"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE

Kwa mara ya kwanza toka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutajwa kwenye sakata la dawa za kulevya kwenye orodha ya watu 65 ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, leo ameongea akiwa Dodoma.

Пікірлер: 567

  • @azizyben281
    @azizyben2817 жыл бұрын

    mpk naskia raha mbowe anavyoiishi sheria upo vizuri sana mkuu na your there for the people!!

  • @issackchalahani1235

    @issackchalahani1235

    4 жыл бұрын

    Exactly as are really good leadership.

  • @dominacosmo8163
    @dominacosmo81637 жыл бұрын

    we need ten more people like you

  • @odoocool9755

    @odoocool9755

    7 жыл бұрын

    Domina Cosmo watu hatujui sheria tunakurupuka, hta kama anhusika hajbisha ila sheria zifuatwe. Me nimemuelewa.

  • @danielromario5183
    @danielromario51837 жыл бұрын

    asanteh sana bwana mkubwa mbowe wajinga watakupinga wenye akili watakuunga mkono

  • @leahmkumbo2526

    @leahmkumbo2526

    7 жыл бұрын

    well said Mh Mbowe

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    daniel romario haswaaaa

  • @nonofelix3903

    @nonofelix3903

    7 жыл бұрын

    daniel romario hilo nalo neno.. safi sana ndugu

  • @danielromario5183

    @danielromario5183

    7 жыл бұрын

    santeh ndugu

  • @danielromario5183

    @danielromario5183

    7 жыл бұрын

    sawasawa

  • @lindahoney360
    @lindahoney3607 жыл бұрын

    we need a guy like him..salute..

  • @lindahoney360

    @lindahoney360

    7 жыл бұрын

    anajielewa.

  • @petersanga4167
    @petersanga41677 жыл бұрын

    kwa MTU muelewa atakua kamuelewa vizur mkuuuu

  • @celitomclassic5085

    @celitomclassic5085

    7 жыл бұрын

    peter sanga kila mtu ana uelewa tofauti...

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    peter sanga kunavichwa maji hawaelewagi

  • @ramadhanjarome3880

    @ramadhanjarome3880

    7 жыл бұрын

    peter sanga diamond

  • @tonyjohn9543

    @tonyjohn9543

    7 жыл бұрын

    Anod Njenje baba nmekuelewa sana

  • @janekisyombe5795

    @janekisyombe5795

    7 жыл бұрын

    safiiii mbowe mwambie huyoooo dogo hajielewiiii kabisa.

  • @kapolesyaba3133
    @kapolesyaba31337 жыл бұрын

    Tangu mwaka 2003 nilpokufahamu, nilkupendezwa na hoja na msimamo wako nikajikuta ninakufollow, mpaka mwaka 2007 nilpokufanya my role model officially, ndivo nitafanya katika maisha yangu yaliyobaki sababu hata ungebadilika vip bado mengi nilojifunza kutoka kwako yamenifanya kuwa hivi; mwananchi muwajibikaji, shujaa, mpenda haki na nchi yangu kwa ujumla. real appreciate u Mh. Mbowe! Hakika wewe ni hazina kwa taifa hili hususan katika kipindi hichi cha transformation into Industrialized country, wanaokubeza acha wafanye hivo ila haitopunguza trust za wengi kwako. Mungu akupe maisha marefu na ubunifu zaidi.

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma17 жыл бұрын

    Yaani Muziki ndo unaanza. Acha maneno weka muziki

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822

    @mamatuishi-mamatuondoke8822

    7 жыл бұрын

    Mwaka huu!!!sijui

  • @fundikiller7884
    @fundikiller78847 жыл бұрын

    MBOWE YOUR GREAT MAN

  • @castrolk.ezekiel7426
    @castrolk.ezekiel74267 жыл бұрын

    Duh,ukijua sheria raha xaana,"nmeamin mwanaume htishiwi nyau" maana pamoja na misukosuko yoote bado Rais anatajwa kua...!!!?? Nmekuelewa Mbowe

  • @leoniladidas3343

    @leoniladidas3343

    7 жыл бұрын

    CASTROL EZEKIEL k

  • @celitomclassic5085

    @celitomclassic5085

    7 жыл бұрын

    CASTROL EZEKIEL unakumbuka Manji na Gwajima walivyojitamba ???? unadhan kuna mtu anajua sheria ka Tundu Lissu mbona anaenda na kurudi?? hayo ni maneno tu hata wanasheria wa Manji walibak central jana wameshangaa wakti wenzao wanapandishwa gari...

