HIZI NDIO SIFA ZA KIPEKEE ZA DARAJA LA J.P MAGUFULI "UNAVUKA KWA DK 3 TU, NI PEKEE AFRIKA MASHARIKI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 125
@MadilishaSimon-sb9kk8 ай бұрын
Tulio mbali na nyumbani tunafurahi kuona maendeleo haya❤❤❤
@mangulimanguli39748 ай бұрын
Magu ndani ya miaka 5 kafanya makubwa sana Mungu angemueka tukampa miaka 20 Nnchi yetu ingefika mbali Viongozi wetu wa asa ivi kazi yao kuiba tu
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
nikweli ndugu 😢
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha
@msafiriomary8938 ай бұрын
JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu
@MatronaThomas-wz5si8 ай бұрын
Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP
@MrTop-wj7no8 ай бұрын
We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
@shijandobehe4953
8 ай бұрын
kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi
@user-ww5se6br3b8 ай бұрын
kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii
Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe
@letthedeadburythedead2148
8 ай бұрын
Unaongelea mkunduni wewe
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka
@didasseveline90138 ай бұрын
Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!
@ubuntubantu24048 ай бұрын
JPM asante
@shelyboyshely29287 ай бұрын
Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu
@onestkasmir42978 ай бұрын
inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya
@MACHOYATAI-jk6fu
8 ай бұрын
Hawanaga shukurani hao waisilamu
@onestkasmir4297
8 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@onestkasmir4297
8 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@toymadebho7048
Ай бұрын
kwel kbs
@issabilali35398 ай бұрын
JPM haujafa mioyoni mwetu❤
@joshuajofrey98328 ай бұрын
Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮
@elidiustudoy26408 ай бұрын
R.I.P MAGUFULI SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅
@allyselemani785
8 ай бұрын
Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu
@mkemia_magege58168 ай бұрын
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema. Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
@emmanuelmlowe-ew7gx8 ай бұрын
Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha
@frankymagatory13388 ай бұрын
Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉
@omarysaid87258 ай бұрын
Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga
@bongohackss24 күн бұрын
We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida
@user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын
Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha
@AmanduceFesto-nb6kh8 ай бұрын
Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem
@salimalaquimane30778 ай бұрын
😢😢 JPM
@oscarkomba7258
8 ай бұрын
😢
@josephvenus32598 ай бұрын
JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭
@mimiraia25318 ай бұрын
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza?? KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
@bakariamour1024
8 ай бұрын
Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,
@servantofalmightygoddranth25118 ай бұрын
JPM alikuwa ni mtu na robo tatu
@Aida-qh3jq8 ай бұрын
Hawana jipya mungu anawaona
@timboxlee9198 ай бұрын
Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM
@msafiriomary8938 ай бұрын
Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo
@elibaricksadock95628 ай бұрын
Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂
@user-ct4jp1ux1z
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
@elibaricksadock9562
8 ай бұрын
Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba
@masudymanju60628 ай бұрын
Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako
@rashidmakame70688 ай бұрын
Kuhusu daraja sawa Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu
@bongo398 ай бұрын
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
@sagulesalehe6203
8 ай бұрын
Kweli kabisa
@MasungaMasaka7 ай бұрын
Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha
@barikimollel78908 ай бұрын
RIP Magufuli😢😢😢
@elizalutiga62878 ай бұрын
Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi
@toymadebho7048Ай бұрын
halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@OmerSuley-gl7go7 ай бұрын
Hongera mama Samia kazi iendelee ❤
@edwardomodest9297
7 ай бұрын
Khaaaaa
@drgeofreykupaza77077 ай бұрын
ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA
@kambamazig020243 ай бұрын
Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?
@user-oe8ee5tw7l8 ай бұрын
20, 18 ndio nini Nyooka mjomba
@juniorwiseprophet12408 ай бұрын
Asanteni
@edwingideon36067 ай бұрын
R.I.P Magufuli
@Ibrah2875 ай бұрын
Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!
@emmanuelmlowe-ew7gx8 ай бұрын
Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana
@edwardomodest92977 ай бұрын
Rudiiiiii JPM. Rudi tu.
