TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.

Пікірлер: 42

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx5 ай бұрын

    Poleni sana

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q2 ай бұрын

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba38155 ай бұрын

    Poleni sana ndg zetu .

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le5 ай бұрын

    Polen sana

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona5 ай бұрын

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @stemarcely7493
    @stemarcely74935 ай бұрын

    MUNGU wangu...

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli96975 ай бұрын

    Mungu awalinde wapendwa

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti5 ай бұрын

    Hatari sanaa

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg5 ай бұрын

    Dah niatari sana

  • @user-td8td3om5r
    @user-td8td3om5r5 ай бұрын

    Hatari sana

  • @leokamil6284
    @leokamil62845 ай бұрын

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @marymgimwa
    @marymgimwa5 ай бұрын

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki5 ай бұрын

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

  • @Mundi-oz7os

    @Mundi-oz7os

    5 ай бұрын

    "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk5 ай бұрын

    Duh ni hatari xna

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65405 ай бұрын

    Mwanza sehemu gani?

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn68855 ай бұрын

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @barakaaman2668
    @barakaaman26685 ай бұрын

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @pendopeter9075
    @pendopeter90755 ай бұрын

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid5 ай бұрын

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso59735 ай бұрын

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara33335 ай бұрын

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli96975 ай бұрын

    Yote tumwachie mungu

  • @csato9415
    @csato94155 ай бұрын

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @protusmushi7162
    @protusmushi71625 ай бұрын

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi5 ай бұрын

    Cjc

  • @onesmombele2571
    @onesmombele25715 ай бұрын

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k5 ай бұрын

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

  • @josephkulija293

    @josephkulija293

    5 ай бұрын

    Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    5 ай бұрын

    Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    5 ай бұрын

    Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Two wrongs does not make it a right

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74755 ай бұрын

    Hii hatar

  • @dee4144
    @dee41445 ай бұрын

    Daraja la masai

  • @lilhydon452
    @lilhydon4525 ай бұрын

    Uokowaji wako wapi?

  • @user-mw3jb3gb8j
    @user-mw3jb3gb8j5 ай бұрын

    Mwanza sehem gani

  • @dee4144

    @dee4144

    5 ай бұрын

    Daraja la Masai

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele9735 ай бұрын

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    5 ай бұрын

    We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

  • @BeatriceSaid

    @BeatriceSaid

    5 ай бұрын

    Angalia ujumbe acha ushamba

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah32105 ай бұрын

    Hii hatar