"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
Ойын-сауық
"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 269
Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu
@tfelician
Жыл бұрын
Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana 🤦
@leonardgervas7515
Жыл бұрын
Rudi siku moja uwasalimie.
@edwardbuttu3981
Жыл бұрын
Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku
@dunstanemanuel7795
Жыл бұрын
Kanta boy wew co bure😄😄😄
@danieljoseph6207
Жыл бұрын
M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao
You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda 🇹🇿🇹🇿
@hamadyasin7429
Жыл бұрын
Kweli kabisa mnawapotezea muda wao pia!
@asiarashid5211
Жыл бұрын
Kweli kabsa ndugu
@lewiskombole2917
Жыл бұрын
Woord...
@protasproteous9197
Жыл бұрын
Kweli
@alubohajji2268
Жыл бұрын
Wabongo kwa kunyonyana utawaweza....
Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.
Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia binti🎉
Tanzania 🇹🇿 ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloo😭😭😭
@mamuoman7849
Жыл бұрын
Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman
@johanesnixon5473
Жыл бұрын
@@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa
Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee
Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki
@saidmrisho3929
Жыл бұрын
Hiyo ni oungo bhan hakunaaa angekua mwanaume iingukua vita
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Amen
Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.
Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walah🙏
Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.
@alexkitundu2413
Жыл бұрын
For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers
@hukuUJERUMANI
Жыл бұрын
@@alexkitundu2413 Absolutely impressive
@enockabumba7513
Жыл бұрын
Acha zako bwana
@AbuuAbdilRahmaan
Жыл бұрын
Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.
@hukuUJERUMANI
Жыл бұрын
@@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine
"Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"
Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana
Nimempenda saana huyu mzee🔥🔥🔥🔥
Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu
@africanproudly4004
Жыл бұрын
Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni
Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....🥹🥹🥹🔥🔥🔥
Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemea🤲🤲🤲
@ziadaarthasan6575
Жыл бұрын
👏👏👏
Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweli🥰🥰🥰🤗🤗
Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira
Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yake👍
Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyote💪
@santosdanny9243
Жыл бұрын
Wapi huyo demu kuwa wewe uone 😂😂😂😂😂
@2cash259
Жыл бұрын
@@santosdanny9243 😂😂😂
Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa
Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli
Huyo mzee Ana hekima Sana big up
SubhanaAllah mweyeeee 😢😢😢maskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano
Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii
Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..
Nlichogundua dar watuweng hukaa kwandugu najamaa.. ingekua chuga ungefrai na,show...😁
Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble
Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah
Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie 🤣🤣🤣
MashaAllah naira
11:35 wasafi tv ni chombo kikubwa😂😂😂
@joshydan5029
Жыл бұрын
Motown nembo ya mtaa
@Saidkhel
Жыл бұрын
Kwanza uwongo wasafi ni no one
Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe
Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengi🤣😂🤣
Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo
Usiposuka unapendeza motown
😄😄😄😄we motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun
🔥🔥🔥bonge la show
nimempenda sana uyo baba
Good idea 💡 👏 motown sanya
Hawa wana wametisha sana 😀😀😀😀😀😀
'' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee ana hekima sana masha Allha
mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa 🇿🇦 kesington..una mambo jamawangu wewe
Good job
Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti
Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu
@allyjabeer1924
11 ай бұрын
Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar 🤭#JOKE Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaa🫂
Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.
@bentez911
Жыл бұрын
😆😆😆😆
BIG UP brother wa njano👌👌
Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako
ITABIDI TUSAIDIANE TU MAISHA YENYEWE YASHAKUWA YA DASLAMU HAYA😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣broo uko fireeeeee
Daslam Daslam Daslam......
Dar mtihani tuu bongo ☺️🤣🤣🤣
Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoa🧐
Nakubali
Asante studios
Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke
aa mmetshaa sana Mo, ubunifu 🔥🔥
Wanaume tunacare sana bas tu yani
Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@mamananga2849
Жыл бұрын
Kabisa
Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa
Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kula😂
Naira
Sanya nakubali mwamba
Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa
aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi
Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sana👊
@jumaabas6837
Жыл бұрын
Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta
Fanya hivi nikuconnectie basi 😂
Kuna mbu utaweza kweli😒😂
Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu
Aaaah mo town santa anavyo kausha na kudeal na maisha yake kama haelewi kinacho endelea😅😅
@abdulyamiri3546
Жыл бұрын
sio santa ni sanyaaaaaaaaaaa
@africangirllifestyle7686
Жыл бұрын
@@abdulyamiri3546 hahhaha 🎅
Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda
Tz tunaroh nzur sana nimependa
Sio kweli
Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho
Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya
sema dar mna MBU sana😹😹😹
😂😂😂mi sina ghetto niko kwa Boss....
Sema wana wanataka connectia mtu kisa hawana ghetto......ghetto muhimu wanangu
@gervasiagasper5924
Жыл бұрын
😂😂😂🤣
Kadada kakikosa msaada kanasema daah yan km kweli vile
Maisha ya uswahilini Kuna mbu kweliiii🤣🤣🤣🤣
@badymedia9648
Жыл бұрын
Hahahaha
Naira wetu wa jua Kali ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Hii ni loyalty test manzee😂😂😂
Motown Sanya tumiye pesa tujuwe WCB kuna pesa awo munadanganya tuuuu Mutu nakubali kusayidiya but kipindi kinakeisha akuna shukruna ata buku 5000
@mussangenge957
Жыл бұрын
Tukusaidie wew kwanz urudi shule ujue kusoma ndugu yetu
Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa 😄 😄 😄
Sema wanangu kile kipande changu mungekieka mngeniumbua ... mana dah niliamn km tyr ckukuu imefika😄😄😄
@damianjeremia3821
Жыл бұрын
Kumbe ulikutana nao
Umeua boss
hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi
Hapo watu wana nia ya kusaidia kwl au wanawaza mambo mengine tuhh😂
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Hicho ndicho nachojua sio kusaidia watu wanawaza kwamba hii ni nafasi ya dhahabu Amna kuiacha kirahisi, wewe mtoto mzuri km uyo unamuachaje geuza hii kitu Fanya ni mwanaume ndo anayo hii shida ingekuaje
Jaman iki ni kipindi kama kipindi chengine ao udhalilishaji uko wapi!?? Sema ao majaa wanaogopa kutoa msadaa coz ya hofu arafu mtoto mzuri kama uyu wanaogopa kesi so muwe waelewa jaman sio makasiliko tu😠😠
😄😄😄👍
Dah sio fresh kudhalilishana sio poa
Nilichogundua watu hawana pesa, ampeleke kwa watu wenye hela aone nini kitakachotokea
@jasmineedamu6089
Жыл бұрын
Nmefurahi kuona hawana msaada lakn moyo wa utu wanao❣️
Kuanzia leo ntakufatilia nimependa kipindi chako
uyu n nailaa
🎉
Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud
Unyamaaaaaa😅
Analala peke ake anageto moja😂😂😂