  • @pascaljulias6008

    @pascaljulias6008

    7 жыл бұрын

    Thomas Malauri haijarishi mbowe sheria hanaijua na ndio ni raha kujua sheria za nchi so taratibu zikifuatwa za kumuita ndio hatakuja lakini sio kinyonge kama wengine walivyo jipeleka....hata kama wakija kumchukua kimabavu teyari kishaonyesha uwanaume....pia kafungua wengi kua serikali tawala haifuati sheria.....na hakuna asiye pinga madawa ya kulevya.

  • @pascaljulias6008

    @pascaljulias6008

    7 жыл бұрын

    Absolutely

  • @selemanilisecamp3349

    @selemanilisecamp3349

    7 жыл бұрын

    yani inauma sana kubebeshwa mzigo usiyo kuhusu makonda kabeba zigo la misumali kichwani

  • @lulugama1547
    @lulugama15477 жыл бұрын

    wazo la makonda ni zuri lakini approaching yake sio nzuri. unapoongelea madawa ya kulevya inaleta picha mmbaya kwenye fikra za mwanadamu ndani ya jamii, Kuna watu walikuwa na mapenzi na nchi yao lakini kuharibu jina la mtu anaeaminika na watu mia nyuma makonda lazima aelewe anakosea. mtu anayauza mkamate na kete zake mpeleke mahakamani sio kusikia maneno watu wanamtajia tuu majina anaandika hata spelling zenyewe anakosea. well said Mr mbowe I myself support you completely

  • @brysonvicent8230
    @brysonvicent82307 жыл бұрын

    mh mbowe Mara nyingi huwa simuelew lakin kwa hili nimemwelewa sana. simama imara baba mbowe ✌✌✌✌✌✌✌👏👏👏👏

  • @mahelamnazaletimahela9317

    @mahelamnazaletimahela9317

    4 жыл бұрын

    Mbowe uwaga umuelewi kapimwe akili

  • @samwelmasoya3347

    @samwelmasoya3347

    4 жыл бұрын

    P1

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60557 жыл бұрын

    mbowe maashaallah nimeipenda spich wako wewe kiboko sulut mkuu

  • @andrewmlamba
    @andrewmlamba7 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa atamuulizaje maswali mbunge!?!Nakatiba yenyewe haimuruhusu.Ngoja jumatatu kibao kimgeukiye yeye atakapo funguliwa mastaka yakumchafuliya sifa Mbowe

  • @jacquelinemabula2519

    @jacquelinemabula2519

    7 жыл бұрын

    Mullermba Chusa who is mbunge asiulizwe yeye nani basi nikweli wancho k8fanya na ndiyo shuhuri zao mbowe si yupo dar bado yupo chini ya makonda tu ubunge wake bungeni kila mtu anasehem yake ya kazi rc ndiye anae paswa kujuwa hali ya u salama ndani ya mkoa wake na mienendo ya watu wake ndani ya mkoa aende zake uko huyo mbowe aende police

  • @ummyissa4622

    @ummyissa4622

    7 жыл бұрын

    Mullermba Chusa patam haap0

  • @juliusbivannah9807

    @juliusbivannah9807

    7 жыл бұрын

    not

  • @queenmalikia4172

    @queenmalikia4172

    7 жыл бұрын

    Mlash Chusa makonda Kanyea chupi ya Mtoto wazazi Waja just. ....kimeiva kwako makonda utajibeba kama sio kukimbia nchi

  • @tikaeddie7284

    @tikaeddie7284

    7 жыл бұрын

    Mlash Chusa juzi manji alifoka jana akaja kulala Aya endeleeni kumsema Makonda ila huyo mbowe hizo sifa zake hazina faida 💃💃

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin47417 жыл бұрын

    thank u mbowe,, that's why I love law,, cz it makes me aware of my rights

  • @kamaluhajj3446
    @kamaluhajj34467 жыл бұрын

    Millard please ongea na TCRA mtu wetu wa nguvu wasikufungie huku ndo tunapata mambo mazuri

