WEWE NI BWANA WANGU KUANZIA LEO/MAUMIVU YA MAPENZI NAYAJUA | ZUU AMGANDA MSHKAJI - HIVI NI KWELI
Ойын-сауық
WEWE NI BWANA WANGU KUANZIA LEO/MAUMIVU YA MAPENZI NAYAJUA | ZUU AMGANDA MSHKAJI - HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 442
Huyu jamaa ni bonge la mbunifuuuu safi Sana kipindi chako nakielewaaa Sana, sio km vipindi vinginge vya mashoga kina juma lokole na kinadida
Huyu mwanang wa ETIHAD kapendezesha show sana 😀😀😀😀 mwana kafurahisha sana. WASAFI HUYU JAMAA ALIPWE PESA NDEFU KIDOGO ILI KUMSHUSHIA PRESHA.
@yunusuadamu8684
2 жыл бұрын
We jamaaa unatsh sn
@hawashamasi9115
2 жыл бұрын
Hhhhh
@swaleali4639
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana mpaka mbavu zinauma huyo Dada huwa nampenda sana. Sanya 🙌🙌
@mdyoung5163
Жыл бұрын
Haha 😘🤗
Nembo ya mtaa unahari nyingi sana🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Lol 🤣🤣 mo town sanya siku hizi creativity next level , congrats.
@loganpoul
2 жыл бұрын
Do you know what da min of lol or you use da tin where u like
@ramadhanmaisa788
2 жыл бұрын
@@loganpoul what does it mean?lol
@loganpoul
2 жыл бұрын
@@ramadhanmaisa788 acheni kushoboka,
@ramadhanmaisa788
2 жыл бұрын
@@loganpoul ww unafirwa nini xaxa mi nimeshoboka sinimeuliz🙄
@abdallahhussein9221
2 жыл бұрын
X movie
Sanya ungevaa nguo za jeshi kutishia zaidi ingekua poa sana 😄🤣🤣
MO Town shoo tamu mzee baba, ila ingenoga sana..kama mtu angepita kwanza amuulize hata jina na kama ingewezekana angemuomba simu then asevu namba ya Zuu, ilete confusion kwa hao washikaji waliofanyiwa Prank, na wewe ungeingia kwa shari iwatoe jasho, kwa huyo wa Man city ila all in all 🤣🤣🤣🤣Unazidi kutoa Maboko ya Mitaaani
@mahmoudaziz4717
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Brother kweli kabisa unaweza chezea shaba7 pasiko hatia mapenzi yananguvusana🤣🤣🤣
LEO NIMETISHA SANAA.. NIMEKUWA WAKWANZA...😋👆 Fanya KULIKE APA Iwe zawadi kwangu ♥️♥️♥️
Daaaah sema sio fresh wahuni daaaaah😂😂😂😂
Mumetisha 💖💖💖😂😂😂🤣🤣wa kwanza nimecheka jmn mbavu zangu 🤣🤣🤣
Sema huyo dem angeu na ngoma nagwaaa ingewaka sanaaaa
@lwamimithegreat6040
2 жыл бұрын
Hatali afro mwenyewe au vip
Nawapendaa saaana jamanini asaaah mo town saaanya na zuuuu mumetisha saaana
🤣🤣🤣🤣Akya MUNGU me ni muislam🙌
8:00 Cjuii kanionaa mjingaaaa Cjuii kaniona me mtoto ,🤣🤣🤣🤣🤣 ETIHAD
nimeipenda sana kitu kma kinauhalisia bg up sana mzee
😂😂😂 Mo town leo nakupigia saluti dizaini ya Kiba😂
Mo Town Sanya nembo ya mtaa 😄 hivi ni kweli,😂😂😂
Sanya Hongera san nakubali san hii 😂😂😂💯
Uyu mwamba t shirt ya njano apana 😁😁 hii song tz haipo
@japhetlust5050
2 жыл бұрын
Atakuwa kapata chanjo😄
Wabongo da mungu anatuona
Nimecheka leo mpaka mke wangu alitaka kukimbia akijua nimechizika😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ila Motown akili zako unazijua mwenyewe yaani sijui huwaga unawaza kwa kutumia nini?
Daaadeki 🤣😆😂😂 so creative 🔥🔥🔥🔥🙌
"Ujui kazi yangu na ujui nafanya kazi ofici gan
Akiya Mungu nakwambia me muislamu 😂😂
Unyama ni mwingi mzee wangu sanya
Zuuuuuu. Bonge la actress katika kila uhusika.
Ogopa sanaa mtu akwambiee"Hujui kazi yangu,yan hujui nafanya kazi gani"""Yani utajua hujui🙄🤣🤣🙌
Sema moo town nmependa ulivyo mpoza dogo God bles u kaka
Nmependa sna MO town ....
