KUINAMA BILA SABABU MTAANI KUONA WATU WATAFANYA NINI 😂😂😂 | HIVI NI KWELI PRANKS MBEYA

Ойын-сауық

KUINAMA BILA SABABU MTAANI KUONA WATU WATAFANYA NINI 😂😂😂 | HIVI NI KWELI PRANKS MBEYA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 274

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu32602 жыл бұрын

    😆😆😂😂... Duh, Mwanangu Mo Town Sanya, Mimi Ni Mfuatiliaji Mno Wa Pindi Hili, Ila Leo Nimefurah Adi Nimetoa Machozi, Niliwah Kusikia Tu Kwamba Furaha Ikizidi Machozi Uwa Yanatoka, Nilikuwa Nakataa Kwasababu Sikuwah Kuamini Kwamba Michozi Na Furaha Ni Vitu Ambavyo Vinaweza Kutegemeana

  • @joycebenardi967
    @joycebenardi9672 жыл бұрын

    Jaman nimecheka mpaka naumia mbavu, 😂😂😂 muje na huku Moshi basi

  • @paschalntemi649
    @paschalntemi6492 жыл бұрын

    Hapo kwenye soko kuu 🤣🤣🤣🤣🤣kudadeki mtatutoa mshono huku utaanza upya duh..et inamainama

  • @aloycembener6530
    @aloycembener65302 жыл бұрын

    Ila hao jamaa wawili waliokua waenda sokoni mmewachukua kinoma😂😂

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Subuhanallah 😭😭huyu baba abaumwa adi huruma jamani mumlipe huyo baba daa nimejikuta nalia Allah ampe wepesi apone lnshaallah

  • @sophierseyyd1162

    @sophierseyyd1162

    2 жыл бұрын

    Huyu kk namjua nimuigizaji kipind chk kipo startimes station Mambo tv

  • @samoredelavida3782

    @samoredelavida3782

    2 жыл бұрын

    Ni muigizaji huwa anakua na yule king pusi jamaa anayenyoa kiwalaza na hapo waliposhoot jamaa sio mwanajeshi wala nn ni njia ya kuelekea kwa ngozoma karibu na reli big kafanyiwa prank

  • @sadabahla7120

    @sadabahla7120

    Жыл бұрын

    Yani nimemuona huruma uyo big mpaka Kalia sijapenda

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven31832 жыл бұрын

    Yan kabla ya kuchek pind naenjoy kwanz naomba like kwenye pind letu lakijanja nimeona makambako apo home dh!

  • @kingmwaxoh6420

    @kingmwaxoh6420

    2 жыл бұрын

    mbona kama mbeya apa ivi au meona vibaya

  • @shedracksteven3183

    @shedracksteven3183

    2 жыл бұрын

    Kuna mbeya na Kuna makambako sehm tofaut tofaut

  • @kingmwaxoh6420

    @kingmwaxoh6420

    2 жыл бұрын

    @@shedracksteven3183 ahaaa sure broo

  • @shedracksteven3183

    @shedracksteven3183

    2 жыл бұрын

    Ndy kak

  • @celinekenedy870

    @celinekenedy870

    2 жыл бұрын

    @@shedracksteven3183 maeneo ya nane nane hayo mbeya,,, mwanzo anavoanza ujaona daraja la KWAHERI NA KARIBU MBEYA?

  • @officialmadylove4418
    @officialmadylove44182 жыл бұрын

    Maskini mzee wawatu atafika mbingun akiwa amechok san 😅😅😅

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous16362 жыл бұрын

    Uyo big kanitia huruma kweli yaani kama anahitaji msaada wa kupelekwa hospital

  • @latifamohammed61

    @latifamohammed61

    2 жыл бұрын

    Kabsa yani daah

  • @zandys4686

    @zandys4686

    2 жыл бұрын

    This guy should go to hospital and get help ASAP

  • @ibrahmanoma4179
    @ibrahmanoma41792 жыл бұрын

    Sijaelewa Huyo Ni Mwanajeshi Kweli Au Naye Yupo Kwenye Maigizo !?.

