Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo

Ғылым және технология

#trc #dar #sgr #tanzania
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo

Пікірлер: 144

  • @gmaxtv1661
    @gmaxtv16614 ай бұрын

    Kazi ya jpm ndiyo tunaona matunda yake leo dah😢 R .I.p shujaaa wang

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020244 ай бұрын

    Mbona hatupandi hata miti na maua, inakuwa concrete jungle! Curb appeal na landscaping ni vitu vya muhimu, mimea hu-absorb radiant heat!

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace43352 ай бұрын

    Mtangazaji mimi ni Defensive driving trainer na masuala ya barabarani pamoja safe trainer in General. Nimeona ulinyo kua unaingia kwenye LIFT uliweka MKONO ili LIFT itambue uwepo wako hiyo ni hatari sana sometimz lift inaweza ku misbehave isi sense ikafunga ukabanwa mkono harafu ikaanza kushuka au kupanda isee mkono umeenda. So tuwe makini sana na kwenye milango au lift kuzuiya kwa mkono very dangerous. Big up sana bro 🙏

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi89994 ай бұрын

    Broh @snash Kuna kitu umesahau hapo toilet,kuhusu huo mstari wa njano chini .. Yaani hiyo alama ya njano chini iliyoingia na toilet nikwaajili ya watu wenye ulemavu wakuona (vipofu).. Yaani inaalama maalumu ambayo kipofu akaifika tu akiikanyaga anajua maana yake ninini, kwahiyo anaifuata kwakutembea Juu yake na itamfikisha Hadi toilet🤝🤝🔥

  • @hastatz
    @hastatz4 ай бұрын

    Mama samia hahusiki hapo ni magufuli

  • @user-bl3rp5tk5f

    @user-bl3rp5tk5f

    4 ай бұрын

    basi unahusika ww😅

  • @hamzakhamis1575

    @hamzakhamis1575

    4 ай бұрын

    Yuko wapi uyo magufuli anaehusika apo, wacha ushabiki wa kijinga.

  • @thamani5842

    @thamani5842

    4 ай бұрын

    Roho mbaya tu, ukitaka anahusika hutaki anahusika

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 ай бұрын

    Mkuu mama anahusika, kwani si walikuwa wote!

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 ай бұрын

    ​@@hamzakhamis1575usimjibu hivyo kwani mjinga hajibiwi ujinga. Mueleweshe tu kuwa hii milada mama anahusika kwa kuwa walikuwa wote na mzee full stop 🛑

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois7524 ай бұрын

    Sijashangaa Steshenie... huyu host anafaa sana , ata asiejua sentamisungwi uko anamuelewa kwa wepesi

  • @rodgence9641
    @rodgence96414 ай бұрын

    Iyo sehem ya kukata ticket zipo 6 ila utakuta mfanyakazi mmoja anayeingia na kutoka😂😂😂😂😂

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz80544 ай бұрын

    Hata pale mbezi mlisema kama airport ndogo leo hii kupo kama zizi la malisho 😂😂

  • @hallin9561
    @hallin95614 ай бұрын

    Kaka nimeikubari review yako na unajaribu viti kwa ukaribu ad kugonga, That's so good tunatazama na uimara maana mainjinia wa bongo hawachelewagi kutuletea midosho

  • @tukuyufm
    @tukuyufm4 ай бұрын

    safi sana kaka snash unafanya vyema sana Mungu akubariki sana katika karia hii

  • @jeremiahkeko7618
    @jeremiahkeko76184 ай бұрын

    Ila we jamaa ni mkorofi Yan ndio uanze kugonga gonga ung'ate ng'ate viti

  • @nicksonmusa3457

    @nicksonmusa3457

    4 ай бұрын

    Umenifanyaa nimecheka kijingaa

  • @rashidhamad8697
    @rashidhamad86974 ай бұрын

    Hongera sana mama samia

  • @starjay3052
    @starjay30524 ай бұрын

    nakubali mzee uwaga nakufatilia sana

  • @kakaziller
    @kakaziller4 ай бұрын

    Nzuri iyo, unajua wajibu wako kijana

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi12474 ай бұрын

    Asante kwa Tour...tunaomba urudi tena utuonyeshe station yetu baada ya mwaka mmoja...kama utakuta toilet seat na mabomba kama yapo maana tunajuana😂

