SHILOLE ATAKA KUOLEWA MKE WA PILI NA MDEBWEDO "NIMEMLEA MWENYEWE"

Ойын-сауық

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 575

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu14443 жыл бұрын

    SHISHI mzuri jamani ana kasura kama mdoli😍😍😍😍😘😘

  • @fatmamustapha6929

    @fatmamustapha6929

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    kabisa mashallahx3 kisha ana roho ya huruma haswa

  • @yunyun799

    @yunyun799

    3 жыл бұрын

    @@zuleikhakhamis3303 umeona eeeh 🔥🔥🔥

  • @noorkhamisi2490

    @noorkhamisi2490

    3 жыл бұрын

    Nashangaa wanavyomfananinasha na mpenzi mpya Wa uchebe kishepu naam yupo vizuri kamzidi shishi lakini kisura aaaasuuubutuuu shishi mkariiiiii

  • @junuferjinu1444

    @junuferjinu1444

    3 жыл бұрын

    @@noorkhamisi2490 shishi yupo juu yule kamzid nn sasa kwashepu gani ime rundikana

  • @sadykipanga2323
    @sadykipanga23233 жыл бұрын

    Ila Mo Sanya We Jamaa Unajua Sana Una Kipajii Hongera

  • @omigaiamasi9829
    @omigaiamasi98293 жыл бұрын

    Nakipenda sana kipindi hiki hongera sana

  • @erickpeter8843
    @erickpeter88433 жыл бұрын

    Boss mond si unamuona mo town Sanya uyo ndo achukue tuzo ya mfanyakazi Bora wa mwezi msipo mpa uyo nyie wabaguzi

  • @chongwestephano3342

    @chongwestephano3342

    3 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @yunyun799

    @yunyun799

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @dankalama7677

    @dankalama7677

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    3 жыл бұрын

    Hahahah kwel

  • @wanjoki1

    @wanjoki1

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @mariamshabani3092
    @mariamshabani30923 жыл бұрын

    Shishi na mpenda sio mwepesi wa kukasirika anajichekea tu big up shilole

  • @waheedahtanzania5884
    @waheedahtanzania58843 жыл бұрын

    MashAllaah shilole mzuri hata kama asipojipodoa ni mzuri tuu MashAllaah Leo yupo simple Lakini Bado uzuri wake upo kwa hewa MashAllaah

  • @melkiorykavishe4549
    @melkiorykavishe45493 жыл бұрын

    9:25 mzee nae ni Mama ntilie nimecheka kifala🤣🤣🤣🤣

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy8703 жыл бұрын

    Dada mwenye rasta ni amewazid wote, hongera.

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice66823 жыл бұрын

    Next time GONGA BEAT tuwekee ***CHECHE*** 💃😭😭😭

  • @mawaidhatv8557
    @mawaidhatv85573 жыл бұрын

    😂😂😂😂daaa jamaa kaona haya Daaa!! Ila wabongo wanafiki Sana nahii sio hapo 2 hata kwenye maisha yetu ya kila cku

  • @macksonjuma5180

    @macksonjuma5180

    3 жыл бұрын

    Kabisa, si hapo pekeake

  • @feisalally6952

    @feisalally6952

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @chongwestephano3342

    @chongwestephano3342

    3 жыл бұрын

    😂 ukigeuzwa mgongo unapondwa

  • @raheemdarueshy7357
    @raheemdarueshy73573 жыл бұрын

    Bonge ya kipindi I love it mo town Santa 🔥🔥🔥🔥

  • @anastaziuscyriacus5415

    @anastaziuscyriacus5415

    3 жыл бұрын

    Mo town Sanya

  • @kingkipusa9483

    @kingkipusa9483

    3 жыл бұрын

    Sanya bhana sio santaaa uyo santa wa.kwenu uyo s atumjui

  • @magrethgeorge307
    @magrethgeorge3073 жыл бұрын

    Kipindi kizur sanaaa hongera mo town Sanya nakuonaaa mbali sanaaaa

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius10363 жыл бұрын

    Nakukubali san mo town sanya ukpoa ongera sn kwa kazi nzuri

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani29833 жыл бұрын

    Nisha mwambia ata Mme Wangu aje kula kwenye hoteli yako ya shishi food 🥘 haji hamani yupo apo Dar tunakupenda sana uku Marekani shishi wetu ❤️❤️

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    3 жыл бұрын

    King una mume??? Au hilo jina la kukopa?

