MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...
Ойын-сауық
MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 145
Unajua kuwageuza mataila wenzio 😂😂😂nyimbo hawaijui, tuletee pacha wanawake sasaivi👏👏👏.
Daah jamanini kuzaa mapacha raha jamanini asikwambiye m2 asa wafanane🥰👌 ila jamanini siku mtakuja pigwa kweri 😄 ila jamaaa wanafanana saana🥰👌 nyie uyo mzeee wa watu amewaambiya tangu asubuh ajaingiza pesa harafu nyie mwamzingua 🥰 mwamuleteya masihara siyo poa🤗😅
@credo7837
2 жыл бұрын
😂😂😂
Mo Town Sanya nembo ya mtaa 😄 msalimie sana diamond 💎 mwanetu sana 😄
@b.o.g6468
2 жыл бұрын
Wow
Ebhana Mungu Awabless sanaa Kwenye Hustle zenu
Mo km mo kukupenda tyu hongera kwa aliyekupunga🧡🍊🍊🍊
Aisee Mzee kapanick Leo... Angalia watu wa kuwazushia leo
Mungu anijaalie nizae matwin walah napenda jmn napendaaa napenda
@ogenylaurent7961
2 жыл бұрын
Njoo nikupe Sisi tupo mapacha
Mungu nijalie na mm pacha
Mc Pacha mbongo kama mbongo Mmetisha sana..... 💪💪💪💪
Msalimie Sana Diamond, Mwanetu sana
ManshaAllah ao wakaka wAmepebdez san kish wamefanan balaa😋🥰acha tupate shows uko mwisho sasa mbavu zang mimi 😂😂😂😂yani wanajitaidi kuimba ki romantic ilaaa wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Babu mshona viatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani uwiiiiiii mbavu zangu chemsha bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah ila sanya kazi yako kubwa sana halaf una enjoy Sana kaz yako sema kuna siku utakuja upigwe😂😂
Mungu akubaliki Sanya na team yako💯🇹🇿🙏
Jmn nimecheka ila mtakuja kupigwa😂😅😅😅😅😅
Motown my legend Kenya tunakubali sana Aswan Elphas from Kenya 😂
Napenda jissi mnavyo jituma lakini chungeni msije mkatuchosha mashabiki na hayo marudio,mkifanya kitu fanyeni mara moja tu
Diamond 💎 yule hawamuwez wazee wanamkubali Simba 🦁💪
Da maskin kafurahi mwenyewe muuza miwa na yule wa karanga jamani nataman ningekua na uwezo ni kamsapot japo kidogo da ila kwasasa siko poa in Sha'Allah siku nikiwa vizuri moo ni takutafutia nifanyeje kama ivo
Mtakuja kuchapwa siku moja hahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Honger sanya kipind chako uwanakipenda sn👌👌✌🏻✌🏻🔥
Nilikua nime miss hii kipindi hivi ni kweli,?from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Mapacha❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona mmekazania gongo la MBOTO KWETU 😂😂😂😂😂 kumbe Nyie kulwa na doto 😂😂😂jamani watoto wa ULONGONI mkuje hapa 😂😂😂😂💃🏻GOMS CHAMA
@chikuyasini1689
2 жыл бұрын
Yanii
Hao ni mcpacha_doubleme 🔥🔥🔥
Amina 🥰🥰🥰 mekumiss mamy
😂😂😂😂😂😂dishi limeyumba 😂😂😂😂😂😂watu wa madafu noma 😂😂😂 kwanza ncheke 😂😂😂😂
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mapacha wameingia kwenye mtumbmwi wa kibwengo😂😂😂
Leo bado kidogo mpats mlichokitafuta Kwa muda mrefu
@jovintosssi3287
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@Jijuw
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣wangekula ubao
Hahahahahaa babu kajaa 🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa
Hahahahahahahhah hao wasanii wanao imba mme watoa wapi hawana voko kabisa
Hata hawajafanana alaf sauti tofaut ! Wale mapacha wa kwenye chips ndo walikuwa noma sana hatamm marayakwanza natizama dah ilinistua!
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
Utasema Ivo kisa umewaona wote wawili ktk kipindi
Mnajitaidi ila mmekosea mmoja agevaa tofauti arafu akajikausha kua uyo pacha wake amjui
Nice jmn ata mm niko na mapcha wajuke Nini
Noma sanaaaa!!!!!
Ila Babu mtata, eeti hawa kulwa na doto🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Da! Mungu ambariki sana huyo jamaa katoa ela zake
@HappynessJose
2 жыл бұрын
Hawa kunautofautikidogo kali ya mwaka Kwenye chipis atasichawachaungua handi leo wale
Your the best
Tunaomba mapacha wakike 😂
Happy to see u my friends....#Albert and #Arnold
@mcpachaevents
2 жыл бұрын
Shukrani sana brother
@fralex_1276
2 жыл бұрын
@@mcpachaevents nakubali msalimu arnold bna...
