Safi sana mhe DC umezungumza kiuongozi Mungu akutunze sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Amen
@kamgishaisaya4763 Жыл бұрын
Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Asante mkuu uko vizuri sana
@oigenngonyani1124 Жыл бұрын
Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sahihi
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
Wakuu, kuweni makini. Uwelewa wa wengi wa viongozi wa chini siyo kabisa
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@adelinelyaruu3036 sawa kabisa
@pungopungo411 Жыл бұрын
Tatizo viongozi wa Tz wanaheshimu sana ngozi nyeupe. Wanatuuza bana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Noma sana
@sosthenesmaemba Жыл бұрын
Huo ni wehu, m 25 , hii dunia aisee, mtendaji unamapungufu sana
@emmanuelndotela9412 Жыл бұрын
Inchi hii kuna watu wa ajabu sijapata kuona.
@Optionxll_Playz1 Жыл бұрын
Serikali inatakiwa kupima inchi nzima sehemu zote zijulikane sio wana inchi .
@geey7893 Жыл бұрын
DC wakwanza kuongea vzuri mpk mwisho bila kutaja SAMIA SAMIA SAMIAA DR SAMIAAA. BIG UP MURAAAAAA CHACHAAA
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
acha ukabila weweee, basi baki kwenu huko huko mbwinde usiende maeneo mengine ya Tanzania kama utapata maendeleo?!
@ejidemaswalikinoja5643
Жыл бұрын
Oohooo ushamharibia Sasa agundulike hajaimba zile nyimbo😂😂😂😂😂
@salomewandya7257
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Peleka ndani hao, hawana uchungu na rasilimali zetu.
@sautiyamunguduniani4620 Жыл бұрын
😂🤣😂🤣Yaani nimecheka Sana maana hii nchi tunahitaji msaada wa Mungu
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
This is unprecedented 😅😅😅
@elipidhugotesha1909 Жыл бұрын
Af sana DC.una mawazo ya kizalendoo
@paulkaisi5689 Жыл бұрын
Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Waongo ni akina nani?
@samhadas788 Жыл бұрын
Aibuu
@marianamontoedi1318 Жыл бұрын
Inakuwaje kila kitu kiuzwe ?
@pungopungo411 Жыл бұрын
Mnauza lasilimali kwa milioni25 mabwege sana wanatuuza kisasa
@FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын
Ccm hii noma
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
CCM tena
@samuellugendo27 Жыл бұрын
Blaa blaa blaaa
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Nani?
@gracemima5234 Жыл бұрын
Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sahihi
@ObligeeNdoni-pb4vs Жыл бұрын
Ovyoo kabisa!
@pungopungo411 Жыл бұрын
Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Aisee
@kiwalehonory2061 Жыл бұрын
Yaani mnauza ardhi kama njugu? Sasa vizazi vyetu wataishi wapi? Acheni tamaa. Ardhi haiuziki rudisheni hela.
@victormbinda1018 Жыл бұрын
Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!
@jacksngeraldjacksnglukanga5652 Жыл бұрын
Kweli wazalendo mpo andi raha nikweli hamna kuuza chochote kisiwa 🏝️ na mlima 🗻 nimali ya Tz🇹🇿
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha bado wapo
@rajabusamson8036 Жыл бұрын
Hiyo ndotanzania yasasa
@mwanagwakyala3213 Жыл бұрын
nchi yangu hyo
@rajabusamson8036 Жыл бұрын
Du
@yohanawihemba5825 Жыл бұрын
Anhaaaa! sasa nimegundua mnauza kidogokidogo mwisho inchi tushituke imeisha ngoja namimi nitafute mteja nauza mwanza yote nawatuwake alafu nahamia malawi
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Hahaha hujatulia wewe😅😅
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Huyo diwani hafai atumbuliwetu
@queenpiscator6117
Жыл бұрын
Tena afukuzwe hata nchi akaone thamani ya ardhi
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Jamani mbona nchi inakwenda kiajabu sjabu kila mtu anauza nchi
@simonndunguru1629 Жыл бұрын
Mchanganyiko wa Vyama unasaidia sana lakini kuiachia CCM ni hasara. Hivi wanaupeo kweli hawa watu?
