'DIAMOND AMEJITOA WCB / UWEZO WAKE MDOGO? / ANATAKA KULIPWA ZAIDI | HIVI NI KWELI

Ойын-сауық

'DIAMOND AMEJITOA WCB / UWEZO WAKE MDOGO? / ANATAKA KULIPWA ZAIDI | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 78

  • @roman2270
    @roman2270 Жыл бұрын

    Mnafahamiana kwenye Chipsi mkirudi nyumbani Ugali 😂😂

  • @yuvesmhekela
    @yuvesmhekela Жыл бұрын

    Haiwez ikatokea abadani wcb for4 kwa mond❤️❤️💯🙏

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Жыл бұрын

    mzee bwana du! heti wcb lazima wamtoe KAKATI #WCB ndiyo diamond platnumz mwenyewe-#WasafiClasicBand

  • @zabronadamsony870
    @zabronadamsony870 Жыл бұрын

    Mzee katishaa Sanaa kipindi kinakua powa ivo ndo inavotakiwa Kila siku mambo mapya big up wasafi 🥂❤️

  • @abeidsaid9635
    @abeidsaid9635 Жыл бұрын

    WCB ndio Diamond platnumz yeye ndomwenye kampuni

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 Жыл бұрын

    Mzee umeifanza siku yangu kuwa nzuri kweli.

  • @Africansiswatching

    @Africansiswatching

    Жыл бұрын

    Chef

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Жыл бұрын

    Jamani 😂 Mzee amejimaliza anajiona mjuaji kumbe kilaza😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @RobbyDejan1234

    @RobbyDejan1234

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @teacherd
    @teacherd Жыл бұрын

    Mzee kaongea logic.. mwanamke mafahamiana kwenye chips ukienda nyumbani ni ugali 😀

  • @dullah__theking9529
    @dullah__theking9529 Жыл бұрын

    Bongo kila swali huwa linajibu😁🙌🏽

  • @erickbulyota9474
    @erickbulyota9474 Жыл бұрын

    watu wa dar nawakubal sana , Wanaenda sawa naww unachotaka. Hawana tofaut na wachina

  • @chidaga_tz5653
    @chidaga_tz5653 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 sema sanya we nimbaya sanaa mwanaaa yan unatishaaa

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 Жыл бұрын

    Maisha magumu sn kwel kwel😆😆had tunachanganyikiwa,we sanya ww unahoji vichaa ujue😆😆

  • @mubarakhassan2618
    @mubarakhassan2618 Жыл бұрын

    Ila hawo wazeeeh wajuwaji sana ayis🤣🤣

  • @nasra3523
    @nasra3523 Жыл бұрын

    Uy Mzee kanichekesha ishimiaka mingi bro nakipenda sana kipndichako

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Жыл бұрын

    Aisee bongo kweli bahati mbaya😂😂😂😂

  • @clinton_leen
    @clinton_leen Жыл бұрын

    Hivi n kweli diamond amejitoa WCB 😃😃🔥🔥

  • @johnsamwel4306

    @johnsamwel4306

    Жыл бұрын

    😳😁😁😁

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Жыл бұрын

    Mzee umenipa raha sanaaa

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil6502 Жыл бұрын

    Bongo D's alam huu mkoa et hata mtandaoni wanaogelea sana Jux kuwa DC.

  • @misheckmisheck6350
    @misheckmisheck6350 Жыл бұрын

    Ila mzee angefunguka mengi kuhusu ndoa,umemuacha mapema😂😂🤣

  • @assab3167
    @assab3167 Жыл бұрын

    Unajua sana

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil6502 Жыл бұрын

    Mzee noma

  • @the.sanJaco
    @the.sanJaco Жыл бұрын

    Nisawana Alie sema nioge maji katikati ya lami mchana

  • @jacklinembeyu5001
    @jacklinembeyu5001 Жыл бұрын

    Sasa ajitoe wcb kivipi 😂😂😂😂🤭🤭🤭 na ni yake Gai kwa hii Dunia Kuna majabu😂😂😂

  • @laurensialameck7608
    @laurensialameck7608 Жыл бұрын

    Me so sishangai lakini ni problem

  • @daudflavour320
    @daudflavour320 Жыл бұрын

    Duh hatar

  • @donald5856
    @donald5856 Жыл бұрын

    Wabongo wajuaji Sana.

  • @enocmsafi2023
    @enocmsafi2023 Жыл бұрын

    Sawa bana

  • @Esamali_Kenya
    @Esamali_Kenya Жыл бұрын

    Ushai skia wapi mtu kajitoa kwake ... Kuweni makini sana😂😂😂

  • @sefuboycomedy1931
    @sefuboycomedy1931 Жыл бұрын

    😁😆😁😁😄😁 Nikiwa Dodoma

  • @afixjomo
    @afixjomo Жыл бұрын

    Hatuelewi wanemsamehe mara ngapii 😂😂😂

  • @dj26number2
    @dj26number2 Жыл бұрын

    Wanasumbua 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @nyantuubilo2477
    @nyantuubilo2477 Жыл бұрын

