JENGO REFU KULIKO YOTE MWANZA
Unakaribishwa Mwanza, Jiji lenye sifa zake nyingi ikiwemo kuwa na Watu wakarimu, ladha ya Samaki ambayo hutoipata kokote pamoja na mengine.
Mwanza ya sasa sio ya miaka mitano iliyopita.... kuna vitu vipya utakutananavyo likiwemo hili jengo jipya kabisa ambalo ndio linakua Jengo refu Mwanza.
Пікірлер: 49
Napapenda mwanza nyumbani
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👊💪💪💪💪💪💪 mwanza oyeeee
Mpaka sasa inaelekea 2020 halijakamilika
Halijaishaaaagaaa tuuu
Hv hili jengo halijaisha mpaka leo Hongera Magu😅 mwanza hoyooooo
@Baba-nm4qz
11 ай бұрын
Jengo lilianza kipindi cha kikwete,lilisimama kipindi cha magu
Mpaka sasa 2020 halijakamilika sijui shda ni nini
Ndo maana NSSF hawatupi pesa yetu eti mpaka ufikishe miaka 50 kwa sababu ya majengo yao haya
mwanza ndo home
Wabheja Sana nkoi
Mwanza freshii
Ujenzi wa hilo jengo umesima hadi leo 2021 October shida sijui nini apo...?
@madirishasimon9692
2 жыл бұрын
Kweli bana jengo haliendelezwi sijui kwa nini
duuuh Mwanza Mmetishaaa👍👍👍
@dadileonard2392
6 жыл бұрын
Hilo Jengo mm Lazima siku ya ufunguzi nilale mule Pesa zanipa kiburi ambaye atahitaji nae alale Mule Niko ready kulipa On behalf Contact me 0765478730 Sibabaixhi Usingoje kusimuliwa Nov. 2017.
@danieljanuary602
6 жыл бұрын
Mwanza freshiii
asante ayo kwakuitangaza mwanza mwanza..... usisahau nashinyanga na simiyu.....
@shekhekhandereizer559
6 жыл бұрын
Juliana Masunga Hahahahahah shinyanga 😂😂😂😂😂
@maroontzed5048
6 жыл бұрын
Juliana Masunga
Najua engineer hautaki kupigwa picha 👍
@khamisikhamisi63
4 жыл бұрын
Mje nambeya mjenge jengo km hiro
MWANZA home.
😍😍🤩🤩🤩👋👋👍👍
Wanamwanza mpooo? ?
@shifaaal-baity4503
5 жыл бұрын
👍👋👍💪💪🤩
@agnesj.h9789
4 жыл бұрын
Tupo
oya niaje
Mwanzayasasasiile
mmm
duu tisha sana
acheni tujidai wanakwetu
mi ndo wakwanzaaa Ku comment
@kadijakk6384
4 жыл бұрын
Unataka nini sasa
Wasukuma apo wataenda kupga pcha na samaki yan navowajua watani wangu kwa ushamba wao
@damianocostantine9042
2 жыл бұрын
Mhhhh wewe kabila mtani
Gud
好好好
Hiyo kwa Dar ni fupi mno.
@williamsville3493
2 жыл бұрын
Kweli eee???
Kmagufulio
@ugaboy4736
5 жыл бұрын
Sis ni wanachama wa fao la kupeteza ajira tutumie na badget ya hilo jengo
Hahahahahahahahahaha
sasa mbona jengo lenyewe limesimama siku hizi?
ninoma
@christinamabindo5078
4 жыл бұрын
Christina mabindo mwanza yeyetu oyeye