KILICHOMKUTA MAKONDA BAADA YA KUKATAA KUOMBA MSAMAHA KWA WACHAGA

Ойын-сауық

Пікірлер: 434

  • @honesternanyaro2106
    @honesternanyaro21065 жыл бұрын

    Dr Bashiru is not only intelligent but also clever

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82415 жыл бұрын

    That was humble in the part of Makonda. God bless you sir..the up and coming president of Tanzania!!!

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun46575 жыл бұрын

    No hug whatsoever!! This is good to see people taking out what's in their hearts for a good will. Tutakuenzi Dr. Reginardi daima, upimzike kwa amani

  • @petrosanga1366
    @petrosanga13665 жыл бұрын

    Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure

  • @deodatieugeni624
    @deodatieugeni6245 жыл бұрын

    asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.

  • @rajabumlawa6209
    @rajabumlawa62095 жыл бұрын

    Nimekuelewa sanaaa katibu mkuu dr bashiru ally

  • @vicentjoshua7507

    @vicentjoshua7507

    5 жыл бұрын

    Kwanini kwenye misiba wanasiasa na wasanii ni shida

  • @rajabumlawa6209

    @rajabumlawa6209

    5 жыл бұрын

    @@vicentjoshua7507 yan cjui wapi tunafeli maana ule ni msiba mbowe alipaswa aliseme tatizo nje ya msiba

  • @starmpogoro8044
    @starmpogoro80445 жыл бұрын

    Nyie Nikwer wabinafsi Tunawajua Minidreva tunawaona kwenye kampany Wakiwa wachaga kwenye kampany Kuingia kabila lingine Nishida Sana

  • @sadasaid4408
    @sadasaid44085 жыл бұрын

    Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu

  • @mathewlive1372
    @mathewlive13725 жыл бұрын

    Watu walisahau kwamba wapo msibani, shangwe na vigelegele kama vyote. Asante Mungu mana umewasamehe wote katika jina la Yesu .

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud83065 жыл бұрын

    Wachaga wabahili kweli na mchungaji wao pia ni mchaga ndio maana kawaka 😂😂😂

  • @candycane6375

    @candycane6375

    5 жыл бұрын

    Hahahah umenichekesha Sana wewe

  • @scayroad8500
    @scayroad85005 жыл бұрын

    HIZO NI ROHO YAKO MBAYA KWA MAKONDA MM NI MLEMAVU NI KWELI HAKUNA KAMA MENGI HAIJAWAHI KUTOKEA KWANI NI UONGO

  • @gracedismas1108

    @gracedismas1108

    5 жыл бұрын

    Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania

  • @gadsentz6519

    @gadsentz6519

    5 жыл бұрын

    Scay Road alishawah kukusaidia uyo mengiii ? zaid yakumsikia kwenyenredio

  • @gidionmlwae3282
    @gidionmlwae32825 жыл бұрын

    Bashiru aliingizwa chaka mbowe yupo kisiasa ameona amemkomesha makonda hahahaha makonda alikua sahihi

  • @majutochikawetv8965

    @majutochikawetv8965

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa huyu bashiru kajichomeka

  • @alexbaynet3426
    @alexbaynet34265 жыл бұрын

    Hiyo ndo kazi ya kanisa. Pia nafurahi sana kumwona mwalimu wangu wa lugha ya alama akitafsiri kwa lugha ya alama mwalimu Protas Mwalongo

  • @stevelayda8555
    @stevelayda85555 жыл бұрын

    Kwa Mara ya kwanza leo nimeipenda kauli ya kiongozi ccm. Bashiru uko juu kweli we ni msomi.

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk63245 жыл бұрын

    Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.

  • @yohanakidugala1332
    @yohanakidugala13325 жыл бұрын

    Asante saana Katibu mkuu CCM.... upo vzr saana Ongera saana

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro67425 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana Askofu Shoo,hakika Mungu azidi kukutunza Baba,hiyo ndio kazi Bwana Yesu alikuja kufanya Hapa Duniani UPATANISHO!!!!!

