SHILOLE ATAKA KUOLEWA MKE WA PILI NA MDEBWEDO "NIMEMLEA MWENYEWE"
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 575
SHISHI mzuri jamani ana kasura kama mdoli😍😍😍😍😘😘
@fatmamustapha6929
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zuleikhakhamis3303
3 жыл бұрын
kabisa mashallahx3 kisha ana roho ya huruma haswa
@yunyun799
3 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 umeona eeeh 🔥🔥🔥
@noorkhamisi2490
3 жыл бұрын
Nashangaa wanavyomfananinasha na mpenzi mpya Wa uchebe kishepu naam yupo vizuri kamzidi shishi lakini kisura aaaasuuubutuuu shishi mkariiiiii
@junuferjinu1444
3 жыл бұрын
@@noorkhamisi2490 shishi yupo juu yule kamzid nn sasa kwashepu gani ime rundikana
Ila Mo Sanya We Jamaa Unajua Sana Una Kipajii Hongera
Nakipenda sana kipindi hiki hongera sana
Boss mond si unamuona mo town Sanya uyo ndo achukue tuzo ya mfanyakazi Bora wa mwezi msipo mpa uyo nyie wabaguzi
@chongwestephano3342
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@yunyun799
3 жыл бұрын
😂😂😂
@dankalama7677
3 жыл бұрын
😂😂😂
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
Hahahah kwel
@wanjoki1
3 жыл бұрын
Kweli
Shishi na mpenda sio mwepesi wa kukasirika anajichekea tu big up shilole
MashAllaah shilole mzuri hata kama asipojipodoa ni mzuri tuu MashAllaah Leo yupo simple Lakini Bado uzuri wake upo kwa hewa MashAllaah
9:25 mzee nae ni Mama ntilie nimecheka kifala🤣🤣🤣🤣
@lareineminah1353
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dada mwenye rasta ni amewazid wote, hongera.
Next time GONGA BEAT tuwekee ***CHECHE*** 💃😭😭😭
😂😂😂😂daaa jamaa kaona haya Daaa!! Ila wabongo wanafiki Sana nahii sio hapo 2 hata kwenye maisha yetu ya kila cku
@macksonjuma5180
3 жыл бұрын
Kabisa, si hapo pekeake
@feisalally6952
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@chongwestephano3342
3 жыл бұрын
😂 ukigeuzwa mgongo unapondwa
Bonge ya kipindi I love it mo town Santa 🔥🔥🔥🔥
@anastaziuscyriacus5415
3 жыл бұрын
Mo town Sanya
@kingkipusa9483
3 жыл бұрын
Sanya bhana sio santaaa uyo santa wa.kwenu uyo s atumjui
Kipindi kizur sanaaa hongera mo town Sanya nakuonaaa mbali sanaaaa
Nakukubali san mo town sanya ukpoa ongera sn kwa kazi nzuri
Nisha mwambia ata Mme Wangu aje kula kwenye hoteli yako ya shishi food 🥘 haji hamani yupo apo Dar tunakupenda sana uku Marekani shishi wetu ❤️❤️
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
King una mume??? Au hilo jina la kukopa?
@rinahmusa3927
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe 😂😂😂😂😂😂😂
@Mwambakachill
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe 😂😂😂
@yusrashabani2983
3 жыл бұрын
😂😂😂😂ni jina la kukopa ilo mimi ni Aisha
@yusrashabani2983
3 жыл бұрын
Big Zhumbe ni la kukopa nitarudisha kwa wene nalo 😀😀
Shishi wangu I love you mamy wangu from USA Aisha apa nakusikiliza dada angu ❤️❤️❤️❤️
Dah ktk interview zote ma men mo sanya. Hii nimependa sanaaa. And I love her 😍 sanaaaa.
Sema nn nakukubaliii sna sanya fundiii sanaaaaaa💓💓
Motown sanya the new king
Jamaaa kamua kupindu meza ana mpenda😂😂😂😂😍😍🥰🥰
Inaonekana uyu jamaa yangu ami alokua anatangaza ndoa kwa shishi labda alikua hajui kama yupo live eti shishi tukae pembeni tuzungumze
@s.n3733
3 жыл бұрын
Na anamke sijui itakuaje!
