"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"

Ойын-сауық

"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 269

  • @patrickrumaga5936
    @patrickrumaga5936 Жыл бұрын

    Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu

  • @tfelician

    @tfelician

    Жыл бұрын

    Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana 🤦

  • @leonardgervas7515

    @leonardgervas7515

    Жыл бұрын

    Rudi siku moja uwasalimie.

  • @edwardbuttu3981

    @edwardbuttu3981

    Жыл бұрын

    Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku

  • @dunstanemanuel7795

    @dunstanemanuel7795

    Жыл бұрын

    Kanta boy wew co bure😄😄😄

  • @danieljoseph6207

    @danieljoseph6207

    Жыл бұрын

    M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao

  • @Momo_96
    @Momo_96 Жыл бұрын

    You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda 🇹🇿🇹🇿

  • @hamadyasin7429

    @hamadyasin7429

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa mnawapotezea muda wao pia!

  • @asiarashid5211

    @asiarashid5211

    Жыл бұрын

    Kweli kabsa ndugu

  • @lewiskombole2917

    @lewiskombole2917

    Жыл бұрын

    Woord...

  • @protasproteous9197

    @protasproteous9197

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @alubohajji2268

    @alubohajji2268

    Жыл бұрын

    Wabongo kwa kunyonyana utawaweza....

  • @bernardmkuffya5171
    @bernardmkuffya5171 Жыл бұрын

    Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.

  • @naomimavura2239
    @naomimavura2239 Жыл бұрын

    Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia binti🎉

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Жыл бұрын

    Tanzania 🇹🇿 ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloo😭😭😭

  • @mamuoman7849

    @mamuoman7849

    Жыл бұрын

    Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman

  • @johanesnixon5473

    @johanesnixon5473

    Жыл бұрын

    @@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 Жыл бұрын

    Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 Жыл бұрын

    Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki

  • @saidmrisho3929

    @saidmrisho3929

    Жыл бұрын

    Hiyo ni oungo bhan hakunaaa angekua mwanaume iingukua vita

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    Жыл бұрын

    Amen

  • @hudsson75
    @hudsson75 Жыл бұрын

    Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walah🙏

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Жыл бұрын

    Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.

  • @alexkitundu2413

    @alexkitundu2413

    Жыл бұрын

    For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers

  • @hukuUJERUMANI

    @hukuUJERUMANI

    Жыл бұрын

    @@alexkitundu2413 Absolutely impressive

  • @enockabumba7513

    @enockabumba7513

    Жыл бұрын

    Acha zako bwana

  • @AbuuAbdilRahmaan

    @AbuuAbdilRahmaan

    Жыл бұрын

    Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.

  • @hukuUJERUMANI

    @hukuUJERUMANI

    Жыл бұрын

    @@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine

  • @juliusjulius2080
    @juliusjulius2080 Жыл бұрын

    "Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын

    Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana

  • @teacherd
    @teacherd Жыл бұрын

    Nimempenda saana huyu mzee🔥🔥🔥🔥

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Жыл бұрын

    Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu

  • @africanproudly4004

    @africanproudly4004

    Жыл бұрын

    Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni

  • @neemamkemae2580
    @neemamkemae2580 Жыл бұрын

    Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....🥹🥹🥹🔥🔥🔥

  • @jjoashjoash4113
    @jjoashjoash4113 Жыл бұрын

    Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemea🤲🤲🤲

  • @ziadaarthasan6575

    @ziadaarthasan6575

    Жыл бұрын

    👏👏👏

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Жыл бұрын

    Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweli🥰🥰🥰🤗🤗

  • @alantonio855
    @alantonio855 Жыл бұрын

    Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira

  • @UpepoVlogs
    @UpepoVlogs Жыл бұрын

    Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yake👍

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 Жыл бұрын

    Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyote💪

  • @santosdanny9243

    @santosdanny9243

    Жыл бұрын

    Wapi huyo demu kuwa wewe uone 😂😂😂😂😂

  • @2cash259

    @2cash259

    Жыл бұрын

    @@santosdanny9243 😂😂😂

  • @mitumbagradeonekutokakorea409
    @mitumbagradeonekutokakorea409 Жыл бұрын

    Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa

  • @mackmtata8277
    @mackmtata8277 Жыл бұрын

    Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 Жыл бұрын

    Huyo mzee Ana hekima Sana big up

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Жыл бұрын

    SubhanaAllah mweyeeee 😢😢😢maskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano

  • @ndikumanarodrigue5657
    @ndikumanarodrigue5657 Жыл бұрын

    Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii

  • @stn4873
    @stn4873 Жыл бұрын

    Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 Жыл бұрын

    Nlichogundua dar watuweng hukaa kwandugu najamaa.. ingekua chuga ungefrai na,show...😁

