Mazda CX-5 Inakuja kuchukua nafasi ya RAV4?

Автокөліктер мен көлік құралдары

Mazda CX-5 ni gari ambayo wengi wanaikimbilia sana kwa sasa, SUV ambayo inaonekana kama inachhukua nafasi ya RAV4.

Пікірлер: 80

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah69848 ай бұрын

    Kwa review iyo vanguard na harrier still the best

  • @torpedo6738

    @torpedo6738

    8 ай бұрын

    amereview partially lakini cx5 hasa ile petrol (2.5l) ni bora kuliko vanguard na Harrier

  • @torpedo6738
    @torpedo67388 ай бұрын

    ayetaka kuchukua cx5 ,achukue ile yenye 2500cc petrol engine... ina nguvu nzuri sana na haina shida za mara kwa mara kama zile diesel version zake

  • @user-js5jj4ov4r

    @user-js5jj4ov4r

    7 ай бұрын

    Ukiwa mmiliki wa mazda ungekuwa melewa, diesel is the biggest deal

  • @SirCarter7

    @SirCarter7

    7 ай бұрын

    Diesel engine ndio best mzee fuatilia vizuri

  • @rogerssempindu670

    @rogerssempindu670

    5 ай бұрын

    Diesel model 2.2L is the best deal

  • @BarakaMbilinyi

    @BarakaMbilinyi

    3 ай бұрын

    Usikimbilie tuu kuhusu ulaji wa mafuta kuna vitu vingine vinataka uwe unajua engine za diesel vizuri lkn kama mwenzangu na mm petrol is the best

  • @bravo_man
    @bravo_man8 ай бұрын

    TOYOTA HARIR itabaki kuajuu mazda itasubiri sana

  • @yusuphkhan8963
    @yusuphkhan89638 ай бұрын

    Daaaaah! Ndugu yangu kale kamlio Huwa kanafanya ukiskiliza huchoki fanyia kazi

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel69758 ай бұрын

    Video quality nzuri sana, but improve your presentation..your presentation doesn't cover important technical details...you cant explain sky active technology in just simple way as you have explained..go find more details about how sky active engine works, pia it being diesel engine ipo na issues hasa kama unatembea root fupifupi lazima utapa tatizo la DPF ku block.., kama inakuja na start stop system basi kuna system design iliyo complicated for that system to work including battery inayongia ndani ya hiyo Gari..., Kuhusu gear bo it has six speed transmission system, kuna safety features za kuongelea nk,,,so tafuta technical details ambazo ndo za muhimu kwenye review

  • @snashtz

    @snashtz

    8 ай бұрын

    Thanks

  • @shabaniramadhani8891
    @shabaniramadhani88918 ай бұрын

    I am the first today

  • @user-im3jm2ej1z
    @user-im3jm2ej1z8 ай бұрын

    Hey snash big up unaupig mwingi kaka ila review yako bado haivutii km vile before review tafut vitu ninavyovutia hata kama gari tunaifahm tunazid kuenjoy na video cz Gari nyingi unazotufanyia review tunaziona kila siku mtani ila ukiwek mbwmbw nying itafurahixh zaidi itatufany tukimaliz kuangalia review twend kuziangalia tena gari 😂 #endesha #tafuta editor cz hiz videos zitakuw zinaend mbali read more...

  • @user-oe8ee5tw7l
    @user-oe8ee5tw7l8 ай бұрын

    Sio mbaya nimechelewa dk chache tu tuko pmj 🔥

  • @AllenHuncho-ji8sq
    @AllenHuncho-ji8sq8 ай бұрын

    Im 2nd leo

  • @mthename8759
    @mthename87598 ай бұрын

    I'm 3 today

  • @gilbertamani1135
    @gilbertamani11358 ай бұрын

    Brother Snash,naomba Utoe Review ya TLC 300 series (Land Cruiser) ya 2023

  • @user-wx4ss8yg4x
    @user-wx4ss8yg4x8 ай бұрын

    Naomba review za laptop aina ya mack vipi utijuwa ni ya mwaka3 gani

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono64256 ай бұрын

    Nimependa sana review yako iko poa sana cameraman amejitahid hususan exterior view..keep up the good work

  • @willylyatuuu3918
    @willylyatuuu391829 күн бұрын

    Hii na subaru forester xt 2014 unaweza fanya comparison??

