SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR -DOM KUANZA JULAI 25, WAZIRI MBARAWA AKAGUA JENGO LA STESHENI DODOMA
Жүктеу.....
Пікірлер: 43
@ndukulusudikucho_17 күн бұрын
Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ
@seiftwahir4874
17 күн бұрын
wazo zuri sana
@omarybakunda2554
17 күн бұрын
Naunga hoja yako
@rayisadesigns2646
17 күн бұрын
Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!
@filamupictures9349
17 күн бұрын
halafu kiukweli waturuki sio waarabu @@rayisadesigns2646
@agustinemsambila250117 күн бұрын
Sasa mpeni sifa na john pombe magufuri
@Neworder1117 күн бұрын
Yes dodoma naenda mwezi ujao inshaalah.mungu atanifijisha nipande
@backlinemgongolwa56818 күн бұрын
Kampuni ya yap wako vzr Sana kuliko hata campuni za kichina
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Wachina wana shida ipi?
@johnmlay4759
17 күн бұрын
Ni kweli wapo vizuli sana, kwa China naikubali ccecc coz huwa wako on-time pia ubora
@omarybakunda255417 күн бұрын
Asante sana mbarawa
@lulanjamd388618 күн бұрын
Acheni unafiki tunamshukulu Mungu na rais aliyeanzisha kazi hiyo rais Magufuli mama samia anafanya vizuri ila haipaswi kushukuliwa peke yake
@Nick1669717 күн бұрын
Waambieni waoteshe miti sasa,
@SospeterBruno3 күн бұрын
Dar to dom nauli sholingi ngapi?
@lilhydon45217 күн бұрын
Ningeshangaa sana ningekosa kusikia sifa kwa mama 😅😅
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Yani isingetosha mboga😅
@mosesnyelo1380
17 күн бұрын
Lazma asifiwe mana yaki haribika yeye ndo anapondwa kwahyo yakiwa mazur lazma aaifiwe
@bakarijumakupaza435117 күн бұрын
Rais kafuatilia pesa za walipa kodi lakini sio yeye aliyejenga.
@victorjames373017 күн бұрын
Walipa Kodi ndio wanapaswa kupongezwa Wala sio Rais pekee
@ikulunimahalipatakatifu764218 күн бұрын
KIMYA KIMYAAA NA MAMA TUNASONGA , BRAVO TANZANIA , BRAVO TIMU MAENDELEO
@deniccgabriel6153
17 күн бұрын
Kanye na Mama yko ,RIP JPM😢
@ndukulusudikucho_
17 күн бұрын
Uko sahihi saaana Mama mitano teno kwahaki yuko vizuri mnooo
@ndukulusudikucho_
17 күн бұрын
@@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo
@ikulunimahalipatakatifu7642
17 күн бұрын
@@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao
@rayisadesigns2646
17 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.
@hollymore490417 күн бұрын
Duh mmepeleka mbele tena
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Acha ujinga basi
@karimmunis830218 күн бұрын
Sijawahi kumuamin huyu waziri
@evancemnyiliki413218 күн бұрын
Nasikia ety hupandi na mizigo kweny hi trenii😂😂
@edwardgafachu8932
18 күн бұрын
Inategemea mizigo ipi
@ContentSmartphone-rq6po
18 күн бұрын
Yamizigo itakuja kama umemsikia vizuri waziri hii ya abiria au unamaana gani
@mukhsintwaha5909
18 күн бұрын
Unataka upande na kuku na mbuzi kwel??
@GeradinaJohn-xh8pw
18 күн бұрын
Hapo anamaanisha mizigo mikubwa ka magunia unavoeza kueka kwenye basi ila manegi kama yako binafsi unakua nalo tu kama kawaida
@GeradinaJohn-xh8pw
18 күн бұрын
I mean mabegi
@maidimples823618 күн бұрын
Kwahiyo km inaanza july 25 so harmo yeye alipanda ipi
@samsonmwijage1869
17 күн бұрын
Sikiliza vema anavyoongea waziri. Walisafiri kwa kutumia kiberenge.
