JENGO REFU KULIKO YOTE MWANZA

Unakaribishwa Mwanza, Jiji lenye sifa zake nyingi ikiwemo kuwa na Watu wakarimu, ladha ya Samaki ambayo hutoipata kokote pamoja na mengine.
Mwanza ya sasa sio ya miaka mitano iliyopita.... kuna vitu vipya utakutananavyo likiwemo hili jengo jipya kabisa ambalo ndio linakua Jengo refu Mwanza.

Пікірлер: 49

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon96925 жыл бұрын

    Napapenda mwanza nyumbani

  • @janetwandeharris3934
    @janetwandeharris39346 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👊💪💪💪💪💪💪 mwanza oyeeee

  • @jeremiahmwanyika4441
    @jeremiahmwanyika44414 жыл бұрын

    Mpaka sasa inaelekea 2020 halijakamilika

  • @apekiAthuman-ki5ju
    @apekiAthuman-ki5ju6 ай бұрын

    Halijaishaaaagaaa tuuu

  • @abdallahhussein1918
    @abdallahhussein19183 жыл бұрын

    Hv hili jengo halijaisha mpaka leo Hongera Magu😅 mwanza hoyooooo

  • @Baba-nm4qz

    @Baba-nm4qz

    11 ай бұрын

    Jengo lilianza kipindi cha kikwete,lilisimama kipindi cha magu

  • @angasoketch8063
    @angasoketch80634 жыл бұрын

    Mpaka sasa 2020 halijakamilika sijui shda ni nini

  • @abuuissa1642
    @abuuissa16425 жыл бұрын

    Ndo maana NSSF hawatupi pesa yetu eti mpaka ufikishe miaka 50 kwa sababu ya majengo yao haya

  • @nassybumutabaz1446
    @nassybumutabaz14466 жыл бұрын

    mwanza ndo home

  • @boazphillip4019
    @boazphillip40195 жыл бұрын

    Wabheja Sana nkoi

  • @danieljanuary602
    @danieljanuary6026 жыл бұрын

    Mwanza freshii

  • @rajabomary4222
    @rajabomary42222 жыл бұрын

    Ujenzi wa hilo jengo umesima hadi leo 2021 October shida sijui nini apo...?

  • @madirishasimon9692

    @madirishasimon9692

    2 жыл бұрын

    Kweli bana jengo haliendelezwi sijui kwa nini

  • @sehewawiliam4765
    @sehewawiliam47656 жыл бұрын

    duuuh Mwanza Mmetishaaa👍👍👍

  • @dadileonard2392

    @dadileonard2392

    6 жыл бұрын

    Hilo Jengo mm Lazima siku ya ufunguzi nilale mule Pesa zanipa kiburi ambaye atahitaji nae alale Mule Niko ready kulipa On behalf Contact me 0765478730 Sibabaixhi Usingoje kusimuliwa Nov. 2017.

  • @danieljanuary602

    @danieljanuary602

    6 жыл бұрын

    Mwanza freshiii

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga41476 жыл бұрын

    asante ayo kwakuitangaza mwanza mwanza..... usisahau nashinyanga na simiyu.....

  • @shekhekhandereizer559

    @shekhekhandereizer559

    6 жыл бұрын

    Juliana Masunga Hahahahahah shinyanga 😂😂😂😂😂

  • @maroontzed5048

    @maroontzed5048

    6 жыл бұрын

    Juliana Masunga

  • @hamzahamoud60
    @hamzahamoud605 жыл бұрын

    Najua engineer hautaki kupigwa picha 👍

  • @khamisikhamisi63

    @khamisikhamisi63

    4 жыл бұрын

    Mje nambeya mjenge jengo km hiro

  • @johnmatambi6232
    @johnmatambi62326 жыл бұрын

    MWANZA home.

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity45035 жыл бұрын

    😍😍🤩🤩🤩👋👋👍👍

  • @lutundujafau6020
    @lutundujafau60205 жыл бұрын

    Wanamwanza mpooo? ?

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    5 жыл бұрын

    👍👋👍💪💪🤩

  • @agnesj.h9789

    @agnesj.h9789

    4 жыл бұрын

    Tupo

  • @songalaurian6605
    @songalaurian66056 жыл бұрын

    oya niaje

  • @martinemathias9054
    @martinemathias90546 жыл бұрын

    Mwanzayasasasiile

  • @ebenmkidzi3437
    @ebenmkidzi34376 жыл бұрын

    mmm

  • @godisgood8700
    @godisgood87006 жыл бұрын

    duu tisha sana

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer5596 жыл бұрын

    acheni tujidai wanakwetu

  • @sehewawiliam4765
    @sehewawiliam47656 жыл бұрын

    mi ndo wakwanzaaa Ku comment

  • @kadijakk6384

    @kadijakk6384

    4 жыл бұрын

    Unataka nini sasa

  • @habibumallanga7937
    @habibumallanga79373 жыл бұрын

    Wasukuma apo wataenda kupga pcha na samaki yan navowajua watani wangu kwa ushamba wao

  • @damianocostantine9042

    @damianocostantine9042

    2 жыл бұрын

    Mhhhh wewe kabila mtani

  • @elizapius5479
    @elizapius54792 жыл бұрын

    Gud

  • @jingbian7982
    @jingbian79826 жыл бұрын

    好好好

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Hiyo kwa Dar ni fupi mno.

  • @williamsville3493

    @williamsville3493

    2 жыл бұрын

    Kweli eee???

  • @obadiakalekezi1879
    @obadiakalekezi18796 жыл бұрын

    Kmagufulio

  • @ugaboy4736

    @ugaboy4736

    5 жыл бұрын

    Sis ni wanachama wa fao la kupeteza ajira tutumie na badget ya hilo jengo

  • @ianrutto4796
    @ianrutto47963 жыл бұрын

    Hahahahahahahahahaha

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 жыл бұрын

    sasa mbona jengo lenyewe limesimama siku hizi?

  • @rockisackheck7465
    @rockisackheck74656 жыл бұрын

    ninoma

  • @christinamabindo5078

    @christinamabindo5078

    4 жыл бұрын

    Christina mabindo mwanza yeyetu oyeye

Келесі