🥰🥰🥰🥰mzee amejanganyikiwa
Nakubal sana mo town sanya nembo ya mtaa kitaa kina mixhe kibao......Unyama
Shoo Kali mo town sanya
+254 kenya 🇰🇪 😍!'good work
Sanya umefanya la maana sana big up kea Ray
Daa jamaa wa miwa aixei mungu a bless xana
Ipo siku watakula panga Kweli 😆😆😆
Kujua mengi kwenye maeneo ya Muziki, Chakula, Filamu na Matembezi. Pitia KZread yangu!
Babu mtata hasikii maneno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mo kama mo una upiga mwing 👍👍
USHAURI WANGU . KIPINDI NI KIZURI SANA ILA KINAHATARISHA AFYA KWASABABU KUNA WATU WENGINE KAMA HUYO MZEE AGEWEZA KUMTOBOA MTU ATA NA SINDANO MAANA WATU WENGINE HAWAPENDI KUCHEZEWA KABISA KWAHYO NI BORA MUNGEKUA MUNAMPANGA MTU KABISA ILA IKAWA KAMA HAJUI CHOCHOTE ILI SISI WATAZAMAJI NDYO TUWE HATUJUI KINACHOENDELEA
Dishi Limeyumba...Hadi Nimewapenda
Eti nimekuona live umechukuwa chaji 😂😂
Mtakuja kuuwa wazee wa watu na presha 😆😆😆😆😆😆
Siku Moja Kati Yenu Atapelekwa Muhimbili Kwasababu Mnakoenda Kubaya Apa TZ Watu Wamechoka Mnaleta Maigizo
Ndugu yetu aloguswa na a katoa Alicho jaaliwa mngu Amzidishie pale alipotoa apate zaidi ili aje kumsaidia na wengine nasi tunapaswa kuoga mfano kwake
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Et kuoga mfano khaa najicheka mwenyewe ila nadhan nimeeleweka
Nomaree
Chinga nae kigugumiz hahaha hili pind Raha kweliiiiii
Masai fala kweli, eti sogeza hii kule🤣🤣
@xyz-tv4om
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dogo alistahili kabisa kupata msaada huwezi amini alikubali kupata hasara bila kuleta ubishi wakati ukitazama hata wewe unaweza jichanganya sababu nimapacha alafu jamaa aka kubali kabisa kulipa, yani alie toa hio hela kumsaport mwana kafanya kitu kizuri sana hongera sana Kwa jamaa watching from Sweden 🇸🇪
Hongera Sanya kazi nzuri kaka
nakukubali mdogo moo sanya
Mbona wanasoma bodingiiiiii🤣🤣🤣
Dah jamaa muza chaja maskin 😭
Mosanya hua nakubali sanaaa
Bonge la kipindi hapa Bongo
Siku moja mtasema tunashoot! Muda huo ngeo ishakutoka
Third one to like
Mapacha miyayusho
Good sanya
😃😃😃Atakuja kupigwa mtu ubao wa kichwa😄😄😄
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Saluti sanya dah tuwakilishe mwana
😂😂😂😂Eti unaniambia Dishi limeyumba
Huy Babu sijui n mkurya😅😅😅
Africa is watching
Yaan wamefanana kama mapacha wangu jamn uwiii wanang bado wadg wakikuwa nawaona hapa itakavyokuw balaa mtaani
Mzee Sanya na dada anaepokea hela ya chakula 😂
Wanasoma bodingi😄
Abdi shuuzii
Moo Kuna siku utapigwa😀😀😀
Yes man I don't like wasafi but I like you your job nice
Kumbe mpo twins 😹😹😹
Mo sanya hem fany uje zenji tupate tuchek
Day moja uje ata swakx mo
kwani wewe 😂😂
Jamn uyu mwamba namfananisha na Virgil van dijk
Eti Hawa kulwa na Dotto 😂😂
😂😂😂😂
Muuza charge dhambi ashasamehe bubu wa viatu mh korofi
Jaman naona kama mitaa yangu ya mabibo loyola ama vp
hapo ndipo utajua kwanini kina piisqwer aligombana mwanamke hanaujanja hapoo akiji changanya wanapita woteeee na hatakaaa ajueee
Sanya mtaa unakuelewa sana kazii kubwaa sana broo👊
Leo kimeumana
Hahaha babu kainama anataka kuvuta kubwa.
Baba mimi nime isoma iyo kiatu man
Nayule wakaranga jamani
Mbongo kama mbongoo hahah 😂
Duh mo town sanya unabalaa ww
Mwana wa chaji anatia adi huruma ila alivyo shangaaa
Napenda kipindi lakini hakioneshi vizuri naomba na nyie mtizame pia kabla ya kutupa sisi watazamaji, pls work on it for us