BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E04) Updates Stendi ya Nyamhongolo
BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
Пікірлер: 17
I love this,very Spectacular.I will remember JPM for this well thought idea.it will impact generation to generation
Stendi .Nzuri sana..
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
Hakika
Kam kujenga Ako kabarabra tabu ivyo tutafik kweli
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
Tutafika ndugu
Kwa hio, Wanafanya uangalizi wakilichofanyika mwaka mzima? Ina maana watu tumetoa fedha zetu kuomba vyumba afu tukae mwaka mzima tunasubiri? Au ndo tuelewe tulibeti?
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
Hapana, shughuli zitaendelea kama kawaida, lakini mkandarasi atabaki akiangalia jengo ili kama kutakuwa na changamoto azitatue.
@abelmipwa9854
2 жыл бұрын
Utaratibu ukoje kupata chumba pale Cha duka
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
@@abelmipwa9854 Halmashauri walitangaza tenda
Kwanini isitumike sasa na wakati imeshakamilika
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
Cheki hapo barabara ya kuingia na kutoka inatengenezwa
Hii na nyegezi ipi kubwa?? Of course Mwanza ipewe miradi mikubwa Kama chuo kikuu cha Mwanza ( Mwanza University)
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
Hii kubwa, ina bilioni 26 na Nyegezi ina Bilioni 14
@madirishasimon9692
2 жыл бұрын
Kabisa mwanza inatakiwa kuwa na chuo kikuu chake
@johnmlay4759
2 жыл бұрын
@@BMGOnlineTV why stand ya wilaya iwe kubwa kuliko stand ya mikoani?? May be sijaelewa naombeni ufafanuzi zaidi
@BMGOnlineTV
2 жыл бұрын
@@johnmlay4759 Stendi ya Wilaya ni ipi na ya Mkoa ni ipi? Umetumia vigezo gani? Maana zote zina sifa sawa hata kama zinatofautiana baadhi ya vitu/ miundombinu. Zote ziko chini ya usimamizi wa Halmashauri (Ilemela na Nyamagana), zinahudumia magari ya mikoani na nje ya nchi.