TANGAZO LA UPANGISHAJI STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela anapangisha vyumba vilivyopo wazi katika stendi ya mabasi ya Nyamhongolo
Tuma Barua ya maombi kwenda kwa:
Mkurugenzi wa Halmashauri
Manispaa ya Ilemela
S.L.P 735
ILEMELA-MWANZA
Пікірлер: 7
Je bei ni rafiki, maana biashara ngumu jamani
Baada yawenyewe kuwashinda ndioo mnatuambiaa
Acheni unafiki gengo harijaisha pia hua munachukuanchi zilizo ende hafu muna onyesha
Duh...Kwa hiyo Mwanza mna stendi 2 za kisasa..
@luhendesoloshija9502
Жыл бұрын
Ndiyo
@luhendesoloshija9502
Жыл бұрын
Ndiyo
@zainabumartin9520
Жыл бұрын
Ndio