  • @imanuelmtui6619

    @imanuelmtui6619

    5 жыл бұрын

    Sioni makonda alipo kesea tuache siasa za kijinga mbowe hatukuelewi

  • @georgemhalla3515
    @georgemhalla35155 жыл бұрын

    Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!

  • @elieshishamy9902
    @elieshishamy99025 жыл бұрын

    Kirikuu!!! Chokoza nyuki ukule asali

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde12755 жыл бұрын

    Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √

  • @chachamagoti2400

    @chachamagoti2400

    5 жыл бұрын

    Hassan Kihonde We ndo uliku myoni mwake au we n mwerevu kuzd wtz ambao hawakupendezwa nayo.

  • @hassankihonde1275

    @hassankihonde1275

    5 жыл бұрын

    @@chachamagoti2400 uzuri ni kwamba nipo chanya zaidi na ndio maana nimemuelewa kwa upande chanja na hasi kama wengine,

  • @danielmgogo6484
    @danielmgogo64845 жыл бұрын

    MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita1195 жыл бұрын

    Duh Jamaa anakiburi yani alikuwa anataka kukataa kwenda kuomba msamahani tena msibani na kanisani!!!!!

  • @justinemathiasngwandu7715
    @justinemathiasngwandu77155 жыл бұрын

    Asikofu na bashilu mnalenu Jambo siyo bure, nikipi ambacho Makonda alikisema kibaya? Asante Makonda kwa hekima.

  • @aminabakari3799

    @aminabakari3799

    5 жыл бұрын

    Alivyosema mengi kasaidia walemavu na watu maskini utazani yeye so mchaga, kasema mchaga kutoa pesa yake kwakumsaidia mtu ni ngumu,

  • @jamalimtima6176
    @jamalimtima61765 жыл бұрын

    Kwa hili,Makonda yuko sahihi tu Wachaga wana ubaguzi mno

  • @nkubapaul8531

    @nkubapaul8531

    5 жыл бұрын

    Watu hawakumwelewa makonda kwa sababu wanamchukia

  • @simulizizakiroho2674

    @simulizizakiroho2674

    5 жыл бұрын

    sio kweli ndugu,mbona Moo dewji hata misibani hatumuoni usiwe shabiki tu

  • @gracedismas1108

    @gracedismas1108

    5 жыл бұрын

    Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha

  • @jamalimtima6176

    @jamalimtima6176

    5 жыл бұрын

    Getruda Msaki .Tunaishi nao,2nawajua.Njoo mbezi au maeneo yaliyojaa wachaga,hakuna mchaga ambae anaweza kununua hata nyembe dukani kwa m2 ambae cyo mchaga mwenzie

  • @seifzongo320
    @seifzongo3205 жыл бұрын

    Makonda kaongea points Sana,amesema nimemsfia mchaga katikati ya wachaga that's point hakuna shida n wivu tu🤣🤣🤣🤣

  • @malasimuhidin9510

    @malasimuhidin9510

    5 жыл бұрын

    Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema

  • @twahashekimweri3024

    @twahashekimweri3024

    5 жыл бұрын

    Angemuita tu. Na sio kuumbuana. Busara itumike

  • @twahashekimweri3024

    @twahashekimweri3024

    5 жыл бұрын

    Alafu bora wangeongea ayo mambo baada ya maziko. Mbowe nae hana busara

  • @hamisikabwe3980

    @hamisikabwe3980

    5 жыл бұрын

    Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.

  • @mussaabdiel9797

    @mussaabdiel9797

    5 жыл бұрын

    Yp

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa55665 жыл бұрын

    Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma

  • @ikupamwaisoba7379

    @ikupamwaisoba7379

    5 жыл бұрын

    Umeona eee yaani ni shida hizo ni siasa tu lkn amewakomesha sana tafsiri mbaya yao

  • @tikokibila7220

    @tikokibila7220

    5 жыл бұрын

    Nyinyi mamaku acheni ushabiki jamanii.