  • @slowclimbertothetop4572

    @slowclimbertothetop4572

    4 ай бұрын

    Mwaka mmoja mbali ikianza kazi wiki 2 aende akapige picha tena. Na vile viti vya treni ndani utavikuta vingunguti mtu anakalia home

  • @jeremiahmwasele4259

    @jeremiahmwasele4259

    4 ай бұрын

    ​@@slowclimbertothetop4572😂

  • @vincentmushi1247

    @vincentmushi1247

    4 ай бұрын

    @@slowclimbertothetop4572 🤣🤣🤣🤣

  • @elibarikimaganga9571

    @elibarikimaganga9571

    4 ай бұрын

    Yani hilo ndilo tatizo letu watanzania. We think globally but we act locally, ikianza matumizi baada ya wiki utakuta mifuniko ya vyoo imeng'olewa, Koki na mabomba ya chooni yanavuja ndio za plastiki na makopo kama yote vyooni, machinga wamekaa mpaka kwenye korido na kwenye sehemu za kusubiria abiria wanaouza maji, machungwa, biskuti na kila kitu...😂

  • @erickwanjarajr5707

    @erickwanjarajr5707

    3 ай бұрын

    Nakumbuka mwendokasi kipindi inaanza unatangaziwa, kituo kinacho fantastic manresa, kituo kinacho fantastic tikitop, nanda sasa, unapitiliziswa, utashukia kimara. Asante!

  • @tradamus4158
    @tradamus41584 ай бұрын

    Hongera sana magufuri wew ndio ulio tujengea pumzika kwa aman uncle magu

  • @rodgersasu
    @rodgersasu4 ай бұрын

    Superb video Quality, and with a phone, am impressed, kudos to the color grading as well.. looking forward to more coverage on this subject

  • @djseletz3112
    @djseletz31124 ай бұрын

    Magufuli the best

  • @KSACTV
    @KSACTV4 ай бұрын

    hongera sana tanzania one love kutoka kenya

  • @victorwiketye2461

    @victorwiketye2461

    4 ай бұрын

    Pamoja sana! We are one pple.

  • @MishekiMnkondya-dm8ny
    @MishekiMnkondya-dm8nyКүн бұрын

    Siyo samia ni jpm sisi ndo mashahidi

  • @raystudio7563
    @raystudio75634 ай бұрын

    Snash Tafadhali Naomba Review Nyingine Ukiwa ndani Ya Mabehewa

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59854 ай бұрын

    Kazi iendelee tunasubiri reli ya mama Samia Dar lindi mtwara songea speed300km/h kila la heri mama Samia Tanzania yako zidi kuing'arisha ipendeze hongera sana.

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu97284 ай бұрын

    Nakubar Snashitz

  • @musabenard4117
    @musabenard411717 күн бұрын

    yah kweli make hii ishu haikuepo kwenye sera ya ccm ni ya meko tu na kufosi tu make ata wabunge hawajapewa ata mjadala wowote kwaio meko ndio kila kitu apa kwaio mama nae ajitaidi kuanzisha zake kama yeye je ataweza hii ni vita kubwa sn

  • @superstuwart2434
    @superstuwart24344 ай бұрын

    kwanini umengata viti dakika ya 9:00. tofauti na hapo good work brother

  • @itNeza
    @itNeza4 ай бұрын

    Kazi nzuri Sana Snash 🙌💯👑, ( Sim Ipi ilio tumika ku Shoot ? )

  • @amemasudi5735
    @amemasudi57354 ай бұрын

    Baba upo vizuri unavyochambua halafu unajuwa kuvaa mwnngu mwili henga

  • @sketchbabu
    @sketchbabu4 ай бұрын

    Hongera sana brother. Kazi nzuri, safi.

  • @kelvinkaniki7186
    @kelvinkaniki71864 ай бұрын

    Best review ever 🔥

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi55284 ай бұрын

    Mama samia umetishaa sanaa mama munguu akulinde.

