No video
MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemuomba
Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na watanzania wote kwa ujumla kufuatia kauli yake aliyoitoa juzi katika viwanja vya Karimjee katika hafla ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, ambapo alisema kuwa hajawahi kuona Mchaga mwenye roho kama ya Mengi kwani ameweza kutoa pesa ya kuwasaidia walemavu....
#RIPMENGI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 103
Yaani napenda sana Watanzania. Lugha nzuri, matamshi ya taratibu. Mumebarikiwa sana Watanzania. Yaani mimi nikutamani tu. Ila ningekuwa na uwezo ningehama nije huko. Mwenyezi Mungu amurehemu Dktr. Mengi. Sio matajiri wengi wana upendo usio na kifani kama yeye.
Bigup brother makonda umesema kweli na kweli hakika Amesema mengi ni mchaga Bora kabisa kuliko wengine maana yake aliowahi kuwaona wakifanya aliyofanya mzee mengi-kwani kina mbowe siwapo wameshafanya nn kwa jamii chenye direct Impact? Na je hao si matajiri pia Iwish I could be him there before. Piga kazi Braza makonda God bless you.
@fredreckmwakalinga3475
5 жыл бұрын
elface chongera unamatatizo ya kiupeo pole cna
@elfacechongera6648
5 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga Asante.
Mungu amsaidie ndg yetu Makonda!! Na amini ni kiongozi mzuri sn lkn kila mtu ana udhaifu wake....Kubali kubadilika ndg
Mungu awabariki
Lakini hiki kimakonda wa tanzania munakipendea nini mbona kichani kina maji ?hakika nawapenda wa tanzania lakini hiki kiongozi chenu kinalopoka hakina uzalendo wa kitanzania.mara kinasema wasani,mara kinasema mobeto,mara kinasema mange. Kinajitia juu hakina hakili.sijui kwajua nini MAGUFULI alikitewuwa kikuwe mukua wa daressalaam
Mbowe acha siasa msibani!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msibani!..umeamua kumzalilisha makonda hazaran iliuonekane we ni safi hauna usafi wowote!.msiban cyo mahali pa kufanyia siasa!.
Pole rc Makonda hizo ndio changamoto za kazi Mungu atakutia nguvu
@witnessjosephmtanke4757
5 жыл бұрын
John John hahahaaa pole tena
mbowe Mbinafsi umetaka kuleta ukabila kisa makonda alikuwa kwenye himaya yenu na wew makonda msubilie dar na mbowe tumemnukuu kauli Zake kwa taarifa kambi ya upinzani mlipanga na mkamwambie mbowe awakilishe jaman nasema uongo kama ni uongo abishe Nitoe ukweli wake hapa chini
Nimeipenda hiyo
Hehehe makonda na mbowe niwachekeshaji sana
Makonda jaribu Sana kuwa unafikiria kabla kuongea .kiukwel ulimsifia mpaka ukarbu
Mungu amsaidie sana Makonda ! Hata hayo mavazi hayafanani na kiongozi wa nchi ! Mavazi ya kihuni hayo ! Yana wenyewe !mmmmh
@momylaviel
5 ай бұрын
Vipi Kwan Una chuki nae
Kazidi kuwatusi wachaga tatizo utawala huu ni wa digiirii 3 wengi wao ni masuti mazuri tu kichwani hamna jambo,
Huyo nahisi mapungufu yake mpka ndani ndio maana hata kuzaa ni shida huyu.. Maana anajiona kama vile anajua sana ..kumbe haeleweki mbele ya jamii .. Mwisho kajitumbua mwenyewe wakati watu wanaogopa kutumbuliwa.
Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka
WATZ sisi wote ni binadamu tunafanya makosa saa nyinginge kwa makusudi mwingine bila kujua. Mkuu wetu wa mkoa ni kijana mwenye nguvu, mchapakazi na ana hofu ya Mungu. Kwa hiyo kama amekiri kosa apongezwe mnataka nini tena?
@brightnesskajuna7716
5 жыл бұрын
Cherily David
😢
Kwanza bado hajaomba samahani km mmemsikikiliza kwa makini
@elfacechongera6648
5 жыл бұрын
Kwani kakosea nn
Duhhh!!! Jamani mambo ya aibu mhhhh!!🏃
Huyo ni wa kusamehe tu maana hajui hata kama amekosea...