@FaridaAlita-jx6lt6 ай бұрын
Safi sana
@maskatiglobaltv7 ай бұрын
KAZI iendeleee
@user-yy9jp3ll8p7 ай бұрын
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
@MuemedeManinga8 ай бұрын
Daraja Hilo ni bala
@onekisstv84128 ай бұрын
Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh
@msafiriomary8938 ай бұрын
Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu
@mussakimaro55887 ай бұрын
Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga
@allysalum-nd5fd8 ай бұрын
Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi
@damianmakala29138 ай бұрын
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
@candidoderosa8 ай бұрын
Watu ni wakatili sana. 😢
@SuleAmber-lw2tx8 ай бұрын
Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤
@MadilishaSimon-sb9kk
8 ай бұрын
Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza
@SuleAmber-lw2tx
8 ай бұрын
@@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom
@lovenessvisent94088 ай бұрын
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi
@aloycesteven59988 ай бұрын
Daraja bado halijaisha hilo
@mirajimwango57638 ай бұрын
HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO
@tato89798 ай бұрын
Kazi nzuri 🎉
@r14kgroup688 ай бұрын
Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima
@lovenessvisent94088 ай бұрын
Nachukia kwa ucheleweshaji
@omarysaid87258 ай бұрын
Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu
@Africanempire-hi2zx
8 ай бұрын
😂😂😂
@rasheedabby28718 ай бұрын
B700 hela itarud?!
@judithkirenga99777 ай бұрын
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea
@mugishamajeba96288 ай бұрын
Maputo mambo
@Tanganyikatv965
8 ай бұрын
Salamanga katembe
@Hillary_Daudi_Mrema8 ай бұрын
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelmkama3000
8 ай бұрын
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
@MACHOYATAI-jk6fu
8 ай бұрын
Usituambukize ujinga
@abrahamkibona7038
8 ай бұрын
Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?
@emmanuelmlowe-ew7gx
8 ай бұрын
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
@emmanuelmlowe-ew7gx
8 ай бұрын
Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?
@tomsijohni8 ай бұрын
hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂
Пікірлер: 125
Tulio mbali na nyumbani tunafurahi kuona maendeleo haya❤❤❤
Magu ndani ya miaka 5 kafanya makubwa sana Mungu angemueka tukampa miaka 20 Nnchi yetu ingefika mbali Viongozi wetu wa asa ivi kazi yao kuiba tu
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
nikweli ndugu 😢
Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha
JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu
Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP
We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
@shijandobehe4953
8 ай бұрын
kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi
kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii
Angekuwepo JPM daraja lingekuwa limekwisha, RIP JPM
@Officialvplat
8 ай бұрын
Achen kufany imagination
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
8 ай бұрын
Acha ujinga wewe unafili ilo dalaja balabala yavumbi unapitisha katapila namagali yanapita mda uo uo
@ibrahimally8073
8 ай бұрын
Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe
@letthedeadburythedead2148
8 ай бұрын
Unaongelea mkunduni wewe
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka
Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!
JPM asante
Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu
inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya
@MACHOYATAI-jk6fu
8 ай бұрын
Hawanaga shukurani hao waisilamu
@onestkasmir4297
8 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@onestkasmir4297
8 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@toymadebho7048
Ай бұрын
kwel kbs
JPM haujafa mioyoni mwetu❤
Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮
R.I.P MAGUFULI SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅
@allyselemani785
8 ай бұрын
Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema. Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha
Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉
Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji
KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga
We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida
Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha
Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem
😢😢 JPM
@oscarkomba7258
8 ай бұрын
😢
JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza?? KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
@bakariamour1024
8 ай бұрын
Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,
JPM alikuwa ni mtu na robo tatu
Hawana jipya mungu anawaona
Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM
Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo
Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂
@user-ct4jp1ux1z
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
@elibaricksadock9562
8 ай бұрын
Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba
Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako
Kuhusu daraja sawa Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
@user-cn9br7en7w
8 ай бұрын
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
@sagulesalehe6203
8 ай бұрын
Kweli kabisa
Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha
RIP Magufuli😢😢😢
Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi
halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Hongera mama Samia kazi iendelee ❤
@edwardomodest9297
7 ай бұрын
Khaaaaa
ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA
Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?
20, 18 ndio nini Nyooka mjomba
Asanteni
R.I.P Magufuli
Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!
Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana
Rudiiiiii JPM. Rudi tu.
Safi sana
KAZI iendeleee
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
Daraja Hilo ni bala
Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh
Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu
Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga
Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
Watu ni wakatili sana. 😢
Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤
@MadilishaSimon-sb9kk
8 ай бұрын
Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza
@SuleAmber-lw2tx
8 ай бұрын
@@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi
Daraja bado halijaisha hilo
HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO
Kazi nzuri 🎉
Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima
Nachukia kwa ucheleweshaji
Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu
@Africanempire-hi2zx
8 ай бұрын
😂😂😂
B700 hela itarud?!
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea
Maputo mambo
@Tanganyikatv965
8 ай бұрын
Salamanga katembe
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelmkama3000
8 ай бұрын
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
@MACHOYATAI-jk6fu
8 ай бұрын
Usituambukize ujinga
@abrahamkibona7038
8 ай бұрын
Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?
@emmanuelmlowe-ew7gx
8 ай бұрын
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
@emmanuelmlowe-ew7gx
8 ай бұрын
Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?
hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