BABA LEVO - "NYIE NDIO MNAMDHALILISHA DIAMOND, MNAKUJA HAPA MIC MBOVU TOKA APA" | HIVI NI KWELI
Ойын-сауық
BABA LEVO - "NYIE NDIO MNAMDHALILISHA DIAMOND, MNAKUJA HAPA MIC MBOVU TOKA APA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 160
Hapo baba levo bado hajastuka tu kama hivi ni kweli😂😂😂😂❤❤❤
Jameni Kama huelewi kipindi acha ku, comment utopolo This is the game 😅😅 Sanya Baba levo mmeshamuingiza mkenge tiyari 😂😂
@franciskibay8948
10 ай бұрын
😅😅😅😅 Sanya fala sana aseeee
@kephatz2814
10 ай бұрын
@@franciskibay8948 Sana 😄😄
Baba Leo Master
Nakubali mwanangu sanya sema babalevo hajaingia kwenye kingi
unyamaaaa!!!!
Safiii sanaaaa
Hizoo ni mwagienii bx like Zangu
“Vitu hujasomea mpumbav “😂😂😂😂😂baba Levo mimi nampenda kwakwel
@salomewandya7257
10 ай бұрын
Yaan ni shiida 😅😅😅😅
Nakukubali baba nahya
Baba levo ameniangusha, nilikua namkubal ila kilichomponza ni kuingia ndan na kurud, kule ndan ampajui nyiee😂😂
🔥
Safi san
Baba levo kuhogeya kwake Sana kapatikana eti ndo mana mnakuwa muna zaralisha diamond 😂😂😂😂😂😂
Bila shaka baba levo hiyo siku alitukana sana
B levo anabusara sanaa
Pombe Ya Baba levo Ime editiwa Iliisisomeke Jina la kampuni 😂😂😂😂
@salomewandya7257
10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
👊👊
Baba levo comedian
Ubunifu umekosekana HP cm inapigwa lkn zinasikika saut mbili kwenye cm n pemben yn kiufup motown sanya alikuwa yuko hphp WL c huko alikosema HP wametudanganya
@dicksontewele3667
10 ай бұрын
cy alikua hapo hapo alikua nje lkn alikua na mic so sauti ikasikika
Mo town sanya nakubali Sana mwanang
🔥🔥🔥🔥
Baba levo hamumuwezi huyo master
Baba Levo anajali familia
Katika siku zote hii nimeipenda sana 😂😂😂 eti tuende kwenye office 😅😅😅
@yussbreezy918
10 ай бұрын
Ya mwijaku nayo ilikua sio poa😅
Yaani baba levo unjanja wake wote kanasa😂😂😂
I love this man mo
😂😂😂 baba levo kimemramba kabisa 😂😂
Baba mulevi uyo nakubali 😂
Tuwe proud na luga zetu God bless Africa nkosi sikeleli iafrika
Baba levo ni noma xana😅😅😅
Hivi ni kweli
Hiii imeendaaa
Babalevo anajinywea2
👊✌️👍.
Halllow yaaah Kwasababu hiv na hivi na hiviiii
😂😂😂😂😂 like nyingi jamani
Baba levo kila video inayorecodiwa kwake lazima awe n pombe mkononi. Cpatii picha fridge vitu vyote mpka madunda yananuka pombe
😮😮
BABA LEVO 🤣🤣🤣🤣 kapatikana leo haahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
😮
sanyaa umeuwa😂😂😂
Baba levo 😂😂😂
Nais Sany Toka kaaza iki kipind Leo kaenjoy San
Interview mbovu cjawai ona
Baba levo ameingia cha kiume 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 nmecheka Kam fala nyieee 🙌
Leo kayakanyaga😂😂😂😂😂😂
Ila sisi wabongo tunajifanya wazungu kumbe ushamba au sio baba Levo maana yoyo nyingi
CREATIVITY YA HALI Ya juuu🔥🔥🔥🔥🔥
Heineken can't be hidden
Anaefata ni Zuchuuuuuuu😂😂😂 au Diamondiii
Hanangwa😂😂😂
Babalevo 😂😂😂😂
Kweli Dubai na Saudia Arabia ni mamoja
Kipindi kizuri muwe makin na KAMERA zenu maana jamaa alivaa vibaya surual yake
@ZINDUKAMUISILAMU30
10 ай бұрын
Kwani kuvaa suruali hivyo kiserekali vby ?
Ashalewa
uhakikaaaaa
Puwa kubwa 😂😂Leo umewezwa pumbavu zako😅😅napenda hiki kipindi
Leo mmejichanganya b levo mtalaamu haha
Wazi wazi!!!!! Wapi likes zangu kwa kuwa wakwanza
@majatzofficialmusic
10 ай бұрын
🙏 👇kzread.info/dash/bejne/p4etyJuRhs6WdNo.htmlsi=X1qqUsb9E_MjpKl5
Leo Sanya ume mkamata swafiiii😅😅😅😅😂😂😂
Baba levo 😂😂😂😂😂😂
Wangapi wamecheka kama mimi😂😂😂😂?
😂😂😂mnamzingua mnywa pombe angekupigeni na machupa ya bia mngeshika adabu😂
KZread msiwe mnatubania maneno bhna..huko ndio kuinjoy kipindi..muedit Instagram uko😂
Hyu anaerekebisha mic mlegezo umeacha mkundu wazi
B levo B kaingia kwenye mfumo 😅😅😅😅
Sijawai pataa comments
Nataka mka mchaleng mondi😂
huyu jamaa mwenye kata k mshamba sana...anamuonesha nani sasa matako yake...anaharibu kazi
Hicho kinywaji mbona mtufichee😁😁🙏
Mo town anajuaa kinoumaa😂 anajitahid kutocheka mpk huruma
Chobi afukuzwe kazi anaboa san mitambo inamuelemea
Siku moja mntengeneze mo sanya mwenyewe hadi apanic
🤓🤓🤓🤓🤓
Alie edit vdeo amejalibu kuficha logo ya bia lkn wapi 🤣🤣 serenget light 🍻🍺
@jadenmsafi
10 ай бұрын
Heineken hiyo
@PennyG90
10 ай бұрын
Heineken beer bana😂
Unyama mwingi bro ila Mimi amuniwezi
Uuo mguu n mdosho
😜😜😜😄😄😹
Uturuki mpaka vyuo vikuu wakisomeshana kwa lugha yao wameanza kariburi vyuo vikuu kusoma kwa kiengereza
Kwaiyo baba revo anakunywa pombe harafu anaenda kazin kweli kweli
😂😂😂😂😂
😂😂
😁😂😂
Kwenye cm hapo mmefeI sanya alikuwa anajibu pembeni
acha ulev
Mnaziba pombe mnaacha ges
😂😂😂😂😂😂😂
MB zimeenda bure
😂😂😂 like hapa
😅😅😅😅😅😅
bongo mtu akitembea nchi mbili tatu tena kwakupewa lift anajiona kamaliza
Kumaaanisha nn
😅😅😅😅😅😅kuzagamuan
Kwenye BTS fundi majumba atakua anatukana sana yan kwake tuc kama kibwagizo cha sentence 😅😅
Uyu nae ajasoma chochote hahahahahaaa
@meshack3266
10 ай бұрын
Mbona kama kwenye cm hapo mwanzoni mmefeli sanya alikuwa yupo hapo hapo
Zile ni inchi kubwa
😅😅😅😜
Alipigwa visu na denisi kinyani
Pandisha suriali acha usela mavi kipind chenu kinaangaliwa na watu wa lika zote na ni wengi so it's not good we unae rekebish mc