Mtangazaji namwelewa🥰,mzee mdebwedo katisha 🤗🤣iko kidada kiongo Maskn vtoto vya sku hz mhm..shishi ni mwili tu apunguze lkn ana FACE NZURI mashalaah
Shishi jamaa wa tshirt ya blue umempenda inakaa coz mpaka umemwalika shishi food 🤣🤣🤣hadi hug jamani handsome boy, mpaka no. Ya simu utampa😄😄😂
@salhaally1801
3 жыл бұрын
Ataminimeliona ilo
Hichi ndo kipindi changu pendwa hiki na mtegoni navipenda sana
Shishi Ana akili sana sema ma boy wanamzingua sana uyo anahitaji kupendwa tuu
@florencegideon1467
3 жыл бұрын
Mpambanaj knomanoma yan
Mo town Sanya Nembo Ya Mtaa Tupo Pamojaa Kaka Mkubwa ✊ Endelea kusukuma gurudumu
Daaah shilole anapendwa woote wako na hap ya kumpenda ahilole kama nimavyo mpenda shilolee
Jamani Mdebwedo na yeye n Mama ntilie 😂😂😂😂😂
@rockyvlogs2214
3 жыл бұрын
😂 😂 🙌
@newforcejv9721
3 жыл бұрын
@@rockyvlogs2214 siume msikia mwenyewe lakini au na msingizia
@newforcejv9721
3 жыл бұрын
Ila shishi mzuri
@mawedamasanja7163
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆 hakika tenah
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Huyu dada mwenye afro kwenye gonga beat hamn kitu mamae😂😂😂
Kama unamkubali mo town sanya like yako hapa
@bernadethmsakwa9151
3 жыл бұрын
Mo town uko juu ka dege la Obama
Nakukubali Sanya akee❤️❤️
Duh! 🤔 Eti kaka nae ni mama ntilie.
Aisee shishi ndani ya nyumba dah!! Oya Sanya instrumental ya kipindi ipo good Sana big up bro
Noma sana gonga like hp 👇
@naythardarling1115
3 жыл бұрын
M kura yangu ya magufuli mwingine wa nn tn ata wakileta ubabe kura yangu sitoigawa wapinzan watoke 0 magufuli aongoze tena kwa ukubwa wa jhudi zake azidi kuweka mambo sawa mwenye busara mstahamilifu anayepinga maovu magufuli ni wakujivunia sa kwnn asipendwe yaan kila idara yenye wazembe wenye kufanya maovu wenyewe tumeshuhudia alivyowaweka pembe dar salama mwendo kasi fly over tupande kila kata ina zahanat magufuli atujigambe tuna ng'ang'ana atukuwachi tunakupa tena taifa ulijenge magufuli ulojawa haki mwenyezi mungu akulinde yaan m na wee wote tumchague magu magu John pombe magufuli tunaiman na ww magu eeh magu john pombe magufuli Magu mwenye moyo pakuijenga tanzania magu eeh magu John pombe magufuli bac tumchangue aende kumalizia hapa palipo bakia magufuli tusije muacha tumuoneshen thaman ibraah nakukubali xn katika hii ngoma kaka big up xn🤗🤗msalimie 🐘🐘
@adventureswildanimals3011
3 жыл бұрын
Vipi ibrah kam wasafi uyo ndogo harmo ana chochote
@chrisbaby5613
3 жыл бұрын
Ibraah kama Ibraah Waaasafi dio nyumbani come WCB4LIFE say Hey 👋 to Konde Boy mwambie Wasafi dio Nyumbani Kwao
@judithgeorge1756
3 жыл бұрын
Ibrahim mambo
@zou7470
3 жыл бұрын
@@adventureswildanimals3011 ilo ndo tatizo lenu
hahahahha huyo jamaa aliyekuja kuuza cheni daaah kanichekesha sanaaa
@resttuta6889
3 жыл бұрын
Hahahaha
@tamimmakamba9385
3 жыл бұрын
@@resttuta6889 noma sana
@habibahassan3029
3 жыл бұрын
hahahaaaa halafu wamempotezea
@jamilajamila4572
3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄🤣
@jamilajamila4572
3 жыл бұрын
Shishi ni bonge lamwanamke bana
Shilole havutii sana kuimba ila anavutia akiongea anafurahisha bigup
Daaah 😂😂gonga beat ni kixanga 🔥🔥ila mm napenda gonga beat ya wanaume yani ni hataaaaar 🔥🔥🔥
@maryamsaidy3337
3 жыл бұрын
restart at we dddssßssdssd
More town sanya nakukubali sana bro ila uliniboa sana ulivyoanza kufuga rasi au dread
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Time za vibogoyo me nachokaga sanaaa aiseee
@najmagudeh203
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@saidimkalabule7149
3 жыл бұрын
Yn mm nachekaga mpaka watu wanacheka Na wao hahahaha hahahaha hahahaha. Ila mm nampenda shilole jmn
nyie dad shishi anasmile la kuombea mkopo😁😁😁😍
Naomba namimi leo like 30
Mama njoo tufanye Nani ameskia, 😃😃😃😃
Nani kamsikia dada wa kwanza kasema hunajihisi mbororo😂😂
@danmutoka1193
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@schoolboy1614
3 жыл бұрын
🤣
@nasraabdallah850
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nasraabdallah850
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@annamarry2033
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Mo town sanya nakuombea likipind hili litoke ad mikoani nakubar sana kaz yako
@georgedaniel4962
3 жыл бұрын
Exactry
24:30 Did she said mwenye kukiss MBOLOLO like seriously?!😂😄
@beckajunior3829
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mdebwedo kaniacha hoi Nani mwengine kampenda
@lulusanga3228
3 жыл бұрын
Kana
HAHAHAHAHA MOTOWN SANYA 🔥🔥🔥🔥
waaaaa hii kipindi ni tamu hongere mo town sanya
Gonga "Like" aahhh! woteeeee!!!