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa8695 Жыл бұрын

    Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble

  • @yossephcasiani2328
    @yossephcasiani2328 Жыл бұрын

    Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah

  • @killywilly6932
    @killywilly6932 Жыл бұрын

    Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie 🤣🤣🤣

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Жыл бұрын

    MashaAllah naira

  • @DurahRich
    @DurahRich Жыл бұрын

    11:35 wasafi tv ni chombo kikubwa😂😂😂

  • @joshydan5029

    @joshydan5029

    Жыл бұрын

    Motown nembo ya mtaa

  • @Saidkhel

    @Saidkhel

    Жыл бұрын

    Kwanza uwongo wasafi ni no one

  • @joesimba1146
    @joesimba1146 Жыл бұрын

    Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Жыл бұрын

    Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengi🤣😂🤣

  • @moutinhomerlin6498
    @moutinhomerlin6498 Жыл бұрын

    Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo

  • @gladnessmunyanyi5775
    @gladnessmunyanyi5775 Жыл бұрын

    Usiposuka unapendeza motown

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Жыл бұрын

    😄😄😄😄we motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun

  • @makanjicharles9860
    @makanjicharles9860 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥bonge la show

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Жыл бұрын

    nimempenda sana uyo baba

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Жыл бұрын

    Good idea 💡 👏 motown sanya

  • @Zaburi-
    @Zaburi- Жыл бұрын

    Hawa wana wametisha sana 😀😀😀😀😀😀

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Жыл бұрын

    '' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dottohami
    @dottohami Жыл бұрын

    Mzee ana hekima sana masha Allha

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Жыл бұрын

    mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa 🇿🇦 kesington..una mambo jamawangu wewe

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Жыл бұрын

    Good job

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 Жыл бұрын

    Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti

  • @tchidebennyz4038
    @tchidebennyz4038 Жыл бұрын

    Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu

  • @allyjabeer1924

    @allyjabeer1924

    11 ай бұрын

    Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar 🤭#JOKE Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaa🫂

  • @nziokajacob638
    @nziokajacob638 Жыл бұрын

    Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.

  • @bentez911

    @bentez911

    Жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo2805 Жыл бұрын

    BIG UP brother wa njano👌👌

  • @yunussaleh8493
    @yunussaleh8493 Жыл бұрын

    Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako

  • @dullyhaleem6962
    @dullyhaleem6962 Жыл бұрын

    ITABIDI TUSAIDIANE TU MAISHA YENYEWE YASHAKUWA YA DASLAMU HAYA😂🤣🤣🤣

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣broo uko fireeeeee

  • @stn4873
    @stn4873 Жыл бұрын

    Daslam Daslam Daslam......

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 Жыл бұрын

    Dar mtihani tuu bongo ☺️🤣🤣🤣

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Жыл бұрын

    Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoa🧐

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Жыл бұрын

    Nakubali

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Жыл бұрын

    Asante studios

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 Жыл бұрын

    Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke

  • @jayp5871
    @jayp5871 Жыл бұрын

    aa mmetshaa sana Mo, ubunifu 🔥🔥

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Жыл бұрын

    Wanaume tunacare sana bas tu yani

  • @bigirimanadaudi9797
    @bigirimanadaudi9797 Жыл бұрын

    Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    Жыл бұрын

    Sahihi kabisa

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 Жыл бұрын

    Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa

  • @nobodyog9512
    @nobodyog9512 Жыл бұрын

    Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kula😂

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 Жыл бұрын

    Naira

  • @sadiboytz2054
    @sadiboytz2054 Жыл бұрын

    Sanya nakubali mwamba

  • @samsammushi9844
    @samsammushi9844 Жыл бұрын

    Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa

  • @rogerlyaruu5739
    @rogerlyaruu5739 Жыл бұрын

    aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi

  • @delvinngaiza7500
    @delvinngaiza7500 Жыл бұрын

    Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sana👊

  • @jumaabas6837

    @jumaabas6837

    Жыл бұрын

    Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 Жыл бұрын

    Fanya hivi nikuconnectie basi 😂

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 Жыл бұрын

    Kuna mbu utaweza kweli😒😂

  • @dawoodmkangila2854
    @dawoodmkangila2854 Жыл бұрын

    Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu

  • @africrowd4559
    @africrowd4559 Жыл бұрын

    Aaaah mo town santa anavyo kausha na kudeal na maisha yake kama haelewi kinacho endelea😅😅