  • @magneticfootballtz1607
    @magneticfootballtz16075 жыл бұрын

    Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu

  • @dillisalum2384
    @dillisalum23845 жыл бұрын

    Makonda analogic sana ndicho namkubalia, good boy

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath43305 жыл бұрын

    Kwa mfano kama Makonda asingekuwepo mgeongea nini Makonda kamsifia mchaga katikati ya wachaga

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu5 жыл бұрын

    Huyu Mpaka Mh Bashiru anamsema hadharani, Anawakera kwa mengi sana, Tunayobahatika kuyasikia ni yale anayoyaropoka kwenye Kamera.

  • @seifmwinshee3593
    @seifmwinshee35935 жыл бұрын

    Makonda ajakosea sema mnapenda kukuza maneno.wachaga nao tatizo kama mengi ni wachache sana

  • @vinmilez5739
    @vinmilez57395 жыл бұрын

    Makonda sio mtoto,hadi aje aseme kua huu msiba co wa wachaga,lazma watakua walimbagua,ila ndo kawahiwa hana namna

  • @f.a6043

    @f.a6043

    5 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @vinmilez5739
    @vinmilez57395 жыл бұрын

    Wanasiasa wanafki sana

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza18545 жыл бұрын

    Nimekuwa nikifuatilia speech za huyu kiongozi. Mara nyingi amekua akikosa mtiririko wa mawazo mazuri mwishowe kuwakwaza watu. Awe anaandaliwa speech

  • @chrissimbeye208
    @chrissimbeye2085 жыл бұрын

    Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo

  • @jacklinechengula4933

    @jacklinechengula4933

    5 жыл бұрын

    kabisa

  • @simulizizakiroho2674

    @simulizizakiroho2674

    5 жыл бұрын

    upuuzi unawaza kwani wachaga tu wenye mali nyingi tanzania mbona wao hawajasaidia walemavu kwa kiasi cha Mengi

  • @mussaabdiel9797

    @mussaabdiel9797

    5 жыл бұрын

    Chris Simbeye mchanga anasaidia ndugu zake tu

  • @chrispinemallya2420

    @chrispinemallya2420

    5 жыл бұрын

    Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    5 жыл бұрын

    Kuna mchaga kasema wazi kuwa wagumu kutoa kutokana njia wanazotumia kuipata hiyo pesa Nyingi so halali

  • @alimakaba6170
    @alimakaba61705 жыл бұрын

    Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!

  • @ikupamwaisoba7379

    @ikupamwaisoba7379

    5 жыл бұрын

    Yaani wewe ndo uko sahihi sana kuliko mbowe na askofu ubarikiwe mpendwa

  • @nanaimgeri8587

    @nanaimgeri8587

    5 жыл бұрын

    Ali Makaba so smart

  • @margretlukindo413

    @margretlukindo413

    5 жыл бұрын

    Ndivyo

  • @gloryngomuo127

    @gloryngomuo127

    5 жыл бұрын

    Ni ukabila huu.......ukisema w2 wa kijiji hiki ni wazur cjui nn n sawa coz wote n wa2......ss ukianza kutaja makabila haipendezi........

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk63245 жыл бұрын

    Ukikosolewa ukubali tu kuwekwa sawa.

  • @mussaabdiel9797

    @mussaabdiel9797

    5 жыл бұрын

    Madam Rose makonda yupo sahihi sana kamuongelea mchaga katikati ya wachaga ukabila wanaleta wao

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    @adelaidedaycareprenurseryk6324

    5 жыл бұрын

    @@mussaabdiel9797 Hapana sio kwamba Makonda ndio mdhambii No! But uisikilize vizuri ile speech kuna mahali alithibitisha ukichunguza utagundua kwa nini Katibu Mkuu wa CCM aliamua kuomba msamaha kwa niaba ya. Makonda mimi ni shabiki wake no 1 na ninamfuatilia sana napenda huduma yake sana tu. Anasaidia sana wagonjwa hasa wale wa kipato chani kama mimi kwa mfano Pascal Cassian muimbaji wa Gospel. Makonda ni jiwe la kujikwaa watu wengi hawamuelewi but mimi nakwambua yupo hapo kwa kusudi la MUNGU. Kumbuka yeye si malaika bado anawezakosea tu na huo ndio unyenyekevu.

