BMG ONLINE TV

BMG ONLINE TV

Our news is accompanied by various advertisements. We are not responsible for paying the reader or viewer of such advertisements so it is your optional to visit this site. For news, comments, business or any complaints, please contact us.

Remember we work in accordance with the laws of the country, to protect the rights of all human beings without discrimination of any kind. We do not allow harassment and will not be held responsible for any mistakes you may make, including the use of offensive comments.

We have a responsibility to delete your comments without your consent if they are against the law or prevent you from commenting.

Binagi Media Group
S.L.P 265 Mwanza
Simu: +255 (0) 757 43 26 94
Barua Pepe: [email protected]

Do not like to strike on the channels of your fellow fighters but if there is a copyright issue it's better to contact them.

BMG TV: TWENZETU Tarime

BMG TV: TWENZETU Tarime

BMG TV:

BMG TV:

Пікірлер

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo71214 сағат бұрын

    Hii pesa kasitoa wapi hii dunia ni atari sana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV39 минут бұрын

    Itakuwa ni michango na nguvu za wajenzi wa kanisa lake

  • @ElodieNgezahayo-gw7zq
    @ElodieNgezahayo-gw7zq18 сағат бұрын

    Ni baraka kwetu Sisi wote. Mutupe Num za mze Julius ogot. From Burundi

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV14 сағат бұрын

    Amen

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2thКүн бұрын

    mbona hamtuonyeshi ujnzi wa stesheni mwanza

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV14 сағат бұрын

    Sawa

  • @sedelaauma9066
    @sedelaauma9066Күн бұрын

    Nauliza naweza ombewa kupitia picha endapo Sina nauli ya kufika rorya .alafu nikipata nauli hapo badae nije

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTVКүн бұрын

    Barikiwa sana

  • @sedelaauma9066
    @sedelaauma9066Күн бұрын

    Sister terezia nilishawai kumskia kenya tena mombasa

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTVКүн бұрын

    Wako wengi sasa

  • @theresiakiwale2090
    @theresiakiwale20902 күн бұрын

    Kwa kweli sinamashaka na huyu mtoto sema Baba yake tapeli mkubwa

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTVКүн бұрын

    Mungu amsamehe sana, mwombee pia

  • @EsterKomba-q3f
    @EsterKomba-q3f2 күн бұрын

    Nakuombea mtoto Yunis na nakupenda Bwana aendelee kukutumia kuponya watu,niombee nami nasumbuliwa na mguu wa kulia na kiungulia.Uwe na Jumapili njema.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTVКүн бұрын

    Mungu akuponye, amen

  • @simonmchami
    @simonmchami2 күн бұрын

    Natamani nipate namba za wazazi wake ninashida na wazazi wake nakumbuka nilishagika hapo kwao lakini namba nilipoteza kwa bahati mbaya

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Tuwasiliane

  • @simonmchami
    @simonmchami2 күн бұрын

    @@BMGOnlineTV sawa lakini mawasiliano ni namba ya simu tu naomba kuipata

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct2 күн бұрын

    Amina

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Barikiwa

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle66352 күн бұрын

    Ni aibu kubwa sana kw nchi yetu, mji wa pili kwa ukubwa na uzalishaji kukosa Aiport. Kila kitu kimesahalika. Angalia CCM Kilumba. mji ulio kando ya ziwa kubwa duniani wananchi wake kuwa na tatizo la maji ni aibu isiyo na kiwango. Huu ni ukweli na siyo majungu.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Nini kifanyike mdau?

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын

    MJI NIUPENDAO SANA KWENYE MAISHA YANGU

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Karibu sana Mwanza

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын

    @@BMGOnlineTV ASANTE SANA

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale54393 күн бұрын

    Mimi nilishaonana na Eunice, nilishangaa kuona ukarimu wake wa kutukaribisha na kutufanya tujisikie nyumbani. Zaidi sana anavyoonhoza saña, hata alipotumwagia maji niliona ni kweli wenye mapepo yanatoka. Pia anapocheza na watoto wenzake kwa Amani bila kelele. Hapendi ile Rosary kubwa iliyowekwa juu kwenye sanamu ya Bikira Maria ikushatumika iachwe, ikitumika ipekwe mahalii pake mara moja😢

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale54393 күн бұрын

    Nakubaliana sana na wewe mwandishi wa Habari. Tunapaswa kuwaombea wazazi wa Eunice

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV2 күн бұрын

    Amen

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn3 күн бұрын

    Guns alienda wapi? Acha uongo wewe mzee

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Sawa sawa

  • @user-nn3qi1ht8h
    @user-nn3qi1ht8h3 күн бұрын

    Nasi thunaitaji maombi kwajili yaiciyethu yakongo tunaomba musaada

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Amen

  • @user-nn3qi1ht8h
    @user-nn3qi1ht8h3 күн бұрын

    Mutuombeye nasisi matatizo nimengi

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Barikiwa

  • @RoseMakutw
    @RoseMakutw3 күн бұрын

    Mungu atawale ni junior Nicholas

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Amen

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj3 күн бұрын

    Toa mwenyewe mtangazaji misimo khaa pesa yakujenga majumba ipo ila ya.shule achangiwe tupishe wwkijana 😢😢😢

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Amen

  • @florangido202
    @florangido2024 күн бұрын

    We mzee si umsomeshe Mtoto wako... Pesa za Sadaka unapeleka wapi?? Kila Siku Mtandaoni. Hiyo huduma unahifanya Biashara. Usimtihumu PADRI, PLEASE!!

