No video

MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!

MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemuomba
Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na watanzania wote kwa ujumla kufuatia kauli yake aliyoitoa juzi katika viwanja vya Karimjee katika hafla ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, ambapo alisema kuwa hajawahi kuona Mchaga mwenye roho kama ya Mengi kwani ameweza kutoa pesa ya kuwasaidia walemavu....
#RIPMENGI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 103

  • @neitherherenorthere8367
    @neitherherenorthere83675 жыл бұрын

    Yaani napenda sana Watanzania. Lugha nzuri, matamshi ya taratibu. Mumebarikiwa sana Watanzania. Yaani mimi nikutamani tu. Ila ningekuwa na uwezo ningehama nije huko. Mwenyezi Mungu amurehemu Dktr. Mengi. Sio matajiri wengi wana upendo usio na kifani kama yeye.

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera66485 жыл бұрын

    Bigup brother makonda umesema kweli na kweli hakika Amesema mengi ni mchaga Bora kabisa kuliko wengine maana yake aliowahi kuwaona wakifanya aliyofanya mzee mengi-kwani kina mbowe siwapo wameshafanya nn kwa jamii chenye direct Impact? Na je hao si matajiri pia Iwish I could be him there before. Piga kazi Braza makonda God bless you.

  • @fredreckmwakalinga3475

    @fredreckmwakalinga3475

    5 жыл бұрын

    elface chongera unamatatizo ya kiupeo pole cna

  • @elfacechongera6648

    @elfacechongera6648

    5 жыл бұрын

    Fredreck Mwakalinga Asante.

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo41775 жыл бұрын

    Mungu amsaidie ndg yetu Makonda!! Na amini ni kiongozi mzuri sn lkn kila mtu ana udhaifu wake....Kubali kubadilika ndg

  • @user-sc8je2kp9y
    @user-sc8je2kp9y4 ай бұрын

    Mungu awabariki

  • @julessebintu6525
    @julessebintu65255 жыл бұрын

    Lakini hiki kimakonda wa tanzania munakipendea nini mbona kichani kina maji ?hakika nawapenda wa tanzania lakini hiki kiongozi chenu kinalopoka hakina uzalendo wa kitanzania.mara kinasema wasani,mara kinasema mobeto,mara kinasema mange. Kinajitia juu hakina hakili.sijui kwajua nini MAGUFULI alikitewuwa kikuwe mukua wa daressalaam

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely35755 жыл бұрын

    Mbowe acha siasa msibani!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msibani!..umeamua kumzalilisha makonda hazaran iliuonekane we ni safi hauna usafi wowote!.msiban cyo mahali pa kufanyia siasa!.

  • @johnbernad1529
    @johnbernad15295 жыл бұрын

    Pole rc Makonda hizo ndio changamoto za kazi Mungu atakutia nguvu

  • @witnessjosephmtanke4757

    @witnessjosephmtanke4757

    5 жыл бұрын

    John John hahahaaa pole tena

  • @amosthomas1851
    @amosthomas18515 жыл бұрын

    mbowe Mbinafsi umetaka kuleta ukabila kisa makonda alikuwa kwenye himaya yenu na wew makonda msubilie dar na mbowe tumemnukuu kauli Zake kwa taarifa kambi ya upinzani mlipanga na mkamwambie mbowe awakilishe jaman nasema uongo kama ni uongo abishe Nitoe ukweli wake hapa chini

  • @sanurahyusuph6149
    @sanurahyusuph61494 жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen4755 жыл бұрын

    Hehehe makonda na mbowe niwachekeshaji sana

  • @saidmathias8850
    @saidmathias88505 жыл бұрын

    Makonda jaribu Sana kuwa unafikiria kabla kuongea .kiukwel ulimsifia mpaka ukarbu

  • @mamiimangeshomangesho3902
    @mamiimangeshomangesho39025 жыл бұрын

    Mungu amsaidie sana Makonda ! Hata hayo mavazi hayafanani na kiongozi wa nchi ! Mavazi ya kihuni hayo ! Yana wenyewe !mmmmh

  • @momylaviel

    @momylaviel

    5 ай бұрын

    Vipi Kwan Una chuki nae

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf4 жыл бұрын

    Kazidi kuwatusi wachaga tatizo utawala huu ni wa digiirii 3 wengi wao ni masuti mazuri tu kichwani hamna jambo,

  • @nicksongerson1707
    @nicksongerson17073 жыл бұрын

    Huyo nahisi mapungufu yake mpka ndani ndio maana hata kuzaa ni shida huyu.. Maana anajiona kama vile anajua sana ..kumbe haeleweki mbele ya jamii .. Mwisho kajitumbua mwenyewe wakati watu wanaogopa kutumbuliwa.

