BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E04) Updates Stendi ya Nyamhongolo

BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

Пікірлер: 17

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo21162 жыл бұрын

    I love this,very Spectacular.I will remember JPM for this well thought idea.it will impact generation to generation

  • @evanceemanueli3842
    @evanceemanueli38422 жыл бұрын

    Stendi .Nzuri sana..

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @greysonsahani2619
    @greysonsahani26192 жыл бұрын

    Kam kujenga Ako kabarabra tabu ivyo tutafik kweli

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    Tutafika ndugu

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16102 жыл бұрын

    Kwa hio, Wanafanya uangalizi wakilichofanyika mwaka mzima? Ina maana watu tumetoa fedha zetu kuomba vyumba afu tukae mwaka mzima tunasubiri? Au ndo tuelewe tulibeti?

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    Hapana, shughuli zitaendelea kama kawaida, lakini mkandarasi atabaki akiangalia jengo ili kama kutakuwa na changamoto azitatue.

  • @abelmipwa9854

    @abelmipwa9854

    2 жыл бұрын

    Utaratibu ukoje kupata chumba pale Cha duka

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    @@abelmipwa9854 Halmashauri walitangaza tenda

  • @tanzaniawildlifeandlandsca4469
    @tanzaniawildlifeandlandsca44692 жыл бұрын

    Kwanini isitumike sasa na wakati imeshakamilika

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    Cheki hapo barabara ya kuingia na kutoka inatengenezwa

  • @eng.paulmalikajj2798
    @eng.paulmalikajj27982 жыл бұрын

    Hii na nyegezi ipi kubwa?? Of course Mwanza ipewe miradi mikubwa Kama chuo kikuu cha Mwanza ( Mwanza University)

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    Hii kubwa, ina bilioni 26 na Nyegezi ina Bilioni 14

  • @madirishasimon9692

    @madirishasimon9692

    2 жыл бұрын

    Kabisa mwanza inatakiwa kuwa na chuo kikuu chake

  • @johnmlay4759

    @johnmlay4759

    2 жыл бұрын

    @@BMGOnlineTV why stand ya wilaya iwe kubwa kuliko stand ya mikoani?? May be sijaelewa naombeni ufafanuzi zaidi

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 жыл бұрын

    @@johnmlay4759 Stendi ya Wilaya ni ipi na ya Mkoa ni ipi? Umetumia vigezo gani? Maana zote zina sifa sawa hata kama zinatofautiana baadhi ya vitu/ miundombinu. Zote ziko chini ya usimamizi wa Halmashauri (Ilemela na Nyamagana), zinahudumia magari ya mikoani na nje ya nchi.