MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI

Ойын-сауық

MADAWA YA KULEVYA 'FEKI' YAACHWA KIJIWENI, ASKARI AYAKUTA, KILICHOTOKEA HAPO... | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 62

  • @AdoAshu80
    @AdoAshu80 Жыл бұрын

    Huyo kaka mwenye tshirt ya kijani iliyoandikwa Malawi anajua...anajua ... tena anajua tenaaa. Kamjambisha na maswali ya msingi huyo polisi feki. 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Жыл бұрын

    Sanya Pamoja na Wasafi Hichi kipindi Kinachukua Muda mwingi Sana Alafu Hakuna uhalisia Hapo Watu karibu Wote hapo walikua wanaonekana wanajua kinachoendelea Maana watu wameshawajua Sasahivi Wasafi TV NI kubwa Sana natamani ningepata nafasi ya kushauri Jinsi ya kuborehsa kipindi chako Mwanzo ilikua Vizuri Sana Viko vingi vya kuwashika watu Ambao watakua halisi

  • @priscusaugust7251

    @priscusaugust7251

    Жыл бұрын

    😂

  • @chiefndatu1895

    @chiefndatu1895

    Жыл бұрын

    Kweli akina uharisia kbs

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Жыл бұрын

    Huyu mwenye kijani ni walewale askali kanzu siyo kwa point hizo

  • @masalumanoni4012

    @masalumanoni4012

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @kingaluadam9101
    @kingaluadam9101 Жыл бұрын

    Huyo Jamaa wa tshirt ya Kijani ndio ameharibu kipindi. ameuliza maswali ambayo yalikuwa yanamtoa kwenye confidence askari na akajikuta anaanza kama kujifunza badala ya kuwa mkali kama alivyokuwa amekuja. Kitu cha muhim na cha msingi sana ukishagundua kuna mtu wa hivo mahala ambako unataka kufanya kipindi una cancel tuu sio lazima ufanye scene moja. katika tukio hilo hilo unaweza fanya hata mara mbili au tatu alafu ukaweka moja mbayo itakuwa tayari kuna gaps umeshafanyia kazi. all in all kazi ni nzuri na unajitahidi , muhim ni ku improve , ile scene ya bagamoyo pale kwenye gari ilikuwa better kuliko hii.

  • @strong8534
    @strong8534 Жыл бұрын

    Sanya, kipindi kizuri sana ila next time jaribu kuweka ka uhalisia kidogo!! Tafuta askari wa ukweli ama mtu wa kawaida aje na mbwa, then huwezi kushika kitu bila gloves 🧤. Think about it!!

  • @fannyvweruka8669
    @fannyvweruka8669 Жыл бұрын

    Pole na kazi asante nime furahi

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Жыл бұрын

    Mwamba tishet yakijani anaijua sheria vyema sana !

  • @nexto6357
    @nexto6357 Жыл бұрын

    Boss Sanya 👍

  • @Jaycollection
    @Jaycollection Жыл бұрын

    Kweli utuuzima dawa broo kamuuliza maswali ya msingi kweli uyo police

  • @abiasifredrickdima3255
    @abiasifredrickdima3255 Жыл бұрын

    Appreciate Sanya #wasafi TV

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5uiАй бұрын

    Huyu jamaa niahatari anajua sheria😅😅😅😅😅😂😂😂

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg Жыл бұрын

    💥💥💥💥💥

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q3 ай бұрын

    Duu zuchu akushauri maisha kweli

  • @waziriernesto2391
    @waziriernesto2391 Жыл бұрын

    noma sana

  • @luckynayza2530
    @luckynayza2530 Жыл бұрын

    Wasafi nzima vipindi vikalj niviwili ao wengine wanafeli bab kubwa ivi nikweli Cheka tu big Sunday ndo vipindi pendwa

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 Жыл бұрын

    Uyo Malawi 🇲🇼 upo vinzuri sana kabisa

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g11 ай бұрын

    Sio wote wanaokaa vijiwen ni wahuni wengine ni askar kanzu kama huyo baba mwenye tishet ya kijan ninamashaka

  • @zubeirkibe6760
    @zubeirkibe6760 Жыл бұрын

    Huyo Mwenye T-shirt ya kijani ni askar kanzu au usalama wa taifa huwa tunakaa nao Sana maskani 😀😀😀

  • @agnesjohn2571
    @agnesjohn2571 Жыл бұрын

    😂😂😂 kweli kabisa mwonekano wako unaweza ukaangushiwa jumba bovu

  • @edwinjackson2294
    @edwinjackson2294 Жыл бұрын

    Jamaa..!! zuchu akushaur maisha uko serious kweli ww bro😂😂😂 shaur yako atakushaur ukadandiwe na ww kama yeye