  • @rinahmusa3927

    @rinahmusa3927

    3 жыл бұрын

    @@BigZhumbe 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mwambakachill

    @Mwambakachill

    3 жыл бұрын

    @@BigZhumbe 😂😂😂

  • @yusrashabani2983

    @yusrashabani2983

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂ni jina la kukopa ilo mimi ni Aisha

  • @yusrashabani2983

    @yusrashabani2983

    3 жыл бұрын

    Big Zhumbe ni la kukopa nitarudisha kwa wene nalo 😀😀

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani29833 жыл бұрын

    Shishi wangu I love you mamy wangu from USA Aisha apa nakusikiliza dada angu ❤️❤️❤️❤️

  • @cbreezy2397
    @cbreezy23973 жыл бұрын

    Dah ktk interview zote ma men mo sanya. Hii nimependa sanaaa. And I love her 😍 sanaaaa.

  • @gasper3991
    @gasper39913 жыл бұрын

    Sema nn nakukubaliii sna sanya fundiii sanaaaaaa💓💓

  • @gdence9747
    @gdence97473 жыл бұрын

    Motown sanya the new king

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu14443 жыл бұрын

    Jamaaa kamua kupindu meza ana mpenda😂😂😂😂😍😍🥰🥰

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Inaonekana uyu jamaa yangu ami alokua anatangaza ndoa kwa shishi labda alikua hajui kama yupo live eti shishi tukae pembeni tuzungumze

  • @s.n3733

    @s.n3733

    3 жыл бұрын

    Na anamke sijui itakuaje!

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70393 жыл бұрын

    Mtangazaji namwelewa🥰,mzee mdebwedo katisha 🤗🤣iko kidada kiongo Maskn vtoto vya sku hz mhm..shishi ni mwili tu apunguze lkn ana FACE NZURI mashalaah

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar28923 жыл бұрын

    Shishi jamaa wa tshirt ya blue umempenda inakaa coz mpaka umemwalika shishi food 🤣🤣🤣hadi hug jamani handsome boy, mpaka no. Ya simu utampa😄😄😂

  • @salhaally1801

    @salhaally1801

    3 жыл бұрын

    Ataminimeliona ilo

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya83583 жыл бұрын

    Hichi ndo kipindi changu pendwa hiki na mtegoni navipenda sana

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz27553 жыл бұрын

    Shishi Ana akili sana sema ma boy wanamzingua sana uyo anahitaji kupendwa tuu

  • @florencegideon1467

    @florencegideon1467

    3 жыл бұрын

    Mpambanaj knomanoma yan

  • @eddovanny2553
    @eddovanny25533 жыл бұрын

    Mo town Sanya Nembo Ya Mtaa Tupo Pamojaa Kaka Mkubwa ✊ Endelea kusukuma gurudumu

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62803 жыл бұрын

    Daaah shilole anapendwa woote wako na hap ya kumpenda ahilole kama nimavyo mpenda shilolee

  • @newforcejv9721
    @newforcejv97213 жыл бұрын

    Jamani Mdebwedo na yeye n Mama ntilie 😂😂😂😂😂

  • @rockyvlogs2214

    @rockyvlogs2214

    3 жыл бұрын

    😂 😂 🙌

  • @newforcejv9721

    @newforcejv9721

    3 жыл бұрын

    @@rockyvlogs2214 siume msikia mwenyewe lakini au na msingizia

  • @newforcejv9721

    @newforcejv9721

    3 жыл бұрын

    Ila shishi mzuri

  • @mawedamasanja7163

    @mawedamasanja7163

    3 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆 hakika tenah

  • @azzamahamdu7039

    @azzamahamdu7039

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @anorderastonyondo3726
    @anorderastonyondo37263 жыл бұрын

