TANGAZO LA UPANGISHAJI STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela anapangisha vyumba vilivyopo wazi katika stendi ya mabasi ya Nyamhongolo
Tuma Barua ya maombi kwenda kwa:
Mkurugenzi wa Halmashauri
Manispaa ya Ilemela
S.L.P 735
ILEMELA-MWANZA

Пікірлер: 7

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 Жыл бұрын

    Je bei ni rafiki, maana biashara ngumu jamani

  • @pendolinapendo5729
    @pendolinapendo5729 Жыл бұрын

    Baada yawenyewe kuwashinda ndioo mnatuambiaa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Acheni unafiki gengo harijaisha pia hua munachukuanchi zilizo ende hafu muna onyesha

  • @abdulseifmtuluma4484
    @abdulseifmtuluma4484 Жыл бұрын

    Duh...Kwa hiyo Mwanza mna stendi 2 za kisasa..

  • @luhendesoloshija9502

    @luhendesoloshija9502

    Жыл бұрын

    Ndiyo

  • @luhendesoloshija9502

    @luhendesoloshija9502

    Жыл бұрын

    Ndiyo

  • @zainabumartin9520

    @zainabumartin9520

    Жыл бұрын

    Ndio

Келесі