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Amen

  • @MagesaMarubiri-sp6sg
    @MagesaMarubiri-sp6sg4 күн бұрын

    Nyumbn kumenogo

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV3 күн бұрын

    Kabisa

  • @PienciaFrancis-xi6mi
    @PienciaFrancis-xi6mi4 күн бұрын

    Namshukuru sana mama yangu bikira maria kwa zawadi ya uhai

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    Amen

  • @Mwaminimagesa
    @Mwaminimagesa4 күн бұрын

    Nauza bata bukini

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    Uko wapi

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe55405 күн бұрын

    Baba Mimi naona hao akina Sr telesia ni wengi na mashirika ni mengi labda msubiri ufunuo atawaonesha

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    Amen

  • @drnow1528
    @drnow15285 күн бұрын

    Mimi binafsi namkubali Aunise. Walio na wivu washindwe

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    Barikiwa

  • @fransiscambithe7674
    @fransiscambithe76745 күн бұрын

    Mimi ni fransisca mbithe kutoka Nairobi Kenya sr unice siti kuniombea uparikiwe sana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    Amen

  • @Josephinelatin
    @Josephinelatin5 күн бұрын

    Mungu mpe yunis Miaka mingi ya kuhishi mm naomba yunis anikumbuke kwa maombi yake kila mara amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    Amen

  • @DM.2200
    @DM.22005 күн бұрын

    Nauli toka kilimanjaro hadi kumfikia eunice ni sh ngap?

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    Ulizia Arusha- Mwanza huko huko uliko watakuambia. Kisha Mwanza- Tarime hadi Bukama ni 18,000

  • @RoseGathoni-d3j
    @RoseGathoni-d3j5 күн бұрын

    Nope namba nya mbamba yunis tafathari

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    +255757432694 BMG

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79885 күн бұрын

    Amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV4 күн бұрын

    Barikiwa

  • @apondisinozieber3038
    @apondisinozieber30386 күн бұрын

    The comment above is a very ignorant one.Truth will come to you very late to your disappointment.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    God bless you

  • @user-rh7ws9op1e
    @user-rh7ws9op1e6 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu Eunice, naomba uniombee nko na shida nlikua nisafiri ila sikuweza kusafiri nlipata ajali mbaya ya barabarani ,

  • @user-rh7ws9op1e
    @user-rh7ws9op1e6 күн бұрын

    Ni Emily Amoiti

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    Pole sana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV5 күн бұрын

    Barikiwa

  • @LavianLubida
    @LavianLubida6 күн бұрын

    Mungu awe nanyi

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Amen

  • @marygordian55
    @marygordian556 күн бұрын

    Niombee mtoto yunis nasumbuliwa na afya

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Imani yako na ikuponye, amen

  • @MettaSafu-x7k
    @MettaSafu-x7k6 күн бұрын

    No:ya baba

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Karibu

  • @HappyBeachVacation-oi8rr
    @HappyBeachVacation-oi8rr6 күн бұрын

    Pikira maria ni mama yangu

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Barikiwa

  • @nicolasoduor7695
    @nicolasoduor76956 күн бұрын

    Sisemi kitu Wacha mapenzi yake mwenye enzi Mungu yatimike adui wapende wasipende katika Jina la Yesu Kristu.Amani

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Amen

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi96337 күн бұрын

    Uwongo mtupu

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Imani tu

  • @maspro6294
    @maspro62947 күн бұрын

    Wewe mzee taperi kama babu WA kikombe acha utaperi watu

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV6 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika62208 күн бұрын

    Amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV7 күн бұрын

    God bless you

  • @MarithaObare
    @MarithaObare8 күн бұрын

    Amen mm naomba munguam ampe sister eunis miaka 112 wishi afanye jazz ya mngu

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Amina

  • @MariethaJohn-gu6lx
    @MariethaJohn-gu6lx8 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @shadrackgwamwanza4987
    @shadrackgwamwanza49878 күн бұрын

    Ivi Waroma Maria aliwafanyia nini mbona mnamchukulia kama ndio Mungu wenu kuna siri gani kati yenu na Maria?