  • @happybraysoni7373
    @happybraysoni73737 жыл бұрын

    Kweli imechukuwa Muda mrefu kulichukulia hatua hili na waadhirika ni wengi

  • @Eddo_barbertz

    @Eddo_barbertz

    7 жыл бұрын

    Happy Braysoni kweli

  • @raphaelraphael4557

    @raphaelraphael4557

    7 жыл бұрын

    Happy Braysoni kama dhana ni kuwa kiongozi basi wote wanaongoza watu wakiambiwa wanawachafua wanaowaongoza au

  • @christsflowe.r
    @christsflowe.r7 жыл бұрын

    Safi sana Tanzania watu wanapelekwa pelekwa tu atleast u can stand for the rest

  • @heriethb.chanafi5644
    @heriethb.chanafi56447 жыл бұрын

    Safi sana! At last sheria zinaanza kutumika huko ziliko andikwa! Ndugu waheshimiwa naomba kujua sheria inayolinda "REPUTATION" ya watoto wetu na vijana wetu ambao wamekuwa mateja! au mashoja au wana VVU kwa kutumia madawa ya kulevya aka mihadarati! na sisi wazazi wao ambao majina yetu yameharibiwa na heshima zetu kushuka katika jamii kwa kigezo cha kushindwa kulea watoto wetu hadi wamekuwa mateja! au mashoga au wana virusi vya ukimwi kwa kuchangia mabomba ya kujidunga madawa! Wakati sasa umefika nataka kufungua mashtaka ya "DEFORMATION" kwa wauza unga lakini sijui "PROCEDURE" nisije kosea katika kuitafuta haki!

  • @kebo2155

    @kebo2155

    7 жыл бұрын

    safi sana ...nchi hii imekosa adabu... muulize mjumbe wako wa shina ataweza kukusaidia kidogo kuhusu procedure...

  • @lulumariethk7385

    @lulumariethk7385

    7 жыл бұрын

    Herieth B. Chanafi great point about kufungua mashitaka! I would advise uende kumuona mwanasheria binafsi au hata ustawi wa jamii kama una evidence kua kijana wako ni mwathirika. Kwanini nimesema ustawi wa jamii? It's because wanatakiwa kushughulikia social welfare (hili neno sijui ni nini kwa Kiswahili) ya wananchi!

  • @AnkoJJ

    @AnkoJJ

    7 жыл бұрын

    Social welfare kwa kiswahili ni Ustawi wa jamii

  • @officialmologa

    @officialmologa

    7 жыл бұрын

    Herieth B. Chanafi nguvu tutapata wapi na sisi ni vijana ambao status zetu ni poor unafikr tutafka mahali kudai haki au tutazimwa kama mshumaa

  • @jacquelinemabula2519

    @jacquelinemabula2519

    7 жыл бұрын

    Herieth B. Chanafi 👏👏👏nice sister

  • @atheistblood8568
    @atheistblood85687 жыл бұрын

    mbowe oyeeeeee oyeeeeee

  • @adenwarsame7357
    @adenwarsame73577 жыл бұрын

    Mbowe Umetisha Mkuu😂😂😂😂😂😂

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo65217 жыл бұрын

    Kiongoz wangu nakuelewa sana, onyesha njia, tupo nyuma yako

  • @janenatales8350
    @janenatales83507 жыл бұрын

    . Safiiiiii kamanda.... Huyo kajipalia makaa ya moto na atajuta Sanaa

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami53898 ай бұрын

    ukijua sheria bwana raha sana yani Big up Mbowe

  • @josephlugala2035
    @josephlugala20357 жыл бұрын

    ONE DAY WE WILL UNDERSTAND THE TRUTH LETS BE PATIENT

  • @khalidkassim9782
    @khalidkassim97827 жыл бұрын

    Mbowe your the man mfunguliye mashtaka huyo makonda no one has to be above the law

  • @robathzingu1650
    @robathzingu16504 жыл бұрын

    Umenikumbusha mbali sana Mh. Mbowe. You are really a leader...

