SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR -DOM KUANZA JULAI 25, WAZIRI MBARAWA AKAGUA JENGO LA STESHENI DODOMA

Пікірлер: 43

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_17 күн бұрын

    Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ

  • @seiftwahir4874

    @seiftwahir4874

    17 күн бұрын

    wazo zuri sana

  • @omarybakunda2554

    @omarybakunda2554

    17 күн бұрын

    Naunga hoja yako

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    17 күн бұрын

    Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    17 күн бұрын

    halafu kiukweli waturuki sio waarabu ​@@rayisadesigns2646

  • @agustinemsambila2501
    @agustinemsambila250117 күн бұрын

    Sasa mpeni sifa na john pombe magufuri

  • @Neworder11
    @Neworder1117 күн бұрын

    Yes dodoma naenda mwezi ujao inshaalah.mungu atanifijisha nipande

  • @backlinemgongolwa568
    @backlinemgongolwa56818 күн бұрын

    Kampuni ya yap wako vzr Sana kuliko hata campuni za kichina

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    17 күн бұрын

    Wachina wana shida ipi?

  • @johnmlay4759

    @johnmlay4759

    17 күн бұрын

    Ni kweli wapo vizuli sana, kwa China naikubali ccecc coz huwa wako on-time pia ubora

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda255417 күн бұрын

    Asante sana mbarawa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd388618 күн бұрын

    Acheni unafiki tunamshukulu Mungu na rais aliyeanzisha kazi hiyo rais Magufuli mama samia anafanya vizuri ila haipaswi kushukuliwa peke yake

  • @Nick16697
    @Nick1669717 күн бұрын

    Waambieni waoteshe miti sasa,

  • @SospeterBruno
    @SospeterBruno3 күн бұрын

    Dar to dom nauli sholingi ngapi?

  • @lilhydon452
    @lilhydon45217 күн бұрын

    Ningeshangaa sana ningekosa kusikia sifa kwa mama 😅😅

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    17 күн бұрын

    Yani isingetosha mboga😅

  • @mosesnyelo1380

    @mosesnyelo1380

    17 күн бұрын

    Lazma asifiwe mana yaki haribika yeye ndo anapondwa kwahyo yakiwa mazur lazma aaifiwe

  • @bakarijumakupaza4351
    @bakarijumakupaza435117 күн бұрын

    Rais kafuatilia pesa za walipa kodi lakini sio yeye aliyejenga.

  • @victorjames3730
    @victorjames373017 күн бұрын

    Walipa Kodi ndio wanapaswa kupongezwa Wala sio Rais pekee

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu764218 күн бұрын

    KIMYA KIMYAAA NA MAMA TUNASONGA , BRAVO TANZANIA , BRAVO TIMU MAENDELEO

  • @deniccgabriel6153

    @deniccgabriel6153

    17 күн бұрын

    Kanye na Mama yko ,RIP JPM😢

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    17 күн бұрын

    Uko sahihi saaana Mama mitano teno kwahaki yuko vizuri mnooo

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    17 күн бұрын

    @@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    @ikulunimahalipatakatifu7642

    17 күн бұрын

    @@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    17 күн бұрын

    ​@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.

  • @hollymore4904
    @hollymore490417 күн бұрын

    Duh mmepeleka mbele tena

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    17 күн бұрын

    Acha ujinga basi

  • @karimmunis8302
    @karimmunis830218 күн бұрын

    Sijawahi kumuamin huyu waziri

  • @evancemnyiliki4132
    @evancemnyiliki413218 күн бұрын

    Nasikia ety hupandi na mizigo kweny hi trenii😂😂

  • @edwardgafachu8932

    @edwardgafachu8932

    18 күн бұрын

    Inategemea mizigo ipi

  • @ContentSmartphone-rq6po

    @ContentSmartphone-rq6po

    18 күн бұрын

    Yamizigo itakuja kama umemsikia vizuri waziri hii ya abiria au unamaana gani

  • @mukhsintwaha5909

    @mukhsintwaha5909

    18 күн бұрын

    Unataka upande na kuku na mbuzi kwel??

  • @GeradinaJohn-xh8pw

    @GeradinaJohn-xh8pw

    18 күн бұрын

    Hapo anamaanisha mizigo mikubwa ka magunia unavoeza kueka kwenye basi ila manegi kama yako binafsi unakua nalo tu kama kawaida

  • @GeradinaJohn-xh8pw

    @GeradinaJohn-xh8pw

    18 күн бұрын

    I mean mabegi

  • @maidimples8236
    @maidimples823618 күн бұрын

    Kwahiyo km inaanza july 25 so harmo yeye alipanda ipi

  • @samsonmwijage1869

    @samsonmwijage1869

    17 күн бұрын

    Sikiliza vema anavyoongea waziri. Walisafiri kwa kutumia kiberenge.

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971Күн бұрын

    Hapo ndo ulipopuyanga sasa mzee.. anaetakiwa kushukuliwa ni nan? Anaetakiwa kukshukuliwaa ni HAYATI MAGUFULI na sio mwingineo.

  • @seluyangogo3965
    @seluyangogo396518 күн бұрын

    Walisema 1 leo wanasena 25 duh

  • @zubeiramlanzi2480

    @zubeiramlanzi2480

    17 күн бұрын

    Ikifika 25 tena kama kawa inasogezwa

  • @salmamlokela1987

    @salmamlokela1987

    2 күн бұрын

    Acheni viele ele...muwe na subra

Келесі