  • @mussaabdiel9797

    @mussaabdiel9797

    5 жыл бұрын

    Madam Rose apo ukabila aupo bali ni mtazamo aujuae yeye kama yeye kwan awa watu tunaishi nao na tunajuana vzr

  • @esa_traveller

    @esa_traveller

    5 жыл бұрын

    Makonda hakua na nia mbaya tatizo watanzania hata tukiambiwa ukwel tuna mind

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22345 жыл бұрын

    Makonda upo sawa hujakosea kitu hapo hao wachaga hawajui kiswahili ndo shida

  • @tibrucemushi1735

    @tibrucemushi1735

    5 жыл бұрын

    wewe hata katibu mkuu wa ccm anamwambia ukweli halafu kijambo kama wewe unakurupuka hapa.....

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    5 жыл бұрын

    @@tibrucemushi1735 we mkundu tulia

  • @angelswaum8435

    @angelswaum8435

    5 жыл бұрын

    TIBRUCE MUSHI kwani katibu mkuu ndo nani au ndo mingu sasa

  • @japhetmlungu762
    @japhetmlungu7625 жыл бұрын

    Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus68955 жыл бұрын

    Palipo na wengi kuna MENGI pia ila yote yote mungu ndo anajua#

  • @ibrahim82649
    @ibrahim826495 жыл бұрын

    Asante mbowe

  • @novatusabond9253
    @novatusabond92535 жыл бұрын

    Makonda ni mkuu wa mkoa msimfanye kama mtoto

  • @kyekwew3216

    @kyekwew3216

    5 жыл бұрын

    Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.

  • @salmahsharifu7096

    @salmahsharifu7096

    5 жыл бұрын

    Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake

  • @barbarajoh7603
    @barbarajoh76035 жыл бұрын

    Makonda hajatambua kosa lake mpaka sasa

  • @kassimmkemae1533

    @kassimmkemae1533

    5 жыл бұрын

    Makonda hana kosa kwasbb alichomaanisha yy na mbowe tofaut alichoelewa

  • @mustaphyassin5320

    @mustaphyassin5320

    5 жыл бұрын

    Kiuhalisia hana kosa kabisa

  • @kassimmkemae1533

    @kassimmkemae1533

    5 жыл бұрын

    @@mustaphyassin5320 yaan kabsa

  • @simulizizakiroho2674

    @simulizizakiroho2674

    5 жыл бұрын

    makonda kosa lake kutaja ukabira,kwani wenye mali nyingi ni wachaga pekee?

  • @simulizizakiroho2674

    @simulizizakiroho2674

    5 жыл бұрын

    kosa lake ukabila kuujata angesema wenye mali wengine

  • @barakanyambele4673
    @barakanyambele46735 жыл бұрын

    Hii ni sehemu ya ibada ya kuaga mwili wa marehemu, sasa haya mengine yanatokea wapi

  • @dottonatha3770

    @dottonatha3770

    5 жыл бұрын

    Baraka Nyambele 🇲🇺

  • @lamekisimoni2809

    @lamekisimoni2809

    5 жыл бұрын

    Kwenye wengi pana mengi Ila makonda nae kazidi kwa nini kila kitu ni yeye tuu

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel97975 жыл бұрын

    Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian3585 жыл бұрын

    mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.

  • @masagakasunzu7824

    @masagakasunzu7824

    5 жыл бұрын

    Boaz Sebastian mmmmh mmmmh mmmmh mmmmmmh ukikosea kubali no one is perfect

  • @beatricegondwe2726

    @beatricegondwe2726

    5 жыл бұрын

    Nonsense

  • @justinemathiasngwandu7715

    @justinemathiasngwandu7715

    5 жыл бұрын

    Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.