  • @josephmateru8892
    @josephmateru88925 жыл бұрын

    Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka

  • @cherilydavid3066
    @cherilydavid30665 жыл бұрын

    WATZ sisi wote ni binadamu tunafanya makosa saa nyinginge kwa makusudi mwingine bila kujua. Mkuu wetu wa mkoa ni kijana mwenye nguvu, mchapakazi na ana hofu ya Mungu. Kwa hiyo kama amekiri kosa apongezwe mnataka nini tena?

  • @brightnesskajuna7716

    @brightnesskajuna7716

    5 жыл бұрын

    Cherily David

  • @IssaMtambalike-kw3om
    @IssaMtambalike-kw3om8 ай бұрын

    😢

  • @aminabalamamnyawasatnzania876
    @aminabalamamnyawasatnzania8765 жыл бұрын

    Kwanza bado hajaomba samahani km mmemsikikiliza kwa makini

  • @elfacechongera6648

    @elfacechongera6648

    5 жыл бұрын

    Kwani kakosea nn

  • @Pihansmo1129
    @Pihansmo11294 жыл бұрын

    Duhhh!!! Jamani mambo ya aibu mhhhh!!🏃

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema14645 жыл бұрын

    Huyo ni wa kusamehe tu maana hajui hata kama amekosea...

  • @charlesmartin9522
    @charlesmartin95225 жыл бұрын

    Askofu anaakili sana

  • @priscaurassa5847
    @priscaurassa58475 жыл бұрын

    Unavaa jinsi lililochanika magotini alafu msibani ndani ya kanisa muhuni mkubwa

  • @khamisfaki4640

    @khamisfaki4640

    4 жыл бұрын

    Itakua hyo sehemu ni ya kihun

  • @petermarco9559
    @petermarco95595 жыл бұрын

    jinga sana hili limejawa na kiburi,halijajua pesa ,vyeo vyote tunakufa tunaviacha

  • @user-fe9po2tr5v
    @user-fe9po2tr5v5 ай бұрын

    Makonda. Hajafunzwa. Dah. Anaropoka. Sana.. Kywazidi. Wote

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Жыл бұрын

    😮

  • @faustinelutwe6901
    @faustinelutwe69014 жыл бұрын

    Maigizo hayo ! Msamaha unakuwaga mwepesi kiasi hicho ? Sikia hiyo "TAFSILI NI TATIZO"...... !!

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo11315 жыл бұрын

    Kwa kweli wamemdhalilisha sana ingawa alikua ana rekebishwa. Kisha wa kumshauri mavazi?

  • @immahkobeh1276
    @immahkobeh12764 жыл бұрын

    duh

  • @thomasysanga2420
    @thomasysanga24205 жыл бұрын

    Atari sana

  • @jassonbrown3017

    @jassonbrown3017

    5 жыл бұрын

    Liquid konk konk masta

  • @johnsonjusto9564
    @johnsonjusto95645 жыл бұрын

    makonda alikuwa hasikii anavyoitwa au ila wamesameheana tena madhabahuni

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47343 жыл бұрын

    Kaka ako wapi Mbowe fala wewe umeshiliki kubomoa Club yake kisa chuki zako tu sasaivi kumekua parking za magari tu mungu nae hamtupi mja wake awamu ya 5 chali imebaki story tu

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry71015 жыл бұрын

    Ukweli unauma Mbowe.hujafanya chochote.huko kimekuchana na wembe

  • @janesuma2193
    @janesuma21935 жыл бұрын

    makonda apunguze kukurupuka na kauli zake za hovyo ni mchapakazi mzuri ila mdomo mmh ana kauli mbaya sana

  • @amosthomas1851
    @amosthomas18515 жыл бұрын

    Kwani mnamsema makonda alikuwa uchi mbona ni vitu vya kawaida wewe ulitaka avaaje

  • @frankmwalukuta8888
    @frankmwalukuta88885 жыл бұрын

    asante katibu wa ccm lakini hayo ya alikuja ofisini kwako aklia mmm yanahusu nini. kama alitubu pale huwa kati yako na yeye

  • @paulmwarabu6685
    @paulmwarabu66852 жыл бұрын

    Dr Shoo anakuita uombe radhi, unauliza kwanini? Hujui? Jamaa alikua na dharau sana

  • @fahminasser3855
    @fahminasser38555 жыл бұрын

    Halafu huyu makonda kiongozi mkuu wa mkoa mnajua hana heshima kabisa kiongozi mkuu wa mkoa unaenda msibani umevaa kihuni nguo za kuchanika magotini kweli jmn kiongozi gani kuvaa mavazi ya kihuni kama mvuta bangi jirekebishe Makonda ww kiongozi usijafananishe kama muokota makopo mvuta unga

