STENDI MPYA YA NYAMHONGOLO MWANZA KUANZA KUTUMIKA JUMANNE, BILIONI 26.6 ZA KAMILISHA UJENZI

Пікірлер: 29

  • @nagrethcherles9199
    @nagrethcherles9199 Жыл бұрын

    Mm nasema waliomuua magufuli mm nawaombea kila siku na wao wauliwe tena vifo vibaya sana tena ikiwezekana wanyongwe wakiwa wanaona

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 Жыл бұрын

    Bado barabara ya Mahina Kanyerere.. Tunaomba tuwekee Lami, hiyo barabara itapunguza mzunguko wa kwenda igoma au nyakato.

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Жыл бұрын

    Asante magufuri daima tutakukumbuka umeacha alama.

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze8377 Жыл бұрын

    Asante #Jpm🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sadamofficialtz
    @sadamofficialtz Жыл бұрын

    Asante sana bro

  • @mdl6463
    @mdl6463 Жыл бұрын

    Barabara ya kutoka mwanza mjini kuja KISESA angalau wangeipanua kupunguza folen maana HICE zimekuwa nyingi sana STAND UPO POA SAFI SANA

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Жыл бұрын

    1000 kubwa mzeee

  • @vipajionlinetv3536
    @vipajionlinetv3536 Жыл бұрын

    Tanzania tunaweza!

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Жыл бұрын

    RIP

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Mwenyezi azidi kumpa afya njema na umri mrefu Raisi wetu Mpendwa ili kama kuna mtu ana Chuki azidi kuumia, alafu ninacho mpendea hana Mbwembwe kabisaaaaaaaa, ingekuwa mwingine angeshaomba hiyo stand iitwe jina lake,Eeee Mwenyezi mpe nguvu,afya njema,maarifa na ucha Mungu, yaaani ameweza ukisikisikia kukimbiza mwizi kimya kimya ndio huku, Kwa Nchi za SADC ukiitoa South Africa nchi nyingine stand zao hazieleweki kabisaaa kwa wanao tembea wanatokwa na machozi kuona haya mambo nyumbani Tz

  • @allybinagil3169

    @allybinagil3169

    Жыл бұрын

    Tupo pamoja mama h

  • @allybinagil3169

    @allybinagil3169

    Жыл бұрын

    Tupo pamoja

  • @stevenlugojeremia2323

    @stevenlugojeremia2323

    Жыл бұрын

    Miradi ya JPM hiyo Acha Kupotosha watu Samia Yeye Ameikuta hiyo Miradi ikiwa mwishoni kumalizika tu...Samia Tangu Aingie Madarakani hakuna Miradi yake Ni Ya mdomoni tu but sio ya vitendo..Pongezi Ziende kwa JPM kwakuanzisha huu Miradi na za mwisho Ziende kwa Samiah kwa kuisimamia mpaka kumalizika...

  • @richardbegga6679

    @richardbegga6679

    Жыл бұрын

    Stand hii kipindi JPM anafariki ulikuwa imekamilika kwa 98%

  • @paschaljoh5729

    @paschaljoh5729

    Жыл бұрын

    Acha uboya ww huyo JPM anaanza kufanya hayo

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html

  • @erickshirima6873
    @erickshirima6873 Жыл бұрын

    Nataman niwasiliane na halmashaur ya hapo

  • @ladysasty
    @ladysasty Жыл бұрын

    Kiboko ya mvuto wa biashara kzread.info/dash/bejne/jIVhvNSFfta8m6g.html

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 Жыл бұрын

    Mama Samia anafanya kazi sana, husikii majigambo lkn mambo yanakwenda, maa shaa Allaah..

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Жыл бұрын

    Hiyo kajenga jpm

  • @rukiafaraj1400

    @rukiafaraj1400

    Жыл бұрын

    @@barakarobert1029 ni kweli, ila hakujaaliwa kukamilisha..

  • @pauljeremiah3434

    @pauljeremiah3434

    Жыл бұрын

    Kumbuka huyo mama yako hakuna hata mradi aliofanya bali anakamilisha miradi ya iliyokwisha tengewa bajet

  • @sambulugu9988

    @sambulugu9988

    Жыл бұрын

    Usituletee ujinga wako wa Samia mara Allah udini umekuja mpuuzi wewe! Samia ndo nani?

  • @rukiafaraj1400

    @rukiafaraj1400

    Жыл бұрын

    @@sambulugu9988 why should I waste my time to argue with you!? Yes am Muslim and am proud to be a Muslim, period!

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 Жыл бұрын

    Nimpongeze hayati magufuri kwa kuwa mzarendo wakweri mpambanaji hakuna mkoa utaenda uache kuona miradi mikubwa R I p JPM. Nikirudi hapo kwenyekiwango cha watu wanaosindikiza wageni 1000 ni kiwango kikubwa sana jamani ,ukilinganisha maisha yalivyo magumu kiwango hicho kipunguzwe.kama kivuko hatuvuki kwa huyo pesa kuingia stendi na kutoka ndo muweke 1000?

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Жыл бұрын

    Wakat dsm magufuli sted unalipa mia 300 kuingia dan gar jero

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 Жыл бұрын

    Billion 26 ni nyingi tushapigwa

  • @lameckseko979

    @lameckseko979

    Жыл бұрын

    Hii stendi ni ya kipekee kabisa Tanzania kwasababu ina sehemu mbili moja kwa ajili ya malori ya mizigo na nyingine kwa ajili ya mabasi ( cargo terminal and passenger terminal). Vilevile ina karakana kwa ajili ya magari, jengo la kuhifadhi mizigo, jengo la hostel kwa ajili ya wasafari lenye ghorofa nne, jengo la biashara, jengo la wasafiri na ofisi za makampuni ya mabasi, mwisho ni maduka madogomadogo yaliyotengeneza uzio wa stendi.

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html

Келесі