Nembo ya mtaa kipindi ichi buni zaidi WASAFI ndio mtakuwa wabunifu kwa kwanza wa prank kama izi napenda sana ni mambo ambao nafuatiliaga sana tena sana ongezeni na kesho kila week tunataka mpya boss Mungu abariki kazi zenu kabisa
@servinseverin1842
2 жыл бұрын
Wanageza tu nigeria hawajabun kitu hapo!! Nigeria ndo wana izi mambo sn kama unafuatiliaga
High level San 🔥🔥
@hasheembaadae4478
2 жыл бұрын
Sana
Niongee na mwanume m,,wewnzangu hahahahahhahah dah noma sana Mo town sanya umetisha eti mimi muislam 🤣🤣
Jamaa Kaongea Ukweli....kutoka moyoni.
@mdyoung5163
Жыл бұрын
Ukwel wap muoga 😅 tu
Maniga tunavutana pembeni alafu yanaisha kiume oya weeeee gonga laik kwa wajuba wote tuishi umo.
Nice ni mependa show ya leo
🤣🤣🤣🤣🤣😂aki thanks nilikua nimeboeka sana bt nko sawa 😂😂😂😂😂🥰💯
Jama baba wawatu kaimba kwa hisiya sana dhaaaa hahaha 😆😅🤣😂
jimigijijimigiji ooohhhh mayaaaa jamaa wa njano na zambarau katisha kinomaa😁😁😁😁
Kipind kizur kisha kifupi kwanini😊😊🥰🥰🥰😂😂😂😂
Em kwanza apo nichekee🙄🤣🤣🤣🤣🤣,,,et kumbe wewe ndyo yule mo nani vileee"😄🙌
@mo town, bro naku fata toka UGANDA🇺🇬 u so creative bro, and u taking it to the next level, keep it up geee💪💪💪💪💪
Hahahahaha mi ningeshachukua boda gheto 😁
Kanikuta mtoto sijui mjinga flani ivi🤗
Nmecheka sana
Tishert ya zambalau na njano katisha 🤣 kanichekesha
@shaabanayoub3817
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mustonetz7444
2 жыл бұрын
Hahahah Mimi mpka machozi yameisha kwakuchek
Hahaha umeua broo big up Motown sanyaa
You kill it mnatrahsha san asee big up
🤣🤣🤣🤣Mo town Mo town mwanangu nakukubali saana😍😍🔥🇷🇼
@melannyclassic207
2 жыл бұрын
😂😂😂dah mwanangu sinaneno
Mo town sanya nakubali Sana mwanangu🔥🔥🔥
Sema nikiwa namawazo naagalia to hivi nikweli 😊😊
Nic montauni sanya
Aisee wewe jamaa mbunifu sana 🙌🙌🙌🔥🔥🔥😂😂😂😂
🔥 sanaaaa
Una ubunifu mwingi mo town Sanya hongera Sana 🤣🤣🤣🤣
KWELI HII CREATIVE SANAAAA
Kali mpaka noma🔥🔥🔥
Sema dogo wa Pili respect saana.. Ni confident saana
Noma xn
Daa hao ma DJ🤣🤣🤣 hatari na nusu
I like it so much mo town sanya,,,, I really agree
Mashallah mdg wangu zulekha
Motown Sanya nakubali
Best Tv show now in Tz
Congrats 👊
Creative sana ww jamaa
Saiv mmeshutia gomzi.... Dah washikaji wa gomzi wapole sana
@hawashamasi9115
2 жыл бұрын
Hhhhhhh
Mda ni huu
gongo la mboto hapo kuelekea msikiti marcus🔥
Noma sana
Maskini kijana wawatu
😂😂jamani Kwan bado tu hawamjui mo town
Mo town nakubali
Kazi nzur Sanaa 👊
Mamae
Kakaaa utakuja kuua......!😭😭😭
🤩🤩😄😄ila wanaume wa dar ni waoga kweliii
Too much funny 😄 😄😄😄
Gonga beat tujuane🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeipendaa
😂😂😂😂😂daaaa leo nime cheka Kama chizi jama anasema 😂😂haki ya mngu Mimi muisilam 😂😂😂
@abdullsata1259
2 жыл бұрын
Jamaa anachembe y iman
Katoka liwale kwetu
mshikaji kaongea kwa isiya sana😂😂😂😂😂😂
Kumbe Hawa guys they don't have any idea 🤣🤣🤣
Akia mungu m MUISLAM........
HHHH noma sana
Mo Town 🗣️🗣️🗣️
Hakia Mungu mi muislam 😂😂
Gonga beat 🤣🤣🤣🙌
Yani nimecheka sema tz aya mambo ya prank bado sema nimecheka sana. Kuna mambo wekeni sawa. Big up sanya✌️🇹🇿.
baba umeuwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safiii
Dar yenyewe nimefika juzi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimetok zang liwale
@husnahashimu1510
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 atari
@donkaloza6985
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Huyu jamaa noma sana huyu anatisha motown
Eti ameniona mjinga flani😂😂😂😂
Umetisha sana mzee
hapo ingkuw kavaa gwanda sas
ndo kwanza nimetoka liwale juzi tu🤣🤣🤣
@neematweve3583
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
😂😂yanga kama yanga