    Huyu dada mwenye afro kwenye gonga beat hamn kitu mamae😂😂😂

  • @diznadar6339
    @diznadar63393 жыл бұрын

    Kama unamkubali mo town sanya like yako hapa

  • @bernadethmsakwa9151

    @bernadethmsakwa9151

    3 жыл бұрын

    Mo town uko juu ka dege la Obama

  • @mariamally8435
    @mariamally84353 жыл бұрын

    Nakukubali Sanya akee❤️❤️

  • @tumabhay8576
    @tumabhay85763 жыл бұрын

    Duh! 🤔 Eti kaka nae ni mama ntilie.

  • @heriholder2937
    @heriholder29373 жыл бұрын

    Aisee shishi ndani ya nyumba dah!! Oya Sanya instrumental ya kipindi ipo good Sana big up bro

  • @officialkhantz785
    @officialkhantz7853 жыл бұрын

    Noma sana gonga like hp 👇

  • @naythardarling1115

    @naythardarling1115

    3 жыл бұрын

    M kura yangu ya magufuli mwingine wa nn tn ata wakileta ubabe kura yangu sitoigawa wapinzan watoke 0 magufuli aongoze tena kwa ukubwa wa jhudi zake azidi kuweka mambo sawa mwenye busara mstahamilifu anayepinga maovu magufuli ni wakujivunia sa kwnn asipendwe yaan kila idara yenye wazembe wenye kufanya maovu wenyewe tumeshuhudia alivyowaweka pembe dar salama mwendo kasi fly over tupande kila kata ina zahanat magufuli atujigambe tuna ng'ang'ana atukuwachi tunakupa tena taifa ulijenge magufuli ulojawa haki mwenyezi mungu akulinde yaan m na wee wote tumchague magu magu John pombe magufuli tunaiman na ww magu eeh magu john pombe magufuli Magu mwenye moyo pakuijenga tanzania magu eeh magu John pombe magufuli bac tumchangue aende kumalizia hapa palipo bakia magufuli tusije muacha tumuoneshen thaman ibraah nakukubali xn katika hii ngoma kaka big up xn🤗🤗msalimie 🐘🐘

  • @adventureswildanimals3011

    @adventureswildanimals3011

    3 жыл бұрын

    Vipi ibrah kam wasafi uyo ndogo harmo ana chochote

  • @chrisbaby5613

    @chrisbaby5613

    3 жыл бұрын

    Ibraah kama Ibraah Waaasafi dio nyumbani come WCB4LIFE say Hey 👋 to Konde Boy mwambie Wasafi dio Nyumbani Kwao

  • @judithgeorge1756

    @judithgeorge1756

    3 жыл бұрын

    Ibrahim mambo

  • @zou7470

    @zou7470

    3 жыл бұрын

    @@adventureswildanimals3011 ilo ndo tatizo lenu

  • @tamimmakamba9385
    @tamimmakamba93853 жыл бұрын

    hahahahha huyo jamaa aliyekuja kuuza cheni daaah kanichekesha sanaaa

  • @resttuta6889

    @resttuta6889

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @tamimmakamba9385

    @tamimmakamba9385

    3 жыл бұрын

    @@resttuta6889 noma sana

  • @habibahassan3029

    @habibahassan3029

    3 жыл бұрын

    hahahaaaa halafu wamempotezea

  • @jamilajamila4572

    @jamilajamila4572

    3 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄🤣

  • @jamilajamila4572

    @jamilajamila4572

    3 жыл бұрын

    Shishi ni bonge lamwanamke bana

  • @salmare2628
    @salmare26283 жыл бұрын

    Shilole havutii sana kuimba ila anavutia akiongea anafurahisha bigup

  • @yunyun799
    @yunyun7993 жыл бұрын

    Daaah 😂😂gonga beat ni kixanga 🔥🔥ila mm napenda gonga beat ya wanaume yani ni hataaaaar 🔥🔥🔥

