MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...

Ойын-сауық

MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 145

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu28872 жыл бұрын

    Unajua kuwageuza mataila wenzio 😂😂😂nyimbo hawaijui, tuletee pacha wanawake sasaivi👏👏👏.

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Daah jamanini kuzaa mapacha raha jamanini asikwambiye m2 asa wafanane🥰👌 ila jamanini siku mtakuja pigwa kweri 😄 ila jamaaa wanafanana saana🥰👌 nyie uyo mzeee wa watu amewaambiya tangu asubuh ajaingiza pesa harafu nyie mwamzingua 🥰 mwamuleteya masihara siyo poa🤗😅

  • @credo7837

    @credo7837

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49122 жыл бұрын

    Mo Town Sanya nembo ya mtaa 😄 msalimie sana diamond 💎 mwanetu sana 😄

  • @b.o.g6468

    @b.o.g6468

    2 жыл бұрын

    Wow

  • @mosamossile9113
    @mosamossile91132 жыл бұрын

    Ebhana Mungu Awabless sanaa Kwenye Hustle zenu

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir92 жыл бұрын

    Mo km mo kukupenda tyu hongera kwa aliyekupunga🧡🍊🍊🍊

  • @samsonkihwele6544
    @samsonkihwele65442 жыл бұрын

    Aisee Mzee kapanick Leo... Angalia watu wa kuwazushia leo

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84992 жыл бұрын

    Mungu anijaalie nizae matwin walah napenda jmn napendaaa napenda

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    2 жыл бұрын

    Njoo nikupe Sisi tupo mapacha

  • @baysuraoman7910
    @baysuraoman79102 жыл бұрын

    Mungu nijalie na mm pacha

  • @Komboa.mahenge
    @Komboa.mahenge2 жыл бұрын

    Mc Pacha mbongo kama mbongo Mmetisha sana..... 💪💪💪💪

  • @Hashdough
    @Hashdough2 жыл бұрын

    Msalimie Sana Diamond, Mwanetu sana

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny24552 жыл бұрын

    ManshaAllah ao wakaka wAmepebdez san kish wamefanan balaa😋🥰acha tupate shows uko mwisho sasa mbavu zang mimi 😂😂😂😂yani wanajitaidi kuimba ki romantic ilaaa wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo81282 жыл бұрын

    Babu mshona viatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani uwiiiiiii mbavu zangu chemsha bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @donaldmartin1233
    @donaldmartin12332 жыл бұрын

    Dah ila sanya kazi yako kubwa sana halaf una enjoy Sana kaz yako sema kuna siku utakuja upigwe😂😂

  • @patricktegea1430
    @patricktegea14302 жыл бұрын

    Mungu akubaliki Sanya na team yako💯🇹🇿🙏

  • @maigekelvin75
    @maigekelvin752 жыл бұрын

    Jmn nimecheka ila mtakuja kupigwa😂😅😅😅😅😅

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Жыл бұрын

    Motown my legend Kenya tunakubali sana Aswan Elphas from Kenya 😂

  • @mozstorrytv7982
    @mozstorrytv79822 жыл бұрын

    Napenda jissi mnavyo jituma lakini chungeni msije mkatuchosha mashabiki na hayo marudio,mkifanya kitu fanyeni mara moja tu

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Diamond 💎 yule hawamuwez wazee wanamkubali Simba 🦁💪

  • @swaumdodoma7591
    @swaumdodoma75912 жыл бұрын

    Da maskin kafurahi mwenyewe muuza miwa na yule wa karanga jamani nataman ningekua na uwezo ni kamsapot japo kidogo da ila kwasasa siko poa in Sha'Allah siku nikiwa vizuri moo ni takutafutia nifanyeje kama ivo

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere29312 жыл бұрын

    Mtakuja kuchapwa siku moja hahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Honger sanya kipind chako uwanakipenda sn👌👌✌🏻✌🏻🔥

  • @aminasilvia4345
    @aminasilvia43452 жыл бұрын

    Nilikua nime miss hii kipindi hivi ni kweli,?from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

