MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....
MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 146
Hongera makonda umesitisha maongezi kwa ajili ya AZANA mungu akubariki
Nakubali sana pamoja na mapungufu yake, anamchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.
Baba hizo salamu zifike na kwa wakuu wa wilaya hasa ARUSHA
Hongera kiongozi makonda piga kazi ,kazi iendelee tunampenda sana mama na mitano tena tutampa hakika,kama kazi mama amefanya
Kwahyo huyo Rc alivotikisa kichwa ndo ukaona upost😢
Mungu ni mwema akisema ndio hakuna wa kusema hapana, na ktk hii dunia huwezi pendwa na watu wote, chapa kazi timiza majukumu yako
Mnaongea sana maisha yanazidi kuwa magumu kilakitu ghali mafuta umeme vinywaji yaani ninyi mnafurahi sisi tunahuzuni
Tunaomb mutusaidie tumpqte mtoto Warda sasa mwez wa 7 mwalimu wema kahonga pesa sijui vip jamani tulia tunaomba😢😢😢😢
Kama kweli kuna haki masidie mama Warda apate mwanae tafadhali
Chapa kazi kaka
Mbn hilo jukumu la warda hamlibebi wala hawaambii hio siri kali ahh 😢😢😢
Sawa mkuu tunakukubali ila kunamtoto WARDA aliepotea tunaomba msaada mkuu
Asante mkuu, Tumevuka,
Acheni wizi haki itawale ndio tutawapenda.
hongera sana
sijaelewa haya maneno kiongozi wa chama cha ccm kusema tz haina vyama vya upinzani. bali ina watowa taarifa
Coming back strong all the best 👍 👌
😄😄😄😄MTU habadilishwiii kwa kusemwaa piga kazi Makondaa
Makonda you are good! Keep it brother
Pamoja baba