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын

    wallah laadhm nakuwa very interested ninapopata updates za nchi yangu niko mbal lkn millad unanifany kam niko tz hongera sana kak mwenyezmung azid kukulinda uzid kutuhabarisha kuhus nchi yetu shukran

  • @fatumafundi4410

    @fatumafundi4410

    7 жыл бұрын

    Jaman mbn maneno meng

  • @hassanihussein4479

    @hassanihussein4479

    7 жыл бұрын

    uxjl na mim itakuwa nakupa habar

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    7 жыл бұрын

    +Hassani Hussein Ha ha ha acha ni cheke mie

  • @neemahussein4957

    @neemahussein4957

    7 жыл бұрын

    افلح السريرس umeonaee

  • @dvjtwentyfivedecember4398
    @dvjtwentyfivedecember43987 жыл бұрын

    unajisumbua tu cha msingi fika kituoni katoe maelezo, acha maneno mengi kiongozi itikia wito, ufanyiwe uchunguzi basi.

  • @hassanovajunior3006

    @hassanovajunior3006

    7 жыл бұрын

    Dvjtwentyfive December afike tu kujieleza ni kwa sirro sio hapa

  • @lyimoaikamber2159

    @lyimoaikamber2159

    7 жыл бұрын

    Hassanova junior ww umefanyiwa uchuzi

  • @joycemichaellovelove2221

    @joycemichaellovelove2221

    7 жыл бұрын

    #Dvjtwentyfive December 😂😂😂😂😂

  • @shuwehaomar6658

    @shuwehaomar6658

    7 жыл бұрын

    Dvjtwentyfive December hunaakili

  • @emariusrush7704

    @emariusrush7704

    7 жыл бұрын

    Dvjtwentyfive December kuma nyoko,aende police bili samasi????

  • @allangodbless1566
    @allangodbless15667 жыл бұрын

    limekua jambo la busara mh Mbowe kutoa maelezo hayo maana nilisikitishwa na kauli ya bwana yule akituzalilisha wananchi wa jimbo la HAI kuwa kiongoz wetu ni muuza unga;Uongoz ni hekima siyo masifa na unafik

  • @jacksonkoligo8164
    @jacksonkoligo81647 жыл бұрын

    gombea urais 2020 utusaidie mh mbowe ...big up sana ni kiongozi ambaye una vision na siyoni mwingine wa kukukaribia,,,,hongera sana mbowe

  • @mwasitiomtima2818
    @mwasitiomtima28187 жыл бұрын

    tunapoangalia muvii kuona vitu flan huhu Leo yanatokea Tz yaan maisha yamekua kama muvi yaan, things are getting interesting wallah , hya let wait & see

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16877 жыл бұрын

    vimba baba nimekuelewa kiundan sana.... MAKONDA kafanya kosa kubwa BINAF... hatakama tunataka liishe hili JANGA ila kiukweli kafanya makosa twendeni nyuma twende.mbele... kama utakuwa umemuelewa MBOWE kwenye mada za mwisho mwisho kabisa.... utakuwa wee sio waanchi hii yakibongo utakuwa umetembea tembea nje.

  • @hismail7867
    @hismail78677 жыл бұрын

    Asante Mbowe, lazima umpeleke Makonda mahakamani. Kasahao uheshima.

  • @sulaimsameer2668
    @sulaimsameer26687 жыл бұрын

    Asante Baba....Who a you to point people wanauza madawa ya Kulevya ..... Waonea hao hawajui sheria

  • @officialmbeyaone3572
    @officialmbeyaone35727 жыл бұрын

    mh mbowe umeongea hizulisaana

  • @daybrelimite7039
    @daybrelimite70397 жыл бұрын

    That's great facts, Mr Mbowe!

  • @jumakhjuma5319
    @jumakhjuma53197 жыл бұрын

    Hatutoi Kiki Kiboya boya tyu....Congrats Uncle #mbowe #freeman na jina lako lenyewe ni Freeman....alafu no Buddy is above the law...umeongea jambo

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie72847 жыл бұрын

    kwani kasema unadeal na madawa ya kulevya??? hebu nenda central, hapo sio central 💃💃💃

  • @petersanga4167

    @petersanga4167

    7 жыл бұрын

    Tika Nyalusi unaakili wewe

  • @mathewmselle7331

    @mathewmselle7331

    7 жыл бұрын

    Tika Nyalusi sikiliza anachokiongea acha kushabikia ujinga

  • @tikaeddie7284

    @tikaeddie7284

    7 жыл бұрын

    Nimesikia,nimeelewa ndo maana nime comment alafu reflect alichosema Makonda upo....