  • @jenniferdominic6128

    @jenniferdominic6128

    5 жыл бұрын

    yan wamekuza jambo balaa

  • @faidamashala8933

    @faidamashala8933

    5 жыл бұрын

    Wamemkosea makonda,ndo tatizo LA siasa

  • @mako331
    @mako3315 жыл бұрын

    Unnecessary drama in the house of God, baba askofu ungezuia hili

  • @mamachris6811
    @mamachris68115 жыл бұрын

    Makonda usiombe msamaha Uko sawa kabisa

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu15125 жыл бұрын

    Nyny ndo wabaguzi,wapi makonda alimbagua mtu,mnaleta kuchomekeana na visasi Hadi msibani.shem on you guys.

  • @daviseliona3507

    @daviseliona3507

    5 жыл бұрын

    Hahahs

  • @godsfinalwarninggfw6492

    @godsfinalwarninggfw6492

    5 жыл бұрын

    Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!

  • @godblessmwanri80

    @godblessmwanri80

    5 жыл бұрын

    hekima ni muhimu sana ...

  • @aminabakari3799

    @aminabakari3799

    5 жыл бұрын

    We ulitaka aambiwe kwenye sherehe hali yakua amekosea msiban, au unajitoa ufaham

  • @thomaselibarick8058

    @thomaselibarick8058

    5 жыл бұрын

    innocent paulchillu una akili ndogo fala mkubwa

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd48645 жыл бұрын

    Anaharibu na anabembelezwa, yani kama yai

  • @keita.wallet6984
    @keita.wallet69845 жыл бұрын

    Ninja sometimes unazingua japo kuwa cheo dhamana

  • @stephenhosea1113
    @stephenhosea11135 жыл бұрын

    Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph45555 жыл бұрын

    Du! Ndo viongoz hawa sasa.....Mungu atawaumbua sana tu acha tusubir ipo cku ujinga wao utawaisha tu

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso88355 жыл бұрын

    Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma53645 жыл бұрын

    Hahaaha mung wanh Tanzanie kweli iyi ni haya kweli. Mbona alikuwa amekata

  • @kilosasofadesigner6218
    @kilosasofadesigner62185 жыл бұрын

    Kweli nimeamini Malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni hakuna Banki iyooooo!!!!?? #Pierelikwidi_bwana🤣

  • @iambaizo
    @iambaizo5 жыл бұрын

    mbowe ni mchonganishi kwani ni uongo wao si wabahili

  • @mamachris6811
    @mamachris68115 жыл бұрын

    MAKONDA = TRUMP

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67705 жыл бұрын

    Ktk maisha ukiwa una kauli uchafu basi kila mahali hautakua na thamani

  • @ikupamwaisoba7379
    @ikupamwaisoba73795 жыл бұрын

    Umekwazwa nini wewe!!! daaah pole bwana mdogo Paul Makonda kweli unachukiwa lkn naamini kbs wewe ni mti wenye matunda nilikufatilia sana pale karimjee kauli yako wala haikuwa ya kuwakwaza watu ht katibu bado sijamuelewa hapo kwanini alisema hivyo alikosea wapi? Km alikosea huko simiyu ok mimi sikuwepo lkn karimjee loh na watu eti wanasema kbs bwana asifiwe kwenye siasa zao yupi asifiwe,lkn nimetambua uchagani si ndo pipoo..wamekulazimisha dogo lkn bado uliwapiga kwa neno zuri kuwa tafasiri haikuwa njema maana ulimsifia mchaga mbele ya wachaga hahahaaaa nakukubali bwana mdogo hakika Makonda jembe

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro63755 жыл бұрын

    Siasa msibani, siasa kanisani siasa siasa

  • @frankjohn8570
    @frankjohn85705 жыл бұрын

    kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari

  • @thomasmasala9304
    @thomasmasala93045 жыл бұрын

    Kwa kweli ni huzun sana.

  • @emmanuelmsangi645
    @emmanuelmsangi6455 жыл бұрын

    Kweli bashiru nikiongozi bora

  • @esa_traveller
    @esa_traveller5 жыл бұрын

    Daaaaa af makonda alimind sanaaaa ila hakua na nia mbaya

  • @bintihussein502
    @bintihussein5025 жыл бұрын

    Makonda umeonewa tu..kwani kusema ukweli nishida looh!

