WAKILI PETER MADELEKA AJILIPUA SAKATA LA BANDARI, "TUMEUZWA, MWANASHERIA WA SERIKALI AJIUZULU"

#TANZANIA: #Wakili #Peter #Madeleka ajilipua sakata la #bandari, "tumeuzwa, #Mwanasheria wa #Serikali ajiuzulu"

Пікірлер: 12

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Жыл бұрын

    Nasema Mungu awalinde na kila baya juu yenu na familia zenu

  • @ibrahimngitu6072
    @ibrahimngitu6072 Жыл бұрын

    Mungu atawalindeni na watanzania shart tuwakatae wabunge hapa ndipo nakubali nchi inaliwa live sielewi kama hana jipya la kujitetea tukamwelewa wezi ni wengi ndani yaserikali yake

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Жыл бұрын

    Nimewahi kushuhudia Wagiriki waishio hapa wakicheza kamari kiasi cha kuwaweka rehani wake zao kama mkopo ili waendelee kucheza mpaka wapatie!

  • @user-ne4lv6wn9y
    @user-ne4lv6wn9y Жыл бұрын

    Mh mama huyo😢😢😢

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 Жыл бұрын

    Tupe elimu maana ninyi ndo tunawaamuni siyo hawa akina Majaliwa wanaotupotosha hawa

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Жыл бұрын

    Watanzania tunaenda kukombolewa sasa,tujiunge na tuungane tuwe pamoja.

  • @leonadurasa6641

    @leonadurasa6641

    Жыл бұрын

    Public. Coments

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s20 күн бұрын

    Mpumbavu mmoja eti ni chuki ya wisilamu Tanzania atuna udini kwani mbona tumeoleana wangapi wake waume wamesilimu kwa ajili ya ndoa mjomba mklistu shangazi mwislamu acha ujinga

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Жыл бұрын

    Ni chuki tu dhidi ya uislam na waarabu

  • @yassinhamza1969

    @yassinhamza1969

    Жыл бұрын

    Ndivyo tafsiri ya mkataba ulivyotafsiriwa mwenzetu

  • @honestmsigwa920

    @honestmsigwa920

    Жыл бұрын

    Mbona haujitokezi kama sisi,jitokeze tuione sura yako.

  • @josephmakutano7067

    @josephmakutano7067

    Жыл бұрын

    Chukigani mbona anasoma yaliyoandikwa kwenye vikaratasi vya watu wadubai

Келесі