  • @abdulyamiri3546

    @abdulyamiri3546

    Жыл бұрын

    sio santa ni sanyaaaaaaaaaaa

  • @africangirllifestyle7686

    @africangirllifestyle7686

    Жыл бұрын

    @@abdulyamiri3546 hahhaha 🎅

  • @jofuhamad8765
    @jofuhamad8765 Жыл бұрын

    Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Жыл бұрын

    Tz tunaroh nzur sana nimependa

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Жыл бұрын

    Sio kweli

  • @darviswantana7669
    @darviswantana7669 Жыл бұрын

    Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho

  • @Metrodesigns21
    @Metrodesigns21 Жыл бұрын

    Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya

  • @ngumijinzwanilo153
    @ngumijinzwanilo153 Жыл бұрын

    sema dar mna MBU sana😹😹😹

  • @PrinceWalterM
    @PrinceWalterM Жыл бұрын

    😂😂😂mi sina ghetto niko kwa Boss....

  • @leunammeleunamme6019
    @leunammeleunamme6019 Жыл бұрын

    Sema wana wanataka connectia mtu kisa hawana ghetto......ghetto muhimu wanangu

  • @gervasiagasper5924

    @gervasiagasper5924

    Жыл бұрын

    😂😂😂🤣

  • @ramadhanichuka3583
    @ramadhanichuka3583 Жыл бұрын

    Kadada kakikosa msaada kanasema daah yan km kweli vile

  • @mwalimuissa5964
    @mwalimuissa5964 Жыл бұрын

    Maisha ya uswahilini Kuna mbu kweliiii🤣🤣🤣🤣

  • @badymedia9648

    @badymedia9648

    Жыл бұрын

    Hahahaha

  • @bupeisaya9063
    @bupeisaya9063 Жыл бұрын

    Naira wetu wa jua Kali ♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Жыл бұрын

    Hii ni loyalty test manzee😂😂😂

  • @minanitheophile3583
    @minanitheophile3583 Жыл бұрын

    Motown Sanya tumiye pesa tujuwe WCB kuna pesa awo munadanganya tuuuu Mutu nakubali kusayidiya but kipindi kinakeisha akuna shukruna ata buku 5000

  • @mussangenge957

    @mussangenge957

    Жыл бұрын

    Tukusaidie wew kwanz urudi shule ujue kusoma ndugu yetu

  • @hassanimohamedi5489
    @hassanimohamedi5489 Жыл бұрын

    Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa 😄 😄 😄

  • @salumkhalid7840
    @salumkhalid7840 Жыл бұрын

    Sema wanangu kile kipande changu mungekieka mngeniumbua ... mana dah niliamn km tyr ckukuu imefika😄😄😄

  • @damianjeremia3821

    @damianjeremia3821

    Жыл бұрын

    Kumbe ulikutana nao

  • @mrtitus5536
    @mrtitus5536 Жыл бұрын

    Umeua boss

  • @giantokoe
    @giantokoe Жыл бұрын

    hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Жыл бұрын

    Hapo watu wana nia ya kusaidia kwl au wanawaza mambo mengine tuhh😂

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    Жыл бұрын

    Hicho ndicho nachojua sio kusaidia watu wanawaza kwamba hii ni nafasi ya dhahabu Amna kuiacha kirahisi, wewe mtoto mzuri km uyo unamuachaje geuza hii kitu Fanya ni mwanaume ndo anayo hii shida ingekuaje

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo2805 Жыл бұрын

    Jaman iki ni kipindi kama kipindi chengine ao udhalilishaji uko wapi!?? Sema ao majaa wanaogopa kutoa msadaa coz ya hofu arafu mtoto mzuri kama uyu wanaogopa kesi so muwe waelewa jaman sio makasiliko tu😠😠

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 Жыл бұрын

    😄😄😄👍

  • @mikhtaryanhussein9169
    @mikhtaryanhussein9169 Жыл бұрын

    Dah sio fresh kudhalilishana sio poa

  • @Miro255
    @Miro255 Жыл бұрын

    Nilichogundua watu hawana pesa, ampeleke kwa watu wenye hela aone nini kitakachotokea

  • @jasmineedamu6089

    @jasmineedamu6089

    Жыл бұрын

    Nmefurahi kuona hawana msaada lakn moyo wa utu wanao❣️

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Жыл бұрын

    Kuanzia leo ntakufatilia nimependa kipindi chako

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын

    uyu n nailaa

  • @starkidwamoro8775-n5e
    @starkidwamoro8775-n5e7 ай бұрын

    🎉

  • @marafikistation
    @marafikistation Жыл бұрын

    Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud

  • @albinmamsery3572
    @albinmamsery3572 Жыл бұрын

    Unyamaaaaaa😅

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Жыл бұрын

    Analala peke ake anageto moja😂😂😂

Келесі