  • @maryamsaidy3337

    @maryamsaidy3337

    3 жыл бұрын

    restart at we dddssßssdssd

  • @isaacmbade6955
    @isaacmbade69553 жыл бұрын

    More town sanya nakukubali sana bro ila uliniboa sana ulivyoanza kufuga rasi au dread

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid97643 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Time za vibogoyo me nachokaga sanaaa aiseee

  • @najmagudeh203

    @najmagudeh203

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @saidimkalabule7149

    @saidimkalabule7149

    3 жыл бұрын

    Yn mm nachekaga mpaka watu wanacheka Na wao hahahaha hahahaha hahahaha. Ila mm nampenda shilole jmn

  • @citysuncvt1535
    @citysuncvt15353 жыл бұрын

    nyie dad shishi anasmile la kuombea mkopo😁😁😁😍

  • @victormuhindi2349
    @victormuhindi23493 жыл бұрын

    Naomba namimi leo like 30

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24233 жыл бұрын

    Mama njoo tufanye Nani ameskia, 😃😃😃😃

  • @merynjau5614
    @merynjau56143 жыл бұрын

    Nani kamsikia dada wa kwanza kasema hunajihisi mbororo😂😂

  • @danmutoka1193

    @danmutoka1193

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @schoolboy1614

    @schoolboy1614

    3 жыл бұрын

    🤣

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annamarry2033

    @annamarry2033

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @dullahdecoration9665
    @dullahdecoration96653 жыл бұрын

    Mo town sanya nakuombea likipind hili litoke ad mikoani nakubar sana kaz yako

  • @georgedaniel4962

    @georgedaniel4962

    3 жыл бұрын

    Exactry

  • @benitohravyto8641
    @benitohravyto86413 жыл бұрын

    24:30 Did she said mwenye kukiss MBOLOLO like seriously?!😂😄

  • @beckajunior3829

    @beckajunior3829

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khalfanmariale9408
    @khalfanmariale94083 жыл бұрын

    Huyo mdebwedo kaniacha hoi Nani mwengine kampenda

  • @lulusanga3228

    @lulusanga3228

    3 жыл бұрын

    Kana

  • @mackpeshd5639
    @mackpeshd56393 жыл бұрын

    HAHAHAHAHA MOTOWN SANYA 🔥🔥🔥🔥

  • @florencekaranja8736
    @florencekaranja87363 жыл бұрын

    waaaaa hii kipindi ni tamu hongere mo town sanya

  • @saidabdullah4878
    @saidabdullah48783 жыл бұрын

    Gonga "Like" aahhh! woteeeee!!!

  • @saidabdullah4878

    @saidabdullah4878

    3 жыл бұрын

    Hiii ni zaid ya nomaaa!!! 😁

  • @aishaloveaishalove3723
    @aishaloveaishalove37233 жыл бұрын

    ila kuna Wtu niwanafki Dunian😂😂😂😂

  • @daudimziwanda9536

    @daudimziwanda9536

    3 жыл бұрын

    Kweli 😂😂😂

  • @omaryngokwe61
    @omaryngokwe613 жыл бұрын

    Hv n kwel hiki kipnd n chenyew zahd y ubunifu nembo y mtas

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    3 жыл бұрын

    Saaana kipajii kikubwa

  • @sabihaabdallah1631
    @sabihaabdallah16313 жыл бұрын

    Kipindi kizuri, hata mtangazaji good Sana. Nimempenda kwa kweli mashaallah

  • @atukyando6246
    @atukyando62463 жыл бұрын

    Hatar sanaaw

  • @mbuadaniel2975
    @mbuadaniel29753 жыл бұрын

    Hongera mo town unatisha

  • @graceyahurassa5321
    @graceyahurassa53213 жыл бұрын

    Na kupenda shilole I wish one day Ni kuone ntafurahia sana na kupenda kwasababu weye ni mwanamke jasiri una jiheshimu I'm proud of you