  • @RjdEfuNny
    @RjdEfuNny8 ай бұрын

    🎉🎉

  • @stiveerasto1683
    @stiveerasto16838 ай бұрын

    Tuwape muda hata Nissan nao walikuja na mikwala kama hiyo Japo kuwa hiyo gari inaonekana vitu vingi wamecopy kwenye rav4

  • @changes25
    @changes257 ай бұрын

    aise kwa upande wa technology wametisha sanaa Skyactive Technology inakupa moja ya fuel efficient poa kabisa hasa ukichukua hii diesel engine basi unakuwa unatamba, pia kuna I-Stop technology ukiapply brake ukahold automatically engine inazima inasave mafuta kwenye folen na nini

  • @abeidhassan8656
    @abeidhassan86567 ай бұрын

    iyo mbele inafanana na mazda atenza wagon ila nyuma ndo kuna utofauti ila atenza ndo kiboko asee ilo cx5 la wanyanga

  • @GapsonRevoson-bn7nt
    @GapsonRevoson-bn7nt8 ай бұрын

    Sijaridhika na maelezo ya skyActive technology

  • @ReganKimaro-kr7nn

    @ReganKimaro-kr7nn

    8 ай бұрын

    Kata rufaa au andamana inaruhusiwa😅😅

  • @allyfatma7359
    @allyfatma73598 ай бұрын

    Bro.hakuna gari itakayo itoa sokoni Rav4 na prado,katika soko la bongo.nakwambia.

  • @thobiasbukali9008

    @thobiasbukali9008

    7 ай бұрын

    Siyo bongo tu almost Africa

  • @abdulhamidmusa8962
    @abdulhamidmusa89627 ай бұрын

    Kuna rav4 na harrier ya seven seater?

  • @georgekaonga6438
    @georgekaonga64388 ай бұрын

    Ilo endesha mwenyew tumbana na 30 kushuka 😅

  • @saimonbrown9019
    @saimonbrown90197 ай бұрын

    Bro snash haari yako je kuna tofauti ya desktop ama laptop na mini pc kama ipo tupe elimu kuusu

  • @arumasimahoo451
    @arumasimahoo4517 ай бұрын

    Sawa inatumia mafuta kidogo Sasa inaenda km ngap Kwa lita

  • @rajabumalilo1875
    @rajabumalilo18757 ай бұрын

    Nimepoteza dakika 11😅😅😅

  • @josephmotoka2057
    @josephmotoka20577 ай бұрын

    Kak naomba tufafa nulie kuusu logitech g29

  • @Mtumakini
    @Mtumakini8 ай бұрын

    Ongeza ubunifu wa video

  • @mshombemshombe347
    @mshombemshombe3476 ай бұрын

    Cx5 machine kubwa san

  • @athumanichamzuri3844
    @athumanichamzuri38447 ай бұрын

    Nikuongezee kitu kidogo push to start unabonyeza mara moja unaacha sio unapush na kuhold

  • @user-js5jj4ov4r
    @user-js5jj4ov4r7 ай бұрын

    Kaka mazda cx 5 ya 2012-2014 chamtoto, fanya review ya mazdavcx-5 ya 2015-2016 au mpaka ya 2017+... ndo utajua utamu wa mazda

  • @carrepair-ix5yv
    @carrepair-ix5yv8 ай бұрын

    Booss nakubali kaziyako ila sound umebadilisha ilayamwanzo ilikua poa sana

  • @paulvincent7442
    @paulvincent74428 ай бұрын

    Bad review! CX5 ni compart SUV au Cross Over SUV huwezi ku compare na Harrier au Vanguard.

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich28917 ай бұрын

    Kuhifadhia miwani sio baadhi ya document hapo

  • @abeidhassan8656
    @abeidhassan86567 ай бұрын

    kama unataka watu 7 had 8 tafuta subaru exiga mzee hapo utaomba poo

  • @danielmathias160
    @danielmathias1606 ай бұрын

    A

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent76368 ай бұрын

    Rav4 ip unamanisha?

  • @snashtz

    @snashtz

    8 ай бұрын

    2012 kushuka chini

  • @abdulhamidmusa8962
    @abdulhamidmusa89627 ай бұрын

    Ya kupita tu ...rav4 inasimama kidunia si kitanzania..rav4 haishuki samani..