  • @joycemichaellovelove2221

    @joycemichaellovelove2221

    7 жыл бұрын

    #Tika Nyalusi 😀😀😀😀

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    Tika ndo wale wale wasiolewaga mwalimu wako alipata shida kukufundisha

  • @allymapinda8804
    @allymapinda88047 жыл бұрын

    Makonda alipokua mkuu wa wilaya nilikua namkubali sana hata baada ya kupewa ukuu wa mkoa siku zile za mwanzo mwanzo. Ila kwa hii ishu ya madawa ya kulevya hapo amechemsha sana, kama mkuu wa mkoa hana madaraka ya kuwaita watu kwa style hiyo kwa kuhisi tu au kusikia kwamba fulani anawezekana anatumia au anauza. hilo pekee ni kosa. Mbowe anaifahamu sana sheria na hata kwa wale vichwa maji watakua ameelewa ni jinsi gani Makonda amechemsha!

  • @OmarAli-wr1ti
    @OmarAli-wr1ti7 жыл бұрын

    Yani uyu Mbowe pekeake ndio amefanya maamuzi Bora kuliko wote

  • @issackchalahani1235

    @issackchalahani1235

    4 жыл бұрын

    Yeah.

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu88127 жыл бұрын

    Mbowe leo umeongea kibaba.....Yan Makonda akiona haka kavideo lazima moyo umdunde kwanza maana hata aliyoongea Manji sio makali hivi...Shikamoo baba mbowe

  • @renaldakamugishazeramulake940

    @renaldakamugishazeramulake940

    7 жыл бұрын

    Julius URONU hahaha haha mm ngoja nicheke

  • @gustaphmlyandi7045

    @gustaphmlyandi7045

    7 жыл бұрын

  • @godmanbuchocho2608

    @godmanbuchocho2608

    5 жыл бұрын

    Ww ni baba sisi wanao tuonyeshe njia salama ili hali tuwe na uhuru katika nchi yetu

  • @maxzitatu1617
    @maxzitatu16177 жыл бұрын

    Najivunia Kuwa Mwana Chadema, Tuna Viongozi Wana Akili Sana

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby88277 жыл бұрын

    Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......👏👏👏

  • @nellxoxoxo9966
    @nellxoxoxo99667 жыл бұрын

    wacha sheria iongee R.I.P makonda you messed up big time 😎 madawa ya kulevya na sifa wap na wap?

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    Nellxo xoxo hahahaaa

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali54307 жыл бұрын

    LOVE IS MAN SO TRUE

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula25197 жыл бұрын

    mbowe iyo sio kificho kwani watanzania wanaelewa kuhusu wewe

  • @godlistenkimario8956

    @godlistenkimario8956

    7 жыл бұрын

    jacqueline mabula kuhusu ww wanaelewa nn

  • @cavoo4get649

    @cavoo4get649

    7 жыл бұрын

    jacqueline mabula unaelewa nini kuhusu yeye? itabidi uisaidie jamuhuri kama unaelewa.

  • @johnfrancis1826

    @johnfrancis1826

    7 жыл бұрын

    jacqueline mabula unaeza ukaitwa kuulizwa nn unakijua kuhusu yeye na huna ushaidi wowote pimbi ww

  • @juliusuronu8812

    @juliusuronu8812

    7 жыл бұрын

    Haka ka jacqueline mkasamehe bure maana mimi naona kana ropoko kama kamekula pombe ya machicha nyie kaacheni Central sio mbali

  • @salimomari3747

    @salimomari3747

    7 жыл бұрын

    Naomba uende kituoni haraka katoe ushahidi....tena ukichelewa utakumbushwa.

  • @danfordmujaki2552
    @danfordmujaki25527 жыл бұрын

    DAH IMENIUMA SANAA....!!!!!!!!!! POLE SANA MH MBOWE NAKUELEWA SANAAA

  • @deonisamedeus9695
    @deonisamedeus96957 жыл бұрын

    Mheshimiwa upo sahihi kabisa jamaa anaharibu ushahidi.