  • @ahmedhamis

    @ahmedhamis

    4 ай бұрын

    Magufuli alitisha sana

  • @fadhilileskar3210
    @fadhilileskar32104 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @moodybanka1327
    @moodybanka13274 ай бұрын

    Namba 1 leo

  • @stewardsambala4892
    @stewardsambala48924 ай бұрын

    Kazi iendelee

  • @MudiBwanga
    @MudiBwanga4 ай бұрын

    Good job

  • @user-lq7ew3eg3u
    @user-lq7ew3eg3u4 ай бұрын

    Umeelezea vizuri Sana

  • @moredigital_
    @moredigital_4 ай бұрын

    Safi sanaaaa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme4 ай бұрын

    ushamba mwingi sana mara vip mara imagination , mazingira mazuri sana shida shida ushamba mwingi

  • @charlesmtesigwa2923

    @charlesmtesigwa2923

    4 ай бұрын

    Kwani ushamba ni kosa mkuu

  • @thamani5842

    @thamani5842

    4 ай бұрын

    Ww ustaarabu wako nn?

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman46574 ай бұрын

    Safi sana viongozi wetu

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo65633 ай бұрын

    Kiukweli huu mradi umeingia gharama nyingi sana nashauri tuulinde na tuupende maana ni kodi zetu wenyewe hazijayoka kwa wahisani wala hao viongozi hawajatoa mifuko i mwao so tuwe wazalendo tuulnde

  • @shabanifp8711
    @shabanifp87114 ай бұрын

    Jina la Mama Litukuzwe, ameeena.❤

  • @Mafimbajunior

    @Mafimbajunior

    4 ай бұрын

    Sio mama ni magu😢

  • @erickabel6201
    @erickabel62014 ай бұрын

    Magufuri ❤❤❤

  • @Rashidasarumbo
    @Rashidasarumbo9 күн бұрын

    Dar stend au stesheni Iko wap jman

  • @Omix_production
    @Omix_production4 ай бұрын

    1:33 snash hii content imepigwa kwa smartphone S24 ama camera

  • @promotemax4162
    @promotemax41624 ай бұрын

    Mambo mazuri kama haya huwezi ona comments za Wakenya coz wanajua station ya reli yao ilivyo kama ukumbi

  • @SmilingCorgi-pr9bn

    @SmilingCorgi-pr9bn

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 exactly 💯 👏 🙌 👌 🤣

  • @emmanuelchiza7733

    @emmanuelchiza7733

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa wakenya wanawivu mchafu sana dhidi ya Tz😂😂😂😂😊

  • @victorwiketye2461

    @victorwiketye2461

    4 ай бұрын

    Hivi kwa nini Waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe?

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49733 ай бұрын

    Rest in happy daddy jhoni we will not forget you our love

  • @bilid4128
    @bilid41284 ай бұрын

    Hivyo viti vitavunjwa vunjwa vyote wabongo hawa aisee ni kipengele...wengine wataleta kunguni hapo 😅😅

  • @user-qg6py9qv4x

    @user-qg6py9qv4x

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @mg_panther
    @mg_panther4 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @mcback4384
    @mcback43844 ай бұрын

    Mkiruhusu abiria wa Treni ya MGR waingie humo ndani patakua kama jalalani

  • @samuelseverua
    @samuelseverua4 ай бұрын

    nasubiri picha za Termnibus ya kulee

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior696120 күн бұрын

    UTAMU UTAMU

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86454 ай бұрын

    iko wapi?

  • @JumaNtasimba
    @JumaNtasimba4 ай бұрын

    Jaman muwe munamkumbuka magufuli mbona hamumutendei haki

  • @mtatatv1414

    @mtatatv1414

    4 ай бұрын

    Kaka miaka yote raisi akipita anapongezwa aliyopo ata kama miladi ilianzia nyuma atuwezi Kila siku mzungumzia mtu aliepita sawa alianzisha ila samia kamalizia maana samia angekuwa afai asingemalizia miladi kwa wakati ko pongezi kwa mama kwa kumaliza miladi iliyoanzishwa

  • @godfridkapipi7035
    @godfridkapipi70354 ай бұрын

    Kama kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha anko Magu aiseee afe vibaya sana

