Mwanzo Mwisho Wakili Madeleka Afanya Uchambuzi wa Mkataba wa Bandari na DP World

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 212

  • @robertmisako
    @robertmisako Жыл бұрын

    Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын

    Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.

  • @davidfanuel1241

    @davidfanuel1241

    Жыл бұрын

    P

  • @marijanimohamed8875

    @marijanimohamed8875

    Жыл бұрын

    nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma

  • @marijanimohamed8875

    @marijanimohamed8875

    Жыл бұрын

    kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi

  • @ahmadikauru6592

    @ahmadikauru6592

    Жыл бұрын

    Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Жыл бұрын

    Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Жыл бұрын

    NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU... -PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Жыл бұрын

    Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.

  • @mussandoipo6551

    @mussandoipo6551

    Жыл бұрын

    🙏

  • @mussabalola3692
    @mussabalola3692 Жыл бұрын

    Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..

  • @rahalee5479
    @rahalee5479 Жыл бұрын

    Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.

  • @majii5591
    @majii5591 Жыл бұрын

    Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?

  • @florangido202

    @florangido202

    Жыл бұрын

    Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu Watuue ndiyo wajue Tumechoka. Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!

  • @sylivestermchafu2891
    @sylivestermchafu2891 Жыл бұрын

    Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Жыл бұрын

    Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Жыл бұрын

    Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Жыл бұрын

    Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 Жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.

  • @justinwangi4912
    @justinwangi4912 Жыл бұрын

    Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko

  • @franciskulwa2322
    @franciskulwa2322 Жыл бұрын

    Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu

  • @mlandasymon1980

    @mlandasymon1980

    Жыл бұрын

    Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb Жыл бұрын

    Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Жыл бұрын

    Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka

  • @aloycemahanga2290
    @aloycemahanga2290 Жыл бұрын

    Fact fact fact ever!!!

  • @evansmtalo8924
    @evansmtalo8924 Жыл бұрын

    Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!

  • @florangido202

    @florangido202

    Жыл бұрын

    Wanajua sana Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar

  • @AmbakweteMwakalugirao

    @AmbakweteMwakalugirao

    Жыл бұрын

    SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Жыл бұрын

    Ongera

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Жыл бұрын

    Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,

  • @omaryhabibu2746

    @omaryhabibu2746

    Жыл бұрын

    Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita

  • @daudifrank5886

    @daudifrank5886

    Жыл бұрын

    Nchi hii anaiua kikwete

  • @daudifrank5886

    @daudifrank5886

    Жыл бұрын

    Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...

  • @daudifrank5886

    @daudifrank5886

    Жыл бұрын

    Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman

  • @herbertlevery1077
    @herbertlevery107711 ай бұрын

    Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa

  • @Ashangaipaulo-yn1hq
    @Ashangaipaulo-yn1hq Жыл бұрын

    Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya

  • @emmanuelkayavugwa8049
    @emmanuelkayavugwa8049 Жыл бұрын

    Aibu yao wanao beza msimamo huu

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Жыл бұрын

    na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.

  • @winnerjudith2007

    @winnerjudith2007

    Жыл бұрын

    na awajibu kwa kwa vifungu

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 Жыл бұрын

    Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b19 күн бұрын

    Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Жыл бұрын

    Safi sana muheshimiwa. Mungu wa mbinguni awalinde na awapiganie katika suala zima la kutetea na kupigania mali na haki ya kulinda mali za Watanganyika.

  • @godfreyerasto4298
    @godfreyerasto4298 Жыл бұрын

    so geneous lawyer

  • @AmbakweteMwakalugirao
    @AmbakweteMwakalugirao Жыл бұрын

    HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 Жыл бұрын

    Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu

  • @gerraldchristian2001
    @gerraldchristian2001 Жыл бұрын

    CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo

  • @ZenaBakari-fz4jp
    @ZenaBakari-fz4jp11 ай бұрын

    Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b19 күн бұрын

    Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi

  • @mathewpaul629
    @mathewpaul629 Жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra

  • @masakakasiri-xq6ce
    @masakakasiri-xq6ce10 ай бұрын

    Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Жыл бұрын

    WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI

  • @user-co8cc7uq6h
    @user-co8cc7uq6h Жыл бұрын

    Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Жыл бұрын

    Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Жыл бұрын

    Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Жыл бұрын

    Safi

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Жыл бұрын

    Hii nchi inaumiza sana

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Жыл бұрын

    Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Жыл бұрын

    TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM

  • @wilbertmanjonda5835
    @wilbertmanjonda5835 Жыл бұрын

    Ila CCM, ni janga kamili!!!

  • @fredmabundagilo6954
    @fredmabundagilo6954 Жыл бұрын

    Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda402411 ай бұрын

    Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.