  • @odoocool9755
    @odoocool97557 жыл бұрын

    Nimekuelewa Sasa. siasa sio za kukurupukia. hahahahahhaah Mbowe kaza babaa we sio mtu waspotspot

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Safi sana kwa pamoja mpaka ikulu wenye kuuza madawa ya kulevya anajulikana ni yule aliyemsema kwamba yeye sio makonda ni (Bashite) yeye ndio anayefanya biashara ya madawa ya kulevya cocain hata taarifa hiyo aliwahi kupewa na kuisema Rais mstafu (kikwete).

  • @idreamfoto
    @idreamfoto7 жыл бұрын

    For The First Time, Nimekuelewa Sana Mheshimiwa, Umeongea FACTS ✌🏽

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын

    jmn nilikuwa nina ham ya kukuckia mbowe kuhus hii inshu nimehuzunika kuckia umetajwa ktk orodha hiyo coz ww ni kiongoz wangu ninaependa kukufuatilia sana hasa ukiwa bungen

  • @leoniladidas3343

    @leoniladidas3343

    7 жыл бұрын

    umesikitika kutajwa Mbowe...basi hata baba yako kama anahusika atatajwa tu... movie ndio kwanza mbichi....tetetetete!

  • @tikaeddie7284

    @tikaeddie7284

    7 жыл бұрын

    unapenda vijana waangamie eh 💃💃💃

  • @zachariadidas9387

    @zachariadidas9387

    7 жыл бұрын

    msenge leonila

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    7 жыл бұрын

    +Leonila didas ha ha ha umemsahau mke wake atajwe tu

  • @judithlaizero356

    @judithlaizero356

    7 жыл бұрын

    افلح السريرس mmm

  • @bahatidan4751
    @bahatidan47517 жыл бұрын

    True said sir... MP Mbowe..The Rc needs leadership training...and to be impeached now n sue him for defamation standard...Magufuli needs another mkuu WA mkoa na Makonda awe ana deal na madawa ya kulevya with the police tu....Period.. And while at it ...he can go get a law degree ...CAPISH

  • @babah5598
    @babah55987 жыл бұрын

    Ndo maana tukakupa jimbo la hai mh mbowe,busara zako ndo zimekufikisha hapa!!wewe ni jasiri sana na unasimamia unachokiamn daima!!sheria zifatwe!!siyo ukurupukaji tu #nodrugs

  • @priscaabraham3833
    @priscaabraham38337 жыл бұрын

    kiukweli mbowe umeongea sahihi kabisa huyu konda amewakosea sana

  • @amadsabimbona2553

    @amadsabimbona2553

    7 жыл бұрын

    amewakosea sanaaaa manda uwe hatabu utasama tanzania imekuwa yake

  • @grandpa5071
    @grandpa50717 жыл бұрын

    Can't wait for next episode... need to get some popcorn too

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida23697 жыл бұрын

    Asante kwa kufunguka vizuri sana mm nimekuekewa big up

  • @ramadhanikazimoto3052
    @ramadhanikazimoto30527 жыл бұрын

    safi mbowe ndio maana huwa nakukubali sana unajielewa sana we mzee

  • @mariamisuja6256
    @mariamisuja62567 жыл бұрын

    Hapo bado sijakubaliana na huyu Kiumbe.Makonda bado yuko sahihi. sisi binadamu hatuoni kama Mungu huko ni kutafuta kujiona mwema mbele yetu. Awadanganye hao hao waliosimama nyuma yake.Makonda yasikutishe haya mawatu yenye maumbo na maneno mengi. Nakuombea sana na nakupenda kwa kila ufanyalo. Fanya kazi kaka yangu.

  • @wilfredmmbando689

    @wilfredmmbando689

    Жыл бұрын

    Mmmmh akili za kimalaya malaya

  • @marymayeye7947
    @marymayeye79477 жыл бұрын

    athanas elisha !! usijukuwe hilijambo lamadawa yakulevi ni jambo lamcheo, hata makonde anahatarisha maisha yake, utaratibu uko wakufanyiko kwa siri .from kenya

  • @isaacgwams8080
    @isaacgwams80807 жыл бұрын

    saafi sana mbowe huyo jamaa anyoshwee kinidhamu maana bado mchanga sana na anajikuta yupo juu ya sheria ili aonekane mwema