@BennyChatanda Жыл бұрын
Pumbavu. Zenu ...mmeanza kuuza hdi visiwa
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Nchi hii inawapunguani wengi sana. Deal kila kona
@KaburuKimath-eu5nf
Жыл бұрын
Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Kuweni makini viongozi jaman
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Yaan munauza visiwa vya inchi. ila mnavitamaasan. Hakunavyakuwafanyia hatuuzi.
@kazimilkazimil8615 Жыл бұрын
Maeno ya wapi hapo
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Haya ndiyo yanayo zungumzwa ya bandari bado tayari mwanza mmeanza acheni hayo
@BMGOnlineTV
11 ай бұрын
Hahaha
@rewardnjau7220 Жыл бұрын
kila mtu anauza anachoweza
@elipidhugotesha1909 Жыл бұрын
Bei Ya.kuuza.kisiwa cha utalii sikwea.moja Tsh 3000! elimu inatakiwaa
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Kwahiyo hiyo njaa au tz viongozi hawajielewi
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya. Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sure
@NickyPeter-ec4gv Жыл бұрын
Mama ndo aliewafundisha vifaranga kunya kwenye sahan.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Ushahidi?
@eliasharun3273 Жыл бұрын
Mwizi siku zote huwa akubali, mzee nyosha maneno,hao watu walikuwa wanakupa pesa kufanikisha hayo madeal
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Nani?
@user-le1mo8ru7u Жыл бұрын
Nyie mnaongea juu ya kisiwa wakati ziwa zima wameshachukua dp world mmelala kweli
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Mkuu wawilaya nimefurahi sana mawazo yako
@reganmartin5485 Жыл бұрын
Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hatari sana
@RugemaliraRenatus-rf6yv Жыл бұрын
Muwe ninaangalia mbali sio kuingia mikataba ya uchwara kisa umasikini ukiuza kisiwa au mlima ukamaliza shida zimeisha zitakuja nyingine itauza nini?
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
@joysekiza3944 Жыл бұрын
Ila watu ni wapumbavu mtakufa mtaviacha yani TNA tumekwisha mara bandali mala visiwa tunaomba Magufuli Afufuke
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Mambo ni mengi, muda ni mchache
@faustinmarko2278
Жыл бұрын
Watu wachache wanaangalia matumbo yao
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@faustinmarko2278 noma sana
@andersonfrankswai6078 Жыл бұрын
hapa hakuna kucheka na mtu wanacheza na akili za watanzania kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho "mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
@andrewzagaza908 Жыл бұрын
Wasukuma mkije hata hamuwezi fikilia kitu kama hicho, watani wangu nyie jajarukeni mtaibiwa sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hao viongozi ni makabila mbalimbali
@maselemasanja4569 Жыл бұрын
DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha DP tena
@pamelamauki4209 Жыл бұрын
Kwani hizi tonzo zinafsnyanini jamani!
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Teteeni nchi yetu jaman
@kamgishaisaya4763 Жыл бұрын
Naayo yote nikwa sababu ya taswila ya uongozi wa ngazi za juu, kuna shida kwa watanzania kwa sasa MUNGU, wa mbinguni atusaidie uo ndyo ukweri
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Amen
@ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын
Mbona mnamuuliza suala Ile Ile, Mnamchanganya bhana
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Iyosekindali ataikiisha kazbule Kwan watu wanasoma nahawana kaz maana kazi wanapeana wenyewe nakoozao
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Hao niweziiiii
@stephanominja8927 Жыл бұрын
Ni u 🍻 yaani ubeer ukiingia kwenye u beer unalewa. Unakua mkataba🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
@stephanominja8927 Жыл бұрын
Anakiaprochi🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
@benderarulenge2477 Жыл бұрын
Nimegundua kitu katika nchi yetu,tusipo angaria tutakutwa tumeuzwa,na hili Ni tatizo lakutokuwa na hati za aridhi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kuuzwa tena
@abdallahnkrumah6237
Жыл бұрын
Kama Bandari
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@abdallahnkrumah6237 duh bandari tena
@paulkaisi5689 Жыл бұрын
Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu
Huyu mwenyekiti mwizi, waliomtangulia wangefanya kama yeye, kwenye kijiji mali zote zingekuwa zimeuzwa.
