HII MIMBA SIO YANGU/HILI SUALA NI GUMU/MWANAMKE HAJATULIA HUYU - HIVI NI KWELI
Ойын-сауық
HII MIMBA SIO YANGU/HILI SUALA NI GUMU/MWANAMKE HAJATULIA HUYU - HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 207
😀😀😀😀😀😀ila hiki kipindi dah! Jamaa huyu wakwanza dah jamaa sielew kilimkuta nini ila kuna watu wanatembea mitaan iv lakin wanaubongo mkubwa sana bas tu maisha
Toi qui lis ce message j'aimerais vous dire que Dieu vous aime #evangelistejohn
@queensakinaqueensakina441
2 жыл бұрын
Ameen
@majaliwambembela2439
2 жыл бұрын
Amen
@strong8534
Жыл бұрын
Bro andika lugha unayoijuwa vizuri: "Toi qui lis ce message, j'aimerais te dire que je t'aime. Don't mix singular and plural🙄🙄🙄
Huyu broo nimemkubal sanaaa mkewake akiona hii lazima ajivunie kua namwanau kamili
Mwana wapili katisha, a really gentleman big up
Wow I like it
Chinga katishaaa ila kunguru😃😃😃😃👍. Big up sanya 👍.
@bobelichi7721
Жыл бұрын
Anaimbisha na kuboresha
jamaaa was pili ana hasira Sana ila sio rahisi kumjua, na machinga ni mtu frani asie penda Shari
Sanya ee unatisha sana unazidi kua mkicreative sana but jitahidi tuwe tunamsikia na anaye kutwa ikiwezekana anaekwenda awe na mic yenyeuwezo mkubwa wa kuchukua sauti hadi ya atakaekutana nae.
Siwezi kukubali kwa haraka haraka kiivyo 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Kaka wa pili kanichekesha Ila anaonesha tabasamu lkn Inaelekea anahasira mnoo
Chinga wa kwanza, mpaka amenywea 😂😂😂 SANYA Unyama mwingi sana...
Daaah wabongo wadhaifu snaa
Yaan huyu msela wa pili anaweza kuitumia hii video kwa kumthibitishia mpenzi wake kuwa anampenda sanaa. Na mwanamke akiiona hii ni lazima akubali na anatakiwa ampe ambacho hakuwah kumpa mshkaji ✔
@mbwanahatibu8488
2 жыл бұрын
😀
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Matako sindio
@hamedabashir9
2 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂
@kassimulugajo6512
2 жыл бұрын
Wanaume hua hatutabiriki nyie endeleeni kumdanganya huyo mke wake😀
@samiramasudi7493
2 жыл бұрын
@@maloomaalmnsj5111 😁😁😁😁
Sophy kama Sophy Mo town Sanya umenikonga nyoyo🙌
Mtaharibu ndoa za watu😂😂😂😂🤣
@bobelichi7721
Жыл бұрын
We subir ndicho wanachokitafta
Nyie mtakuja muue watu kwa presha 😂😂😂😂😂chingaa
@yunyuny5538
2 жыл бұрын
😂😂😂
Mo Town Sanya MUNGU Anakuona😂😂😅🤣🤣 Ulivyomfanyia Chinga Masikini Nacheka Mpaka Nalia😂😂😅
Hope huwa mnawapoza kidogo hawa wana
Sophy umeuwa sanaaaa
I was miss you mr sanya
Tatizo mtakuja kufanya watu wagongwe na MaGali sijapenda
🙌🙌🙌
We unajuaa mimi ni nani???😹😹😹🙌🏻
nyie machiga wa watu presha juu 😅🤣🤣😅😅😅😅
Zali la mentali 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣bless Up
Nakubali Sana 😂😂😂
Huyu demu alikuwa ktk movie ya 20% inayoitwa Furaha iko wapi na alikuwa ndio Neema mtoto wa 20% ....
@bobelichi7721
Жыл бұрын
Mbona Kama keshakuwa mkubwa ivyo
chinga anakwambia tulia kwanza 😜
Uyu mkaka wapili nimempenda jamaniiiiiiiii
Mkewaidi mtarajiwa unamambo wewe🤣🤣🤣
@laylapagae6324
2 жыл бұрын
Sophie jua kali
Jamaa kanimiza sana aisee kakimbia kaacha hadi biashala
Uyu jamaa w kwanza 🙌😂😂😂
Machinga muoga balaaa!!!!! Maana alijua ameokota embe dodo
@hanafiSaidi-ji9ms
10 ай бұрын
hamna masta matching mwenyewe kaka taa laki 2
Huyu jamaa mwenye begi anaonekana hana panic na ana msimamo mzur sana
@user-wr6lc3jz6g
2 жыл бұрын
Ww unamuona mtu amejaa mda oote anaweza akashikwa na uchungu utakubali kweli😂😂
@husnaseph9476
2 жыл бұрын
@@user-wr6lc3jz6g 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Siku utamvaa Mjeshii kaka SANYA😁😁
kuna k2 mmekosea huyo dada angekuwa anagari tungeweza juwa msimamo wa m2 but siombaya
@obenitejailos7007
2 жыл бұрын
Haya chukua wewe script kaigize
ukweli ni kwamba pis mbovu pia mimba.... ila mngeweka pisi kal kama tunda ;akuna wakupinga ata kama ana mke
@ramadhanikibenga5840
2 жыл бұрын
Pisi mbovu unazijua wewe ?? Utakuta wewe bonge la mshamba
@joycesimon760
Жыл бұрын
Kwenda we dada zako wote ni pisi Kali au ndo wanasura kama mkundu 😙😶😶😶
Jaman dunian bado kunawatu bana dar mwamba yuko poa sana
Wakinikuta mm itakuwa baraah
Ya Leo mbayaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣 Chinga adi vitu ana visamehe Dh!