Askofu anaakili sana
Unavaa jinsi lililochanika magotini alafu msibani ndani ya kanisa muhuni mkubwa
@khamisfaki4640
4 жыл бұрын
Itakua hyo sehemu ni ya kihun
jinga sana hili limejawa na kiburi,halijajua pesa ,vyeo vyote tunakufa tunaviacha
Makonda. Hajafunzwa. Dah. Anaropoka. Sana.. Kywazidi. Wote
😮
Maigizo hayo ! Msamaha unakuwaga mwepesi kiasi hicho ? Sikia hiyo "TAFSILI NI TATIZO"...... !!
Kwa kweli wamemdhalilisha sana ingawa alikua ana rekebishwa. Kisha wa kumshauri mavazi?
duh
Atari sana
@jassonbrown3017
5 жыл бұрын
Liquid konk konk masta
makonda alikuwa hasikii anavyoitwa au ila wamesameheana tena madhabahuni
Kaka ako wapi Mbowe fala wewe umeshiliki kubomoa Club yake kisa chuki zako tu sasaivi kumekua parking za magari tu mungu nae hamtupi mja wake awamu ya 5 chali imebaki story tu
Ukweli unauma Mbowe.hujafanya chochote.huko kimekuchana na wembe
makonda apunguze kukurupuka na kauli zake za hovyo ni mchapakazi mzuri ila mdomo mmh ana kauli mbaya sana
Kwani mnamsema makonda alikuwa uchi mbona ni vitu vya kawaida wewe ulitaka avaaje
asante katibu wa ccm lakini hayo ya alikuja ofisini kwako aklia mmm yanahusu nini. kama alitubu pale huwa kati yako na yeye
Dr Shoo anakuita uombe radhi, unauliza kwanini? Hujui? Jamaa alikua na dharau sana
Halafu huyu makonda kiongozi mkuu wa mkoa mnajua hana heshima kabisa kiongozi mkuu wa mkoa unaenda msibani umevaa kihuni nguo za kuchanika magotini kweli jmn kiongozi gani kuvaa mavazi ya kihuni kama mvuta bangi jirekebishe Makonda ww kiongozi usijafananishe kama muokota makopo mvuta unga
Heri wapatanishi matayo 5:8
Nimefurahi huo ndio ubinadamu hakuna alie kamili hongera
Kwani makonda dini ngani jaman
Huyu hawajui wachaga kwa kuvunja chungu. Ameogopa huyo, tutavunja chungu tuu hawawajui wachaga
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Hii ni mpya toka niijuwe dunia
Nyege zitamuisha Makonda Next time atajua jisi yakuongea 😂😂😂😂👌👌
@hensongunman1680
5 жыл бұрын
Ngwajima anajichafua mwenyewe, nahizopicha zauchi nakufanya uzinzi live ni Makonda? Achahizooo
@AliBaba-zb3tg
5 жыл бұрын
@@hensongunman1680 Uliona hapa nime mzungumzia gwajima?
Makonda amevaa suruali ya chambuu imepasuliwa kwenye magoti.
aliyeitwa ni Makonda Muro unaenda wapi mbona hutulii?