@JoelNyambalya Жыл бұрын
Ahsate mweshimiwa hili nililisemea mapema sana hakuna mikataba ya selikali bila mwanashelia
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Eti eeeee eeee yaani was sijui nani ametuloga
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Safisan kiongoz
@OmarMuya-qm3ws Жыл бұрын
Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Afrika tuwe makini na uwekezaji
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Musiuze visiwa jaman mbona serikari hii yahovo jaman
@hassangauday6272 Жыл бұрын
Mbona sielewi bandari
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Sasa maongezi yanini tiandani waujumu uchumi yambavu mwekezaji ndio nani sukumandani yani sukuma ndani
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Siku hizi hakuna sukuma ndani
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Yani nyie mtawauza na wana nchi wenu
@emmanuelmbwambo6571 Жыл бұрын
Very funny 🤔.
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Baba chukua ichii maana sasa Tanzania inakela viongoz rushwa nyingi
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Watu wa nje ndo watutawale kweli
@nakali79 Жыл бұрын
Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Simu inaonyesha Dubai tena
@queenpiscator6117
Жыл бұрын
Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@queenpiscator6117 hatari sana
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Hahaha hapo kwny simu kuonyesha uko Dubai😅😅
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@salomewandya7257 noma
@estakapufi7582 Жыл бұрын
Madarasa 3 yapauliwe kwa ml 25 mbona vichekesho 😅
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Yaan hii inchi. Mbona kunavijitu vinatamaa? Kimevimba vimba mashavu kumaww yaan muuze maliyainchi kwaajili ya shule. Eti wataaram. Acheniukumamae.
@MSOMBAAlon-gh3ps Жыл бұрын
Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo
@stephanominja8927
Жыл бұрын
Wapewe semina kila kiongozi anapopata uongozi!! Kwnai wanazungukana. Alafu uwajibishwaji ni mdogo kwa kweli
@nakali79 Жыл бұрын
Wataalamu Tanzania! Pumbavu hapa yapo majizi tu Wataalamu wako urusi kwa putin, huku zipo mbweha tu majizi matupu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha
@estakapufi7582 Жыл бұрын
Kisiwa kinauzwaga ml 30 siujinga huo basi kila mtu angenunua angekaa kisiwani
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Namnukuu trampu alsema bara la afrika linahtaj viongoz wote kutenguliwa nakuanza na uongoz mpya sio huu hakna kiongoz afrika nzma
@maselemasanja4569 Жыл бұрын
Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Maoni mazuri
@MarygetrudeKyauke-hn8hi Жыл бұрын
Mbona bandali mmeuza?
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Sasa Serikali inafanya nini kwann wasijenge hiyo shule,na kuna hela uwa zinapangwa kwny bajeti
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Watu kama hawa Sio wazalendo wanaweza kuuza Ata ikulu ya rais kuwafunga jela wakajifunze Uzalendo
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Hahaaaa
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Mirima yote tanzania ni mari ya jeshi ra wananchi nyambavu wewe wakikusikia jeshi kamata waripe era wariokura
@bethkatunx7677 Жыл бұрын
Hadi huluma maskini hivi ni vichwa au maboga? Kweli hamna kitu hapo
@eddiemsongelanzi5395 Жыл бұрын
Huwo no wizi ulizeni Kwa serikali Kwanza kwani nchi ikiachiea hivyo so itakuwa kama Kenya eananchi hawana sridhi baalli no kwawenye Pesa tu
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Wew jamaa bichwaksko kama papai
@bonifacegasper9508 Жыл бұрын
Bado,sio bandaritu,sio loliondo tu,yatatokea mengi kisima cha bibi .
