KUINAMA BILA SABABU MTAANI KUONA WATU WATAFANYA NINI 😂😂😂 | HIVI NI KWELI PRANKS MBEYA
Ойын-сауық
KUINAMA BILA SABABU MTAANI KUONA WATU WATAFANYA NINI 😂😂😂 | HIVI NI KWELI PRANKS MBEYA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 274
😆😆😂😂... Duh, Mwanangu Mo Town Sanya, Mimi Ni Mfuatiliaji Mno Wa Pindi Hili, Ila Leo Nimefurah Adi Nimetoa Machozi, Niliwah Kusikia Tu Kwamba Furaha Ikizidi Machozi Uwa Yanatoka, Nilikuwa Nakataa Kwasababu Sikuwah Kuamini Kwamba Michozi Na Furaha Ni Vitu Ambavyo Vinaweza Kutegemeana
Jaman nimecheka mpaka naumia mbavu, 😂😂😂 muje na huku Moshi basi
Hapo kwenye soko kuu 🤣🤣🤣🤣🤣kudadeki mtatutoa mshono huku utaanza upya duh..et inamainama
Ila hao jamaa wawili waliokua waenda sokoni mmewachukua kinoma😂😂
Subuhanallah 😭😭huyu baba abaumwa adi huruma jamani mumlipe huyo baba daa nimejikuta nalia Allah ampe wepesi apone lnshaallah
@sophierseyyd1162
2 жыл бұрын
Huyu kk namjua nimuigizaji kipind chk kipo startimes station Mambo tv
@samoredelavida3782
2 жыл бұрын
Ni muigizaji huwa anakua na yule king pusi jamaa anayenyoa kiwalaza na hapo waliposhoot jamaa sio mwanajeshi wala nn ni njia ya kuelekea kwa ngozoma karibu na reli big kafanyiwa prank
@sadabahla7120
Жыл бұрын
Yani nimemuona huruma uyo big mpaka Kalia sijapenda
Yan kabla ya kuchek pind naenjoy kwanz naomba like kwenye pind letu lakijanja nimeona makambako apo home dh!
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
mbona kama mbeya apa ivi au meona vibaya
@shedracksteven3183
2 жыл бұрын
Kuna mbeya na Kuna makambako sehm tofaut tofaut
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
@@shedracksteven3183 ahaaa sure broo
@shedracksteven3183
2 жыл бұрын
Ndy kak
@celinekenedy870
2 жыл бұрын
@@shedracksteven3183 maeneo ya nane nane hayo mbeya,,, mwanzo anavoanza ujaona daraja la KWAHERI NA KARIBU MBEYA?
Maskini mzee wawatu atafika mbingun akiwa amechok san 😅😅😅
Uyo big kanitia huruma kweli yaani kama anahitaji msaada wa kupelekwa hospital
@latifamohammed61
2 жыл бұрын
Kabsa yani daah
@zandys4686
2 жыл бұрын
This guy should go to hospital and get help ASAP
Sijaelewa Huyo Ni Mwanajeshi Kweli Au Naye Yupo Kwenye Maigizo !?.
@jumasilvanus5139
2 жыл бұрын
Huyo sio mwanajeshi,bali anaigiza tu
Nimecheka mpaka kwikwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ivi iwe jeshi kweri muwe na mda wa mjadala kabsa mda wote huo? Sanya big up.Pole
Mungu awasameh kwa kwel nimechek uwiiii🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣
Kidari mchuzi kimeanza kulia mapema 😄😄😄😄 dah sasa huyo big angezidiwa na presha mungefanyaje
Hapo hivyo wanavyo fanya waweza hisi wamevamiwa na nyuki😂
Mwanajeshi gan? Wa mchongo uyooo😀😀😀
Hii ya Leo Kali lakin msjaribu chuga huku kubayaaa😂😂😂😂😂
Good work media industry
😂😂😂 Leo nmecheka usiku kwa saut aisee..
