MAZDA CX5 Review | Gari ya juu (SUV) INAYOANZA KULITEKA SOKO - Mr Sabyy
Автокөліктер мен көлік құралдары
/ @mrsabyy
Ndugu mtazamaji leo tumekuletea REVIEW ya MAZDA CX5 kwa ufupi . Jifunze mambo machache na share link kwa wengine , .......... ENJOY
Huduma zetu...
1: Kuagiziwa GARI JAPAN/UK/DUBAI
2: kutolewa Gari yako Bandarini ( Clearing & Forwarding ) kwa wateja waliokwisha nunua Gari
3: Kutafutiwa Gari mtandaoni na kupigiwa hesabu ni BURE
4: Kuagiziwa bidhaa mbalimbali nje ya nchi
5: Kusafirishiwa Gari yako popote ndani ya Tanzania
6: Clearing and Forwarding service Bandari ya DSM na Mipaka yote ya Tanzania
Tumia mawasiliano haya chini.
NB: Tunafanya kazi na watu binafsi /Makampuni / Taasisi zote
--------------------------------------
Social media handle
Instagram: / mr_sabyy
Whatsapp link : wa.me/message/LPV2C5ESGM6CL1
☎️DM/Piga/Text 0653953900
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
🏢Company: CAIRO INTERTRADE Co. Ltd
📍Location: PSSSF SAMORA HOUSE, Ghorofa ya 6, Wing A-Room 3, Samora Avenue St.
Dar es salaam, Tanzania
#clearing_and_forwarding #clearing_and_forwarding_agent #magari #mazda #cx5
Пікірлер: 26
Naomba kujua Mazda cx5 2017 ya Diesel engine yake inaitwaje.pia ya petrol 2018 engine yake inaitwaje namaanisha engine model. Kwa anayefahamu tafadhal
Sh ngapi
naomba review on Nissan qashqai hasa ya 1.5 litre diesel manual kama itaweza patikanika & VANGUARD pia tafadhali.
Samahani bro hivi unaweza kutuletea review ya Toyota sienna 2023
@MrSABYY
6 ай бұрын
Ndio bosd
Mm natumia ya petrol ipo poa sana
@MrSABYY
5 ай бұрын
Hongera uliibahatisha 🙌🙌
Bado sii chaguo gari kubwa lakin linataka kubebelezwa kuliko Ist
@MrSABYY
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@MrSABYY kusema kweli nilikua nimeshaanza izimia hii gari na kuvutiwa na kampuni ya Mazda hasa baada ya kugundua mfumo wa braking system zao kwa namna zinaweza save 'kinetic energy' na kuipatia engine mapumziko kwa kiwango fulani katika utendaji kazi. Ila ulipokuja tamka yakua hizi #MAZDACX5 si gari za mbilinge'mbilinge bali luxurious basi kuvutiwa kumenitoka cuz si tena 'all purpose' vehicle kunifaa kwenda nalo porini shambani, kijijini milimani huko ama kujiamini nalo on rough roads ama hata weather conditions zisizo rafiki. Ama ni kusema nimeli'downgrade sana???🤔
@MrSABYY
6 ай бұрын
Please njoo Whatsap 0653953900
Kwann wanasema iyo Cx5 ni gar ambayo kla ukiendesha KM100... inatakiw uikague
@MrSABYY
8 ай бұрын
Hapana Km100 hata hazifiki from Dar to Morogoro, so uliza vzr hilo swala kwanza huko ulikosikia 🙏…. Naweza kusema ni gari ambayo iko sensitive
@hemedlugagala5905
8 ай бұрын
Huo ni uongo
Samahani,umesema hiyo gari ina plastiki nyingi,kivipi kaka au unamaanisha plasiki gani
@rich-lr8tq
3 ай бұрын
plastic nyingi kwenye interior designing yaani milango kwa ndani na dashboard
aujatupa muongozo kwamba inatumia liter ngap kwa KM ngap?
@ericlaiton
8 ай бұрын
Km 16-18 Kwa litre
@rogerssempindu670
6 ай бұрын
1Lt inakwenda up to 18km
@user-mg7du2pk1t
5 ай бұрын
Petro injin km ngap
Hii ina range kiasi gani bei?
@FRESHNEWS171
8 ай бұрын
Amesema ni Mil 26
@MrSABYY
8 ай бұрын
Bei ya sasa 30M
@MrSABYY
8 ай бұрын
@@FRESHNEWS171 Yes mda hiyo gari tumeiingiza imetumia 26M ila Episode hizi hua hazitoki kWa wakati halisi kama tulivyo shoot so mda watazamaji mnatazama tayari inaweza kua miezi 3/4 imepita. KWa sasa bajeti ni 30M
Langi ni ledi 😂😂😂😂
@MrSABYY
2 ай бұрын
😝😝😝