  • @jumasilvanus5139

    @jumasilvanus5139

    2 жыл бұрын

    Huyo sio mwanajeshi,bali anaigiza tu

  • @khalossalim3723
    @khalossalim37232 жыл бұрын

    Nimecheka mpaka kwikwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy8702 жыл бұрын

    Ivi iwe jeshi kweri muwe na mda wa mjadala kabsa mda wote huo? Sanya big up.Pole

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny24552 жыл бұрын

    Mungu awasameh kwa kwel nimechek uwiiii🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela2942 жыл бұрын

    Kidari mchuzi kimeanza kulia mapema 😄😄😄😄 dah sasa huyo big angezidiwa na presha mungefanyaje

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19572 жыл бұрын

    Hapo hivyo wanavyo fanya waweza hisi wamevamiwa na nyuki😂

  • @jexlikertz3441
    @jexlikertz34412 жыл бұрын

    Mwanajeshi gan? Wa mchongo uyooo😀😀😀

  • @bonnysure8706
    @bonnysure87062 жыл бұрын

    Hii ya Leo Kali lakin msjaribu chuga huku kubayaaa😂😂😂😂😂

  • @michaelokeyo3956
    @michaelokeyo39562 жыл бұрын

    Good work media industry

  • @danielmkama24
    @danielmkama242 жыл бұрын

    😂😂😂 Leo nmecheka usiku kwa saut aisee..

  • @paulinastivine6889
    @paulinastivine68892 жыл бұрын

    We Sanya 😂😂😂😂😂😂 Mungu ana kuona

  • @beachgizaarea5370
    @beachgizaarea53702 жыл бұрын

    Safi sana Mo town sanya mungu azidi kukupa idea kila kukicha utuletee vitu vikali make leo nmecheka sana

  • @sammyhassan6033
    @sammyhassan60332 жыл бұрын

    Nakubali sana sana saaaaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sadikigatera4808
    @sadikigatera48082 жыл бұрын

    Nakukubali sana Monta😍👏🇷🇼

  • @rajabkhatib5686
    @rajabkhatib5686 Жыл бұрын

    Umetisha mo town😀😀😀😀😀😀😀

  • @babalaobabalaobicrendi8761
    @babalaobabalaobicrendi87612 жыл бұрын

    Ili show la kibabe mume tisha sana mume upiga mwingi

  • @BONGOSTARMEDIA
    @BONGOSTARMEDIA2 жыл бұрын

    😁 😁 Rwanda nzovwe hapo

  • @ericksangajr7173

    @ericksangajr7173

    2 жыл бұрын

    Luanda

  • @spodomwema5566
    @spodomwema55662 жыл бұрын

    Sema Uyo Mwamb Ana mkubali mwanae kaonesha too love kumfoce ainame🤔🤔

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Mubaba wawtu amelia

  • @hdggu6792
    @hdggu67922 жыл бұрын

    Unajua kinachohisiwa hapo ni risasinimecheka sanaa

  • @DavisEnglishTv

    @DavisEnglishTv

    2 жыл бұрын

    Sio risasi..Ni nyuki

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Жыл бұрын

    *Kuna sehemu zingine mnahaki yakushtakiwa haswa kma hii yahuyu big mnamliza bila sababu akienda mahakamani mnamlipa huyu mnamshut bila ruksa yake nakumpa WASIWASI JUU*

  • @irenesimya4929
    @irenesimya49292 жыл бұрын

    Sanya😂😂😂😂😂😂😂my ribs

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan3422 жыл бұрын

    BIG kanchekesha😂😂

  • @muddytv1513
    @muddytv15132 жыл бұрын

    Wanyakyusa wamepatwa 😂😂😂😂😂

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58612 жыл бұрын

    Wanaogopa mpira wa Mayele ukiwadondokea utawaumiza😂

  • @thebroski9763

    @thebroski9763

    2 жыл бұрын

    Daah 😂

  • @vicentmayanda3935
    @vicentmayanda39352 жыл бұрын

    Mzee wa kwanza kajisearch hajaibiwa kwel🤣🤣🤣

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman96052 жыл бұрын

    Nimecheka kweli hii , hao uliyowaita wakupwleke soko kuu , yaan mmoja kainama mpk kutambaa 🤣🤣🤣