@saidabdullah4878
3 жыл бұрын
Hiii ni zaid ya nomaaa!!! 😁
ila kuna Wtu niwanafki Dunian😂😂😂😂
@daudimziwanda9536
3 жыл бұрын
Kweli 😂😂😂
Hv n kwel hiki kipnd n chenyew zahd y ubunifu nembo y mtas
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Saaana kipajii kikubwa
Kipindi kizuri, hata mtangazaji good Sana. Nimempenda kwa kweli mashaallah
Hatar sanaaw
Hongera mo town unatisha
Na kupenda shilole I wish one day Ni kuone ntafurahia sana na kupenda kwasababu weye ni mwanamke jasiri una jiheshimu I'm proud of you
@graceyahurassa5321
3 жыл бұрын
Alafu shilole alikuwa jiran yangu😀😀😀😀😀😀 maeneo ya kinondoni studio mtaa wa tarimba since na mpenda ❤️
Njooo na mtwara brother
Haki nyinyi watu mnatesa sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha kwny gonga beat leo big up kwa dada alievaa T-shirt nyeupe ila hao wawl daaaah wameniumz mbavu tu
nyimbo njo mimi hoii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo mapema sana
Mimi vile vile ni mama mtilie kwa upande wa wanaume 🤣🤣🤣
Kale kadada jamani hajui anasoma nn
Sema kubali sana Sanya kwel we nembo ya mtaa
Ila wabongo mtuachee...wanafikii hataree 🤣🤣🤣
Mo town upo vzr Man But pande za Mbuyun ueud bana
Kipindi kizuri sana kweli, na mimi nampenda sana Shilole, niko wa Burundi
Mzee noma sana yaani faster tu anamvuta pembeni Shishi akamwage madini..... real baharia 🤣🤣🤣🤣🤣
GONGA BT DUUU NOMA 🔥🔥✌💯
Mitaaaa ina Mishe kibaoooooooooooooooo
Mmmmh ila wabongo mtuache sema wana mnatoa maboko sana kitaa kinamishe kibao mota on sanya
Huyu kaka mo town anakua kwa kasi na hiki kipindi duh! Mungu akufanyie wepesi babaaa!
Shish my favorite 🤩
shilole simfagilii unaweza kuta kwenye frash akuna hata nyimbo yake hata moja
Yani vipindi vyote mulivyo bifanya hiki kinanibamba , I like hustling of shishi big up sister Allah akupe mwisho mwema Ameen kasiyo amissi a burundian man from Dubai
Kama umesikia mbololo kwadada wakwanza wa gonga beat,,, gonga like tujuane 🤣🤣🤣
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
Hahahah kwel
@humphreystephen1030
3 жыл бұрын
na mbola
@tatiya6883
3 жыл бұрын
mbolo😅😅😅😅😇😇
Nakubal Sana wasafi media
Jamani unajua iki kipindi Noma na kinagombanisha😂😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️wallah na enjoy
Wanawake wazuri na wanaume watanashati tunaomba wahojiwe🙌🏼
Motown sanya you does amaizing job keep moving nembo yamtaaa
Wasafi 4 lifeee
Mo town sanya upo vizr nime kukubalii 🥰🥰🥰🥰
Mo town sanya.kula nyam nyamaza...
My show once again 🥰🥰🥰
Shishi kama shishi😅😅😍
@mwanamtwashaniva3063
3 жыл бұрын
Mbeya njoon w.c.b
Mbororo for me 😭😭😭😂😂😂😂😂
@erardmporoto2660
3 жыл бұрын
Mwenye ku kiss........................... 😂😂😂😂😂😂🏇🏇🏇🏇 let's have fun in here
Unajiic Mbororroo 😁😁
Sanyaa🙌🙌🙌
One of my favourite show
second one....mor town sanya
Hahahahahahaaaa Umbeya umemwisha kabaki na kigugumizi wee umemponda unaambiwa endelea kigugumizi cha meno kimekushika ukome umbeya Hahahahahahaaaaa
Hahahahaha mo town kiazi Sana wew Yan unapenda mtu akosee ndo unajifanya unapata mzuka hahahahaha
Nampenda sanaaaa shishi mpk naumwa😍😘
This was the best 😂😂
Shilole anapendwa sana aiseeeee
Shishi 🥰🥰🥰🥰🥰💞
Mo Town Sanya hili likipindi nalipendaga sana nembo ya mtaa
Nakukubali saana motown sanya
Naomba like 20 twende sawa
Shishi mzuri mashallah hata bila makeup ❤❤
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Kweli
Hahahaa! Huyo mwanafunz et anasoma private
😂😂🤣🤣yaani wanaume wa tz bhan ☺️