Charles Wambali Sabi known as Mr Sabyy he is a Founder & Managing Director of CAIRO INTERTRADE COMPANY LIMITED. The company is based in Dar es salaam, Tanzania near Dar es salaam Port and one branch at MUTUKULA BORDER ( Tanzania & Uganda Border )
HUDUMA ZITOLEWAZO NA KAMPUNI YETU.
1: Uuzaji & Uagizaji wa Magari kutoka Japan/UK/Dubai/Singapore/South Africa n.k
2: Clearing & Forwarding service ( Motor vehicle clearance, Loose cargo & Container clearance , AirPort clearance )
3: Uuzaji wa Magari / Pikipiki / Bajaji Used from Tanzania
4: Uagizaji wa bidhaa mbalimbali CHINA
5: Customs border clearance
Contact Mr Sabyy via email address [email protected]
Call / Text / WhatsApp no +255 653953900.
Social media. Instagram@mr_sabyy , Twitter@mr_sabyy , TikTok@mr_sabyy
Social media for CAIRO INTERTRADE Co. Ltd : Instagram@cairo_intertrade
Пікірлер
Hivi ist Kwa Sasa ni sh ngapi?
Naomba contact yako kuhusiana na gari hiyo
Bro, hii gari engine yake ina TIMING CHAIN, au ni TIMING BELT?
Upo sahihi bro
Asante
Toyota Passo Toyota vitz Toyota Porte Toyota ractis Toyota Runx Toyota Ist
Natamani kujuana kilometer ngapi kwa lita
kwa nini watu wanaziogopa Subaru zenye Turbo?
Sababu Turbo hua inaharibika na gari inakosa nguvu tena na upatikanaji wa spea yake unasumbua
kwa nini Harrier, Kluger, VanGuard na Rav 4 zina bei sana kuliko hizi outlander na ukiangalia kama zinakaribiana uwezo na hizi outlander nyingi ni 4DW/2WD OPTIONAL, naona hizi outlander zina uwezo mkubwa sana kuliko Toyota SUV, ila sina uhakika kama CVT ina nguvu kuliko Automatic na Manual. kingine CVT ina unlimited gear ratios so hiyo idadi ya gear 6 sijui kama iko sahihi
Swala la bei za Toyota kua juu ni Branding yao iko vzr hivyo wanauza kwa bei ya demand waliyotengeneza sokoni….. Pia CVT inanguvu zaidi na ulaji mdogo wa mafuta na Ndio dunia ya magari inahamia huko polepole.
What about toyota rush
Review itakuja soon
Combien mazda verisa
We jamaa ni mwongo sana kwanza Harrier Four inatumia tairi zote, pili inaweza kwenda rough road vzr kuliko Subaru pia ipo juu. Ni kweli Subaru ina kasi zaidi ya Harrier, inatumia mafuta mara 2 ya Harrier pia haina mneso (comfort) km Harrie hata hivyo ni nz kwa fukara japo zimejaa gereji zote. Yote kwa yote Harrier ndio mwisho wa yote
😔😔😔😔
Wenzetu wakiwa wanafanya review wanasema hadi bei... Ila sisi wabongo sasa! Bado sana
Bei zipo Instagram@mr_sabyy
Poa
Mr sabby chaguo lako la ist kati ya Engine 1290cc 2nz na 1490cc 1nz
Ya 1490cc
Ala vii ala😂
Bando lako jiachie 😝😝😝
Langi ni ledi 😂😂😂😂
😝😝😝
nakubalii sanaaa
Welcome 🙏
Ile yenye Cc 1990 average consumption yake ni km ngapi kwa litre?
Naiona hii kampuni ikifika mbali sana kabla ya 2030 in Jesus name🙏.
Amina na Ubarikiwe
Samhn kak naomba unisaidie nije kufanya fild campuni kwako
kiongoz mbona Harrier Ina situ 5 iyo ingine no siti 7
Mr saby kwa mtu anaetaka gar used tofaut na used toka japan yan used hapahap Tz ila iwe imara mnaweza kumtafutia kwa bei nafuu
Yes boss, naomba Nichek kwenye WhatsApp 0653953900 . Asante
Kwani Automatic haina sensor?... unazingua. Kama hujui jielimishe kwanza ndio uje kuongea kwenye public
😝😝😝😝😝
Bei?
Huyo gari ni TSH ngapi?
👍
Mnagiza za bei ndogo yangu imechu 45 m ila ni mpya km 30
Mimi yang ni kama hiyo ila imechukua 45m km 25 seat.7.2012,cc1990
Bei zinatofautiana na ubora wa gari mfano hiyo outlander unaweza kununua 25m ad 50m muundo huo huo
Outlander ina nia 6
Uko vizuri jembe. Very well narrated
Bei nishingapi
Tunaomba review ya Toyota blade
Arufadi
Je ipo inayo tumia diesel
Good 👍
Nataka Subaru 2011 /12non turbo yenye soon roof low mileage iwe na wenker
Vp kuhusu speazake
kwanini outlender used zimekuwa nyingi mtaani
Si watu wanazipenda
Outlander nikali sana mzee
Alafu ni value for money
Naomba kujua Mazda cx5 2017 ya Diesel engine yake inaitwaje.pia ya petrol 2018 engine yake inaitwaje namaanisha engine model. Kwa anayefahamu tafadhal
Hujafafanua fuel consumption yake
kwenye kuelezea gari bado ujalitendea haki
First time nimeona hii page good review umeeshimisha gari yangu Mercedes kumbe ata mm sikuwa naijua ipasavyo
Welcome boss na save no yetu 0653953900
Nice,naomba Bei ya Toyota HARRIER,
Bei inaanzia 31-33Tsh Million. Check me for more information 0653953900 . Asante
HIZI NDIO REVIEW AMBAZO UNALEZEWA COMMON PROBLEM ZA GARI HUSIKA!🙏
NDUGU UMEFANYA REVIEW NZURI NA TOO TECHNICAL! REVIEWERS WENGI HAWAELEZI COMMON PROBLEMS ZA GARI HUSIKA WAO NI KUELEZA UZURI WA GARI TU NA UPENZI WA MCHAMBUAJI
Asante sana boss na karibu ukihitaji huduma ya kuagiza gari au kutolewa mzigo wako bandarini… Save no yangu 0653953900
@@MrSABYY THANKS ALOT NUMBER NIMEICHUKUA
Safi sana
Asante sana
Nakubali ila kutokana na kazi yako inabidi ujitahidi sana kunyoosha lugha ni MITSUBISHI sio MISTUBISHI kuna tofauti apo jengine kwenye matumizi ya R na L ni tatizo jirekebishe
Asante sana boss kwa kuturekebisha… Tumepokea na tunafanyia kazi. Ubarikiwe 💐💐
'PromoSM' 😴