  • @kigambontv9748
    @kigambontv97487 жыл бұрын

    Eti mjinga mmoja tu Mbowe bhana eti hivi Leo Makonda anaweza kunilipa leo hahahaaaa acha ISIDINGO iendelee

  • @ellymaduhu8668
    @ellymaduhu86687 жыл бұрын

    huyu jamaa anajua kujieleza balaa ukifanya yako hujajipanga anakuumbua. and he is smart na mwerevu

  • @queenlatiphamushi9554
    @queenlatiphamushi95547 жыл бұрын

    no body is above the law.... tanzania is democratic country... mbowe nimekuelewa kabisa hata bila elimu ya darasani

  • @masaithedon4818
    @masaithedon48187 жыл бұрын

    Asante Kamanda Mbowe thx Kaka tena

  • @bernadisabas2942
    @bernadisabas29427 жыл бұрын

    kwakuongea point unatisha mzeee big up tusikubali kukaliwa kizembe 😁😁😁

  • @Lee74806
    @Lee748067 жыл бұрын

    Your updates are really good young man. Do something about repeating the same advert.

  • @franklawrence9512
    @franklawrence95127 жыл бұрын

    kwa kuwa ni mtuhumiwa haimaanishi waweza kumdharilisha, take imagine mtuhumiwa akakosa hatia how will you apology to him? aisee namuunga mkono Makonda kwa vita hii ila c kwa style hii, inajulikana waTZ tunapenda kuckia zaidi kuliko vitendo we are failing

  • @shakourmwinyimvua7209
    @shakourmwinyimvua72097 жыл бұрын

    ukijua sheria hautaendeshwa big up mbowe

  • @salimatuyahhaya5772
    @salimatuyahhaya57727 жыл бұрын

    Millard ayo huwezi kufungiwa 2taongea nao 😨😨Zoea Mimi Wewe

  • @rosemarybenjamin5866

    @rosemarybenjamin5866

    7 жыл бұрын

    Salimatu yahhaya kivip mbon sielew

  • @f.a6043
    @f.a60432 жыл бұрын

    Mh Mbowe your really genuine

  • @Justin_Dickson
    @Justin_Dickson7 жыл бұрын

    Thanx for good logic

  • @athanaselisha1617
    @athanaselisha16177 жыл бұрын

    Mbowe kitaeleweka ukishahojiwa huko ndani!!!!we are watching the movie.

  • @markgaitan6035
    @markgaitan60357 жыл бұрын

    hahahah😂😂😂 kayakanyaga kw watoto wa mjin xaxa jasho lazma limtoke👊👊👊🙆🙆🙆

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26867 жыл бұрын

    Tuombe kheir na lengo lilokusudiwa likiwa ni zuri lifanikiwe na watu wasigombane warekebishane tukae chini pamoja tujenge maadili yetu mana hayo madawa yameshaimaliza jamii..

  • @isayamerickiorywille6881
    @isayamerickiorywille68814 жыл бұрын

    Mh mbowe hongera sana mungu akulinde

  • @phyniacerungu5368
    @phyniacerungu53687 жыл бұрын

    duuuuuu......picha limenoga

  • @mohamedabdallah4101
    @mohamedabdallah41017 жыл бұрын

    Hii series si ya mchezo mchezo!!! Makonda he can stand he is strong

  • @georgebongi4844

    @georgebongi4844

    2 жыл бұрын

    Pumbavu.

  • @tunamuonawakawaidatuubest9799
    @tunamuonawakawaidatuubest97997 жыл бұрын

    mullermba chusa huna point kwani huyo mbowe asiulizwe maswali kwani ananini si binadamu Kama binadamu wengine ni nyie ambao munafurahia watoto wa wenzenu wakipotea na madawa ya kulevia muwacheni makonda afanye kazi yake acheni kutetea ujinga

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile71627 жыл бұрын

    Kwa kweli mbowe mimi mwenyewe siamini km kweli unajihusisha na madawa ya kulevya lkn kwa sababu umetajwa jina basi subiri taratibu za kisheria ukaripoti kituo cha polisi