  • @MeshackErnest-qt6xi
    @MeshackErnest-qt6xi8 күн бұрын

    Kanisa Linamheshimu kwasababu ni Mama wa Mkombozi wetu Yesu Kristo ambae Mwanae alikuja kuukomboa ulimwengu ukiwemo na wewe kama Mungu mwenyewe alimpa heshima hio Mimi na wewe ni nani tusimuheshimu. Kwa mfano Wazazi wetu waliotuzaa tunawaheshimu je na Mama wa Yesu je ambae mwanae alikufa msalabani Kawajiri yetu Sisi kwanini aonekane kama sikitu chochote tukimdharau tunakosea

  • @maryntukula8988
    @maryntukula89888 күн бұрын

    Wewe kana ni mkristu na unamwamini Bw. Yesu Kristu, utaamini pia Yesu alizaliwa na Mama Maria. Na kama Mama Maria ni Mama Wa Yesu wewe unawezaje kumdharau? Kwa mfano wa kawaida unaweza ukamdharau Mama yako? Au je mtu akimdharau Mama yako utamchukuliaje? Kumbuka hata pale msalabani Yesu alimwambia Yohana tazama Mama Yako. Pia akamwambia Mama Maria, Mama tazama mwanao. Maana yake ni kwamba Bwana Yesu alimkabidhi Mama yake wanadamu wote kupitia Yohana

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Watakujibu

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Amen

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball31628 күн бұрын

    Wanamnyima mtoto haki yake ya kuwa kama watoto wengine kwa tamaa zao, hamna chochote hapo, baba ameongeza mke kwa utapeli

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Waombeeni sana

  • @hilttiti8550
    @hilttiti85506 күн бұрын

    Wengine wanaweza kubadilishwa na maji ya mtoto lakini baba wa mtoto yeye habadiliki.Baba Yunis, rudisha mama wa mtoto awalee watoto wake kwa amani. Hilo ndilo jambo la muhimu

  • @hilttiti8550
    @hilttiti85506 күн бұрын

    Baba Yunis, mtoto akikuwa atajionea utapeli wako. Sasa ni mtoto na unamtesa sana

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb3 күн бұрын

    Kumbe alimwacha mama wa anayemfanyia utapeli! Dunia ina mambo! Ndo watu mjue hapo anaye tawala ni shetani, angekua ni Yesu yasingetokea hayo! Huyo mtoto anatumiwa na guvu za giza coz Mariam hana mamlaka kuzidi Yesu! Hapo Yesu hana nafasi kabisa ! Ni wazi shetani yupo kazini na watu wamefungwa fahamu zao kabisa! Ni huruma sana!!​@@hilttiti8550

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga30068 күн бұрын

    Naomba namba ya simu.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Iko kwenye hii video

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna63098 күн бұрын

    Hahaha Hongera kwa kupata kitega uchumi,,sasa bikira Maria anawaambia mjenge nyumba ya mawe,na mnasemaga hamuangaliwi mavazi mnaangaliwa rohoni inakuaje tena mnaangaliwa Hadi nyumba na waungu wenu😂

  • @rosemarytikiti1514
    @rosemarytikiti15148 күн бұрын

    Amini, unachoami. Siyo lazima uamini na kufuatia hii habari. Mungu akubariki uamini hicho unachoamini

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Mambo ya imani

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Amen

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga30068 күн бұрын

    Amina. Mimi naitwa Teddy Mhenga. Naomba unionbee.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Amen

  • @bibianamashamba9022
    @bibianamashamba90228 күн бұрын

    Lies. Bikira Maria is not bikira anymore alizaaga watoto wengi na mumewe alikuwa jusufu. Bibilia hakusema amebarikiwa kuliko wanawake wote bali inasema Maria amebarikiwa miongoni mwawanawake. Maria ashakufaga zamani zakare. Read your Bible and do not be decieved in this last days. Soma Mathew, Mark, Luke and John for more iformation kuhusu topic hii.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Barikiwa

  • @aminamacha5594
    @aminamacha55947 күн бұрын

    Unapendekeza aitwe nani???

  • @bibianamashamba9022
    @bibianamashamba90227 күн бұрын

    @@aminamacha5594kwani Biblia imesa anaitwa nani?

  • @yusterngoye3282
    @yusterngoye32827 күн бұрын

    Vizazi vyote wataaniita mbarikiwa kwakuwa Mwenye nguvu amenitendea Makuu. Nyie mnaomsema vibaya endeleeni na mnachoamini . Joseph hakumjua hata baada ya kumzaa mkombozi wetu.

  • @kadzitswacho
    @kadzitswacho5 күн бұрын

    Joseph aliishi miaka mingapi wewe mjua biblia?

  • @gracegesare5313
    @gracegesare53138 күн бұрын

    Amen 🙏🙏🙏 I'm watching you from middle east.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Be blessed

  • @user-ry9jt5dy3s
    @user-ry9jt5dy3s8 күн бұрын

    Amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    God bless you

  • @rubanimponzi8259
    @rubanimponzi82598 күн бұрын

    Amen

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV8 күн бұрын

    Barikiwa