BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza

BMG Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

Пікірлер: 186

  • @littleheroe541
    @littleheroe541 Жыл бұрын

    Safi sana mhe DC umezungumza kiuongozi Mungu akutunze sana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Amen

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 Жыл бұрын

    Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Жыл бұрын

    Asante mkuu uko vizuri sana

  • @oigenngonyani1124
    @oigenngonyani1124 Жыл бұрын

    Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Sahihi

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Жыл бұрын

    Wakuu, kuweni makini. Uwelewa wa wengi wa viongozi wa chini siyo kabisa

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    @@adelinelyaruu3036 sawa kabisa

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Tatizo viongozi wa Tz wanaheshimu sana ngozi nyeupe. Wanatuuza bana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Noma sana

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Жыл бұрын

    Huo ni wehu, m 25 , hii dunia aisee, mtendaji unamapungufu sana

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 Жыл бұрын

    Inchi hii kuna watu wa ajabu sijapata kuona.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Жыл бұрын

    Serikali inatakiwa kupima inchi nzima sehemu zote zijulikane sio wana inchi .

  • @geey7893
    @geey7893 Жыл бұрын

    DC wakwanza kuongea vzuri mpk mwisho bila kutaja SAMIA SAMIA SAMIAA DR SAMIAAA. BIG UP MURAAAAAA CHACHAAA

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    acha ukabila weweee, basi baki kwenu huko huko mbwinde usiende maeneo mengine ya Tanzania kama utapata maendeleo?!

  • @ejidemaswalikinoja5643

    @ejidemaswalikinoja5643

    Жыл бұрын

    Oohooo ushamharibia Sasa agundulike hajaimba zile nyimbo😂😂😂😂😂

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Жыл бұрын

    Peleka ndani hao, hawana uchungu na rasilimali zetu.

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 Жыл бұрын

    😂🤣😂🤣Yaani nimecheka Sana maana hii nchi tunahitaji msaada wa Mungu

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Жыл бұрын

    This is unprecedented 😅😅😅

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Жыл бұрын

    Af sana DC.una mawazo ya kizalendoo

  • @paulkaisi5689
    @paulkaisi5689 Жыл бұрын

    Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Waongo ni akina nani?

  • @samhadas788
    @samhadas788 Жыл бұрын

    Aibuu

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Жыл бұрын

    Inakuwaje kila kitu kiuzwe ?

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Mnauza lasilimali kwa milioni25 mabwege sana wanatuuza kisasa

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын

    Ccm hii noma

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    CCM tena

  • @samuellugendo27
    @samuellugendo27 Жыл бұрын

    Blaa blaa blaaa

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Nani?

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Sahihi

  • @ObligeeNdoni-pb4vs
    @ObligeeNdoni-pb4vs Жыл бұрын

    Ovyoo kabisa!

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Aisee

  • @kiwalehonory2061
    @kiwalehonory2061 Жыл бұрын

    Yaani mnauza ardhi kama njugu? Sasa vizazi vyetu wataishi wapi? Acheni tamaa. Ardhi haiuziki rudisheni hela.

  • @victormbinda1018
    @victormbinda1018 Жыл бұрын

    Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!

  • @jacksngeraldjacksnglukanga5652
    @jacksngeraldjacksnglukanga5652 Жыл бұрын

    Kweli wazalendo mpo andi raha nikweli hamna kuuza chochote kisiwa 🏝️ na mlima 🗻 nimali ya Tz🇹🇿

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hahaha bado wapo

  • @rajabusamson8036
    @rajabusamson8036 Жыл бұрын

    Hiyo ndotanzania yasasa

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Жыл бұрын

    nchi yangu hyo

  • @rajabusamson8036
    @rajabusamson8036 Жыл бұрын

    Du

  • @yohanawihemba5825
    @yohanawihemba5825 Жыл бұрын

    Anhaaaa! sasa nimegundua mnauza kidogokidogo mwisho inchi tushituke imeisha ngoja namimi nitafute mteja nauza mwanza yote nawatuwake alafu nahamia malawi

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    Hahaha hujatulia wewe😅😅

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Huyo diwani hafai atumbuliwetu

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    Жыл бұрын

    Tena afukuzwe hata nchi akaone thamani ya ardhi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Jamani mbona nchi inakwenda kiajabu sjabu kila mtu anauza nchi

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Жыл бұрын

    Mchanganyiko wa Vyama unasaidia sana lakini kuiachia CCM ni hasara. Hivi wanaupeo kweli hawa watu?

  • @BennyChatanda
    @BennyChatanda Жыл бұрын

    Pumbavu. Zenu ...mmeanza kuuza hdi visiwa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    Nchi hii inawapunguani wengi sana. Deal kila kona

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    Жыл бұрын

    Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Kuweni makini viongozi jaman

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Жыл бұрын

    Yaan munauza visiwa vya inchi. ila mnavitamaasan. Hakunavyakuwafanyia hatuuzi.