  • @MozaAlkhaif-dg9pk
    @MozaAlkhaif-dg9pk Жыл бұрын

    Mapacha❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zaibonge7867
    @zaibonge78672 жыл бұрын

    Mbona mmekazania gongo la MBOTO KWETU 😂😂😂😂😂 kumbe Nyie kulwa na doto 😂😂😂jamani watoto wa ULONGONI mkuje hapa 😂😂😂😂💃🏻GOMS CHAMA

  • @chikuyasini1689

    @chikuyasini1689

    2 жыл бұрын

    Yanii

  • @mcpachaevents
    @mcpachaevents2 жыл бұрын

    Hao ni mcpacha_doubleme 🔥🔥🔥

  • @sarahkimaro75
    @sarahkimaro752 жыл бұрын

    Amina 🥰🥰🥰 mekumiss mamy

  • @zaibonge7867
    @zaibonge78672 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂dishi limeyumba 😂😂😂😂😂😂watu wa madafu noma 😂😂😂 kwanza ncheke 😂😂😂😂

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salama1113
    @salama11134 ай бұрын

    Mapacha wameingia kwenye mtumbmwi wa kibwengo😂😂😂

  • @samsonkihwele6544
    @samsonkihwele65442 жыл бұрын

    Leo bado kidogo mpats mlichokitafuta Kwa muda mrefu

  • @jovintosssi3287

    @jovintosssi3287

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @Jijuw

    @Jijuw

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣wangekula ubao

  • @patricktegea1430
    @patricktegea14302 жыл бұрын

    Hahahahahaa babu kajaa 🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa

  • @emanuelfitani3042
    @emanuelfitani30422 жыл бұрын

    Hahahahahahahhah hao wasanii wanao imba mme watoa wapi hawana voko kabisa

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani70142 жыл бұрын

    Hata hawajafanana alaf sauti tofaut ! Wale mapacha wa kwenye chips ndo walikuwa noma sana hatamm marayakwanza natizama dah ilinistua!

  • @abdulkareemseif1892

    @abdulkareemseif1892

    2 жыл бұрын

    Utasema Ivo kisa umewaona wote wawili ktk kipindi

  • @kennedykeny7327
    @kennedykeny73272 жыл бұрын

    Mnajitaidi ila mmekosea mmoja agevaa tofauti arafu akajikausha kua uyo pacha wake amjui

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga88492 жыл бұрын

    Nice jmn ata mm niko na mapcha wajuke Nini

  • @thestonetown3302
    @thestonetown33022 жыл бұрын

    Noma sanaaaa!!!!!

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Ila Babu mtata, eeti hawa kulwa na doto🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @moseserasto7011
    @moseserasto70112 жыл бұрын

    Da! Mungu ambariki sana huyo jamaa katoa ela zake

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Hawa kunautofautikidogo kali ya mwaka Kwenye chipis atasichawachaungua handi leo wale

  • @yusufali9119
    @yusufali91192 жыл бұрын

    Your the best

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh57162 жыл бұрын

    Tunaomba mapacha wakike 😂

  • @fralex_1276
    @fralex_12762 жыл бұрын

    Happy to see u my friends....#Albert and #Arnold

  • @mcpachaevents

    @mcpachaevents

    2 жыл бұрын

    Shukrani sana brother

  • @fralex_1276

    @fralex_1276

    2 жыл бұрын

    @@mcpachaevents nakubali msalimu arnold bna...

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa66832 жыл бұрын

    🥰🥰🥰🥰mzee amejanganyikiwa

  • @festomilangasi7514
    @festomilangasi75142 жыл бұрын

    Nakubal sana mo town sanya nembo ya mtaa kitaa kina mixhe kibao......Unyama

  • @athumanikoshuma1529
    @athumanikoshuma15292 жыл бұрын

    Shoo Kali mo town sanya

  • @joashojine
    @joashojine2 жыл бұрын

    +254 kenya 🇰🇪 😍!'good work

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman64782 жыл бұрын

    Sanya umefanya la maana sana big up kea Ray

  • @jephthahmebanya7021
    @jephthahmebanya70212 жыл бұрын

    Daa jamaa wa miwa aixei mungu a bless xana

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza89062 жыл бұрын

    Ipo siku watakula panga Kweli 😆😆😆

  • @storizakaka
    @storizakaka2 жыл бұрын

    Kujua mengi kwenye maeneo ya Muziki, Chakula, Filamu na Matembezi. Pitia KZread yangu!

