TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini
Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.
Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.
Пікірлер: 42
Poleni sana
Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia
Poleni sana ndg zetu .
Polen sana
Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana
MUNGU wangu...
Mungu awalinde wapendwa
Hatari sanaa
Dah niatari sana
Hatari sana
Mungu tuhurumie na utusamehe
Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉
Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko
@Mundi-oz7os
5 ай бұрын
"Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠
Duh ni hatari xna
Mwanza sehemu gani?
Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki
Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro
Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari
Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢
Hii sijui kama siio mto mirongo
Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo
Yote tumwachie mungu
Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.
Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.
Cjc
Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi
Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
@josephkulija293
5 ай бұрын
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu
@magigesabai8674
5 ай бұрын
Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?
@aminatanzanya7475
5 ай бұрын
Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Two wrongs does not make it a right
Hii hatar
Daraja la masai
Uokowaji wako wapi?
Mwanza sehem gani
@dee4144
5 ай бұрын
Daraja la Masai
Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂
@noelbryson7840
5 ай бұрын
We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?
@BeatriceSaid
5 ай бұрын
Angalia ujumbe acha ushamba
Hii hatar