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf7 ай бұрын

    Ina speed ngapi

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi36637 ай бұрын

    Nyie ujio wa Mazda sio masihara mjueee

  • @adamsafari7657
    @adamsafari76577 ай бұрын

    ongeza ujuzi kwenye magari kaka, hauchanganui vya kutosha

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx30438 ай бұрын

    kit kingne kun kit nqic hakipo sawa maan znapata san breakdown

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu7 ай бұрын

    Nikweli ila biashara ni matangazo gali iko powa

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi18222 ай бұрын

    We katangaze uuzaji wa lotion bana usiamin kama kila kitu unakiweza ..huna knowledge yoyote ya mechanics...unaungaunga tuu...mskilize DR MECHANICS( Bonge) alafu wewe na kelele zako hizo unajiweka waaaap? Poor presentation!!!!!!!!!!

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8yАй бұрын

    Acha uongo wewe hicho Kigari ndio 40ml

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid90037 ай бұрын

    Hio gari hakuna kitu, kufaninisha hiyo na RAv4 ni dhambi mzee, sema tu ndo hivyo biashara.

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx30438 ай бұрын

    lakin izo mazda naskia kuw mayai sana.... kun sehem niliskia et kla ikitmbea km100... inataka uikague ndo uendelee na safar

  • @charlesmtesigwa2923

    @charlesmtesigwa2923

    8 ай бұрын

    Uongo

  • @salimkisoma6513

    @salimkisoma6513

    8 ай бұрын

    Siyo kweli. Kwa hiyo ukitoka nayo Dar kwenda Kagera au Dodoma inabidi uikague mara 12? Je za IT zinazoenda Zambia na Congo unakagua mara ngapi? 😂😂😂

  • @salimkisoma6513

    @salimkisoma6513

    8 ай бұрын

    Siyo kweli. Kwa hiyo ukitoka nayo Dar kwenda Kagera au Dodoma inabidi uikague mara 12? Je za IT zinazoenda Zambia na Congo unakagua mara ngapi? 😂😂😂

  • @directorimmah_vfx3043

    @directorimmah_vfx3043

    8 ай бұрын

    @@salimkisoma6513 izo esabu zko ww... ila fatlia vzuri gar uielew... fatalia kw wachambux tofaut tofaut afu utaelew nnachokiongea.... mim bnafx nmeziona izo gar 3 tena zte n namba E... znazozngua san izo..... badae zikiwa nying utaelew... kam dualis zmenunuliwa kw sifa lakin saiv znaongza kwakushka moto😂🤣😂

  • @charlesmtesigwa2923

    @charlesmtesigwa2923

    8 ай бұрын

    @@directorimmah_vfx3043 hata ilo la dualis kushika moto ni uzushi tu unamkuta mtu anaongea lakini muulize we umeziona ngapi zinashika moto hajawai hata moja, we gari inakuja hapa ona km mpaka 150 haijawahi kushika moto we ukae nayo miezi miwili ndio ishike

  • @YuzoBoyOnline
    @YuzoBoyOnline8 ай бұрын

    Review yako ya hii gari haina mvuto shot za camera hazijakaa poa unacho elezea kama umeishiwa maneno tofauti na ukifanya review za watu wengine wa njee pia mazingira ya sehemu uliyoenda kufanya review Hayavutii kwa kweli Gari chafu na hata ulivyoelezea hiyo garii sijaona maajabu ya hiyo gari USHAURI; Fanya shoot za gari zima alafu ndo wewe ushoot ukiwa unaelezea then kwenye editing Utaedit kinacho zungumziwa kinaonekana na sio wewe ndo unaonekana kila saa na sio gari

  • @DenisJohn-bh6cj

    @DenisJohn-bh6cj

    7 ай бұрын

    Unajua mwanetu mjuaji sana 😏 KZread inakupa ruhusa ya kusearch channel mbalimbali, tuache na Tech in Swahili

  • @YuzoBoyOnline

    @YuzoBoyOnline

    7 ай бұрын

    YANI HAPO UJASEMA 😂😂😂@@DenisJohn-bh6cj

  • @modekaijames

    @modekaijames

    7 ай бұрын

    😂😂😂 bora umemuambia

  • @YuzoBoyOnline

    @YuzoBoyOnline

    7 ай бұрын

    @@modekaijames 😂😂 Ila sio kwa ubaya napenda anachokifanya ila kwa hiyo review amezingua kwa kwelii

  • @modekaijames

    @modekaijames

    7 ай бұрын

    @@YuzoBoyOnline Sawa kaka kama wewe ni editor mcheki jamaa umpe ushauri lakini hivyo unavyo comment nikama umempunguzia point kwa watu tunao mfatilia sometime weka muda kushauri sio kukandamiza

  • @jamesogongo9730
    @jamesogongo97307 ай бұрын

    hii gari inapendwa sana kenya...

Келесі