  • @fatuma_kenya
    @fatuma_kenya2 жыл бұрын

    Sijapenda vile huyo baba anaumwa alafu analia anapiga magoti na ni mtu mzima yani anatia huruma paka basi too

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida23692 жыл бұрын

    Mngefanya mpango mkamchangia hela huyo kaka mwenye tishet nyekundu akatibiwe huo uvimbe angepasuliwa jamani

  • @abdulabdulla8474
    @abdulabdulla84742 жыл бұрын

    Hahahah wangese sana

  • @kingamydee5909
    @kingamydee59092 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 sanya miyayusho sanaa ww

  • @johbabai3205
    @johbabai32052 жыл бұрын

    😂😂mnazingua sanaaaa😂😂

  • @maryamkhamis9647
    @maryamkhamis96472 жыл бұрын

    Uyu big vip Tena had chizi😄😄😄😄😄

  • @gervaisnitunga730
    @gervaisnitunga7302 жыл бұрын

    Umetisha Sanya🤣🤣🤣

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Pole big

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv2 жыл бұрын

    aisee ni noma

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT1232 жыл бұрын

    Yan daaaaah

  • @Said_Abdul
    @Said_Abdul2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣ya Leo kiboko

  • @KAKASOSI
    @KAKASOSI2 жыл бұрын

    Make Hapo kwanza ncheke🤣😂

  • @vensatemu7483
    @vensatemu74832 жыл бұрын

    Kali sana

  • @annethpaschal6381
    @annethpaschal63812 жыл бұрын

    Mo uo mtofali ulikua unakuhusu ,,et alijua mti inaangukia🤣🤣🤣🤣🙌

  • @annethpaschal6381

    @annethpaschal6381

    2 жыл бұрын

    Hata hivyo kwa uoga wangu cio kuinama tu yani ningelala kbsaa🙈🙈🤣🤣🤣

  • @peninacharles9757
    @peninacharles97572 жыл бұрын

    Mo town mungu anakuona ulivyomfanyia BIG

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare67072 жыл бұрын

    🤣🤣🤣hii noma sana

  • @shamaamohamed5361
    @shamaamohamed53612 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣jaman eti inama nayeye amesimama

  • @shadimwambula7748
    @shadimwambula77482 жыл бұрын

    Watu wa mbeya kujeni apa ivi apa sio ccm jmn

  • @oliverben2793
    @oliverben27932 жыл бұрын

    it os more than prank 😂😂😂😂 wamenaswa wengi

  • @asiamohd5516
    @asiamohd55162 жыл бұрын

    Soko kuuu, mwenye box😅😅😅

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84992 жыл бұрын

    Walah nimecheka hadi tumbo laniuma ila hao watu wawili waenda sokon mumewachukua sana na ndio nacheka zaidi walah bro Motown Sanya leo umenibamba mno

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29832 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni zaidi ya nomaa