@pungopungo411 Жыл бұрын
Hawana tofauti na wale watemi wa zama hizo kutuuzakwa kupewa shanga
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Jamaani Hawa tunao wachagua wamevurugwa wachie nchi yetu hivi nivita vyadunia sisi nchiyetu tunaitaji amani hatutaki warabuuuu mpo warudi kwaooo mashemeji choka mbaya wakawekezee panya tutawarus
@hamisimuhunzi7916 Жыл бұрын
Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?
@allyabdallah1183 Жыл бұрын
Huyu jamaa muongo Sana anasingizia maendeleo ya jamii hafai,
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Huyo Alie uza hicho kisiwa kwani hicho kilikwa Cha babake,au ameona hicho kisiwa hakina mwenye nacho,
@amosnaqbarxanaabddallah2730 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆ola nyinyi hawa wanataka wajilipe waende kuskojulokana ila limetibuka
@renatusmahombwe3093 Жыл бұрын
Viongozi wenye upeo mdogo ndo matokeo yake haya nchi yetu inauzwa kidogokidogo wahenga walisema usipoumiza akili ukiwa kijana utautesa mwili ukiwa Mzee.
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Kweri KABISA hatutakiiiii. WATU mmepatwa na ninii??? Mnauwanaa ovvoo nchini yetuuu
Пікірлер: 186
Safi sana mhe DC umezungumza kiuongozi Mungu akutunze sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Amen
Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
Asante mkuu uko vizuri sana
Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sahihi
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
Wakuu, kuweni makini. Uwelewa wa wengi wa viongozi wa chini siyo kabisa
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@adelinelyaruu3036 sawa kabisa
Tatizo viongozi wa Tz wanaheshimu sana ngozi nyeupe. Wanatuuza bana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Noma sana
Huo ni wehu, m 25 , hii dunia aisee, mtendaji unamapungufu sana
Inchi hii kuna watu wa ajabu sijapata kuona.
Serikali inatakiwa kupima inchi nzima sehemu zote zijulikane sio wana inchi .
DC wakwanza kuongea vzuri mpk mwisho bila kutaja SAMIA SAMIA SAMIAA DR SAMIAAA. BIG UP MURAAAAAA CHACHAAA
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
acha ukabila weweee, basi baki kwenu huko huko mbwinde usiende maeneo mengine ya Tanzania kama utapata maendeleo?!
@ejidemaswalikinoja5643
Жыл бұрын
Oohooo ushamharibia Sasa agundulike hajaimba zile nyimbo😂😂😂😂😂
@salomewandya7257
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Peleka ndani hao, hawana uchungu na rasilimali zetu.
😂🤣😂🤣Yaani nimecheka Sana maana hii nchi tunahitaji msaada wa Mungu
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
This is unprecedented 😅😅😅
Af sana DC.una mawazo ya kizalendoo
Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Waongo ni akina nani?
Aibuu
Inakuwaje kila kitu kiuzwe ?
Mnauza lasilimali kwa milioni25 mabwege sana wanatuuza kisasa
Ccm hii noma
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
CCM tena
Blaa blaa blaaa
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Nani?
Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sahihi
Ovyoo kabisa!
Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Aisee
Yaani mnauza ardhi kama njugu? Sasa vizazi vyetu wataishi wapi? Acheni tamaa. Ardhi haiuziki rudisheni hela.
Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!
Kweli wazalendo mpo andi raha nikweli hamna kuuza chochote kisiwa 🏝️ na mlima 🗻 nimali ya Tz🇹🇿
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha bado wapo
Hiyo ndotanzania yasasa
nchi yangu hyo
Du
Anhaaaa! sasa nimegundua mnauza kidogokidogo mwisho inchi tushituke imeisha ngoja namimi nitafute mteja nauza mwanza yote nawatuwake alafu nahamia malawi
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Hahaha hujatulia wewe😅😅
Huyo diwani hafai atumbuliwetu
@queenpiscator6117
Жыл бұрын
Tena afukuzwe hata nchi akaone thamani ya ardhi
Jamani mbona nchi inakwenda kiajabu sjabu kila mtu anauza nchi
Mchanganyiko wa Vyama unasaidia sana lakini kuiachia CCM ni hasara. Hivi wanaupeo kweli hawa watu?
