Mwanzo Mwisho Wakili Madeleka Afanya Uchambuzi wa Mkataba wa Bandari na DP World
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 212
Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen
Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.
@davidfanuel1241
Жыл бұрын
P
@marijanimohamed8875
Жыл бұрын
nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma
@marijanimohamed8875
Жыл бұрын
kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi
@ahmadikauru6592
Жыл бұрын
Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu
Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu
NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU... -PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI
Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.
@mussandoipo6551
Жыл бұрын
🙏
Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..
Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.
Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?
@florangido202
Жыл бұрын
Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu Watuue ndiyo wajue Tumechoka. Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!
Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana
Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.
Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.
Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili
Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.
Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko
Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu
@mlandasymon1980
Жыл бұрын
Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena
Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm
Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka
Fact fact fact ever!!!
Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!
@florangido202
Жыл бұрын
Wanajua sana Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar
@AmbakweteMwakalugirao
Жыл бұрын
SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.
Ongera
Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,
@omaryhabibu2746
Жыл бұрын
Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita
@daudifrank5886
Жыл бұрын
Nchi hii anaiua kikwete
@daudifrank5886
Жыл бұрын
Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...
@daudifrank5886
Жыл бұрын
Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman
Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa
Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya
Aibu yao wanao beza msimamo huu
na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.
@winnerjudith2007
Жыл бұрын
na awajibu kwa kwa vifungu
Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili
Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe
Safi sana muheshimiwa. Mungu wa mbinguni awalinde na awapiganie katika suala zima la kutetea na kupigania mali na haki ya kulinda mali za Watanganyika.
so geneous lawyer
HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???
Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi
@mkude
11 ай бұрын
Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu
CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo
Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.
Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi
Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra
Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe
WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI
Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.
Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu
Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki
Safi
Hii nchi inaumiza sana
Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali
TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM
Ila CCM, ni janga kamili!!!
Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...
Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.
Wakili yuko vizuri
Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.
wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli
Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana
Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa
Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭
Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja
Nawapongeza sana tusaidie
Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.
@mkude
11 ай бұрын
Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote
Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...
Excellence ❤❤❤❤
Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel
Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa
🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.
Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana
Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu, Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji, Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa, Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu, madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu, Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano, Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi, Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu, Mama samia MITANO TENA.
Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.
@mkude
11 ай бұрын
ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida
Aibu jamani
Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!
@mussandoipo6551
Жыл бұрын
Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali
KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et
Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii
Safi sana...
Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge
Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?
kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu
Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.
Mungu liangalie sasa taifa hili
Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili
Mungu akubariki.
Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?
Good
Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..
Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?
@BobNgagi2023
Жыл бұрын
Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?
@FreeGod368
Жыл бұрын
@@BobNgagi2023 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje
Wewe chifu hangaya hakunavitu vitamu kana kuishi naamani namaishamalefu wewe unaweza kuonakamaukosawa kwakuwa unadola elewa maimbi ya watanzania yatakuja yakuasili usifikilie unaakili kuluko wsnanchi wote kwanza hatujakuchagua
MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!
@yudatadeimdoe9215
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅 mwambie uyo
Fact
Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili
@amlikendelwa8974
Жыл бұрын
Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.
Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa
Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.
Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha
Kweli mkuu hata hvyo serikali inapaswa kuwafundisha wananchi wake shelia shuleni kama yalivyo masomo mengine
Mungu awape mafanikio mema
MAKUBALIANO NDO MKATABA WENYEWE, KWA MUJIBU WA SHERIA YA MIKATABA
DAAAH 😔
BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI
Je mwanasheliya mkuu jaji mkuu mbona hawatutafisiliyi mkutaba? Wapo hawapo tunaomba mutoke inje itawagalimu na vizazi vyenu
Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu
Alivo sema mungu ety hawa ishin nao kwa akili tulisahau na ndo man haya yanatukuta sasa huyu samia mwangalien kwa akili viongz na jeshi letu maan n aibu kubwa hadi mke wang anashangaa
Poleni Watanganyika 😂😂😂😂
Mungu awaonge Kirk Vitale hii ya mafisadi tuko pamoja
Bandari wapewe Chadema na Kanisa wao tu ndiyo wakweli waaminifu na watakatifu. 2025 pia wapewe nchi waitawale kwa kuwa wai ndiyo watakatifu.
yan walisema ccm niyakwao kumbe ilikuwa mwanzo wakujimilikisha bandari baadae watajimilikisha nchi