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19572 жыл бұрын

    😂😂😂Big kaona isiwe shida alie

  • @Minor_kidayo
    @Minor_kidayo2 жыл бұрын

    sanya kweli unajua kuvunja mbavu watu

  • @shomaryshomary3665
    @shomaryshomary36652 жыл бұрын

    Ebwanaaeeee hii..umetishasana

  • @omarisimba8864
    @omarisimba88642 жыл бұрын

    Hahahahaha hatariiii

  • @husnashindano1192
    @husnashindano11922 жыл бұрын

    Nyiyeeee uyuu MO 😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆😂😆

  • @shamaamohamed5361
    @shamaamohamed53612 жыл бұрын

    🤣🤣🤣maskin babu

  • @eliasmyeliyeli8839
    @eliasmyeliyeli88398 ай бұрын

    Samahani naomba kufahamishwa kipindi cha prank ni siku gani

  • @maxmilianimwakaniki2671
    @maxmilianimwakaniki26712 жыл бұрын

    Oya umetxha kinomanoma hii kwangu namba 1

  • @deodatusantony9483
    @deodatusantony9483 Жыл бұрын

    Sanya hacha ujinga Wewe 🤣🤣🤣🤣

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper2372 жыл бұрын

    Mtaja mpigwe nyie🤣🤣🙏

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    WASAFI MSAIDIEN HUYO TALL ANAUMWA ANATIA HURUMA SANA 🧐😪

  • @koteimbamai6793
    @koteimbamai67932 жыл бұрын

    Nyooo mmezinguliwa na jeda

  • @elishammsikola7304
    @elishammsikola73042 жыл бұрын

    Makambako hapo stand

  • @kareemyassin9322
    @kareemyassin93222 жыл бұрын

    Daaa ulikuwa makambako home boy hapo

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Жыл бұрын

    Ekeni camera inaonesha kwalitu mo town sanya na edit sio nzur

  • @Prince-rh2em
    @Prince-rh2em2 жыл бұрын

    yaani watanzania waoga kwer🤣

  • @annethpaschal6381

    @annethpaschal6381

    2 жыл бұрын

    Na wewe umo...unataka kuniambia usingeinama🙈😄😄😄

  • @waziriissa2015
    @waziriissa20152 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kulaa lekiii walahi

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo30562 жыл бұрын

    leo nimecheka sana

  • @amojamoj533
    @amojamoj5332 жыл бұрын

    Daaa😂😂😂😂

  • @nassirabdul210
    @nassirabdul210 Жыл бұрын

    daah asee uyo bonge😂😭

  • @dragonmweus1640
    @dragonmweus16402 жыл бұрын

    Ningekua Demu Ungekula Nono Mzee Hahaah

  • @innocentmgaya5688
    @innocentmgaya5688 Жыл бұрын

    aisee

  • @lemausontz3513
    @lemausontz35132 жыл бұрын

    Huyo jmaaa mjeshi kweli au tapeli

  • @odenmasebo9777
    @odenmasebo97772 жыл бұрын

    Aya maeneo ni kama ya pale ccm Mbeya

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    😹😹😹😹😹😹😹😹😹Eti eheeee eheeeee

  • @florenceelikana3040
    @florenceelikana304011 ай бұрын

    Sanya mungu ana kuona

  • @sahiltvontheline5560
    @sahiltvontheline55602 жыл бұрын

    Mnajitahid wasafi

  • @lovenessbonzoh6193
    @lovenessbonzoh61932 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimjua kucheka

  • @nobodyog9512
    @nobodyog95122 жыл бұрын

    Hadi Nimepaliwa na chai😂😂

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud48702 жыл бұрын

    Mtakuja kupgwa 😂

  • @gervasbeno5589
    @gervasbeno5589 Жыл бұрын

    Eti apo sawa apo sawa apo nenda hahaa🤣🤣🤣

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz93232 жыл бұрын

    Washenz sana nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @erickmahona5357
    @erickmahona53572 жыл бұрын

    Daah

  • @surusuru1994
    @surusuru19942 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🔥🔥

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    😂😂😂nyie

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda51812 жыл бұрын

    Hahahahaha cku mtapigwa 😅😅

  • @paschalntemi649

    @paschalntemi649

    2 жыл бұрын

    Nasubir hyo movie,😙🤣🤣🤣

  • @marymtewele4777
    @marymtewele47772 жыл бұрын

    Leo mapochopocho big kapatikana

  • @boniphacehyera5616
    @boniphacehyera56162 жыл бұрын

    Mwanajesh wa mchongo 😀😀

  • @liliandeodatus7571
    @liliandeodatus75712 жыл бұрын

    Iiko pw sanaaa

  • @mathewdeus9978
    @mathewdeus99782 жыл бұрын

    Mbeya town ccm hapo

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59862 жыл бұрын

    Sasa huyo wa simu hajaitoa sikioni kha!

  • @aminataamina9438
    @aminataamina94382 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hamfai hatakidogo

  • @annielawey8786
    @annielawey8786 Жыл бұрын

    Bongo kuna vilaza ..ilibid tutawaliwe miak 1000 kwanz

  • @halimamwakwikiza508
    @halimamwakwikiza5082 жыл бұрын

    hhhhhhhaha

Келесі