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Жыл бұрын

    Heri wapatanishi matayo 5:8

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim97575 жыл бұрын

    Nimefurahi huo ndio ubinadamu hakuna alie kamili hongera

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly30564 жыл бұрын

    Kwani makonda dini ngani jaman

  • @kyaro5945
    @kyaro59455 жыл бұрын

    Huyu hawajui wachaga kwa kuvunja chungu. Ameogopa huyo, tutavunja chungu tuu hawawajui wachaga

  • @jamesswai6583

    @jamesswai6583

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын

    Hii ni mpya toka niijuwe dunia

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын

    Nyege zitamuisha Makonda Next time atajua jisi yakuongea 😂😂😂😂👌👌

  • @hensongunman1680

    @hensongunman1680

    5 жыл бұрын

    Ngwajima anajichafua mwenyewe, nahizopicha zauchi nakufanya uzinzi live ni Makonda? Achahizooo

  • @AliBaba-zb3tg

    @AliBaba-zb3tg

    5 жыл бұрын

    @@hensongunman1680 Uliona hapa nime mzungumzia gwajima?

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu53434 жыл бұрын

    Makonda amevaa suruali ya chambuu imepasuliwa kwenye magoti.

  • @andrewmhagama1042
    @andrewmhagama10425 жыл бұрын

    aliyeitwa ni Makonda Muro unaenda wapi mbona hutulii?

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton82684 жыл бұрын

    Naangalia hii kitu leo nacheka saaana

  • @amosthomas1851
    @amosthomas18515 жыл бұрын

    Acheni unafiki bila Shaka na ninyi ni wachaga

  • @cleopamsuya1560
    @cleopamsuya15605 жыл бұрын

    Poleni kwa msiba mm mkazi wa moshi lakini nampenda makonda mpenda haki

  • @makachamusic
    @makachamusic9 ай бұрын

    Altareni

  • @godwinchengula3621
    @godwinchengula36215 жыл бұрын

    Makonda hata boss wako anaona kibri kimezidi unampa raisi watu wakati mugum

  • @amosthomas1851

    @amosthomas1851

    5 жыл бұрын

    Godwin Chengula kibuli kipi kwani hayo mambo yapo kiserikali

  • @godwinchengula3621

    @godwinchengula3621

    5 жыл бұрын

    @@amosthomas1851 hatakama selika ni sisi bila sisi selikali haiwezi kuwepo

  • @fidelfemba1643
    @fidelfemba16434 жыл бұрын

    Siasa hadi kanisani

  • @piere6250
    @piere62505 жыл бұрын

    Anaelekezwa kama mtoto wa shule ya msingi daa

  • @alyhamad63

    @alyhamad63

    5 жыл бұрын

    Mm sielewi aricho kisema makonda nanukuru maneno ya makonda mzee mengi ni mchaga bora iro ndio neno baya jamani mbowe nikipi aricho kichukia mbowe ana ela kibao sijawai kumwona ana waita walemavu na kula nae chakula kwa pamoja eeh tuache kumchukia makonda bira sababu mbona ata marais uwa tunasikiaga rais kutajwa rais Bora jee awo wengine sio marais apana ila watu wanaangaria kafanya kitu gani na ndumana wakakupendekeza kukuchagua rais Bora na ata wachezaji na Kuna mchezaji Bora kwani wale wengine sio wachezaji acheni kumchukia mtu bira sababu na mm nasema Tena mzee wetu mengi ni mchaga bora na ata tokea Tena mchaga Kama yule kuita walemavu na kula nae chakula mm namsapoti makonda

  • @user-fe9po2tr5v
    @user-fe9po2tr5v5 ай бұрын

    M

  • @elishafilipo1887
    @elishafilipo18874 жыл бұрын

    Tatizo huyo makonda ana ubinafs na chama chao

  • @priscaurassa5847
    @priscaurassa58475 жыл бұрын

    Kiswahili shida eti tafasiri

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange43892 жыл бұрын

    Jambazi makonda

  • @mayungaiswaga4477
    @mayungaiswaga44774 жыл бұрын

    Mayunga m maziku

  • @victormushi6641
    @victormushi66413 жыл бұрын

    gonda boy

  • @mohamedkaraturamohamedkara1085
    @mohamedkaraturamohamedkara10853 жыл бұрын

    Safisanaaaaa mchungaj

  • @witymuro4904
    @witymuro4904 Жыл бұрын

    Mhhhh

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma30033 жыл бұрын

    Simpend makonda mtu mbaya huyu bora ya wachawi kulko makonda

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Sijaelewa msamaha ya nini

  • @allymsuya6655
    @allymsuya66555 жыл бұрын

    Kwani kulikuwa na bifu kati ya Bashite na Mbowe au Bashite aliropoka?!?! Na nyie ripotas kuweni na akili basi. Acheni uchurouchuro

  • @hemrodngunga9967

    @hemrodngunga9967

    5 жыл бұрын

    msamaha ni neno dogo lkn linauzito ndan yake.. plz, 2samehe na kumwombea mzee we2 apate raha ya milele na mungu amwangazie nuru yake huko alipo

  • @aureliabernadi4170
    @aureliabernadi41704 жыл бұрын

    Mbona hajaomba msamaha sasa?