  • @hhonest9553

    @hhonest9553

    5 жыл бұрын

    Binti Hussein unajua unachokisema au?? Mbona serikali ikiambiwa ukweli inakua shidah??Double standard ww.

  • @bintihussein502

    @bintihussein502

    5 жыл бұрын

    HHS hs nakijua nannamaanisha.

  • @bintihussein502

    @bintihussein502

    5 жыл бұрын

    HHS hs alafu kumbuka Mimi sio wewe hivyo kamuulize kama nawewe unaakiri zakushikiwa unikomeee

  • @hhonest9553

    @hhonest9553

    5 жыл бұрын

    Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.

  • @bintihussein502

    @bintihussein502

    5 жыл бұрын

    Uliona wapi shoga akaingia period?? Mungu aniepushie

  • @peterluoga458
    @peterluoga4585 жыл бұрын

    Mbowe sio mtu mzuri nimemzarau kuanzia leo

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38995 жыл бұрын

    mchaga na mnyamwezi utani umetokea wapi uwache kuropoka mwanangu kutenda kosa si kosa bali kosa kurudia kosa.

  • @maremidundo6997

    @maremidundo6997

    5 жыл бұрын

    Nani kakudanganya mnyamwezi uyo hujui uriza

  • @innocentamani1453
    @innocentamani14535 жыл бұрын

    Naamini makonda hajielewi kabisa nguo gani kavaa kama kiongzi mkubwa wa mkoa

  • @exhaudyvalentine1767
    @exhaudyvalentine17675 жыл бұрын

    Kama Umeona Gnzi ya Mkuu wa Mkoa Magotin kaichana chana kama za Wcb like hapa

  • @ashahassan4032
    @ashahassan40325 жыл бұрын

    ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upangaa.... alichomfanyia pieree

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro67425 жыл бұрын

    Barikiwa Kiongozi,hakika una maneno ya hekima mh mbowe,pia Katibu barikiwa Sana

  • @frankmakeula4506
    @frankmakeula45065 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa hakuwa na maana mbaya mheshimiwa Mbunge ndio tatizo acha siasa msibani

  • @muksinchingonikaya2584

    @muksinchingonikaya2584

    5 жыл бұрын

    Waache propaganda wasenge hao.. Mbowe yeye kila kitu kupinga tu...

  • @mussashekiputa3822
    @mussashekiputa38225 жыл бұрын

    Me naogopa kukoment maana kuna watu wasiojulikanaaaaaa

  • @sulejiTv
    @sulejiTv5 жыл бұрын

    Uyu mzee mbowe ana heshima sana nime hamini utu huzima dawa.

  • @majutochikawetv8965

    @majutochikawetv8965

    5 жыл бұрын

    Acha ujinga wewe unakuza mambo tu mburula nyie

  • @centralboytz4240
    @centralboytz42405 жыл бұрын

    Dah aisee Had mazabahun hamuon aibu jaman kwny ishu nyet km hyo #ripmengi

  • @dsstanzania
    @dsstanzania5 жыл бұрын

    Safi sana

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67885 жыл бұрын

    Kama kijana makonda anandaliwa kuwa kiongozi afai kwanzia sahivi

  • @seifmwinshee3593

    @seifmwinshee3593

    5 жыл бұрын

    Mbowe anafaa????

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani46405 жыл бұрын

    Mboye anabivu na Jamaa na sio vngne huwez kumfanyia makonda HVO msiban hapo watu wanaomboleza siasa weka kando

  • @ndhindilomachibya5514
    @ndhindilomachibya55145 жыл бұрын

    Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie

  • @mabwaimabwai4580
    @mabwaimabwai45805 жыл бұрын

    Du! Nani yupo nyuma ya Makonda? Huyu anaendelea kuvumilikaje?

  • @robertmshana8730
    @robertmshana87305 жыл бұрын

    Nilichokisema mwaka Jana ninakusimamia hichohicho.