  • @graceyahurassa5321

    @graceyahurassa5321

    3 жыл бұрын

    Alafu shilole alikuwa jiran yangu😀😀😀😀😀😀 maeneo ya kinondoni studio mtaa wa tarimba since na mpenda ❤️

  • @namatajr4703
    @namatajr47033 жыл бұрын

    Njooo na mtwara brother

  • @shakila3982
    @shakila39823 жыл бұрын

    Haki nyinyi watu mnatesa sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @orgamsilu6249
    @orgamsilu62493 жыл бұрын

    Hahahaha kwny gonga beat leo big up kwa dada alievaa T-shirt nyeupe ila hao wawl daaaah wameniumz mbavu tu

  • @janatahmad7048
    @janatahmad70483 жыл бұрын

    nyimbo njo mimi hoii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemastanley3065
    @neemastanley30653 жыл бұрын

    Leo mapema sana

  • @Mr_Highlights360
    @Mr_Highlights3603 жыл бұрын

    Mimi vile vile ni mama mtilie kwa upande wa wanaume 🤣🤣🤣

  • @anastasiajohn2275
    @anastasiajohn22753 жыл бұрын

    Kale kadada jamani hajui anasoma nn

  • @revicderevinus3649
    @revicderevinus36493 жыл бұрын

    Sema kubali sana Sanya kwel we nembo ya mtaa

  • @maryammohd5994
    @maryammohd59943 жыл бұрын

    Ila wabongo mtuachee...wanafikii hataree 🤣🤣🤣

  • @edwinregeye5985
    @edwinregeye59853 жыл бұрын

    Mo town upo vzr Man But pande za Mbuyun ueud bana

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya89113 жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana kweli, na mimi nampenda sana Shilole, niko wa Burundi

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe3 жыл бұрын

    Mzee noma sana yaani faster tu anamvuta pembeni Shishi akamwage madini..... real baharia 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatumamfaumeilawatafulia834
    @fatumamfaumeilawatafulia8343 жыл бұрын

    GONGA BT DUUU NOMA 🔥🔥✌💯

  • @edwinregeye5985
    @edwinregeye59853 жыл бұрын

    Mitaaaa ina Mishe kibaoooooooooooooooo

  • @masudikhamisi2575
    @masudikhamisi25753 жыл бұрын

    Mmmmh ila wabongo mtuache sema wana mnatoa maboko sana kitaa kinamishe kibao mota on sanya

  • @wanjoki1
    @wanjoki13 жыл бұрын

    Huyu kaka mo town anakua kwa kasi na hiki kipindi duh! Mungu akufanyie wepesi babaaa!

  • @debiesalma5311
    @debiesalma53113 жыл бұрын

    Shish my favorite 🤩

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31493 жыл бұрын

    shilole simfagilii unaweza kuta kwenye frash akuna hata nyimbo yake hata moja

  • @kasiyoamissi9327
    @kasiyoamissi93273 жыл бұрын

    Yani vipindi vyote mulivyo bifanya hiki kinanibamba , I like hustling of shishi big up sister Allah akupe mwisho mwema Ameen kasiyo amissi a burundian man from Dubai

  • @emanuelsady3969
    @emanuelsady39693 жыл бұрын

    Kama umesikia mbololo kwadada wakwanza wa gonga beat,,, gonga like tujuane 🤣🤣🤣

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    3 жыл бұрын

    Hahahah kwel

  • @humphreystephen1030

    @humphreystephen1030

    3 жыл бұрын

    na mbola

  • @tatiya6883

    @tatiya6883

    3 жыл бұрын

    mbolo😅😅😅😅😇😇

  • @chrissbernado6883
    @chrissbernado68833 жыл бұрын

    Nakubal Sana wasafi media

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46453 жыл бұрын

    Jamani unajua iki kipindi Noma na kinagombanisha😂😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️wallah na enjoy