  • @kazimilkazimil8615
    @kazimilkazimil8615 Жыл бұрын

    Maeno ya wapi hapo

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын

    Haya ndiyo yanayo zungumzwa ya bandari bado tayari mwanza mmeanza acheni hayo

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    11 ай бұрын

    Hahaha

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Жыл бұрын

    kila mtu anauza anachoweza

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Жыл бұрын

    Bei Ya.kuuza.kisiwa cha utalii sikwea.moja Tsh 3000! elimu inatakiwaa

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Kwahiyo hiyo njaa au tz viongozi hawajielewi

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Жыл бұрын

    Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya. Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Sure

  • @NickyPeter-ec4gv
    @NickyPeter-ec4gv Жыл бұрын

    Mama ndo aliewafundisha vifaranga kunya kwenye sahan.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Ushahidi?

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 Жыл бұрын

    Mwizi siku zote huwa akubali, mzee nyosha maneno,hao watu walikuwa wanakupa pesa kufanikisha hayo madeal

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Nani?

  • @user-le1mo8ru7u
    @user-le1mo8ru7u Жыл бұрын

    Nyie mnaongea juu ya kisiwa wakati ziwa zima wameshachukua dp world mmelala kweli

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Mkuu wawilaya nimefurahi sana mawazo yako

  • @reganmartin5485
    @reganmartin5485 Жыл бұрын

    Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hatari sana

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv Жыл бұрын

    Muwe ninaangalia mbali sio kuingia mikataba ya uchwara kisa umasikini ukiuza kisiwa au mlima ukamaliza shida zimeisha zitakuja nyingine itauza nini?

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Жыл бұрын

    Ila watu ni wapumbavu mtakufa mtaviacha yani TNA tumekwisha mara bandali mala visiwa tunaomba Magufuli Afufuke

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Mambo ni mengi, muda ni mchache

  • @faustinmarko2278

    @faustinmarko2278

    Жыл бұрын

    Watu wachache wanaangalia matumbo yao

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    @@faustinmarko2278 noma sana

  • @andersonfrankswai6078
    @andersonfrankswai6078 Жыл бұрын

    hapa hakuna kucheka na mtu wanacheza na akili za watanzania kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho "mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @andrewzagaza908
    @andrewzagaza908 Жыл бұрын

    Wasukuma mkije hata hamuwezi fikilia kitu kama hicho, watani wangu nyie jajarukeni mtaibiwa sana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hao viongozi ni makabila mbalimbali

  • @maselemasanja4569
    @maselemasanja4569 Жыл бұрын

    DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hahaha DP tena

  • @pamelamauki4209
    @pamelamauki4209 Жыл бұрын

    Kwani hizi tonzo zinafsnyanini jamani!

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Teteeni nchi yetu jaman

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 Жыл бұрын

    Naayo yote nikwa sababu ya taswila ya uongozi wa ngazi za juu, kuna shida kwa watanzania kwa sasa MUNGU, wa mbinguni atusaidie uo ndyo ukweri

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Amen

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын

    Mbona mnamuuliza suala Ile Ile, Mnamchanganya bhana

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Жыл бұрын

    Iyosekindali ataikiisha kazbule Kwan watu wanasoma nahawana kaz maana kazi wanapeana wenyewe nakoozao

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Жыл бұрын

    Hao niweziiiii

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 Жыл бұрын

    Ni u 🍻 yaani ubeer ukiingia kwenye u beer unalewa. Unakua mkataba🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 Жыл бұрын

    Anakiaprochi🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Жыл бұрын

    Nimegundua kitu katika nchi yetu,tusipo angaria tutakutwa tumeuzwa,na hili Ni tatizo lakutokuwa na hati za aridhi.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Kuuzwa tena

  • @abdallahnkrumah6237

    @abdallahnkrumah6237

    Жыл бұрын

    Kama Bandari

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    @@abdallahnkrumah6237 duh bandari tena

  • @paulkaisi5689
    @paulkaisi5689 Жыл бұрын

    Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Жыл бұрын

    Duu tutafika.tumechoka kiukweli🎉😅

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Жыл бұрын

    Kwann mnatamaa yapesa kumanyie? Kwann mnauza mali yataifa? munashindwa kukataa kua hatuuz ziwa?

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 Жыл бұрын

    Huyu mwenyekiti mwizi, waliomtangulia wangefanya kama yeye, kwenye kijiji mali zote zingekuwa zimeuzwa.

  • @JoelNyambalya
    @JoelNyambalya Жыл бұрын

    Ahsate mweshimiwa hili nililisemea mapema sana hakuna mikataba ya selikali bila mwanashelia

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Жыл бұрын

    Eti eeeee eeee yaani was sijui nani ametuloga

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Жыл бұрын

    Safisan kiongoz

  • @OmarMuya-qm3ws
    @OmarMuya-qm3ws Жыл бұрын

    Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Afrika tuwe makini na uwekezaji

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Musiuze visiwa jaman mbona serikari hii yahovo jaman

  • @hassangauday6272
    @hassangauday6272 Жыл бұрын

    Mbona sielewi bandari

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Жыл бұрын

    Sasa maongezi yanini tiandani waujumu uchumi yambavu mwekezaji ndio nani sukumandani yani sukuma ndani

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Siku hizi hakuna sukuma ndani

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Yani nyie mtawauza na wana nchi wenu

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Жыл бұрын

    Very funny 🤔.