Naangalia hii kitu leo nacheka saaana
Acheni unafiki bila Shaka na ninyi ni wachaga
Poleni kwa msiba mm mkazi wa moshi lakini nampenda makonda mpenda haki
Altareni
Makonda hata boss wako anaona kibri kimezidi unampa raisi watu wakati mugum
@amosthomas1851
5 жыл бұрын
Godwin Chengula kibuli kipi kwani hayo mambo yapo kiserikali
@godwinchengula3621
5 жыл бұрын
@@amosthomas1851 hatakama selika ni sisi bila sisi selikali haiwezi kuwepo
Siasa hadi kanisani
Anaelekezwa kama mtoto wa shule ya msingi daa
@alyhamad63
5 жыл бұрын
Mm sielewi aricho kisema makonda nanukuru maneno ya makonda mzee mengi ni mchaga bora iro ndio neno baya jamani mbowe nikipi aricho kichukia mbowe ana ela kibao sijawai kumwona ana waita walemavu na kula nae chakula kwa pamoja eeh tuache kumchukia makonda bira sababu mbona ata marais uwa tunasikiaga rais kutajwa rais Bora jee awo wengine sio marais apana ila watu wanaangaria kafanya kitu gani na ndumana wakakupendekeza kukuchagua rais Bora na ata wachezaji na Kuna mchezaji Bora kwani wale wengine sio wachezaji acheni kumchukia mtu bira sababu na mm nasema Tena mzee wetu mengi ni mchaga bora na ata tokea Tena mchaga Kama yule kuita walemavu na kula nae chakula mm namsapoti makonda
M
Tatizo huyo makonda ana ubinafs na chama chao
Kiswahili shida eti tafasiri
Jambazi makonda
Mayunga m maziku
gonda boy
Safisanaaaaa mchungaj
Mhhhh
Simpend makonda mtu mbaya huyu bora ya wachawi kulko makonda
Sijaelewa msamaha ya nini
Kwani kulikuwa na bifu kati ya Bashite na Mbowe au Bashite aliropoka?!?! Na nyie ripotas kuweni na akili basi. Acheni uchurouchuro
@hemrodngunga9967
5 жыл бұрын
msamaha ni neno dogo lkn linauzito ndan yake.. plz, 2samehe na kumwombea mzee we2 apate raha ya milele na mungu amwangazie nuru yake huko alipo
Mbona hajaomba msamaha sasa?
Makonda unajua bana wasikuxumbue hao Kama Kuna moja umekosea lixifte mazur yote
wewe huwezi kubali madhaifu yako una kiburi cha uzima Makonda
Acha zalau wewe kamera zilikunasa unamfunga MTU kiatu,Mh,mbowe tunajua busara zako wakati mwingine kuonyesha nawewe ni binadam mwenye royo maumivu usingeenda at a mazabahuni apo
Wanatuletea comedy katka inch yetu .sasaivyo c vtuko
sojaona kosa la makonda,kwel tz n vichwa vya,wendawazim siasa msiban diiih
@witnessjosephmtanke4757
5 жыл бұрын
salim Mwaim ungekuwa.mchaga ungejua maana
Makonda achana na Gwajima wewe unapata mikosi ya bureee,
@HandwrittenMemories
5 жыл бұрын
Ila kwel eeh
@angelsgabriely3575
5 жыл бұрын
Mbowe acha siasa msiban!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msiban!.umeamua kumzalilisha mwenzio msiban ili uonekane we n safi!.hauna usaf wowote!acha siasa mcbani!
Naona jamaa amechomolewa na Baba Askofu
@geraldkalima7183
5 жыл бұрын
Tatizo shule
Mm mwenzio pia nilikusikiliza tu nikasema huyu hawajui wachaga
@aishahayata6131
5 жыл бұрын
Wachaga wana nini??
@kadriaswed7368
5 жыл бұрын
@@aishahayata6131 wana pesa
ange koma mjinga sana huyo
@abubakariomari6373
4 жыл бұрын
Ml
usimpe mkono wako uyo mnafiki atakutia gundu bure hamna tafasiri ulimaanisha.
@kyaro5945
5 жыл бұрын
Tedy nyinda kyaa
@kyaro5945
5 жыл бұрын
Tedy vipi?
Acheni unafiki ni kweli makonda yuko sahihi wachaga ni wagumu kutoa ila siyo wote wapo wachache akina mengi
Hivi kweli msibani watu wataogopa kwenda sasa..tumegeuza misiba kuwa majukwaa ya kuwadhalilisha na kuwalipizia watu visasi,hii haikuwa desturi ya waafrika..kwani mngemwita makonda huko ndani na wakaongea tofaut zao na kumalizana heshima yake km mkuu wa mkoa ingebak pale pale..lkn si mbele za watu na huku kuna msiba...angalia michango ya watu kwenye hili tukio utajua madhara hapo..kuna ukabila umeingia hapo,kuna udini mambo ya gwajma,kuna siasa, kuna waliojeruhiwa ktk matukio ya kurekebishana juu ya sheria mbalmbl ....
@yusuphhassan7493
5 жыл бұрын
kiukweli namsifu makonda.kaongeaukweli.kabiragumu kutoapesa hapa tz niwachaga.nambamoja bigap kakamakonda..hakuna arichokosea
Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka
Makonda unamchafua Gwajima unapata mikosi.