  • @zeyounhabibty6868
    @zeyounhabibty68683 жыл бұрын

    Wanawake wazuri na wanaume watanashati tunaomba wahojiwe🙌🏼

  • @sopaysaid
    @sopaysaid3 жыл бұрын

    Motown sanya you does amaizing job keep moving nembo yamtaaa

  • @generallylee1166
    @generallylee11663 жыл бұрын

    Wasafi 4 lifeee

  • @juliethkimario6667
    @juliethkimario66672 жыл бұрын

    Mo town sanya upo vizr nime kukubalii 🥰🥰🥰🥰

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10973 жыл бұрын

    Mo town sanya.kula nyam nyamaza...

  • @citysuncvt1535
    @citysuncvt15353 жыл бұрын

    My show once again 🥰🥰🥰

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6243 жыл бұрын

    Shishi kama shishi😅😅😍

  • @mwanamtwashaniva3063

    @mwanamtwashaniva3063

    3 жыл бұрын

    Mbeya njoon w.c.b

  • @kevinmwamba1009
    @kevinmwamba10093 жыл бұрын

    Mbororo for me 😭😭😭😂😂😂😂😂

  • @erardmporoto2660

    @erardmporoto2660

    3 жыл бұрын

    Mwenye ku kiss........................... 😂😂😂😂😂😂🏇🏇🏇🏇 let's have fun in here

  • @frankmushi2040
    @frankmushi20403 жыл бұрын

    Unajiic Mbororroo 😁😁

  • @emmanuelmbeya568
    @emmanuelmbeya5683 жыл бұрын

    Sanyaa🙌🙌🙌

  • @shadiaina3545
    @shadiaina35453 жыл бұрын

    One of my favourite show

  • @athumanmapuga4143
    @athumanmapuga41433 жыл бұрын

    second one....mor town sanya

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38992 жыл бұрын

    Hahahahahahaaaa Umbeya umemwisha kabaki na kigugumizi wee umemponda unaambiwa endelea kigugumizi cha meno kimekushika ukome umbeya Hahahahahahaaaaa

  • @hashimlowela6741
    @hashimlowela67413 жыл бұрын

    Hahahahaha mo town kiazi Sana wew Yan unapenda mtu akosee ndo unajifanya unapata mzuka hahahahaha

  • @fausterrugemarila7731
    @fausterrugemarila77313 жыл бұрын

    Nampenda sanaaaa shishi mpk naumwa😍😘

  • @dankalama7677
    @dankalama76773 жыл бұрын

    This was the best 😂😂

  • @jackilinekasendamila6270
    @jackilinekasendamila62703 жыл бұрын

    Shilole anapendwa sana aiseeeee

  • @user-md8wv2fc1k
    @user-md8wv2fc1k3 жыл бұрын

    Shishi 🥰🥰🥰🥰🥰💞

  • @ismsilmangare2411
    @ismsilmangare24113 жыл бұрын

    Mo Town Sanya hili likipindi nalipendaga sana nembo ya mtaa

  • @audaxmlokozi1653
    @audaxmlokozi16533 жыл бұрын

    Nakukubali saana motown sanya

  • @venancesteven7019
    @venancesteven70193 жыл бұрын

    Naomba like 20 twende sawa

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa19353 жыл бұрын

    Shishi mzuri mashallah hata bila makeup ❤❤

  • @mutwalesylvie7443

    @mutwalesylvie7443

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @eliasbihemo2425
    @eliasbihemo24253 жыл бұрын

    Hahahaa! Huyo mwanafunz et anasoma private

  • @uwimanaalia9450
    @uwimanaalia94503 жыл бұрын

    😂😂🤣🤣yaani wanaume wa tz bhan ☺️

Келесі