Pumbavu. Zenu ...mmeanza kuuza hdi visiwa
Nchi hii inawapunguani wengi sana. Deal kila kona
@KaburuKimath-eu5nf
Жыл бұрын
Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii
Kuweni makini viongozi jaman
Yaan munauza visiwa vya inchi. ila mnavitamaasan. Hakunavyakuwafanyia hatuuzi.
Maeno ya wapi hapo
Haya ndiyo yanayo zungumzwa ya bandari bado tayari mwanza mmeanza acheni hayo
@BMGOnlineTV
11 ай бұрын
Hahaha
kila mtu anauza anachoweza
Bei Ya.kuuza.kisiwa cha utalii sikwea.moja Tsh 3000! elimu inatakiwaa
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭
Kwahiyo hiyo njaa au tz viongozi hawajielewi
Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya. Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Sure
Mama ndo aliewafundisha vifaranga kunya kwenye sahan.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Ushahidi?
Mwizi siku zote huwa akubali, mzee nyosha maneno,hao watu walikuwa wanakupa pesa kufanikisha hayo madeal
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Nani?
Nyie mnaongea juu ya kisiwa wakati ziwa zima wameshachukua dp world mmelala kweli
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
😅😅😅😅
Mkuu wawilaya nimefurahi sana mawazo yako
Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hatari sana
Muwe ninaangalia mbali sio kuingia mikataba ya uchwara kisa umasikini ukiuza kisiwa au mlima ukamaliza shida zimeisha zitakuja nyingine itauza nini?
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
Ila watu ni wapumbavu mtakufa mtaviacha yani TNA tumekwisha mara bandali mala visiwa tunaomba Magufuli Afufuke
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Mambo ni mengi, muda ni mchache
@faustinmarko2278
Жыл бұрын
Watu wachache wanaangalia matumbo yao
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@faustinmarko2278 noma sana
hapa hakuna kucheka na mtu wanacheza na akili za watanzania kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho "mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kabisa
Wasukuma mkije hata hamuwezi fikilia kitu kama hicho, watani wangu nyie jajarukeni mtaibiwa sana
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hao viongozi ni makabila mbalimbali
DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha DP tena
Kwani hizi tonzo zinafsnyanini jamani!
Teteeni nchi yetu jaman
Naayo yote nikwa sababu ya taswila ya uongozi wa ngazi za juu, kuna shida kwa watanzania kwa sasa MUNGU, wa mbinguni atusaidie uo ndyo ukweri
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Amen
Mbona mnamuuliza suala Ile Ile, Mnamchanganya bhana
Iyosekindali ataikiisha kazbule Kwan watu wanasoma nahawana kaz maana kazi wanapeana wenyewe nakoozao
Hao niweziiiii
Ni u 🍻 yaani ubeer ukiingia kwenye u beer unalewa. Unakua mkataba🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Anakiaprochi🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Nimegundua kitu katika nchi yetu,tusipo angaria tutakutwa tumeuzwa,na hili Ni tatizo lakutokuwa na hati za aridhi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Kuuzwa tena
@abdallahnkrumah6237
Жыл бұрын
Kama Bandari
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@abdallahnkrumah6237 duh bandari tena
Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu
Duu tutafika.tumechoka kiukweli🎉😅
Kwann mnatamaa yapesa kumanyie? Kwann mnauza mali yataifa? munashindwa kukataa kua hatuuz ziwa?
Huyu mwenyekiti mwizi, waliomtangulia wangefanya kama yeye, kwenye kijiji mali zote zingekuwa zimeuzwa.
