Our news is accompanied by various advertisements. We are not responsible for paying the reader or viewer of such advertisements so it is your optional to visit this site. For news, comments, business or any complaints, please contact us.
Remember we work in accordance with the laws of the country, to protect the rights of all human beings without discrimination of any kind. We do not allow harassment and will not be held responsible for any mistakes you may make, including the use of offensive comments.
We have a responsibility to delete your comments without your consent if they are against the law or prevent you from commenting.
Binagi Media Group
S.L.P 265 Mwanza
Simu: +255 (0) 757 43 26 94
Barua Pepe: [email protected]
Do not like to strike on the channels of your fellow fighters but if there is a copyright issue it's better to contact them.
Пікірлер
Hii pesa kasitoa wapi hii dunia ni atari sana
Itakuwa ni michango na nguvu za wajenzi wa kanisa lake
Ni baraka kwetu Sisi wote. Mutupe Num za mze Julius ogot. From Burundi
Amen
mbona hamtuonyeshi ujnzi wa stesheni mwanza
Sawa
Nauliza naweza ombewa kupitia picha endapo Sina nauli ya kufika rorya .alafu nikipata nauli hapo badae nije
Barikiwa sana
Sister terezia nilishawai kumskia kenya tena mombasa
Wako wengi sasa
Kwa kweli sinamashaka na huyu mtoto sema Baba yake tapeli mkubwa
Mungu amsamehe sana, mwombee pia
Nakuombea mtoto Yunis na nakupenda Bwana aendelee kukutumia kuponya watu,niombee nami nasumbuliwa na mguu wa kulia na kiungulia.Uwe na Jumapili njema.
Mungu akuponye, amen
Natamani nipate namba za wazazi wake ninashida na wazazi wake nakumbuka nilishagika hapo kwao lakini namba nilipoteza kwa bahati mbaya
Tuwasiliane
@@BMGOnlineTV sawa lakini mawasiliano ni namba ya simu tu naomba kuipata
Amina
Barikiwa
Ni aibu kubwa sana kw nchi yetu, mji wa pili kwa ukubwa na uzalishaji kukosa Aiport. Kila kitu kimesahalika. Angalia CCM Kilumba. mji ulio kando ya ziwa kubwa duniani wananchi wake kuwa na tatizo la maji ni aibu isiyo na kiwango. Huu ni ukweli na siyo majungu.
Nini kifanyike mdau?
MJI NIUPENDAO SANA KWENYE MAISHA YANGU
Karibu sana Mwanza
@@BMGOnlineTV ASANTE SANA
Mimi nilishaonana na Eunice, nilishangaa kuona ukarimu wake wa kutukaribisha na kutufanya tujisikie nyumbani. Zaidi sana anavyoonhoza saña, hata alipotumwagia maji niliona ni kweli wenye mapepo yanatoka. Pia anapocheza na watoto wenzake kwa Amani bila kelele. Hapendi ile Rosary kubwa iliyowekwa juu kwenye sanamu ya Bikira Maria ikushatumika iachwe, ikitumika ipekwe mahalii pake mara moja😢
Nakubaliana sana na wewe mwandishi wa Habari. Tunapaswa kuwaombea wazazi wa Eunice
Barikiwa sana
Amen
Guns alienda wapi? Acha uongo wewe mzee
Sawa sawa
Nasi thunaitaji maombi kwajili yaiciyethu yakongo tunaomba musaada
Amen
Mutuombeye nasisi matatizo nimengi
Barikiwa
Mungu atawale ni junior Nicholas
Amen
Toa mwenyewe mtangazaji misimo khaa pesa yakujenga majumba ipo ila ya.shule achangiwe tupishe wwkijana 😢😢😢
Amen
We mzee si umsomeshe Mtoto wako... Pesa za Sadaka unapeleka wapi?? Kila Siku Mtandaoni. Hiyo huduma unahifanya Biashara. Usimtihumu PADRI, PLEASE!!
Amen
Nyumbn kumenogo
Kabisa
Namshukuru sana mama yangu bikira maria kwa zawadi ya uhai
Amen
Nauza bata bukini
Uko wapi
Baba Mimi naona hao akina Sr telesia ni wengi na mashirika ni mengi labda msubiri ufunuo atawaonesha
Amen
Mimi binafsi namkubali Aunise. Walio na wivu washindwe
Barikiwa
Mimi ni fransisca mbithe kutoka Nairobi Kenya sr unice siti kuniombea uparikiwe sana
Amen
Mungu mpe yunis Miaka mingi ya kuhishi mm naomba yunis anikumbuke kwa maombi yake kila mara amen
Amen
Nauli toka kilimanjaro hadi kumfikia eunice ni sh ngap?
Ulizia Arusha- Mwanza huko huko uliko watakuambia. Kisha Mwanza- Tarime hadi Bukama ni 18,000
Nope namba nya mbamba yunis tafathari
+255757432694 BMG
Amen
Barikiwa
The comment above is a very ignorant one.Truth will come to you very late to your disappointment.