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Жыл бұрын

    Baba chukua ichii maana sasa Tanzania inakela viongoz rushwa nyingi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Watu wa nje ndo watutawale kweli

  • @nakali79
    @nakali79 Жыл бұрын

    Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Simu inaonyesha Dubai tena

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    Жыл бұрын

    Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    @@queenpiscator6117 hatari sana

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    Hahaha hapo kwny simu kuonyesha uko Dubai😅😅

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    @@salomewandya7257 noma

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Жыл бұрын

    Madarasa 3 yapauliwe kwa ml 25 mbona vichekesho 😅

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Жыл бұрын

    Yaan hii inchi. Mbona kunavijitu vinatamaa? Kimevimba vimba mashavu kumaww yaan muuze maliyainchi kwaajili ya shule. Eti wataaram. Acheniukumamae.

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps Жыл бұрын

    Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo

  • @stephanominja8927

    @stephanominja8927

    Жыл бұрын

    Wapewe semina kila kiongozi anapopata uongozi!! Kwnai wanazungukana. Alafu uwajibishwaji ni mdogo kwa kweli

  • @nakali79
    @nakali79 Жыл бұрын

    Wataalamu Tanzania! Pumbavu hapa yapo majizi tu Wataalamu wako urusi kwa putin, huku zipo mbweha tu majizi matupu

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Жыл бұрын

    Kisiwa kinauzwaga ml 30 siujinga huo basi kila mtu angenunua angekaa kisiwani

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 Жыл бұрын

    Namnukuu trampu alsema bara la afrika linahtaj viongoz wote kutenguliwa nakuanza na uongoz mpya sio huu hakna kiongoz afrika nzma

  • @maselemasanja4569
    @maselemasanja4569 Жыл бұрын

    Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Maoni mazuri

  • @MarygetrudeKyauke-hn8hi
    @MarygetrudeKyauke-hn8hi Жыл бұрын

    Mbona bandali mmeuza?

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Sasa Serikali inafanya nini kwann wasijenge hiyo shule,na kuna hela uwa zinapangwa kwny bajeti

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    Watu kama hawa Sio wazalendo wanaweza kuuza Ata ikulu ya rais kuwafunga jela wakajifunze Uzalendo

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    Hahaaaa

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Жыл бұрын

    Mirima yote tanzania ni mari ya jeshi ra wananchi nyambavu wewe wakikusikia jeshi kamata waripe era wariokura

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Жыл бұрын

    Hadi huluma maskini hivi ni vichwa au maboga? Kweli hamna kitu hapo

  • @eddiemsongelanzi5395
    @eddiemsongelanzi5395 Жыл бұрын

    Huwo no wizi ulizeni Kwa serikali Kwanza kwani nchi ikiachiea hivyo so itakuwa kama Kenya eananchi hawana sridhi baalli no kwawenye Pesa tu

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Жыл бұрын

    Wew jamaa bichwaksko kama papai

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 Жыл бұрын

    Bado,sio bandaritu,sio loliondo tu,yatatokea mengi kisima cha bibi .

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Hawana tofauti na wale watemi wa zama hizo kutuuzakwa kupewa shanga

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Жыл бұрын

    Jamaani Hawa tunao wachagua wamevurugwa wachie nchi yetu hivi nivita vyadunia sisi nchiyetu tunaitaji amani hatutaki warabuuuu mpo warudi kwaooo mashemeji choka mbaya wakawekezee panya tutawarus

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Жыл бұрын

    Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 Жыл бұрын

    Huyu jamaa muongo Sana anasingizia maendeleo ya jamii hafai,

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Жыл бұрын

    Huyo Alie uza hicho kisiwa kwani hicho kilikwa Cha babake,au ameona hicho kisiwa hakina mwenye nacho,

  • @amosnaqbarxanaabddallah2730
    @amosnaqbarxanaabddallah2730 Жыл бұрын

    😆😆😆😆😆ola nyinyi hawa wanataka wajilipe waende kuskojulokana ila limetibuka

  • @renatusmahombwe3093
    @renatusmahombwe3093 Жыл бұрын

    Viongozi wenye upeo mdogo ndo matokeo yake haya nchi yetu inauzwa kidogokidogo wahenga walisema usipoumiza akili ukiwa kijana utautesa mwili ukiwa Mzee.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Жыл бұрын

    Kweri KABISA hatutakiiiii. WATU mmepatwa na ninii??? Mnauwanaa ovvoo nchini yetuuu

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Tuombeane amani

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Жыл бұрын

    diwani nae yumo alilamba asali

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Жыл бұрын

    Hahaaaa

Келесі