  • @mohammadoman8963

    @mohammadoman8963

    11 ай бұрын

    Acha ujinga zuchu ni mshauri mzuri sana kuliko ww unavyofikiria ujinga

  • @wizzydollarbarbershop7079
    @wizzydollarbarbershop7079 Жыл бұрын

    Leo mmewezwaa😂😂😂

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Жыл бұрын

    Malawi T-shirt ni matured sana

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Жыл бұрын

    Sorry ninzuli, ila uhalisia wa huyo askali, naukubwa watukio haviendani

  • @jimmymagaita2947
    @jimmymagaita2947 Жыл бұрын

    😂 hatari

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Жыл бұрын

    Mo town sanya, unajitahidi saaaana kk Story yakipindi ninzuli ila umekosea hapo kwenye huyo askali ndo umezengua tafuta kituu kinachoendana na uwalisia walau kidogo sio uyo polic wako kk kama muokota kopo

  • @rahimusaide3548
    @rahimusaide3548 Жыл бұрын

    sio pw

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Жыл бұрын

    Video mmechukua na sim au wapi hd

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Жыл бұрын

    ahahaha🤣police kapatikana leo watu wajua mnyoosha kwaza awana ata wasiwasi kama wamestukia hivi wanaigiza

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Жыл бұрын

    Leo askari kafeli hajavaa uhalisia vizuri

  • @owenmutale8686
    @owenmutale8686 Жыл бұрын

    Full pressure hapo

  • @solomonichisaye8767
    @solomonichisaye8767 Жыл бұрын

    Nilikuwa na focus kwenye maiki😂😂😂

  • @oyay2821
    @oyay282111 ай бұрын

    Kuna wawili wameondoka polepole

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Jamaa alievaa T.shirt ya ndimu ni asikari yaani ni asikari kama sio asikari usalama basi ni asikari jamii

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke Жыл бұрын

    Jamaa yukovizuri siyokukamatwa kixembe

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 Жыл бұрын

    Hicho kitengo cha uaskari nipe siku moja niwaonenesheee

  • @g_eazmusic1329
    @g_eazmusic1329 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Жыл бұрын

    Uyo jamaa ni mdedly kinoma 😄😄

  • @abdulabdallh9506
    @abdulabdallh9506 Жыл бұрын

    Askari kayakanyaga ukuuh

  • @RahimTreiz
    @RahimTreiz7 ай бұрын

    😂😂😂🙌

  • @mdouharoon66
    @mdouharoon66 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Жыл бұрын

    Dah uyu mwamba yuko smart m'malawi uyo😅

  • @Omix_production
    @Omix_production Жыл бұрын

    Kipindi naona kinatoka nje ya maudhui yake kutoka kwenye maisha ya wasanii kwenda kwenye maigizo prank

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 Жыл бұрын

    Sema askari ndo katufelisha

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Жыл бұрын

    Kwanza unatakiwa kujua madawa ya kulevia ni dili na yana thamani kubwa hayawezi kuachwa hivo kama karanga madawa yawe kwenye begi ujazo huo wee unazani ni shi ngapi hiyo alafu ayaache tuu kisenge hivo ukiweza kuwa na mzigo ujazo huo wee ni tajiri tayari.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Inawezekana alikuwa anajua tayari anafatiliwa so akaamua kuyatelekeza inaingia kwa kichwa coz hilo ni zibiti bro

  • @captenndunga6745

    @captenndunga6745

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 sio kwa madawa ya kulevia mzee askari mwenyewe akiotea mzigo kama huo anaingia nao chaka yuko tayari kupoteza ajira.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@captenndunga6745 😂😂😂😂Nimekusoma

  • @thomasmgohomatz5696
    @thomasmgohomatz5696 Жыл бұрын

    Mbona hii vidio sio hd

  • @jumanneyassini
    @jumanneyassini Жыл бұрын

    HUYU NI MATOTOLA😂😂😂

  • @officialnuhu8163
    @officialnuhu8163 Жыл бұрын

    Wakwanz ku comment

  • @ssilivestasangiloggfyssili4976

    @ssilivestasangiloggfyssili4976

    Жыл бұрын

    👏👏👏

  • @amirasman7441

    @amirasman7441

    Жыл бұрын

    Mo, town Sanya .. Niko Nairobi Kenya ...lakini Kuna kitu kimenikuza hapo ,, huyo jamaa mwenye anataka kujua kama huyo jamaa ni police amesema kweli polisi lazima awe na cloves kuthipitisha huyo jamaa si askari. 2) huyo jamaa mwingine kushuku huyu jamaa na treaty Kwa kichwa kuthipisha ni yeye tu ndio anaeza fanya kitu kama hiyo .... Sho Gali mwanangu

  • @marynice318
    @marynice318 Жыл бұрын

    😂

  • @cowboytz7441
    @cowboytz7441 Жыл бұрын

    fact jamaa anajiamin so poa

  • @mohdali1182
    @mohdali1182 Жыл бұрын

    Usengee mtupuu yani km vle michezo ya msukaaa huhuhuuuu bonge la tv 😂 yani atahamuelewek

  • @homesaickofficial7407

    @homesaickofficial7407

    Жыл бұрын

    Ww ndio unaeleweka

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Жыл бұрын

    Sanya hiyo asikari kakuangusha kabisa Hana ubunifi kabisa

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Жыл бұрын

    Nyinyi wasenge naivi vipindi vyenu mtakuja kumtoa mtu roho

Келесі