'DIAMOND AMEJITOA WCB / UWEZO WAKE MDOGO? / ANATAKA KULIPWA ZAIDI | HIVI NI KWELI
Ойын-сауық
'DIAMOND AMEJITOA WCB / UWEZO WAKE MDOGO? / ANATAKA KULIPWA ZAIDI | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 78
Mnafahamiana kwenye Chipsi mkirudi nyumbani Ugali 😂😂
Haiwez ikatokea abadani wcb for4 kwa mond❤️❤️💯🙏
mzee bwana du! heti wcb lazima wamtoe KAKATI #WCB ndiyo diamond platnumz mwenyewe-#WasafiClasicBand
Mzee katishaa Sanaa kipindi kinakua powa ivo ndo inavotakiwa Kila siku mambo mapya big up wasafi 🥂❤️
WCB ndio Diamond platnumz yeye ndomwenye kampuni
Mzee umeifanza siku yangu kuwa nzuri kweli.
@Africansiswatching
Жыл бұрын
Chef
Jamani 😂 Mzee amejimaliza anajiona mjuaji kumbe kilaza😂😂🤣🤣🤣🤣
@RobbyDejan1234
Жыл бұрын
😂😂😂
Mzee kaongea logic.. mwanamke mafahamiana kwenye chips ukienda nyumbani ni ugali 😀
Bongo kila swali huwa linajibu😁🙌🏽
watu wa dar nawakubal sana , Wanaenda sawa naww unachotaka. Hawana tofaut na wachina
🤣🤣🤣 sema sanya we nimbaya sanaa mwanaaa yan unatishaaa
Maisha magumu sn kwel kwel😆😆had tunachanganyikiwa,we sanya ww unahoji vichaa ujue😆😆
Ila hawo wazeeeh wajuwaji sana ayis🤣🤣
Uy Mzee kanichekesha ishimiaka mingi bro nakipenda sana kipndichako
Aisee bongo kweli bahati mbaya😂😂😂😂
Hivi n kweli diamond amejitoa WCB 😃😃🔥🔥
@johnsamwel4306
Жыл бұрын
😳😁😁😁
Mzee umenipa raha sanaaa
Bongo D's alam huu mkoa et hata mtandaoni wanaogelea sana Jux kuwa DC.
Ila mzee angefunguka mengi kuhusu ndoa,umemuacha mapema😂😂🤣
Unajua sana
Mzee noma
Nisawana Alie sema nioge maji katikati ya lami mchana
Sasa ajitoe wcb kivipi 😂😂😂😂🤭🤭🤭 na ni yake Gai kwa hii Dunia Kuna majabu😂😂😂
Me so sishangai lakini ni problem
Duh hatar
Wabongo wajuaji Sana.
Sawa bana
Ushai skia wapi mtu kajitoa kwake ... Kuweni makini sana😂😂😂
😁😆😁😁😄😁 Nikiwa Dodoma
Hatuelewi wanemsamehe mara ngapii 😂😂😂
Wanasumbua 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Huyo mzee 😂😂😂
Mnakutania kwenye chips akifika nyumbani ugari wanasumbuaaa haooo 😂😂😂
🤣🤣hatari
Tatizo aujuw kua watu wanao ishi dar wamechanganyikiwa sana
Mshamba wew unamuuliza maswali ya kichoko mzee wakati yeye anakuuliza maswali ya maana kitaifa
Itakua tabia mbaya
Wabongo wanafiki Sana wajuaji kumbe hawajui lolote ,😂😂😂
mzee habari za mziki hazijui hajui chochote kuhusu WCB wala hajui mmiliki ni nani.Ila ndoa anaijua vizur .Sanya ungeendelea kumchimba huyo mzee ata dk5 angefunguka meng tungejifunza
Wanasumbuaaaaa😂😂😂😂
So kweli 😃😃😃
😂😂😂😂😂😂
Jamaaa anasema taarifa anayo😁😁
Hahahahah duh Leo ndio nmegundua kua wabongo tunamchukia mtu kwakufuata mkumbo,,,tazama mzee hata diamond hamjui lkn anasema amejitoa WCB,,,tuwe tunafny research kwanza tusikurupukeee
Mzee km uyu hafai ata kumfata kwa ushauri atakuuzia matango pori asubuhi mapema tu
🤣🤣🤣🤣 wazee kma hawa ni wakutupa mtoni waliwe na mamba pumbavu 🤣🤣🤣
@ibrahimaziz7158
Жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhh
Hahahaha!
Ww umeoa mbona unaishi 😂😂
Nyi watanzania mko na Jokes sanaa
🥺🥺😅😅😅🥺
demu unakutana nae kwenye chipsi alafu unaenda nae nyumbani kumlisha ugali hhhhhh
😂😂😂😂
Mzee alikuwa jirani
😂🤣😂🤣😂
Ndoa munafahamiana kwenye chips nyumbani ugali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah hiyo ni Kali jaamani. Mashabki bwana.....huwezi kujiua kwa sababu yake
Yn wabongo kwny ubongo hkn kitu KBC yn mtu anaongea kitu ambacho ajui kbc
@zikirination6769
Жыл бұрын
Ndomaan yakitwa bongo hakuna kitu hajui mtz
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kuna jmaa kanfuraisha
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Nani huyo mzee
@lugyplan3771
Жыл бұрын
@@malianonicass7029 ndio kasema angekua kijana asinge oa 😂 inaonyesha Bibi nyumban hajatulia
Clout chasing🤣🤣🤣🤣
Hii nchi wajinga ni wengi sana
Watangazaji wamekosa chakutangaza Leo mana wamezoea umbea Leo wamekosa 😏😏😏😏😏
@feronandsulubu6711
Жыл бұрын
Kubali tu imebambaa😃
@abdallahsalehstar8221
Жыл бұрын
acha roh mbaya hii sio utangazaji inaitwa "street jokes" kama hujui kitu kaa kimya unaleta roh yako mbaya na utim kweny kila kitu
@ziddyziddy2524
Жыл бұрын
@@abdallahsalehstar8221 umeongea kweli roho mbaya hizi zitatumaliza
@ziddyziddy2524
Жыл бұрын
@@feronandsulubu6711 umeona eeee imebamba kinoma
😂😂😂Aseee hii nnchi maisha yanatuchanganya
😂😂😂😂
@osmanngaya6212
Жыл бұрын
Duu hii kali
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