@mwanakheri169
2 жыл бұрын
😂😂😂
Daaaa
🤣🤣🤣🤣 machinga 🙌🙌
@beatricejoseph2784
2 жыл бұрын
😅😅
Daaah kwmb ningekataa nitakudanganya
Motown anzafanya video ziaze kuwa ndefu idoko
Hyo mchezo sio mzuri kuweni makini na watu.
Jitu baya sana Motown 😂
@evarnebarnabas2870
2 жыл бұрын
Baba mwenyew ni baba levo😂😂😂😂😂
😁 😁
Huyu kaka anaevaa black I wish angekua mumewangu
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Kwani mume wako anakuchiti???
@tariqmorgan1925
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
😊
noma san
6:40 chinga kaua 😄 🤣
@bobelichi7721
Жыл бұрын
😂🤣🤣🤣
❤❤❤chiga yukopoa
Muje na zanzibar bhna
@ismailmenkjr8784
2 жыл бұрын
Waje kufanya nini waache ujinga wao wafanye uko uko tena Wazanzibar hawana shobo kabisa.
Chinga kasamehe nguo da 😀😀😀😀
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
Ameona isiwe kes
Neema bint 20%
@annamwita7548
Жыл бұрын
Shoo ya kibabe Sana kuliko za kihindi
chinga alidhani dodo 😂😂😂
Montasanya webalaa 💪💪💪💪💪🥰👍🔥🤩🤩😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nembo ya mtaa 🔥🔥🔥
Anamimba au
😂😂😂😂😂😂chingaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🔥
We want More pranks
Sema Sanya hauna kipaji cha kuigiza mzee hahah
Aha ha ha ha ha🤣🤣🤣🤣🤣
Sophy wa iddi uyu😄
jambazi katoa namba ya ofisi 😅😂😂😂
Ukorooooofiiiiii🤣
Hili Sanya bunifu Sana manina
Ilaa pole ddang jpo ni tamthilia pmeniuzusha pale paa mama semeni kukumwaliwa maji ya mapovu na mwenyew hulikuwa umedamshi kwenda kumuona shem wtwo eid
@jamesisaya2103
2 жыл бұрын
Kumuona au alikua anarudi home si ndo Ametika kule baa Kumwambia Idy Amekubari Kuolewa mke Wa pili
Ingekuwa fresh kama angempea hiyo mimba,. Naamin jamaa asingechomoka
Daah jaman 😂😂😂😂😂😂
Wabongo awajawai kupelea kwny swali Unajua mm ni NANI? Aaaah
Atii baby😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣ivi mwishoni mnawaoneshea camera
Love is Built.
Chinga anajifikilia
Mmachinga vitu ganii tena jamanii
Machinga muoga san😂😂
naswa hiyo kenya wanatumia sana...pranks
@ikungasyamwakitalu6540
Жыл бұрын
Kabisaaaa
Hahahah sio poaa
PISI NZURI SEMA IMENYOA NA HILO DERA
Chinga kaona kapendwa kumbe sio kweli 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mwamba wa pili anasimamo alafu ana comfidec ya kutosha yupo kama mimi huwezi kunitisha kiboya.. Mwanaume unatakiwa kujiamini kama hvo hata ukifumaniwa kweli saluti mkali... sanya mwenyewe hapo katubu.
@bobelichi7721
Жыл бұрын
A wapi we mlaini sana tu 😂🤣🤣🤣
Kwani Sophie Ana mimba au Ni macho yangu
Mapengo mpuuzi 😂😂😂😂
Mbona anaacha nguo
Daaah..
😄😄😄😅
Mshikaji yupo imara warahayumbi kabsa
Chinga kunguru 2
😂😂😂 kijna anaongea anatabasam lakini kumbe Ana tetemeka
Ila we sanya utaja wauwa wenzio na presha jmn 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Mtavunja ndoa z watu jaman daah
Leo Nimechelewa Motown Sanya 🧐🧐Pindi kaliiiii 🔥🔥 LIKE KWANGUUU 👍
Mo town sanya mbunifu
😂😂😂😂
Mtakuja kuvunja ndoa za watu
😂😂💃
@credo7837
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