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in4 ай бұрын

    Sasa watu wanafanya Kaz manyumbu yapo kuandamana😂😂

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6evАй бұрын

    Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc44984 ай бұрын

    Mzee wangu magufuli nakukubali milele mungu akusamee makosa yako 🙏🙏

  • @user-rj4lt9np5p
    @user-rj4lt9np5p4 ай бұрын

    ❤❤

  • @user-bq7gx1jh9s
    @user-bq7gx1jh9s4 ай бұрын

    R.i.p JPM haya ni matunda uliyoyaanzisha japo hayajakamilika Kwa wakati

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda50634 ай бұрын

    Hapo ndio hua nauona ubaguzi wa watanzania dhidi ya watanzania wengine. Kwanini kigoma tu kama njia ya wageni na sio maeneo mengine yanayopakana na nchi nyingine? Huwezi kumsikia mtu au kiongozi akiongelea mikoa kama, mbeya, kagera, mara, Arusha, Kilimanjaro, mtwara au ruvuma, kuhusu wahamiaji haramu zaid inatajwa kigoma tu. Huo ujinga hua naupinga sana kwakua hiyo ililetwa na wakoloni. Waliokua wakiziona nchi zilizotawaliwa na wabelgiji na wafaransa kua kama adui kwa nchi za kiingereza, kijerumani na nyungnezo. Muendelezo huo unaendelea hadi sasa ndio sababu watu wamefanya kuinekana kigoma kama mkoa wa kiukimbizi. Wilaya ya ngara imekuzwa na watu kutoka rwanda, hakuna anaeongea lakini kwakua ni moja kati ya watu wenye nguvu za kimaamuzi serkalini

  • @petroezekiel9097

    @petroezekiel9097

    4 ай бұрын

    Naungana na ww kaka ni upumbavu wa hali ya juu sana

  • @husseinmwinyi6833
    @husseinmwinyi68334 ай бұрын

    Nauli ipoje ?

  • @Iam_mgahivevo
    @Iam_mgahivevo4 ай бұрын

    Magufuli kwa nini umetuacha mapema baba tungepata mambo mengi mazuri kama haya okay kazi ya Mungu haina makosa Rip chuma

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf4 ай бұрын

    Magu hoyooooo

  • @Moviesclip6action
    @Moviesclip6action4 ай бұрын

    kwenye tren la umemewaweke king'amuzi cha azam

  • @jamilasaid5698

    @jamilasaid5698

    4 ай бұрын

    Badala useme Dstv unasema Azam duuh

  • @swaloweddingcollection
    @swaloweddingcollection3 ай бұрын

    Kak umetisha katik ukaguz upo vzr 😂

  • @2pacFreeStyle96
    @2pacFreeStyle964 ай бұрын

    We unasema hauna cha kumlipa mama samiha kwa sababu ya hiyo station hujui kwamba hiyo imejengwa kwa kodi zetu au unafikir mama samiha katoa pesa zake mfukoni

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo4 ай бұрын

    Iko wap station na nauli sh ngap Moro??

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19624 ай бұрын

    Magufuli oyee

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza77334 ай бұрын

    Kenya watu wa kidheri onyesha yenyu😅😅😅

  • @abdullahpongwa1537
    @abdullahpongwa15372 ай бұрын

    Kweli kwa watu mashughuri hata kuingia umeshindwa umeishia kuangalia kwa mbali na kusifia tuu😂😂😂

  • @egdldm4981
    @egdldm49814 ай бұрын

    Hivi kwa nini watanzania mna tabia ya kushikashika ukuta? Angalia huyu mtangazaji, finishing ikikuvutia ni lazima ushike? Kuna ulazima wa kugonga gonga mlango kuonyeshwa uimara? 😮

  • @hallin9561

    @hallin9561

    4 ай бұрын

    wacha kukariri bhana, wazungu wenyewe wapo mbele kitechnolojia ila wakivutiwa na kitu wanagusa kabisa ivyo ivyo adi kutaka kutumia ikibid. sembuse kugusa ukuta, watazame wale wanaoReview magari wanavyofanya, au wale wa simu sometimes adi wanazigongesha

  • @egdldm4981

    @egdldm4981

    4 ай бұрын

    @@hallin9561 Wazungu wa wapi hao wana test kwa meno? Watakuwa wale wa Ukrainie labda.