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud89797 жыл бұрын

    kumbe ushirikiano utatoa......safi sana. punguza hasira baba

  • @khalfanhamisi8215
    @khalfanhamisi82157 жыл бұрын

    Big up sana mp mwenye akili zakuona mbali

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie72847 жыл бұрын

    Serikali Ni MAGUFULI ameshasemaaaaaaaaaa

  • @daybrelimite7039

    @daybrelimite7039

    7 жыл бұрын

    Tika Nyalusi :una akili nusu broo

  • @tikaeddie7284

    @tikaeddie7284

    7 жыл бұрын

    Heri Mimi mwenye nusu akili kuliko wewe huliyekuwa empty

  • @tikaeddie7284

    @tikaeddie7284

    7 жыл бұрын

    and Mimi sio bro 😎😎

  • @daybrelimite7039

    @daybrelimite7039

    7 жыл бұрын

    Tika Nyalusi ujielewi

  • @odoocool9755
    @odoocool97557 жыл бұрын

    jah bless Ayo, nakukubali kinomaaaa anii now najua movie inavyoenda

  • @theafricanrenaissance77
    @theafricanrenaissance777 жыл бұрын

    MASWALI; 1)Mbowe ameTUHUMIWA, au ndiyo Mbowe ameITWA kwa mahojiano mbalimbali Polisi-central ktk hilo tangazo linalojadiliwa?? 2)Makonda amem'SUMMON' (/KUITA) au ndiyo Polisi imemuita, na Makonda ndiye ametangaza ktk press conference?? 3)Unapomuita mkuu wa mkoa wowote ktk taifa letu MJINGA, umetumia kweli busara (hata usipokubaliana naye na matendo yake), na km hivyo siumemkashifu na umejiingiza ktk kesi ya kudhalilisha mtumishi wa dola au?? 4)Inawezekana waTZ ktk matabaka yote wapo wanayotumia madawa hayo na kushughulikia biashara hii haramu na ndipo ktk kila mkoa, jiji, mji na wilaya? na km ndivyo inawezekana wamo ktk KILA CHAMA au?? ....hmm mimi napita tu😌

  • @jescajoseph2129
    @jescajoseph21297 жыл бұрын

    mbowe big up mkuu umeongea vizur sana

  • @vanscauz6513
    @vanscauz65137 жыл бұрын

    mbowe baba wahambie hukweriii hao ccm natunawasubiri mwaka 2020 tuone uyo magufulii hatakuja na Sera ganiii yanii mwenyezi mungu hatuweke mpaka sikuiyooo yanii mbona wataipendaaa

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle7957 жыл бұрын

    watu wanaojua sheria sio sie wengine tunaendeshwa tuu kama toroli Millardo asante sana

  • @lorrainegalado516
    @lorrainegalado5167 жыл бұрын

    I love him... yan uyu baba mungu akueke

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    Yaan Makonda alikuwa mtu wa ajabu sana alitaka sifa tu si kingine

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby88277 жыл бұрын

    Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Wewe ungeapa tu kwa mola wako kwamba hukuwahi kuhusika wala kujihusisha na madawa ndio kidogo tungekuwa na wasiwasi kwamba huenda uhusiki, lkn kusema tu hivyo wala sio sababu ya kusema huna connection hiyo.

  • @adismas665
    @adismas6657 жыл бұрын

    WELL SAID ..I'VE EVER HEAR ✔✔

  • @esterdaniel1574

    @esterdaniel1574

    4 жыл бұрын

    mnampamba mbowe ataweza?au anataka Kes zake ziongezeke maana wakimpa mamlaka mbowe wamekaribisha matusi nchini dhidi ya viongozi wetu

  • @qwara7853
    @qwara78537 жыл бұрын

    we need more leaders like you mbowe

  • @coachtemba6002
    @coachtemba60027 жыл бұрын

    Bravo Chairman

  • @ibrahimsaid1128
    @ibrahimsaid11287 жыл бұрын

    Ahsante kwa busara zao Freeman mbowe

  • @graceopudo139
    @graceopudo1397 жыл бұрын

    safi sana, sheria ifuate mkondo wake.

  • @feezdidthis2220
    @feezdidthis22207 жыл бұрын

    aisee brother man unalo.. watu wame mind

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha15907 жыл бұрын

    mboye noma mungu atutoe kwenye uungu huo wa ccm

  • @ndetiwaiwc5351
    @ndetiwaiwc53517 жыл бұрын

    Asante Mzee