Ahsate mweshimiwa hili nililisemea mapema sana hakuna mikataba ya selikali bila mwanashelia
Eti eeeee eeee yaani was sijui nani ametuloga
Safisan kiongoz
Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Afrika tuwe makini na uwekezaji
Musiuze visiwa jaman mbona serikari hii yahovo jaman
Mbona sielewi bandari
Sasa maongezi yanini tiandani waujumu uchumi yambavu mwekezaji ndio nani sukumandani yani sukuma ndani
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Siku hizi hakuna sukuma ndani
Yani nyie mtawauza na wana nchi wenu
Very funny 🤔.
Baba chukua ichii maana sasa Tanzania inakela viongoz rushwa nyingi
Watu wa nje ndo watutawale kweli
Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Simu inaonyesha Dubai tena
@queenpiscator6117
Жыл бұрын
Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@queenpiscator6117 hatari sana
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Hahaha hapo kwny simu kuonyesha uko Dubai😅😅
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
@@salomewandya7257 noma
Madarasa 3 yapauliwe kwa ml 25 mbona vichekesho 😅
Yaan hii inchi. Mbona kunavijitu vinatamaa? Kimevimba vimba mashavu kumaww yaan muuze maliyainchi kwaajili ya shule. Eti wataaram. Acheniukumamae.
Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo
@stephanominja8927
Жыл бұрын
Wapewe semina kila kiongozi anapopata uongozi!! Kwnai wanazungukana. Alafu uwajibishwaji ni mdogo kwa kweli
Wataalamu Tanzania! Pumbavu hapa yapo majizi tu Wataalamu wako urusi kwa putin, huku zipo mbweha tu majizi matupu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha
Kisiwa kinauzwaga ml 30 siujinga huo basi kila mtu angenunua angekaa kisiwani
Namnukuu trampu alsema bara la afrika linahtaj viongoz wote kutenguliwa nakuanza na uongoz mpya sio huu hakna kiongoz afrika nzma
Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Maoni mazuri
Mbona bandali mmeuza?
Sasa Serikali inafanya nini kwann wasijenge hiyo shule,na kuna hela uwa zinapangwa kwny bajeti
Watu kama hawa Sio wazalendo wanaweza kuuza Ata ikulu ya rais kuwafunga jela wakajifunze Uzalendo
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Hahaaaa
Mirima yote tanzania ni mari ya jeshi ra wananchi nyambavu wewe wakikusikia jeshi kamata waripe era wariokura
Hadi huluma maskini hivi ni vichwa au maboga? Kweli hamna kitu hapo
Huwo no wizi ulizeni Kwa serikali Kwanza kwani nchi ikiachiea hivyo so itakuwa kama Kenya eananchi hawana sridhi baalli no kwawenye Pesa tu
Wew jamaa bichwaksko kama papai
Bado,sio bandaritu,sio loliondo tu,yatatokea mengi kisima cha bibi .
Hawana tofauti na wale watemi wa zama hizo kutuuzakwa kupewa shanga
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaha
Jamaani Hawa tunao wachagua wamevurugwa wachie nchi yetu hivi nivita vyadunia sisi nchiyetu tunaitaji amani hatutaki warabuuuu mpo warudi kwaooo mashemeji choka mbaya wakawekezee panya tutawarus
Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?
Huyu jamaa muongo Sana anasingizia maendeleo ya jamii hafai,
Huyo Alie uza hicho kisiwa kwani hicho kilikwa Cha babake,au ameona hicho kisiwa hakina mwenye nacho,
😆😆😆😆😆ola nyinyi hawa wanataka wajilipe waende kuskojulokana ila limetibuka
Viongozi wenye upeo mdogo ndo matokeo yake haya nchi yetu inauzwa kidogokidogo wahenga walisema usipoumiza akili ukiwa kijana utautesa mwili ukiwa Mzee.
Kweri KABISA hatutakiiiii. WATU mmepatwa na ninii??? Mnauwanaa ovvoo nchini yetuuu
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Tuombeane amani
diwani nae yumo alilamba asali
@BMGOnlineTV
Жыл бұрын
Hahaaaa