  • @scayroad8500
    @scayroad85005 жыл бұрын

    BASHIRU WW NI MNAFIKI HIYO SIMIYU ILIKUWA INAHUSIANA NN NA HILI LA LEO

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96265 жыл бұрын

    Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.

  • @glorymrema7138
    @glorymrema71385 жыл бұрын

    U come down makonda

  • @lilianurio9781
    @lilianurio97815 жыл бұрын

    Kaka angu makonda hao ni wachaga, ingekuta ni mmasai au mmeru baba dhuu.

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7015 жыл бұрын

    Kama utani ungesema kama mzee magu anavyo semaga watani zangu. Sasa we umenyooka kama rula umekosemea sana sana. Usiwe mbishi kubali yaishe tu

  • @revocatusmbangule8730
    @revocatusmbangule87305 жыл бұрын

    😊

  • @piijey7977
    @piijey79775 жыл бұрын

    Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.

  • @aishahassan1179

    @aishahassan1179

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa akuwa na nia mbaya

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    5 жыл бұрын

    Hats hivyo msg sent ni kweli hawasaidigi kama wewe sio mchaga mwenzie Utani ulio kweli

  • @kallahassan4896
    @kallahassan48965 жыл бұрын

    nikweli hata Mimi namuunga mkono makonda kwanini tufichane hata nyerere alisema kuna makabila yana ubaguzi natusipo semana tutakuwa tunafuga ujinga

  • @actwazalendo2784
    @actwazalendo27845 жыл бұрын

    Huyu kijana anadharau sana

  • @chichivanny2663
    @chichivanny26635 жыл бұрын

    Makonda ni mtu makini

  • @bro.thobiassilas421
    @bro.thobiassilas4215 жыл бұрын

    Umefanya vizuri sana mr mbowe.Makonda elimu ni mdogo akapewa nafasi katika utawala.Yaani umemweza .

  • @wilsonboniface6482
    @wilsonboniface64825 жыл бұрын

    Hapo amelazimishwa tu kuombana msamaha kwa vile ni kanisani mbona aligoma hadi kashawishiwa na msaidizi wake hilo funika kombe tu

  • @ibrahimmsham3842
    @ibrahimmsham38425 жыл бұрын

    Wameandaliwa kwa stairi ya kicki, sio awaja andaliwa Wameandaliwa kwa stairi ya kick

  • @hajiharun3587
    @hajiharun35875 жыл бұрын

    Kumbe madhabahuni suruali za stahili ile mbele ya hafla kubwa kwa Mtu mwenye heshma ktk Taifa unamuaga kwa Vazi lile, Dr. Bashiru nimekuelewa.

  • @mariacassian2738
    @mariacassian27385 жыл бұрын

    Muungwana akivuliwanguo hasimami huchutama lakini huyu makonda kajivua halafu anapiga sarakasi huku anajiona mshindi

  • @devothasanga9228
    @devothasanga92285 жыл бұрын

    Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam40295 жыл бұрын

    Sasa makonda alibeza kabira la kichaga kiaje huyoo Mbowe nimeamini Hafai kuwa kiongozi Vitu vidogo kama Hivi unalopoka hovyoo kweli kuwa kiongozi unatakiwa uwe makini na busara

  • @deusmauka9626

    @deusmauka9626

    5 жыл бұрын

    Mbowe kachemka kwa kweli, wamelishupalia kweli hilo.

  • @chachamagoti2400

    @chachamagoti2400

    5 жыл бұрын

    Sonda Lolela Wewe hovyo zaidi ya makonda. Makonda na mbowe nani hayuko makin.

  • @kassimmkemae1533

    @kassimmkemae1533

    5 жыл бұрын

    Mbowe kakulupuka na lengo lake amzalilishe Makonda lkn kwa nilichoelewa mm nothing bad for Makonda

  • @salomekyando428

    @salomekyando428

    5 жыл бұрын

    Sonda Lole la

  • @gracedismas1108

    @gracedismas1108

    5 жыл бұрын

    Nyumbus kwa kufata mkumbo

  • @afronemmy
    @afronemmy5 жыл бұрын

    Ifike wakat tuache izo hrm

Келесі