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp2 жыл бұрын

    Babu mtata hasikii maneno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanjuma2296
    @ramadhanjuma22962 жыл бұрын

    Mo kama mo una upiga mwing 👍👍

  • @boscoyagga5199
    @boscoyagga51992 жыл бұрын

    USHAURI WANGU . KIPINDI NI KIZURI SANA ILA KINAHATARISHA AFYA KWASABABU KUNA WATU WENGINE KAMA HUYO MZEE AGEWEZA KUMTOBOA MTU ATA NA SINDANO MAANA WATU WENGINE HAWAPENDI KUCHEZEWA KABISA KWAHYO NI BORA MUNGEKUA MUNAMPANGA MTU KABISA ILA IKAWA KAMA HAJUI CHOCHOTE ILI SISI WATAZAMAJI NDYO TUWE HATUJUI KINACHOENDELEA

  • @samsonkihwele6544
    @samsonkihwele65442 жыл бұрын

    Dishi Limeyumba...Hadi Nimewapenda

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49122 жыл бұрын

    Eti nimekuona live umechukuwa chaji 😂😂

  • @user-yp5mm2pg5s
    @user-yp5mm2pg5s2 жыл бұрын

    Mtakuja kuuwa wazee wa watu na presha 😆😆😆😆😆😆

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Siku Moja Kati Yenu Atapelekwa Muhimbili Kwasababu Mnakoenda Kubaya Apa TZ Watu Wamechoka Mnaleta Maigizo

  • @swaumdodoma7591
    @swaumdodoma75912 жыл бұрын

    Ndugu yetu aloguswa na a katoa Alicho jaaliwa mngu Amzidishie pale alipotoa apate zaidi ili aje kumsaidia na wengine nasi tunapaswa kuoga mfano kwake

  • @swaumdodoma7591

    @swaumdodoma7591

    2 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 Et kuoga mfano khaa najicheka mwenyewe ila nadhan nimeeleweka

  • @georgepeter2564
    @georgepeter25642 жыл бұрын

    Nomaree

  • @patricktegea1430
    @patricktegea14302 жыл бұрын

    Chinga nae kigugumiz hahaha hili pind Raha kweliiiiii

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29832 жыл бұрын

    Masai fala kweli, eti sogeza hii kule🤣🤣

  • @xyz-tv4om

    @xyz-tv4om

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @boballymote7586
    @boballymote75862 жыл бұрын

    Dogo alistahili kabisa kupata msaada huwezi amini alikubali kupata hasara bila kuleta ubishi wakati ukitazama hata wewe unaweza jichanganya sababu nimapacha alafu jamaa aka kubali kabisa kulipa, yani alie toa hio hela kumsaport mwana kafanya kitu kizuri sana hongera sana Kwa jamaa watching from Sweden 🇸🇪

  • @tato8979
    @tato89792 жыл бұрын

    Hongera Sanya kazi nzuri kaka

  • @nancyjonas3484
    @nancyjonas34842 жыл бұрын

    nakukubali mdogo moo sanya

  • @stukiaally4690
    @stukiaally46902 жыл бұрын

    Mbona wanasoma bodingiiiiii🤣🤣🤣

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Dah jamaa muza chaja maskin 😭

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28082 жыл бұрын

    Mosanya hua nakubali sanaaa

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Bonge la kipindi hapa Bongo

  • @shamerachidishamerachidi3709
    @shamerachidishamerachidi37092 жыл бұрын

    Siku moja mtasema tunashoot! Muda huo ngeo ishakutoka

  • @bryan_juniour5094
    @bryan_juniour50942 жыл бұрын

    Third one to like

  • @michaeltheophile7035
    @michaeltheophile7035 Жыл бұрын

    Mapacha miyayusho

  • @jamesmustafa1589
    @jamesmustafa15892 жыл бұрын

    Good sanya

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily90992 жыл бұрын

    😃😃😃Atakuja kupigwa mtu ubao wa kichwa😄😄😄

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @donaldmartin1233
    @donaldmartin12332 жыл бұрын