    Huyo mzee 😂😂😂

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 Жыл бұрын

    Mnakutania kwenye chips akifika nyumbani ugari wanasumbuaaa haooo 😂😂😂

  • @pendombise5561
    @pendombise5561 Жыл бұрын

    🤣🤣hatari

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 Жыл бұрын

    Tatizo aujuw kua watu wanao ishi dar wamechanganyikiwa sana

  • @oswardjames3955
    @oswardjames3955 Жыл бұрын

    Mshamba wew unamuuliza maswali ya kichoko mzee wakati yeye anakuuliza maswali ya maana kitaifa

  • @lugyplan3771
    @lugyplan3771 Жыл бұрын

    Itakua tabia mbaya

  • @festochakupewa1491
    @festochakupewa1491 Жыл бұрын

    Wabongo wanafiki Sana wajuaji kumbe hawajui lolote ,😂😂😂

  • @mpopcornyplatnumz149
    @mpopcornyplatnumz149 Жыл бұрын

    mzee habari za mziki hazijui hajui chochote kuhusu WCB wala hajui mmiliki ni nani.Ila ndoa anaijua vizur .Sanya ungeendelea kumchimba huyo mzee ata dk5 angefunguka meng tungejifunza

  • @azimioalbertongellaalberto4404
    @azimioalbertongellaalberto4404 Жыл бұрын

    Wanasumbuaaaaa😂😂😂😂

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Жыл бұрын

    So kweli 😃😃😃

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 Жыл бұрын

    Jamaaa anasema taarifa anayo😁😁

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 Жыл бұрын

    Hahahahah duh Leo ndio nmegundua kua wabongo tunamchukia mtu kwakufuata mkumbo,,,tazama mzee hata diamond hamjui lkn anasema amejitoa WCB,,,tuwe tunafny research kwanza tusikurupukeee

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Mzee km uyu hafai ata kumfata kwa ushauri atakuuzia matango pori asubuhi mapema tu

  • @mdoutz7452
    @mdoutz7452 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 wazee kma hawa ni wakutupa mtoni waliwe na mamba pumbavu 🤣🤣🤣

  • @ibrahimaziz7158

    @ibrahimaziz7158

    Жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhhh

  • @peterclaver390
    @peterclaver390 Жыл бұрын

    Hahahaha!

  • @mohamedslh5478
    @mohamedslh5478 Жыл бұрын

    Ww umeoa mbona unaishi 😂😂

  • @charlesngombo1616
    @charlesngombo1616 Жыл бұрын

    Nyi watanzania mko na Jokes sanaa

  • @samsonmsafiri444
    @samsonmsafiri444 Жыл бұрын

    🥺🥺😅😅😅🥺

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Жыл бұрын

    demu unakutana nae kwenye chipsi alafu unaenda nae nyumbani kumlisha ugali hhhhhh

  • @samsonmsafiri444
    @samsonmsafiri444 Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Жыл бұрын

    Mzee alikuwa jirani

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Жыл бұрын

    😂🤣😂🤣😂

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Жыл бұрын

    Ndoa munafahamiana kwenye chips nyumbani ugali

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah hiyo ni Kali jaamani. Mashabki bwana.....huwezi kujiua kwa sababu yake

  • @nasrafadhili7408
    @nasrafadhili7408 Жыл бұрын

    Yn wabongo kwny ubongo hkn kitu KBC yn mtu anaongea kitu ambacho ajui kbc

  • @zikirination6769

    @zikirination6769

    Жыл бұрын

    Ndomaan yakitwa bongo hakuna kitu hajui mtz

  • @gervaskasala7321
    @gervaskasala7321 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @lugyplan3771
    @lugyplan3771 Жыл бұрын

    Kuna jmaa kanfuraisha

  • @malianonicass7029

    @malianonicass7029

    Жыл бұрын

    Nani huyo mzee

  • @lugyplan3771

    @lugyplan3771

    Жыл бұрын

    @@malianonicass7029 ndio kasema angekua kijana asinge oa 😂 inaonyesha Bibi nyumban hajatulia

  • @danielmuset2210
    @danielmuset2210 Жыл бұрын

    Clout chasing🤣🤣🤣🤣

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Жыл бұрын

    Hii nchi wajinga ni wengi sana

  • @hellenkarisa7262
    @hellenkarisa7262 Жыл бұрын

    Watangazaji wamekosa chakutangaza Leo mana wamezoea umbea Leo wamekosa 😏😏😏😏😏

  • @feronandsulubu6711

    @feronandsulubu6711

    Жыл бұрын

    Kubali tu imebambaa😃

  • @abdallahsalehstar8221

    @abdallahsalehstar8221

    Жыл бұрын

    acha roh mbaya hii sio utangazaji inaitwa "street jokes" kama hujui kitu kaa kimya unaleta roh yako mbaya na utim kweny kila kitu

  • @ziddyziddy2524

    @ziddyziddy2524

    Жыл бұрын

    @@abdallahsalehstar8221 umeongea kweli roho mbaya hizi zitatumaliza

  • @ziddyziddy2524

    @ziddyziddy2524

    Жыл бұрын

    @@feronandsulubu6711 umeona eeee imebamba kinoma

  • @mosesjackson8260
    @mosesjackson8260 Жыл бұрын

    😂😂😂Aseee hii nnchi maisha yanatuchanganya

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @osmanngaya6212

    @osmanngaya6212

    Жыл бұрын

    Duu hii kali

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @chanceakimana405
    @chanceakimana405 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

Келесі