Barabara ya kutoka mwanza mjini kuja KISESA angalau wangeipanua kupunguza folen maana HICE zimekuwa nyingi sana STAND UPO POA SAFI SANA
@dintazdintaz7311 Жыл бұрын
1000 kubwa mzeee
@vipajionlinetv3536 Жыл бұрын
Tanzania tunaweza!
@kiliantereba6502 Жыл бұрын
RIP
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi azidi kumpa afya njema na umri mrefu Raisi wetu Mpendwa ili kama kuna mtu ana Chuki azidi kuumia, alafu ninacho mpendea hana Mbwembwe kabisaaaaaaaa, ingekuwa mwingine angeshaomba hiyo stand iitwe jina lake,Eeee Mwenyezi mpe nguvu,afya njema,maarifa na ucha Mungu, yaaani ameweza ukisikisikia kukimbiza mwizi kimya kimya ndio huku, Kwa Nchi za SADC ukiitoa South Africa nchi nyingine stand zao hazieleweki kabisaaa kwa wanao tembea wanatokwa na machozi kuona haya mambo nyumbani Tz
@allybinagil3169
Жыл бұрын
Tupo pamoja mama h
@allybinagil3169
Жыл бұрын
Tupo pamoja
@stevenlugojeremia2323
Жыл бұрын
Miradi ya JPM hiyo Acha Kupotosha watu Samia Yeye Ameikuta hiyo Miradi ikiwa mwishoni kumalizika tu...Samia Tangu Aingie Madarakani hakuna Miradi yake Ni Ya mdomoni tu but sio ya vitendo..Pongezi Ziende kwa JPM kwakuanzisha huu Miradi na za mwisho Ziende kwa Samiah kwa kuisimamia mpaka kumalizika...
@richardbegga6679
Жыл бұрын
Stand hii kipindi JPM anafariki ulikuwa imekamilika kwa 98%
@paschaljoh5729
Жыл бұрын
Acha uboya ww huyo JPM anaanza kufanya hayo
@haniffa9024 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html
@erickshirima6873 Жыл бұрын
Nataman niwasiliane na halmashaur ya hapo
@ladysasty Жыл бұрын
Kiboko ya mvuto wa biashara kzread.info/dash/bejne/jIVhvNSFfta8m6g.html
@rukiafaraj1400 Жыл бұрын
Mama Samia anafanya kazi sana, husikii majigambo lkn mambo yanakwenda, maa shaa Allaah..
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Hiyo kajenga jpm
@rukiafaraj1400
Жыл бұрын
@@barakarobert1029 ni kweli, ila hakujaaliwa kukamilisha..
@pauljeremiah3434
Жыл бұрын
Kumbuka huyo mama yako hakuna hata mradi aliofanya bali anakamilisha miradi ya iliyokwisha tengewa bajet
@sambulugu9988
Жыл бұрын
Usituletee ujinga wako wa Samia mara Allah udini umekuja mpuuzi wewe! Samia ndo nani?
@rukiafaraj1400
Жыл бұрын
@@sambulugu9988 why should I waste my time to argue with you!? Yes am Muslim and am proud to be a Muslim, period!
@julianamasato5655 Жыл бұрын
Nimpongeze hayati magufuri kwa kuwa mzarendo wakweri mpambanaji hakuna mkoa utaenda uache kuona miradi mikubwa R I p JPM. Nikirudi hapo kwenyekiwango cha watu wanaosindikiza wageni 1000 ni kiwango kikubwa sana jamani ,ukilinganisha maisha yalivyo magumu kiwango hicho kipunguzwe.kama kivuko hatuvuki kwa huyo pesa kuingia stendi na kutoka ndo muweke 1000?
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Wakat dsm magufuli sted unalipa mia 300 kuingia dan gar jero
@shebbythespyro5393 Жыл бұрын
Billion 26 ni nyingi tushapigwa
@lameckseko979
Жыл бұрын
Hii stendi ni ya kipekee kabisa Tanzania kwasababu ina sehemu mbili moja kwa ajili ya malori ya mizigo na nyingine kwa ajili ya mabasi ( cargo terminal and passenger terminal). Vilevile ina karakana kwa ajili ya magari, jengo la kuhifadhi mizigo, jengo la hostel kwa ajili ya wasafari lenye ghorofa nne, jengo la biashara, jengo la wasafiri na ofisi za makampuni ya mabasi, mwisho ni maduka madogomadogo yaliyotengeneza uzio wa stendi.
@haniffa9024 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html
Пікірлер: 29
Mm nasema waliomuua magufuli mm nawaombea kila siku na wao wauliwe tena vifo vibaya sana tena ikiwezekana wanyongwe wakiwa wanaona
Bado barabara ya Mahina Kanyerere.. Tunaomba tuwekee Lami, hiyo barabara itapunguza mzunguko wa kwenda igoma au nyakato.