@fortyyellu9971Күн бұрын
Hapo ndo ulipopuyanga sasa mzee.. anaetakiwa kushukuliwa ni nan? Anaetakiwa kukshukuliwaa ni HAYATI MAGUFULI na sio mwingineo.
Пікірлер: 43
Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ
@seiftwahir4874
17 күн бұрын
wazo zuri sana
@omarybakunda2554
17 күн бұрын
Naunga hoja yako
@rayisadesigns2646
17 күн бұрын
Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!
@filamupictures9349
17 күн бұрын
halafu kiukweli waturuki sio waarabu @@rayisadesigns2646
Sasa mpeni sifa na john pombe magufuri
Yes dodoma naenda mwezi ujao inshaalah.mungu atanifijisha nipande
Kampuni ya yap wako vzr Sana kuliko hata campuni za kichina
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Wachina wana shida ipi?
@johnmlay4759
17 күн бұрын
Ni kweli wapo vizuli sana, kwa China naikubali ccecc coz huwa wako on-time pia ubora
Asante sana mbarawa
Acheni unafiki tunamshukulu Mungu na rais aliyeanzisha kazi hiyo rais Magufuli mama samia anafanya vizuri ila haipaswi kushukuliwa peke yake
Waambieni waoteshe miti sasa,
Dar to dom nauli sholingi ngapi?
Ningeshangaa sana ningekosa kusikia sifa kwa mama 😅😅
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Yani isingetosha mboga😅
@mosesnyelo1380
17 күн бұрын
Lazma asifiwe mana yaki haribika yeye ndo anapondwa kwahyo yakiwa mazur lazma aaifiwe
Rais kafuatilia pesa za walipa kodi lakini sio yeye aliyejenga.
Walipa Kodi ndio wanapaswa kupongezwa Wala sio Rais pekee
KIMYA KIMYAAA NA MAMA TUNASONGA , BRAVO TANZANIA , BRAVO TIMU MAENDELEO
@deniccgabriel6153
17 күн бұрын
Kanye na Mama yko ,RIP JPM😢
@ndukulusudikucho_
17 күн бұрын
Uko sahihi saaana Mama mitano teno kwahaki yuko vizuri mnooo
@ndukulusudikucho_
17 күн бұрын
@@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo
@ikulunimahalipatakatifu7642
17 күн бұрын
@@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao
@rayisadesigns2646
17 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.
Duh mmepeleka mbele tena
@elinamilyatuu7337
17 күн бұрын
Acha ujinga basi
Sijawahi kumuamin huyu waziri
Nasikia ety hupandi na mizigo kweny hi trenii😂😂
@edwardgafachu8932
18 күн бұрын
Inategemea mizigo ipi
@ContentSmartphone-rq6po
18 күн бұрын
Yamizigo itakuja kama umemsikia vizuri waziri hii ya abiria au unamaana gani
@mukhsintwaha5909
18 күн бұрын
Unataka upande na kuku na mbuzi kwel??
@GeradinaJohn-xh8pw
18 күн бұрын
Hapo anamaanisha mizigo mikubwa ka magunia unavoeza kueka kwenye basi ila manegi kama yako binafsi unakua nalo tu kama kawaida
@GeradinaJohn-xh8pw
18 күн бұрын
I mean mabegi
Kwahiyo km inaanza july 25 so harmo yeye alipanda ipi
@samsonmwijage1869
17 күн бұрын
Sikiliza vema anavyoongea waziri. Walisafiri kwa kutumia kiberenge.
Hapo ndo ulipopuyanga sasa mzee.. anaetakiwa kushukuliwa ni nan? Anaetakiwa kukshukuliwaa ni HAYATI MAGUFULI na sio mwingineo.
Walisema 1 leo wanasena 25 duh
@zubeiramlanzi2480
17 күн бұрын
Ikifika 25 tena kama kawa inasogezwa
@salmamlokela1987
2 күн бұрын
Acheni viele ele...muwe na subra