    Saluti sanya dah tuwakilishe mwana

  • @jamesissaya906
    @jamesissaya9062 жыл бұрын

    😂😂😂😂Eti unaniambia Dishi limeyumba

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Huy Babu sijui n mkurya😅😅😅

  • @edithmkufya1528
    @edithmkufya15282 жыл бұрын

    Africa is watching

  • @najmasalim6272
    @najmasalim62722 жыл бұрын

    Yaan wamefanana kama mapacha wangu jamn uwiii wanang bado wadg wakikuwa nawaona hapa itakavyokuw balaa mtaani

  • @mgeu_lizer1399
    @mgeu_lizer13992 жыл бұрын

    Mzee Sanya na dada anaepokea hela ya chakula 😂

  • @abbiatalmas8222
    @abbiatalmas82222 жыл бұрын

    Wanasoma bodingi😄

  • @ruuspicyasmr1694
    @ruuspicyasmr16942 жыл бұрын

    Abdi shuuzii

  • @azizamsuya6616
    @azizamsuya66162 жыл бұрын

    Moo Kuna siku utapigwa😀😀😀

  • @yahayashuta9608
    @yahayashuta96082 жыл бұрын

    Yes man I don't like wasafi but I like you your job nice

  • @juniorkelvin8793
    @juniorkelvin87932 жыл бұрын

    Kumbe mpo twins 😹😹😹

  • @mubajoti9103
    @mubajoti91032 жыл бұрын

    Mo sanya hem fany uje zenji tupate tuchek

  • @kendrickaugustino6536
    @kendrickaugustino65362 жыл бұрын

    Day moja uje ata swakx mo

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo98002 жыл бұрын

    kwani wewe 😂😂

  • @mzaemzae9678
    @mzaemzae96782 жыл бұрын

    Jamn uyu mwamba namfananisha na Virgil van dijk

  • @catherinemhecha1268
    @catherinemhecha12682 жыл бұрын

    Eti Hawa kulwa na Dotto 😂😂

  • @yunyun799
    @yunyun7992 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-hl3xr9xr5l
    @user-hl3xr9xr5l3 ай бұрын

    Muuza charge dhambi ashasamehe bubu wa viatu mh korofi

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Jaman naona kama mitaa yangu ya mabibo loyola ama vp

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego51582 жыл бұрын

    hapo ndipo utajua kwanini kina piisqwer aligombana mwanamke hanaujanja hapoo akiji changanya wanapita woteeee na hatakaaa ajueee

  • @yusuphwilliam5343
    @yusuphwilliam53432 жыл бұрын

    Sanya mtaa unakuelewa sana kazii kubwaa sana broo👊

  • @allyrock3886
    @allyrock38862 жыл бұрын

    Leo kimeumana

  • @captenndunga6745
    @captenndunga67452 жыл бұрын

    Hahaha babu kainama anataka kuvuta kubwa.

  • @mollelamosole8352
    @mollelamosole83522 жыл бұрын

    Baba mimi nime isoma iyo kiatu man

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu14442 жыл бұрын

    Nayule wakaranga jamani

  • @Wisemangospeltv
    @Wisemangospeltv2 жыл бұрын

    Mbongo kama mbongoo hahah 😂

  • @sesliasimon7929
    @sesliasimon79292 жыл бұрын

    Duh mo town sanya unabalaa ww

  • @harusilive643
    @harusilive6432 жыл бұрын

    Mwana wa chaji anatia adi huruma ila alivyo shangaaa

  • @winniejacob1784
    @winniejacob17842 жыл бұрын

    Napenda kipindi lakini hakioneshi vizuri naomba na nyie mtizame pia kabla ya kutupa sisi watazamaji, pls work on it for us

Келесі