We Sanya 😂😂😂😂😂😂 Mungu ana kuona
Safi sana Mo town sanya mungu azidi kukupa idea kila kukicha utuletee vitu vikali make leo nmecheka sana
Nakubali sana sana saaaaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubali sana Monta😍👏🇷🇼
Umetisha mo town😀😀😀😀😀😀😀
Ili show la kibabe mume tisha sana mume upiga mwingi
😁 😁 Rwanda nzovwe hapo
@ericksangajr7173
2 жыл бұрын
Luanda
Sema Uyo Mwamb Ana mkubali mwanae kaonesha too love kumfoce ainame🤔🤔
@HappynessJose
2 жыл бұрын
Mubaba wawtu amelia
Unajua kinachohisiwa hapo ni risasinimecheka sanaa
@DavisEnglishTv
2 жыл бұрын
Sio risasi..Ni nyuki
*Kuna sehemu zingine mnahaki yakushtakiwa haswa kma hii yahuyu big mnamliza bila sababu akienda mahakamani mnamlipa huyu mnamshut bila ruksa yake nakumpa WASIWASI JUU*
Sanya😂😂😂😂😂😂😂my ribs
BIG kanchekesha😂😂
Wanyakyusa wamepatwa 😂😂😂😂😂
Wanaogopa mpira wa Mayele ukiwadondokea utawaumiza😂
@thebroski9763
2 жыл бұрын
Daah 😂
Mzee wa kwanza kajisearch hajaibiwa kwel🤣🤣🤣
Nimecheka kweli hii , hao uliyowaita wakupwleke soko kuu , yaan mmoja kainama mpk kutambaa 🤣🤣🤣
Sijapenda vile huyo baba anaumwa alafu analia anapiga magoti na ni mtu mzima yani anatia huruma paka basi too
Mngefanya mpango mkamchangia hela huyo kaka mwenye tishet nyekundu akatibiwe huo uvimbe angepasuliwa jamani
Hahahah wangese sana
😂😂😂😂😂😂😂 sanya miyayusho sanaa ww
😂😂mnazingua sanaaaa😂😂
Uyu big vip Tena had chizi😄😄😄😄😄
Umetisha Sanya🤣🤣🤣
Pole big
aisee ni noma
Yan daaaaah
🤣🤣🤣🤣ya Leo kiboko
Make Hapo kwanza ncheke🤣😂
Kali sana
Mo uo mtofali ulikua unakuhusu ,,et alijua mti inaangukia🤣🤣🤣🤣🙌
@annethpaschal6381
2 жыл бұрын
Hata hivyo kwa uoga wangu cio kuinama tu yani ningelala kbsaa🙈🙈🤣🤣🤣
Mo town mungu anakuona ulivyomfanyia BIG
🤣🤣🤣hii noma sana
🤣🤣🤣🤣🤣jaman eti inama nayeye amesimama
Watu wa mbeya kujeni apa ivi apa sio ccm jmn
it os more than prank 😂😂😂😂 wamenaswa wengi
Soko kuuu, mwenye box😅😅😅
Walah nimecheka hadi tumbo laniuma ila hao watu wawili waenda sokon mumewachukua sana na ndio nacheka zaidi walah bro Motown Sanya leo umenibamba mno
🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni zaidi ya nomaa
😂😂😂Big kaona isiwe shida alie
sanya kweli unajua kuvunja mbavu watu
Ebwanaaeeee hii..umetishasana
Hahahahaha hatariiii
Nyiyeeee uyuu MO 😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆
🤣🤣🤣maskin babu
Samahani naomba kufahamishwa kipindi cha prank ni siku gani
Oya umetxha kinomanoma hii kwangu namba 1
Sanya hacha ujinga Wewe 🤣🤣🤣🤣
Mtaja mpigwe nyie🤣🤣🙏
WASAFI MSAIDIEN HUYO TALL ANAUMWA ANATIA HURUMA SANA 🧐😪
Nyooo mmezinguliwa na jeda
Makambako hapo stand
Daaa ulikuwa makambako home boy hapo
Ekeni camera inaonesha kwalitu mo town sanya na edit sio nzur
yaani watanzania waoga kwer🤣
@annethpaschal6381
2 жыл бұрын
Na wewe umo...unataka kuniambia usingeinama🙈😄😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kulaa lekiii walahi
leo nimecheka sana
Daaa😂😂😂😂
daah asee uyo bonge😂😭
Ningekua Demu Ungekula Nono Mzee Hahaah
aisee
Huyo jmaaa mjeshi kweli au tapeli
Aya maeneo ni kama ya pale ccm Mbeya
😹😹😹😹😹😹😹😹😹Eti eheeee eheeeee
Sanya mungu ana kuona
Mnajitahid wasafi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimjua kucheka
Hadi Nimepaliwa na chai😂😂
Mtakuja kupgwa 😂
Eti apo sawa apo sawa apo nenda hahaa🤣🤣🤣
Washenz sana nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daah
🤣🤣🤣🔥🔥
😂😂😂nyie
Hahahahaha cku mtapigwa 😅😅
@paschalntemi649
2 жыл бұрын
Nasubir hyo movie,😙🤣🤣🤣
Leo mapochopocho big kapatikana
Mwanajesh wa mchongo 😀😀
Iiko pw sanaaa
Mbeya town ccm hapo
Sasa huyo wa simu hajaitoa sikioni kha!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hamfai hatakidogo
Bongo kuna vilaza ..ilibid tutawaliwe miak 1000 kwanz
hhhhhhhaha