  • @abiniyerdmnyaga5352
    @abiniyerdmnyaga53524 жыл бұрын

    Makonda unajua bana wasikuxumbue hao Kama Kuna moja umekosea lixifte mazur yote

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel10784 жыл бұрын

    wewe huwezi kubali madhaifu yako una kiburi cha uzima Makonda

  • @mwanshageorge2983
    @mwanshageorge29834 жыл бұрын

    Acha zalau wewe kamera zilikunasa unamfunga MTU kiatu,Mh,mbowe tunajua busara zako wakati mwingine kuonyesha nawewe ni binadam mwenye royo maumivu usingeenda at a mazabahuni apo

  • @martinhp1530
    @martinhp15304 жыл бұрын

    Wanatuletea comedy katka inch yetu .sasaivyo c vtuko

  • @salimmwaim3816
    @salimmwaim38165 жыл бұрын

    sojaona kosa la makonda,kwel tz n vichwa vya,wendawazim siasa msiban diiih

  • @witnessjosephmtanke4757

    @witnessjosephmtanke4757

    5 жыл бұрын

    salim Mwaim ungekuwa.mchaga ungejua maana

  • @nessa4899
    @nessa48995 жыл бұрын

    Makonda achana na Gwajima wewe unapata mikosi ya bureee,

  • @HandwrittenMemories

    @HandwrittenMemories

    5 жыл бұрын

    Ila kwel eeh

  • @angelsgabriely3575

    @angelsgabriely3575

    5 жыл бұрын

    Mbowe acha siasa msiban!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msiban!.umeamua kumzalilisha mwenzio msiban ili uonekane we n safi!.hauna usaf wowote!acha siasa mcbani!

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11705 жыл бұрын

    Naona jamaa amechomolewa na Baba Askofu

  • @geraldkalima7183

    @geraldkalima7183

    5 жыл бұрын

    Tatizo shule

  • @dianacornely8666
    @dianacornely86665 жыл бұрын

    Mm mwenzio pia nilikusikiliza tu nikasema huyu hawajui wachaga

  • @aishahayata6131

    @aishahayata6131

    5 жыл бұрын

    Wachaga wana nini??

  • @kadriaswed7368

    @kadriaswed7368

    5 жыл бұрын

    @@aishahayata6131 wana pesa

  • @juliusswai8363
    @juliusswai83635 жыл бұрын

    ange koma mjinga sana huyo

  • @abubakariomari6373

    @abubakariomari6373

    4 жыл бұрын

    Ml

  • @tedikimario7616
    @tedikimario76165 жыл бұрын

    usimpe mkono wako uyo mnafiki atakutia gundu bure hamna tafasiri ulimaanisha.

  • @kyaro5945

    @kyaro5945

    5 жыл бұрын

    Tedy nyinda kyaa

  • @kyaro5945

    @kyaro5945

    5 жыл бұрын

    Tedy vipi?

  • @eliasisaya5846
    @eliasisaya58465 жыл бұрын

    Acheni unafiki ni kweli makonda yuko sahihi wachaga ni wagumu kutoa ila siyo wote wapo wachache akina mengi

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab72385 жыл бұрын

    Hivi kweli msibani watu wataogopa kwenda sasa..tumegeuza misiba kuwa majukwaa ya kuwadhalilisha na kuwalipizia watu visasi,hii haikuwa desturi ya waafrika..kwani mngemwita makonda huko ndani na wakaongea tofaut zao na kumalizana heshima yake km mkuu wa mkoa ingebak pale pale..lkn si mbele za watu na huku kuna msiba...angalia michango ya watu kwenye hili tukio utajua madhara hapo..kuna ukabila umeingia hapo,kuna udini mambo ya gwajma,kuna siasa, kuna waliojeruhiwa ktk matukio ya kurekebishana juu ya sheria mbalmbl ....

  • @yusuphhassan7493

    @yusuphhassan7493

    5 жыл бұрын

    kiukweli namsifu makonda.kaongeaukweli.kabiragumu kutoapesa hapa tz niwachaga.nambamoja bigap kakamakonda..hakuna arichokosea

  • @josephmateru8892
    @josephmateru88925 жыл бұрын

    Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka

  • @nessa4899
    @nessa48995 жыл бұрын

    Makonda unamchafua Gwajima unapata mikosi.

Келесі