TANGAZO LA MRADI WA UWEKEZAJI WA GREEN ROCKY CITY

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela kwa kushirikiana na kampuni ya Mwanza Makazi Developers Limited (MMDL), Wanawatangazia uwekezaji kwenye mradi wa GREEN ROCKY CITY uliopo jirani na stendi kuu mpya ya mabasi ya Nyamhongolo na njia kuu ieandayo hifadhi ya Taifa Serengeti.
Unakaribishwa kuwekeza katika viwanja vyenye matumizi mbalimbali kama vile viwanja vya makazi, nyumba za kupangisha, biashara na viwanja vya huduma mbalimbali kama vile shule, hotel shopping malls n.k

Пікірлер

    Келесі