BMG TV: RC Mtanda achukua hatua kukamilisha Soko Kuu Mwanza

BMG Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

Пікірлер: 24

  • @official_wjb_tz1589
    @official_wjb_tz15892 ай бұрын

    Enzi za jpm hilo soko lingekua limeishaa kitambo

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    RC kasema atasimamia likamilike

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaembaАй бұрын

    Asante sana MKUU, ila mwanza Bado tuna matatizo mawili makubwa, Jengo la uwanja wa ndege la aboria japo ni dogo na aliendani na hadhi ya mji wa mwanza lakini halijakamilika, pili maegesho ya magari hapa mjini ni shida sana, kuegesha magari pembezoni mwa brbr ni jambo hatarishi sana

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Ай бұрын

    Sahihi kabisa

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk2 ай бұрын

    Mwanza ❤❤❤

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    Jiji la kuvutia TZ

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle66352 күн бұрын

    Ni aibu kubwa sana kw nchi yetu, mji wa pili kwa ukubwa na uzalishaji kukosa Aiport. Kila kitu kimesahalika. Angalia CCM Kilumba. mji ulio kando ya ziwa kubwa duniani wananchi wake kuwa na tatizo la maji ni aibu isiyo na kiwango. Huu ni ukweli na siyo majungu.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 күн бұрын

    Nini kifanyike mdau?

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95209 күн бұрын

    Daraja tu lenyewe harijaisha itakua soko😢

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    8 күн бұрын

    Wamesema Disemba linaanza kutumika

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95209 күн бұрын

    Kweli limeisha au porojo

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    8 күн бұрын

    Bado asilimia chache tu

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95209 күн бұрын

    Tumewachoka kigongo ferry daraja bado

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    8 күн бұрын

    Kazi Inaendelea huko

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv21612 ай бұрын

    uwanja wa ndege siyo wa kimkakati Bazo? mbona huutaji?

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    Nao wa kimkakati. Tumeutaja sana mara kadhaa

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5ytАй бұрын

    Hili soko kwa kiongozi huyo litafika mpaka mwaka kesho litakuwa bado . Uwongo ndio kipao mbele pamba wewe ndio umeipandisha? Mwanza itapitwa hata na shinyanga kimaendeleo kwa viongozi kama hawa

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    Ай бұрын

    Kwa nini una mtazamo huo?

  • @MohammedJaizan-yf5yt

    @MohammedJaizan-yf5yt

    Ай бұрын

    @@BMGOnlineTV Mfano mzuri serekali imetumia kiasi kikubwa sana kutengeza nyamungoro kwa ajili ya magari makubwa lakini mpaka Leo haitumiki na wanaendelea kuharibu Barabara za mjini mbazo haziimili uzito hii yote inatokana na kiongozi kama huyu. BMG fanya utafiti wako wa miradi ya mwanza isiyokuwa na kasoro utapata jibu. Na hii inatokana na viongozi kama huyu na hawezi akasema yeye ni mgeni mza ndio huwa visingizio vyao . Hii ndio mza linalo wezekana huwa haliwezekani

  • @johndeov5630

    @johndeov5630

    Ай бұрын

    Mwanza jiji miradi mingi inasuasua katika utekelezaj tunaanza na ujenzi wa jengo la abiria airport Hadi Leo kimya pili ujenzi wa barabara kutoka buhongwa Hadi kishiri Tena ss soko kuu yaan miradi ya mwanza ni full danadana

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid2 ай бұрын

    na kupanga jiji upya

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    Livutie zaidi

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i2 ай бұрын

    Mtanda ni jembe, hapendi ubabaishaji.

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    2 ай бұрын

    Kabisa

Келесі