  • @jayharryson4913

    @jayharryson4913

    4 ай бұрын

    Watu kama nyie ndo mnaonaga wazungu miungu wakati wana ujinga mpk we mwenyewe unashagaa huyu mtu au mdudu@@egdldm4981

  • @egdldm4981

    @egdldm4981

    4 ай бұрын

    @@jayharryson4913Naona washamba mmealikana kuzindua treni kwa mtindo wa kishamba mlioukariri kutoka kwa wazungu ... kazi iendelee.

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    4 ай бұрын

    @@hallin9561wazungu gani wanashika shika vitu Na kung’ata viti na meno ? Huyo mtangazaji sio mstaarabu

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo53144 ай бұрын

    Me naona miradi mingi kaacha jpm tu😂😂😂

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg4 ай бұрын

    Wakenya mje muone station ya kisasa siyo nje mnapanga mabenchi ya kukalia watu!.

  • @user-pp1tn2mu7h
    @user-pp1tn2mu7h4 ай бұрын

    Mama samia mingine 5

  • @catherinejohon1282
    @catherinejohon12824 ай бұрын

    Spati pcha magufuli angekuwepo

  • @thamani5842
    @thamani58424 ай бұрын

    Ahsante Mama, wewe ni jembe

  • @zikirination6769
    @zikirination67694 ай бұрын

    Sisi tunajua ni JPm sasa izo story zingine zakuchangamsha uchaguz

  • @starjay3052
    @starjay30524 ай бұрын

    kigoma 😂😂 ila kiukweli wamuah sio watanzania ila basi tu

  • @vincentmushi1247

    @vincentmushi1247

    4 ай бұрын

    Dunia hii kila mtu ni muhamiaji...cha muhimu ni kufuata sheria za nchi tuu Familia ya kiingereza ...Queen elizabeth na mumewe ...sio waingereza halisi...lkn walikubalika Sembuse ss kajamba nani...africa inatakiwa iwe free movement...soon inakuja Kenya na Rwanda wameanza...watu wanazuiana wakati sote tu masikini😂

  • @mohamedihamisi292
    @mohamedihamisi2924 ай бұрын

    😂😂😂 Ingekuwa ipo Kenya hii station tusingelala nawakumbusha wakenya ipo kama hii nyingine Dodoma halafu boraa zaidi sasa zipo Mwanza mbili kaliii mbona tutaelewana tu Safari hii

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop45724 ай бұрын

    Hivyo vyoo sasa vitachafuka balaa

  • @Ibrahim-ne3in

    @Ibrahim-ne3in

    4 ай бұрын

    😂😂😂na wabongo tulivyo wachafu

  • @eligiusedmund3187
    @eligiusedmund31874 ай бұрын

    Kwani na uko umeme unakata viuno kama huku

  • @Max9_captain
    @Max9_captain4 ай бұрын

    kama mbele yan

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff84894 ай бұрын

    Sio mama Samia ni magufuli jamani da!

  • @user-em7db3pv7d
    @user-em7db3pv7d4 ай бұрын

    J p m💪🇹🇿

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19624 ай бұрын

    Magufuli

  • @josephmalale4860
    @josephmalale48604 ай бұрын

    PROJECT ZA MJOMBA MAGU IZI

  • @grahamnangi1817
    @grahamnangi18174 ай бұрын

    EMBU AJITOKEZE MTU APIGE SHOTS APO , KUNA VIEW FLANI NIMEONA KAMA UNACHUNGULIA TWIN TOWERS NI NOMA😂

  • @user-fv3if7wv6j
    @user-fv3if7wv6j4 ай бұрын

    Restin peace Magufuli

  • @williamruto3103
    @williamruto31034 ай бұрын

    R I P ,, J P M😢

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei2744 ай бұрын

    Huyu jamaa anaroho ya hasad hataki😢tuendelee mbona Aiir port ya JK nzuri

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын

    Msituchanganye magufur ndo Kaz yake

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6evАй бұрын

    Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo22874 ай бұрын

    Sio mama samia ni Magufuli

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk4 ай бұрын

    Kamanimtu amemuuwa magu bsa mungu ndie mwenye hukumu

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19624 ай бұрын

    Magufuli

Келесі