  • @lovechadali3923
    @lovechadali3923 Жыл бұрын

    Wakili yuko vizuri

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige105611 ай бұрын

    Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Жыл бұрын

    wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 Жыл бұрын

    Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana

  • @assahalex356
    @assahalex356 Жыл бұрын

    Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa

  • @johnpeterson9333
    @johnpeterson9333 Жыл бұрын

    Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭

  • @JacksonHenjewele-dl6rc
    @JacksonHenjewele-dl6rc Жыл бұрын

    Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Жыл бұрын

    Nawapongeza sana tusaidie

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io Жыл бұрын

    Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Жыл бұрын

    Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...

  • @user-wh6yu8xi8f
    @user-wh6yu8xi8f Жыл бұрын

    Excellence ❤❤❤❤

  • @Poltechie
    @Poltechie Жыл бұрын

    Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel

  • @kiatu
    @kiatu Жыл бұрын

    Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Жыл бұрын

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.

  • @emanuelshula6030
    @emanuelshula6030 Жыл бұрын

    Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana

  • @Bizzyyoyo-nw8dp
    @Bizzyyoyo-nw8dp11 ай бұрын

    Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu, Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji, Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa, Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu, madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu, Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano, Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi, Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu, Mama samia MITANO TENA.

  • @user-zy7lj1du8t
    @user-zy7lj1du8t11 ай бұрын

    Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Жыл бұрын

    Aibu jamani

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga Жыл бұрын

    Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!

  • @mussandoipo6551

    @mussandoipo6551

    Жыл бұрын

    Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 Жыл бұрын

    KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    Жыл бұрын

    Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et

  • @wakatinisasa
    @wakatinisasa Жыл бұрын

    Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii

  • @ezamnzava8555
    @ezamnzava8555 Жыл бұрын

    Safi sana...

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Жыл бұрын

    Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge

  • @saidimadunda4576
    @saidimadunda4576 Жыл бұрын

    Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 Жыл бұрын

    kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti2 ай бұрын

    Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.

  • @leonardZacharia-jg8no
    @leonardZacharia-jg8no11 ай бұрын

    Mungu liangalie sasa taifa hili

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Жыл бұрын

    Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io Жыл бұрын

    Mungu akubariki.

  • @paitomsuva3817
    @paitomsuva3817 Жыл бұрын

    Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Жыл бұрын

    Good

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal545411 ай бұрын

    Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Жыл бұрын

    Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?

  • @BobNgagi2023

    @BobNgagi2023

    Жыл бұрын

    Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    Жыл бұрын

    @@BobNgagi2023 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Жыл бұрын

    Wewe chifu hangaya hakunavitu vitamu kana kuishi naamani namaishamalefu wewe unaweza kuonakamaukosawa kwakuwa unadola elewa maimbi ya watanzania yatakuja yakuasili usifikilie unaakili kuluko wsnanchi wote kwanza hatujakuchagua

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Жыл бұрын

    MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!

  • @yudatadeimdoe9215

    @yudatadeimdoe9215

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😅 mwambie uyo

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn Жыл бұрын

    Fact

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Жыл бұрын

    Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili

  • @amlikendelwa8974

    @amlikendelwa8974

    Жыл бұрын

    Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.

  • @ibrahimrobart38
    @ibrahimrobart38 Жыл бұрын

    Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami458011 ай бұрын

    Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Жыл бұрын

    Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi319611 ай бұрын

    Kweli mkuu hata hvyo serikali inapaswa kuwafundisha wananchi wake shelia shuleni kama yalivyo masomo mengine

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Жыл бұрын

    Mungu awape mafanikio mema

  • @jivunetv
    @jivunetv Жыл бұрын

    MAKUBALIANO NDO MKATABA WENYEWE, KWA MUJIBU WA SHERIA YA MIKATABA

  • @Ambwene
    @Ambwene11 ай бұрын

    DAAAH 😔

  • @mwakilulelefrancis280
    @mwakilulelefrancis280 Жыл бұрын

    BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b19 күн бұрын

    Je mwanasheliya mkuu jaji mkuu mbona hawatutafisiliyi mkutaba? Wapo hawapo tunaomba mutoke inje itawagalimu na vizazi vyenu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b19 күн бұрын

    Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu

  • @NeemaNsanzu-jx2dk
    @NeemaNsanzu-jx2dk11 ай бұрын

    Alivo sema mungu ety hawa ishin nao kwa akili tulisahau na ndo man haya yanatukuta sasa huyu samia mwangalien kwa akili viongz na jeshi letu maan n aibu kubwa hadi mke wang anashangaa

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Жыл бұрын

    Poleni Watanganyika 😂😂😂😂

  • @user-lh5mr2wd2m
    @user-lh5mr2wd2m Жыл бұрын

    Mungu awaonge Kirk Vitale hii ya mafisadi tuko pamoja

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal545411 ай бұрын

    Bandari wapewe Chadema na Kanisa wao tu ndiyo wakweli waaminifu na watakatifu. 2025 pia wapewe nchi waitawale kwa kuwa wai ndiyo watakatifu.

  • @PetroKiyeyeu-hz7qk
    @PetroKiyeyeu-hz7qk11 ай бұрын

    yan walisema ccm niyakwao kumbe ilikuwa mwanzo wakujimilikisha bandari baadae watajimilikisha nchi

Келесі