee shida tupu. Muogope mungu wako Maandazi mmja huna maadili Maandazi mmoja. Njaa tupu

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Жыл бұрын

    Hongera wakili mwabukusi

Келесі