Asante magufuri daima tutakukumbuka umeacha alama.
Asante #Jpm🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana bro
Barabara ya kutoka mwanza mjini kuja KISESA angalau wangeipanua kupunguza folen maana HICE zimekuwa nyingi sana STAND UPO POA SAFI SANA
1000 kubwa mzeee
Tanzania tunaweza!
RIP
Mwenyezi azidi kumpa afya njema na umri mrefu Raisi wetu Mpendwa ili kama kuna mtu ana Chuki azidi kuumia, alafu ninacho mpendea hana Mbwembwe kabisaaaaaaaa, ingekuwa mwingine angeshaomba hiyo stand iitwe jina lake,Eeee Mwenyezi mpe nguvu,afya njema,maarifa na ucha Mungu, yaaani ameweza ukisikisikia kukimbiza mwizi kimya kimya ndio huku, Kwa Nchi za SADC ukiitoa South Africa nchi nyingine stand zao hazieleweki kabisaaa kwa wanao tembea wanatokwa na machozi kuona haya mambo nyumbani Tz
@allybinagil3169
Жыл бұрын
Tupo pamoja mama h
@allybinagil3169
Жыл бұрын
Tupo pamoja
@stevenlugojeremia2323
Жыл бұрын
Miradi ya JPM hiyo Acha Kupotosha watu Samia Yeye Ameikuta hiyo Miradi ikiwa mwishoni kumalizika tu...Samia Tangu Aingie Madarakani hakuna Miradi yake Ni Ya mdomoni tu but sio ya vitendo..Pongezi Ziende kwa JPM kwakuanzisha huu Miradi na za mwisho Ziende kwa Samiah kwa kuisimamia mpaka kumalizika...
@richardbegga6679
Жыл бұрын
Stand hii kipindi JPM anafariki ulikuwa imekamilika kwa 98%
@paschaljoh5729
Жыл бұрын
Acha uboya ww huyo JPM anaanza kufanya hayo
kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html
Nataman niwasiliane na halmashaur ya hapo
Kiboko ya mvuto wa biashara kzread.info/dash/bejne/jIVhvNSFfta8m6g.html
Mama Samia anafanya kazi sana, husikii majigambo lkn mambo yanakwenda, maa shaa Allaah..
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Hiyo kajenga jpm
@rukiafaraj1400
Жыл бұрын
@@barakarobert1029 ni kweli, ila hakujaaliwa kukamilisha..
@pauljeremiah3434
Жыл бұрын
Kumbuka huyo mama yako hakuna hata mradi aliofanya bali anakamilisha miradi ya iliyokwisha tengewa bajet
@sambulugu9988
Жыл бұрын
Usituletee ujinga wako wa Samia mara Allah udini umekuja mpuuzi wewe! Samia ndo nani?
@rukiafaraj1400
Жыл бұрын
@@sambulugu9988 why should I waste my time to argue with you!? Yes am Muslim and am proud to be a Muslim, period!
Nimpongeze hayati magufuri kwa kuwa mzarendo wakweri mpambanaji hakuna mkoa utaenda uache kuona miradi mikubwa R I p JPM. Nikirudi hapo kwenyekiwango cha watu wanaosindikiza wageni 1000 ni kiwango kikubwa sana jamani ,ukilinganisha maisha yalivyo magumu kiwango hicho kipunguzwe.kama kivuko hatuvuki kwa huyo pesa kuingia stendi na kutoka ndo muweke 1000?
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Wakat dsm magufuli sted unalipa mia 300 kuingia dan gar jero
Billion 26 ni nyingi tushapigwa
@lameckseko979
Жыл бұрын
Hii stendi ni ya kipekee kabisa Tanzania kwasababu ina sehemu mbili moja kwa ajili ya malori ya mizigo na nyingine kwa ajili ya mabasi ( cargo terminal and passenger terminal). Vilevile ina karakana kwa ajili ya magari, jengo la kuhifadhi mizigo, jengo la hostel kwa ajili ya wasafari lenye ghorofa nne, jengo la biashara, jengo la wasafiri na ofisi za makampuni ya mabasi, mwisho ni maduka madogomadogo yaliyotengeneza uzio wa stendi.
kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html DAWA YA KUMFUNGA MUME WAKO ,ASIOE , MWANAMKE , MWINGINE, NA ACHE UNYANYASAJI WAKE NDANI YA NYUMBA , AU KATIKA MAUSIANO YAKO YA MAPENZI...*# kzread.info/dash/bejne/iHiYl8drmdjAmLg.html