God bless you
Mtumishi wa Mungu Eunice, naomba uniombee nko na shida nlikua nisafiri ila sikuweza kusafiri nlipata ajali mbaya ya barabarani ,
Ni Emily Amoiti
Pole sana
Barikiwa
Mungu awe nanyi
Amen
Niombee mtoto yunis nasumbuliwa na afya
Imani yako na ikuponye, amen
No:ya baba
Karibu
Pikira maria ni mama yangu
Barikiwa
Sisemi kitu Wacha mapenzi yake mwenye enzi Mungu yatimike adui wapende wasipende katika Jina la Yesu Kristu.Amani
Amen
Uwongo mtupu
Imani tu
Wewe mzee taperi kama babu WA kikombe acha utaperi watu
Barikiwa sana
Barikiwa sana
Amen
God bless you
Amen mm naomba munguam ampe sister eunis miaka 112 wishi afanye jazz ya mngu
Amina
❤❤❤
Ivi Waroma Maria aliwafanyia nini mbona mnamchukulia kama ndio Mungu wenu kuna siri gani kati yenu na Maria?
Kanisa Linamheshimu kwasababu ni Mama wa Mkombozi wetu Yesu Kristo ambae Mwanae alikuja kuukomboa ulimwengu ukiwemo na wewe kama Mungu mwenyewe alimpa heshima hio Mimi na wewe ni nani tusimuheshimu. Kwa mfano Wazazi wetu waliotuzaa tunawaheshimu je na Mama wa Yesu je ambae mwanae alikufa msalabani Kawajiri yetu Sisi kwanini aonekane kama sikitu chochote tukimdharau tunakosea
Wewe kana ni mkristu na unamwamini Bw. Yesu Kristu, utaamini pia Yesu alizaliwa na Mama Maria. Na kama Mama Maria ni Mama Wa Yesu wewe unawezaje kumdharau? Kwa mfano wa kawaida unaweza ukamdharau Mama yako? Au je mtu akimdharau Mama yako utamchukuliaje? Kumbuka hata pale msalabani Yesu alimwambia Yohana tazama Mama Yako. Pia akamwambia Mama Maria, Mama tazama mwanao. Maana yake ni kwamba Bwana Yesu alimkabidhi Mama yake wanadamu wote kupitia Yohana
Watakujibu
Amen
Amen
Wanamnyima mtoto haki yake ya kuwa kama watoto wengine kwa tamaa zao, hamna chochote hapo, baba ameongeza mke kwa utapeli
Waombeeni sana
Wengine wanaweza kubadilishwa na maji ya mtoto lakini baba wa mtoto yeye habadiliki.Baba Yunis, rudisha mama wa mtoto awalee watoto wake kwa amani. Hilo ndilo jambo la muhimu
Baba Yunis, mtoto akikuwa atajionea utapeli wako. Sasa ni mtoto na unamtesa sana
Kumbe alimwacha mama wa anayemfanyia utapeli! Dunia ina mambo! Ndo watu mjue hapo anaye tawala ni shetani, angekua ni Yesu yasingetokea hayo! Huyo mtoto anatumiwa na guvu za giza coz Mariam hana mamlaka kuzidi Yesu! Hapo Yesu hana nafasi kabisa ! Ni wazi shetani yupo kazini na watu wamefungwa fahamu zao kabisa! Ni huruma sana!!@@hilttiti8550
Naomba namba ya simu.
Iko kwenye hii video
Hahaha Hongera kwa kupata kitega uchumi,,sasa bikira Maria anawaambia mjenge nyumba ya mawe,na mnasemaga hamuangaliwi mavazi mnaangaliwa rohoni inakuaje tena mnaangaliwa Hadi nyumba na waungu wenu😂
Amini, unachoami. Siyo lazima uamini na kufuatia hii habari. Mungu akubariki uamini hicho unachoamini
Mambo ya imani
Amen
Amina. Mimi naitwa Teddy Mhenga. Naomba unionbee.
Amen
Lies. Bikira Maria is not bikira anymore alizaaga watoto wengi na mumewe alikuwa jusufu. Bibilia hakusema amebarikiwa kuliko wanawake wote bali inasema Maria amebarikiwa miongoni mwawanawake. Maria ashakufaga zamani zakare. Read your Bible and do not be decieved in this last days. Soma Mathew, Mark, Luke and John for more iformation kuhusu topic hii.
Barikiwa
Unapendekeza aitwe nani???
@@aminamacha5594kwani Biblia imesa anaitwa nani?
Vizazi vyote wataaniita mbarikiwa kwakuwa Mwenye nguvu amenitendea Makuu. Nyie mnaomsema vibaya endeleeni na mnachoamini . Joseph hakumjua hata baada ya kumzaa mkombozi wetu.
Joseph aliishi miaka mingapi wewe mjua biblia?
Amen 🙏🙏🙏 I'm watching you from middle east.
Be blessed
Amen
God bless you
Amen
Barikiwa